Mheshimiwa Naibu Spika, ili Wizara iweze kutekeleza majukumu <strong>na</strong> malengo yake yamwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012, <strong>na</strong>omba Bunge lako Tukufu liidhinishe bajeti ya jumla ya shilingi18,552,728,000 ambapo kati ya hizo, fedha za Matumizi ya Kawaida ni shilingi 14,671,877,000 <strong>na</strong>fedha za Miradi ya Maendeleo ni shilingi 3,880,851,000.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda nitoe te<strong>na</strong> shukrani zangu za dhati kwako bi<strong>na</strong>fsi <strong>na</strong>kwa Waheshimiwa Wabunge kwa kunisikiliza. Hotuba hii i<strong>na</strong>patika<strong>na</strong> pia katika tovuti ya Wizarakwa anuani ya www.hum.go.tz.Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya maelezo haya, <strong>na</strong>omba kutoa hoja.<strong>WA</strong>ZIRI <strong>WA</strong> KILIMO, CHAKULA NA USHIRIKA: Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>afiki.(Hoja ilitolewa iamuliwe)NAIBU SPIKA: Ahsante sa<strong>na</strong> Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo, MheshimiwaDkt. Emmanuel Nchimbi kwa hotuba yake nzuri sa<strong>na</strong>.Kabla sijamwita Mwenyekiti wa Kamati kwa ajili ya kuwasaidia Waheshimiwa Wabungewengine <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi wa<strong>na</strong>otusikiliza ili kuelewa<strong>na</strong> katika mambo ya msingi hapa nilitaka kutoasomo lifuatalo.Mheshimiwa Mnyika alisimama hapa kusema a<strong>na</strong>taka kutumia Kanuni ya 133 kwa ajili yakutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Mheshimiwa Waziri Mkuu. Natoa somo kwa Wabunge wote. Kutokuwa <strong>na</strong>imani kwa Waziri Mkuu haimaanishi kutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Mheshimiwa Pinda. Kutokuwa <strong>na</strong> imani<strong>na</strong> Waziri Mkuu maa<strong>na</strong> yake ni kwamba Bunge hili likiungwa mkono hali<strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Serikali nzima.Tafsiri yake ni kwamba hoja hiyo ikipita Serikali hii lazima ivunjwe. Rais atumie utaratibu wa Kikatibakama ni kuita u<strong>cha</strong>guzi mwingine au ni kuteua Serikali mpya. Langu mimi ni la utaratibu tu. Kwahiyo, si jambo dogo la kulibeba te<strong>na</strong> kunyanyuka kila mtu a<strong>na</strong>vyotaka kama tu<strong>na</strong>vyofikiri, lakiniu<strong>na</strong>weza kutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Waziri Mkuu, kutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Naibu Spika imo kwenyeKanuni hizihizi. Kutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong> Spika imo katika Kanuni hizihizi. Kutokuwa <strong>na</strong> imani <strong>na</strong>Mheshimiwa Rais wa Nchi imo katika Kanuni hizihizi lakini ukitaka kufanya jambo hili kubwa lazimauwe umejiandaa vizuri, si jambo la kukurupuka.Kujiandaa kwake kukoje, kwa Waziri Mkuu, ni kwamba utatoa taarifa ya maandishi katikaOfisi <strong>na</strong> kwa hakika tutaipokea kwa sababu ndio utaratibu u<strong>na</strong>osemwa. Cha pili taarifa hiyoiwekwe saini <strong>na</strong> kuungwa mkono, ni matakwa ya Kanuni sio ya kwangu, ndio maa<strong>na</strong> kila mmojalazima asome hivi vitu. Taarifa hiyo iwekwe saini <strong>na</strong> kuungwa mkono <strong>na</strong> Wabunge wasiopunguaasilimia 20 ya Wabunge wote <strong>na</strong> ili kukidhi matakwa haya asilimia 20 ya Wabunge wote,Wabunge wote humu ni 357, kwa hiyo asilimia 20 maa<strong>na</strong> yake ni lazima iwe <strong>na</strong> Wabunge 72kwenda mbele. Tukishaipokea taarifa hiyo kwa maandishi <strong>na</strong> i<strong>na</strong> saini za Wabunge 72 kwendambele walioweka saini zao <strong>na</strong> kuunga mkono kwamba hoja hii sasa iingie humu, itaingia,itajadiliwa, itapigwa kura za siri, sio zile za kuhoji za wote <strong>na</strong> maamuzi yake yatakuwa ndiomaamuzi ya Bunge wala sio ya Naibu Spika au Spika au mtu mwingine yeyote. Nilitaka nieleze hili ilituelewane, ni vizuri tuendeshe mambo haya katika taratibu ambazo zimewekwa. (Makofi)Naomba sasa nimwite Mheshimiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii aualiyeandaliwa kwa ajili hiyo.MHE. JUMA S. NKAMIA (K.n.y. MWENYEKITI <strong>WA</strong> KAMATI YA MAENDELEO YA JAMII):Mheshimiwa Naibu Spika, kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu za Bunge, Kanuni ya 99(7) <strong>na</strong> Kanuniya <strong>11</strong>4(<strong>11</strong>) Toleo la Mwaka 2007 <strong>na</strong>chukua fursa hii kuwasilisha mbele ya Bunge lako Tukufu maoniya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii kuhusu Utekelezai wa Bajeti ya Wizara yaHabari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo kwa Mwaka 2010/20<strong>11</strong> <strong>na</strong> Makadirio ya Mapato <strong>na</strong>Matumizi ya Wizara kwa Mwaka 20<strong>11</strong>/2012.Mheshimiwa Naibu Spika, Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii ilifanya kazi ya kufikiria<strong>na</strong> ku<strong>cha</strong>mbua Bajeti ya Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo tarehe 02 <strong>na</strong> 03 Juni,34
20<strong>11</strong> wakati wa vikao vya Kamati vilivyofanyika Jijini Dar es Salaam. Katika vikao hivyo,Mheshimiwa Dkt. Emmanuel John Nchimbi (Mb), Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezoalitoa taarifa ya utekelezaji wa maagizo ya Kamati kwa kipindi <strong>cha</strong> Mwaka wa Fedha 2010/20<strong>11</strong>.Aidha, Kamati ilielezwa kwa ki<strong>na</strong> kuhusu utekelezaji wa mpango wa maendeleo, mapato <strong>na</strong>matumizi kwa mwaka 20<strong>11</strong>/2012, makadirio ya mapato <strong>na</strong> matumizi ya fedha pamoja <strong>na</strong> kazizilizopangwa kutekelezwa <strong>na</strong> Wizara kwa mwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012.Mheshimiwa Naibu Spika, malengo ya Wizara kwa Mwaka wa Fedha 20<strong>11</strong>/2012.· Kuendeleza mafunzo ya Utawala Bora, mpango wa kazi kwa Viongozi wa Vyamavya Michezo vya Taifa kwa lengo la kuimarisha utendaji kazi zao katikakuendeleza michezo nchini;· Kusimamia <strong>cha</strong>guzi za Vyama vya michezo vya Taifa vitano ili kuimarisha UtawalaBora katika michezo <strong>na</strong> kuondoa migogoro ndani ya Vyama vya Michezo;· Uendelezaji wa Vituo vya Utamaduni <strong>na</strong> Masoko katika Mikoa ya Dodoma <strong>na</strong>Morogoro;· Kuendeleza Tasnia ya Utamaduni katika utaalamu asilia wa usukaji kwaaki<strong>na</strong>mama waishio vijijini katika Mikoa ya Tanga, Iringa <strong>na</strong> Dodoma kwa lengo lakuanzisha viwanda vidogo vidogo katika maeneo hayo;· Baraza la Sa<strong>na</strong>a la Taifa litaendesha mafunzo ya Sa<strong>na</strong>a kwa Walimu 100 katikaWilaya mbili za mkoa wa Morogoro kuhusu utambaji wa hadithi <strong>na</strong> uchoraji;· Kuhakikisha filamu zi<strong>na</strong>zotengenezwa zi<strong>na</strong>zingatia maadili ya Kitanzania,zi<strong>na</strong>tangaza Taifa <strong>na</strong> zi<strong>na</strong>zingatia Sheria ya Filamu <strong>na</strong> Michezo ya Kuigiza Na. 4 yaMwaka 1976 <strong>na</strong> Kanuni zake;· Kuandaa <strong>na</strong> kurusha vipindi 52 vya “Lugha ya Taifa” vipindi 52 vya“Kumepambazuka” katika redio <strong>na</strong> vipindi 52 vya “Ulimwengu wa Kiswahili” katikatelevisheni;· Kujenga kituo <strong>cha</strong> kurushia Matangazo (FM Trasmitting Station) huko Zanzibar;· Kuimarisha vituo tisa vya FM vya kurushia matangazo ya TBC huko Shinyanga,Manyara, Moshi, Morogoro, Iringa, Mpanda, Newala, Songea <strong>na</strong> Tunduru; <strong>na</strong>· Kuweka mfumo wa kudhibiti matangazo (TV & Radio Monitoring System of Airtime,sales and billing).Mheshimiwa Naibu Spika, makadirio ya mapato <strong>na</strong> matumizi kwa mwaka 20<strong>11</strong>/2012. Ilikutekeleza vyema majukumu yaliopangwa kwa Mwaka wa Fedha 20<strong>11</strong>/2012, Wizara ya Habari,Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo, i<strong>na</strong>omba kuidhinishiwa Shilingi bilioni 18.5. Kiasi hiki kimeongezekaukilinganisha <strong>na</strong> Bajeti ya Mwaka ja<strong>na</strong> ambapo Wizara ilipewa Shilingi bilioni 18.4. Ongezeko hilibado ni dogo <strong>na</strong> halikidhi mahitaji ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali ya Wizara.Mheshimiwa Naibu Spika, maoni <strong>na</strong> ushauri wa Kamati kuhusu Bajeti ya Wizara kwaMwaka 20<strong>11</strong>/2012. Kwanza, Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC). Kamati i<strong>na</strong>lipongeza Shirika kwakazi nzuri zilizofanyika kwa Mwaka wa Fedha 2010/20<strong>11</strong> ikiwa ni pamoja <strong>na</strong> Mradi wa vituo tisa (9)vya redio FM, mradi wa kuboresha studio ya Mikocheni kuwa ya dijitali, kuonesha matangazo yakombe la dunia 2010 <strong>na</strong> kutangaza harakati za u<strong>cha</strong>guzi mkuu 2010. Pamoja <strong>na</strong> mafanikio hayo,Shirika la Utangazaji Tanzania li<strong>na</strong>kabiliwa <strong>na</strong> <strong>cha</strong>ngamoto mbalimbali zikiwemo:-· Ucheleweshwaji wa kupatiwa fedha za maendeleo zilizotengwa mahususi kwa ajiliya miradi ya Shirika. Mwaka wa Fedha 2010/20<strong>11</strong> Shirika lilitengewa shilingi1,200,000,000 <strong>na</strong> hadi kufikia mei 20<strong>11</strong>, Shirika lilikuwa limepokea shilingi600,000,000 tu;35
- Page 7 and 8: Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12: NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14: NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16: Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18: MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86:
hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88:
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90:
tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92:
MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94:
jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95:
na yakizungumza habari ya interest