12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

20<strong>11</strong> wakati wa vikao vya Kamati vilivyofanyika Jijini Dar es Salaam. Katika vikao hivyo,Mheshimiwa Dkt. Emmanuel John Nchimbi (Mb), Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezoalitoa taarifa ya utekelezaji wa maagizo ya Kamati kwa kipindi <strong>cha</strong> Mwaka wa Fedha 2010/20<strong>11</strong>.Aidha, Kamati ilielezwa kwa ki<strong>na</strong> kuhusu utekelezaji wa mpango wa maendeleo, mapato <strong>na</strong>matumizi kwa mwaka 20<strong>11</strong>/2012, makadirio ya mapato <strong>na</strong> matumizi ya fedha pamoja <strong>na</strong> kazizilizopangwa kutekelezwa <strong>na</strong> Wizara kwa mwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012.Mheshimiwa Naibu Spika, malengo ya Wizara kwa Mwaka wa Fedha 20<strong>11</strong>/2012.· Kuendeleza mafunzo ya Utawala Bora, mpango wa kazi kwa Viongozi wa Vyamavya Michezo vya Taifa kwa lengo la kuimarisha utendaji kazi zao katikakuendeleza michezo nchini;· Kusimamia <strong>cha</strong>guzi za Vyama vya michezo vya Taifa vitano ili kuimarisha UtawalaBora katika michezo <strong>na</strong> kuondoa migogoro ndani ya Vyama vya Michezo;· Uendelezaji wa Vituo vya Utamaduni <strong>na</strong> Masoko katika Mikoa ya Dodoma <strong>na</strong>Morogoro;· Kuendeleza Tasnia ya Utamaduni katika utaalamu asilia wa usukaji kwaaki<strong>na</strong>mama waishio vijijini katika Mikoa ya Tanga, Iringa <strong>na</strong> Dodoma kwa lengo lakuanzisha viwanda vidogo vidogo katika maeneo hayo;· Baraza la Sa<strong>na</strong>a la Taifa litaendesha mafunzo ya Sa<strong>na</strong>a kwa Walimu 100 katikaWilaya mbili za mkoa wa Morogoro kuhusu utambaji wa hadithi <strong>na</strong> uchoraji;· Kuhakikisha filamu zi<strong>na</strong>zotengenezwa zi<strong>na</strong>zingatia maadili ya Kitanzania,zi<strong>na</strong>tangaza Taifa <strong>na</strong> zi<strong>na</strong>zingatia Sheria ya Filamu <strong>na</strong> Michezo ya Kuigiza Na. 4 yaMwaka 1976 <strong>na</strong> Kanuni zake;· Kuandaa <strong>na</strong> kurusha vipindi 52 vya “Lugha ya Taifa” vipindi 52 vya“Kumepambazuka” katika redio <strong>na</strong> vipindi 52 vya “Ulimwengu wa Kiswahili” katikatelevisheni;· Kujenga kituo <strong>cha</strong> kurushia Matangazo (FM Trasmitting Station) huko Zanzibar;· Kuimarisha vituo tisa vya FM vya kurushia matangazo ya TBC huko Shinyanga,Manyara, Moshi, Morogoro, Iringa, Mpanda, Newala, Songea <strong>na</strong> Tunduru; <strong>na</strong>· Kuweka mfumo wa kudhibiti matangazo (TV & Radio Monitoring System of Airtime,sales and billing).Mheshimiwa Naibu Spika, makadirio ya mapato <strong>na</strong> matumizi kwa mwaka 20<strong>11</strong>/2012. Ilikutekeleza vyema majukumu yaliopangwa kwa Mwaka wa Fedha 20<strong>11</strong>/2012, Wizara ya Habari,Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo, i<strong>na</strong>omba kuidhinishiwa Shilingi bilioni 18.5. Kiasi hiki kimeongezekaukilinganisha <strong>na</strong> Bajeti ya Mwaka ja<strong>na</strong> ambapo Wizara ilipewa Shilingi bilioni 18.4. Ongezeko hilibado ni dogo <strong>na</strong> halikidhi mahitaji ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali ya Wizara.Mheshimiwa Naibu Spika, maoni <strong>na</strong> ushauri wa Kamati kuhusu Bajeti ya Wizara kwaMwaka 20<strong>11</strong>/2012. Kwanza, Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC). Kamati i<strong>na</strong>lipongeza Shirika kwakazi nzuri zilizofanyika kwa Mwaka wa Fedha 2010/20<strong>11</strong> ikiwa ni pamoja <strong>na</strong> Mradi wa vituo tisa (9)vya redio FM, mradi wa kuboresha studio ya Mikocheni kuwa ya dijitali, kuonesha matangazo yakombe la dunia 2010 <strong>na</strong> kutangaza harakati za u<strong>cha</strong>guzi mkuu 2010. Pamoja <strong>na</strong> mafanikio hayo,Shirika la Utangazaji Tanzania li<strong>na</strong>kabiliwa <strong>na</strong> <strong>cha</strong>ngamoto mbalimbali zikiwemo:-· Ucheleweshwaji wa kupatiwa fedha za maendeleo zilizotengwa mahususi kwa ajiliya miradi ya Shirika. Mwaka wa Fedha 2010/20<strong>11</strong> Shirika lilitengewa shilingi1,200,000,000 <strong>na</strong> hadi kufikia mei 20<strong>11</strong>, Shirika lilikuwa limepokea shilingi600,000,000 tu;35

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!