<strong>na</strong> TAMISEMI hawa<strong>na</strong> fungu la utamaduni. Sasa sielewi atafanyaje <strong>na</strong>o kazi kama alivyosemakwenye hotuba yake.Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya swali hilo mimi ni<strong>na</strong>omba nizungumze kuhusu suala lawasanii. Labda leo nizungumze maa<strong>na</strong> siku zote <strong>na</strong> miaka mitano iliyopita nimekuwa nikilia ndaniBunge hili <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>shukuru sa<strong>na</strong> sasa nimepata wasemaji wengi wa kutetea jambo hili. Leo<strong>na</strong>omba nizungumze lakini nikizidiwa basi nitalia, la hasha nitashindwa kuunga mkono hoja kwamambo yafuatayo:-Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kweli wasanii wengi wa Tanzania mpaka sasa hivi hatimayao haijulikani iko mikononi mwa <strong>na</strong>ni. Niliwahi kuzungumza hapa, nikasema kwamba hili dawati lautamaduni kwanza li<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong> hali<strong>na</strong> mwenyewe, hata fungu lake halionekani <strong>na</strong> ndiyo maa<strong>na</strong>hata kazi zake haziendi. Matokeo yake imebaki kuwa ugomvi kati ya wasanii kwa wasanii, kwasababu hawa<strong>na</strong> mwenyewe. Sasa mimi niliwahi kusema kwa nini isiundwe Wizara ya Utamadunipeke yake, mbo<strong>na</strong> i<strong>na</strong>weza ikazalisha sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> kuleta pato kubwa sa<strong>na</strong> nchini. Kwa nini badom<strong>na</strong>ipachi pachika. Ni<strong>na</strong>omba itengwe <strong>na</strong> ikae peke yake kama Wizara nyingine ili kuwezakuainisha mambo mengi ambayo ya<strong>na</strong>weza yakaleta tija. Sa<strong>na</strong>a ni biashara, sasa nisemekwamba ni<strong>na</strong>mshukuru sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Waziri pamoja <strong>na</strong> hayo ameweza kusimamia <strong>na</strong> kuundamashirikisho ambayo yako manne, ku<strong>na</strong> la filamu, muziki, sa<strong>na</strong>a za maonyesho pamoja <strong>na</strong> sa<strong>na</strong>aza ufundi. Lakini hivi u<strong>na</strong>wezaje kumpa mtu mpini wa jembe <strong>na</strong> u<strong>na</strong>mwambia aende akalime?Hawa watu hawa<strong>na</strong> fungu lolote, haku<strong>na</strong> Bajeti yoyote hivi wataanzia wapi hata kufanya kazizao. Matokeo yake i<strong>na</strong>baki kwamba ku<strong>na</strong> maji<strong>na</strong>, ku<strong>na</strong> mashirikisho sijui lakini vitendea kazihaku<strong>na</strong>. Nilikuwa <strong>na</strong>zungumza <strong>na</strong>o hapo nje, hata <strong>na</strong>uli za kuwaleta hapa wamejileta wenyewe.Sasa hizo kazi watafanyaje <strong>na</strong> tu<strong>na</strong>sema wazunguke nchi nzima kuangalia vipaji vya vija<strong>na</strong> iliwaweze kupata ajira. Mheshimiwa Waziri ni<strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> litengwe fungu au Bajeti kwa ajili hayamashirikisho manne wapatiwe fedha kwa ajili ya kuanzia. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, labda niseme kwamba ku<strong>na</strong> jambo ambalo mimi li<strong>na</strong>nisikitishasa<strong>na</strong>. Si<strong>na</strong> hakika kama COSOTA kule ilipo ipo mahala pale. Sidhani kama ni mahala pake, kwasababu imeshindwa kufanya kazi yake. Wasanii wamekuwa wakiibiwa kazi zao lakini bado sasahivi tu<strong>na</strong>sema sijui mastering studio, sijui Mheshimiwa Rais ameipeleka wapi <strong>na</strong> sijui imekuwaje. Hilowala si kosa la Rais, wala si kosa la wasanii. Bali Wizara imeshindwa kutimiza wajibu wake kwenyeupande wa sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> ndiyo maa<strong>na</strong> mlishindwa kumwelekeza. (Makofi)MWENYEKITI: Mheshimiwa Mbunge kidogo samahani. Naomba u-declare interest yakokatika fani hii, itakugharimu sa<strong>na</strong>. (Makofi)MHE. MARTHA M. MLATA: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante. Ni kweli mimi pia ni mtunzi <strong>na</strong>ni mwimbaji wa nyimbo za injili. Kwa hiyo, ni msanii <strong>na</strong> pia ni mwigizaji. Nimekuwa niki-declareinterest mara nyingi labda ndiyo maa<strong>na</strong> leo nimejisahau. Lakini ni kweli <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>fanya hiyo biasharalakini sasa hivi i<strong>na</strong>nishinda kwa sababu ya mfumo mbovu uliopo. U<strong>na</strong>peleka kazi zako lakini hupatipesa yoyote, a<strong>na</strong>faidika mtu mwingine, tumewatajirisha watu wengine ambao hawajatokwa <strong>na</strong>jasho lolote. Kwa hiyo niseme, Wizara mlishindwa kumwelekeza Rais ni wapi apeleke kile chombondiyo maa<strong>na</strong> kikaangukia mahala ambapo wao walikuwa tayari <strong>na</strong> ndiyo wao walioneka<strong>na</strong>mbele ya Mheshimiwa Rais. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa ni<strong>na</strong>chosema ni hivi, wasanii Watanzania hawahitajimastering studio bali wa<strong>na</strong>hitaji usalama wa kazi zao zisiibiwe, wa<strong>na</strong>hitaji faida ya kazi zaowa<strong>na</strong>pofanya kazi zao. Kwa hiyo, wasanii hawahitaji studio maa<strong>na</strong> zipo nyingi wa<strong>na</strong>wezawakarekodi popote hata majumbani zipo. Lakini usalama wa kazi zao. COSOTA i<strong>na</strong>fanya nini?Sasa hivi amejitokeza Msama Promotion ndiye a<strong>na</strong>yekamata kazi za wasanii, a<strong>na</strong>saidiwaje sasa?Kazi zingine zipo polisi, tu<strong>na</strong>sema Sheria iletwe hapa, kazi zikipelekwa Mahakamani faini shilingi200,000/=. Yaani hivi kweli Wizara ipo serious?Kwa hiyo, mimi ni<strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> hasa mikataba hii ya wasanii <strong>na</strong> hawa wa<strong>na</strong>ojiitamapromota, mameneja sijui washauri <strong>na</strong> wasambazaji, ni feki yote. Wizara wekeni utaratibu ilimuweke wa<strong>na</strong>sheria wa kusimamia mikataba ya wasanii <strong>na</strong> wasanii waweze kufaidika. Ni<strong>na</strong>ombasa<strong>na</strong>. (Makofi)80
Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini ku<strong>na</strong> jambo lingine ambalo <strong>na</strong>omba niliongee mapema<strong>na</strong>lo ni kuhusu Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a. Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a kile kiwanja kilitolewa <strong>na</strong> Baba wa TaifaMwalimu Nyerere kwa wasanii. (Makofi)Mimi mwenyewe nimefanya biashara pale kwa kupeleka kazi zangu za sa<strong>na</strong>a, kutoka kuleSingida kwa aki<strong>na</strong>mama walifuma visonzo, nimekuta Tatu<strong>na</strong>ne wapo pale, nimekuta walemavuwapo pale, wale watu walikuwa wa<strong>na</strong>tafuta masoko nje. Lakini sasa hivi <strong>na</strong>taka kujua, ni <strong>na</strong>nialiyepeleka kesi Mahakamani ya jengo lile? Jengo lile lilijengwa <strong>na</strong> Wanorway <strong>na</strong> Waswedish. Nanimwenye haki ambaye amemilikishwa sasa hivi?Mimi siungi mkono mpaka niambiwe jengo lile li<strong>na</strong>rudi mikononi mwa Wizara ile ni mali yaSerikali. Wale walikuwa ni Bodi tu. Bodi u<strong>na</strong>weza ukajimilikisha kitu kikawa ni <strong>cha</strong> kwako? Sasa hivisijui tu<strong>na</strong>ambiwa wameingia ubia, u<strong>na</strong>ingia ubia who are you? U<strong>na</strong>ingia ubia <strong>na</strong> <strong>na</strong>ni?Ni<strong>na</strong>omba jengo lile niambiwe kwamba litarudi mikononi mwa Serikali ili wasanii <strong>na</strong> vija<strong>na</strong>,walemavu, aki<strong>na</strong>mama wote wakapate faida kwenye lile jengo. Tulikuwa tu<strong>na</strong>tafutiwa masokompaka nje ya nchi. Wa<strong>na</strong>wake wote Tanzania walikuwa wa<strong>na</strong>peleka bidhaa zao pale, vija<strong>na</strong>wote walikuwa wa<strong>na</strong>kwenda kujifunza kazi za sa<strong>na</strong>a pale, halafu leo eti watu wa<strong>na</strong>sematu<strong>na</strong>gawa<strong>na</strong>, tu<strong>na</strong>ingia ubia. Who are you? Tumuezi Baba wa Taifa, alitoa kwa nia nzuri <strong>na</strong> si kwaajili ya mtu mmoja. Ni<strong>na</strong>taka nipate maelezo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo ni<strong>na</strong>omba TCRA <strong>na</strong> TRA washirikiane <strong>na</strong>COSOTA kwa ajili ya kuweka nembo kwa ajili ya kudhibiti wizi <strong>na</strong> ujangili u<strong>na</strong>ofanywa <strong>na</strong> hawawatu wa<strong>na</strong>odhulumu <strong>na</strong> kuiba kazi za wasanii. Watu wa<strong>na</strong>sema eti niseme COSOTA ni nini?Mheshimiwa Mwenyekiti, COSOTA ni <strong>cha</strong>ma ki<strong>na</strong>chosimamia Hakimiliki <strong>na</strong> Hatimiliki, lakini<strong>na</strong>amini wameshindwa kufanya kazi yao, ama kitolewe kule kiletwe kwenye Wizara yako maa<strong>na</strong><strong>na</strong>amini u<strong>na</strong>weza ukakisimamia vizuri. Lakini msimamo wangu bado ni<strong>na</strong>sema utamaduniinyofoeni pale maa<strong>na</strong> imeongezewa te<strong>na</strong> vija<strong>na</strong>, habari, michezo kila kitu <strong>na</strong> hela umepewandogo sijui utafanyaje kazi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo, siungi mkono hoja. Ahsante. (Makofi)MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong>. Naomba niwakumbushe Kanuni 61(2) i<strong>na</strong>yohitaji kamau<strong>na</strong> interest <strong>na</strong> suala lolote u-declare interest mapema. Ni muhimu <strong>na</strong> ukisha-declare interestu<strong>na</strong>endelea <strong>na</strong> m<strong>cha</strong>ngo wako.TAARIFAMBUNGE FULANI: Mheshimiwa Mwenyekiti, Taarifa.MWENYEKITI: Tumeelekeza kwanza usimame utulie sehemu yako, nitakuo<strong>na</strong> <strong>na</strong> usiongeekabla ya ruhusu. Kwa hiyo, <strong>na</strong>omba tuendelee. Naomba kumwita Mheshimiwa Sabree<strong>na</strong> Sungura.MHE. SABREENA H. SUNGURA: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante kwa kunipatia <strong>na</strong>fasi hii <strong>na</strong>mimi niweze ku<strong>cha</strong>ngia kwenye Wizara hii ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza kabisa <strong>na</strong>penda kuchukua fursa hii kuwapongezaWaislam wote wa<strong>na</strong>ofunga mwezi huu Mtukufu. Pili, <strong>na</strong>penda kuwashukuru Wabunge wote humundani kwa ushirikiano waliotupa hasa katika mwezi huu. Hatu<strong>na</strong> <strong>cha</strong> kuwalipa ila Mwenyezi Munguatawalipeni. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, katika hoja hii <strong>na</strong>penda kuanza ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu Idara yaHabari. Mheshimiwa Mwenyekiti, Wizara i<strong>na</strong> Idara ya Habari ambayo wa<strong>na</strong>nchi wamekuwawakituma hoja mbalimbali kupitia tovuti ya wa<strong>na</strong>nchi, kutuma sms <strong>na</strong> hata wakati mwinginekuandika barua <strong>na</strong> wakipatiwa majibu mbalimbali. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini ningependa kumwambia Mheshimiwa Waziri kwamba njiahii imekuwa <strong>na</strong> <strong>cha</strong>ngamoto zake hasa hasa kwa upande wa tovuti ya wa<strong>na</strong>nchi. Watanzania81
- Page 7 and 8:
Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12:
NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14:
NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16:
Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18:
MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20:
inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22:
Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24:
Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26:
katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28:
wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90: tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92: MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94: jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95: na yakizungumza habari ya interest