12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini ku<strong>na</strong> jambo lingine ambalo <strong>na</strong>omba niliongee mapema<strong>na</strong>lo ni kuhusu Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a. Nyumba ya Sa<strong>na</strong>a kile kiwanja kilitolewa <strong>na</strong> Baba wa TaifaMwalimu Nyerere kwa wasanii. (Makofi)Mimi mwenyewe nimefanya biashara pale kwa kupeleka kazi zangu za sa<strong>na</strong>a, kutoka kuleSingida kwa aki<strong>na</strong>mama walifuma visonzo, nimekuta Tatu<strong>na</strong>ne wapo pale, nimekuta walemavuwapo pale, wale watu walikuwa wa<strong>na</strong>tafuta masoko nje. Lakini sasa hivi <strong>na</strong>taka kujua, ni <strong>na</strong>nialiyepeleka kesi Mahakamani ya jengo lile? Jengo lile lilijengwa <strong>na</strong> Wanorway <strong>na</strong> Waswedish. Nanimwenye haki ambaye amemilikishwa sasa hivi?Mimi siungi mkono mpaka niambiwe jengo lile li<strong>na</strong>rudi mikononi mwa Wizara ile ni mali yaSerikali. Wale walikuwa ni Bodi tu. Bodi u<strong>na</strong>weza ukajimilikisha kitu kikawa ni <strong>cha</strong> kwako? Sasa hivisijui tu<strong>na</strong>ambiwa wameingia ubia, u<strong>na</strong>ingia ubia who are you? U<strong>na</strong>ingia ubia <strong>na</strong> <strong>na</strong>ni?Ni<strong>na</strong>omba jengo lile niambiwe kwamba litarudi mikononi mwa Serikali ili wasanii <strong>na</strong> vija<strong>na</strong>,walemavu, aki<strong>na</strong>mama wote wakapate faida kwenye lile jengo. Tulikuwa tu<strong>na</strong>tafutiwa masokompaka nje ya nchi. Wa<strong>na</strong>wake wote Tanzania walikuwa wa<strong>na</strong>peleka bidhaa zao pale, vija<strong>na</strong>wote walikuwa wa<strong>na</strong>kwenda kujifunza kazi za sa<strong>na</strong>a pale, halafu leo eti watu wa<strong>na</strong>sematu<strong>na</strong>gawa<strong>na</strong>, tu<strong>na</strong>ingia ubia. Who are you? Tumuezi Baba wa Taifa, alitoa kwa nia nzuri <strong>na</strong> si kwaajili ya mtu mmoja. Ni<strong>na</strong>taka nipate maelezo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo ni<strong>na</strong>omba TCRA <strong>na</strong> TRA washirikiane <strong>na</strong>COSOTA kwa ajili ya kuweka nembo kwa ajili ya kudhibiti wizi <strong>na</strong> ujangili u<strong>na</strong>ofanywa <strong>na</strong> hawawatu wa<strong>na</strong>odhulumu <strong>na</strong> kuiba kazi za wasanii. Watu wa<strong>na</strong>sema eti niseme COSOTA ni nini?Mheshimiwa Mwenyekiti, COSOTA ni <strong>cha</strong>ma ki<strong>na</strong>chosimamia Hakimiliki <strong>na</strong> Hatimiliki, lakini<strong>na</strong>amini wameshindwa kufanya kazi yao, ama kitolewe kule kiletwe kwenye Wizara yako maa<strong>na</strong><strong>na</strong>amini u<strong>na</strong>weza ukakisimamia vizuri. Lakini msimamo wangu bado ni<strong>na</strong>sema utamaduniinyofoeni pale maa<strong>na</strong> imeongezewa te<strong>na</strong> vija<strong>na</strong>, habari, michezo kila kitu <strong>na</strong> hela umepewandogo sijui utafanyaje kazi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo, siungi mkono hoja. Ahsante. (Makofi)MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong>. Naomba niwakumbushe Kanuni 61(2) i<strong>na</strong>yohitaji kamau<strong>na</strong> interest <strong>na</strong> suala lolote u-declare interest mapema. Ni muhimu <strong>na</strong> ukisha-declare interestu<strong>na</strong>endelea <strong>na</strong> m<strong>cha</strong>ngo wako.TAARIFAMBUNGE FULANI: Mheshimiwa Mwenyekiti, Taarifa.MWENYEKITI: Tumeelekeza kwanza usimame utulie sehemu yako, nitakuo<strong>na</strong> <strong>na</strong> usiongeekabla ya ruhusu. Kwa hiyo, <strong>na</strong>omba tuendelee. Naomba kumwita Mheshimiwa Sabree<strong>na</strong> Sungura.MHE. SABREENA H. SUNGURA: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante kwa kunipatia <strong>na</strong>fasi hii <strong>na</strong>mimi niweze ku<strong>cha</strong>ngia kwenye Wizara hii ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza kabisa <strong>na</strong>penda kuchukua fursa hii kuwapongezaWaislam wote wa<strong>na</strong>ofunga mwezi huu Mtukufu. Pili, <strong>na</strong>penda kuwashukuru Wabunge wote humundani kwa ushirikiano waliotupa hasa katika mwezi huu. Hatu<strong>na</strong> <strong>cha</strong> kuwalipa ila Mwenyezi Munguatawalipeni. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, katika hoja hii <strong>na</strong>penda kuanza ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu Idara yaHabari. Mheshimiwa Mwenyekiti, Wizara i<strong>na</strong> Idara ya Habari ambayo wa<strong>na</strong>nchi wamekuwawakituma hoja mbalimbali kupitia tovuti ya wa<strong>na</strong>nchi, kutuma sms <strong>na</strong> hata wakati mwinginekuandika barua <strong>na</strong> wakipatiwa majibu mbalimbali. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini ningependa kumwambia Mheshimiwa Waziri kwamba njiahii imekuwa <strong>na</strong> <strong>cha</strong>ngamoto zake hasa hasa kwa upande wa tovuti ya wa<strong>na</strong>nchi. Watanzania81

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!