· Ufinyu wa fedha za ruzuku kwa ajili ya matumizi ya kawaida. Kwa mwaka wafedha 20<strong>11</strong>/2012, Shirika limetengewa kwa mwezi shilingi 100,079,416 ambazo nipungufu kwa asilimia 44.6 ikilinganishwa <strong>na</strong> kiwango <strong>cha</strong> mwaka wa fedha2010/20<strong>11</strong>. Hali hii i<strong>na</strong>kwamisha utekelezaji wa shughuli za maendeleo <strong>na</strong> miradimbalimbali;· Kutotekelezwa kwa Mkataba wa Utendaji wa mradi wa dijitali ambapo Serikalihaijatoa udhamini wa Mkopo u<strong>na</strong>otolewa <strong>na</strong> Benki ya Maendeleo ya Chi<strong>na</strong>yaani Chi<strong>na</strong> Development Bank;· Ukarabati wa vifaa vya kurushia matangazo (OB VAN equipments) vya televishenibado haujafanyika kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ukosefu wa fedha za mradi kwa wakati;· Shirika li<strong>na</strong> upungufu wa watumishi 33 pamoja <strong>na</strong> vitendea kazi kwa ajili ya vituovipya vya FM vilivyoanzishwa; <strong>na</strong>· Wizara <strong>na</strong> Idara nyingi za Serikali hazijalipa madeni yao kwa TBC kwa muda mrefukutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> huduma za vipindi mbalimbali vilivyotangazwa katika Shirika hilojambo ambalo li<strong>na</strong>kwamisha baadhi ya shughuli za TBC kutofanyika kwa wakati.Mheshimiwa Naibu Spika, Kamati i<strong>na</strong>toa ushauri ufuatao:-· Serikali itambue umuhimu wa Shirika hili <strong>na</strong> kulitengea fedha za kutoshakujiendesha <strong>na</strong> Fedha za Maendeleo zitolewe kwa wakati ili kurahisisha utekelezajiwa miradi mbalimbali;· Kufuatia ukomo wa matumizi ya mitambo ya a<strong>na</strong>lojia kwa nchi za Afrika Masharikiifikapo mwaka 2012, Shirika la Star Media lenye ubia <strong>na</strong> Shirika la Utangazaji TBClimeanza kutekeleza mradi wa televisheni wa digitali. Hata hivyo, mradi huoumekuwa mgumu kutekelezeka kwani Serikali haijatekeleza baadhi ya vipengelevya mkataba wa utendaji ikiwemo udhamini wa mkopo u<strong>na</strong>otolewa <strong>na</strong> Chi<strong>na</strong>Development Bank ambao u<strong>na</strong>tarajiwa kuwezesha ukamilishaji wa ujenzi wamitambo hiyo ya dijitali nchi nzima.NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, <strong>na</strong>waomba tumsikilize vizuri Mheshimiwa Nkamiakwa sababu usomaji wake ndivyo i<strong>na</strong>vyotakiwa taarifa zisomwe. Sasa wale wote wa<strong>na</strong>okujambele hapa tujifunze, Mheshimiwa Nkamia endelea. (Kicheko)MHE. JUMA S. NKAMIA (K.n.y. MWENYEKITI <strong>WA</strong> KAMATI YA MAENDELEO YA JAMII): Kamatii<strong>na</strong>shauri Serikali ione umuhimu wa kutoa udhamini wa mkopo haraka kwani ucheleweshaji huuutaathiri mradi kutosambaa nchi nzima kabla ya ukomo wa matumizi ya mitambo ya a<strong>na</strong>lojia;· Serikali iboreshe jengo la TBC Mikocheni kwa kukamilisha jengo lililowekewa msingi<strong>na</strong> Rais mstaafu Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi zaidi ya muongo mmoja uliopita iliTBC nzima ihamie eneo la Mikocheni. Hii itasaidia kutoa <strong>na</strong>fasi ya eneo la Ofisi zaNyerere Road kutumiwa <strong>na</strong> Wizara ya Habari badala ya kuendelea kutumiafedha nyingi kugharamia kodi ya pango katikati ya mji kama ilivyo sasa; <strong>na</strong>· Serikali kuziagiza Taasisi <strong>na</strong> Idara zake zi<strong>na</strong>zotangaza vipindi vyake mbalimbalikupitia TBC kulipa madeni kwa wakati ili kuliwezesha Shirika hili kujiendeshakikamilifu katika maeneo ambayo halitegemei fedha za Serikali moja kwa moja.Aidha, Shirika lione umuhimu wa kutangaza habari za michezo i<strong>na</strong>yohusisha timuzetu za Taifa zi<strong>na</strong>pokwenda nje ya nchi badala ya kutegemea wafadhili tu.(Makofi)Mheshimiwa Naibu Spika, Kamati i<strong>na</strong>o<strong>na</strong> kuwa ku<strong>na</strong> umuhimu wa Serikali kupitisha Sheriaya Huduma za Vyombo vya Habari nchini pamoja <strong>na</strong> ile ya Haki ya kupata Habari <strong>na</strong> kushirikia<strong>na</strong>36
<strong>na</strong> Mfuko wa Vyombo vya Habari <strong>na</strong> Baraza la Habari Tanzania (MCT) ili kuwawezesha Waandishiwa Habari, wamiliki wa vyombo vya habari <strong>na</strong> vyombo vya habari vyenyewe kufanya kazi zaokwa kuzingatia maadili ya uandishi wa habari makini zenye tija kwa Taifa.Mheshimiwa Naibu Spika, pili, Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA). Ni dhahiri kuwa lughaya Kiswahili imezidi kukua <strong>na</strong> kusambaa duniani ikiwa sasa ni Lugha ya Kimataifa i<strong>na</strong>yotumiwamathalani kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki <strong>na</strong> Umoja wa Afrika. Kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> umuhimu waKiswahili Katika Taifa letu <strong>na</strong> kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ukweli kuwa lugha hii ndio kiunganishi kikuu <strong>cha</strong>mawasiliano kwa Watanzania, Kamati i<strong>na</strong>toa ushauri ufuatao:-· Serikali kuwa makini katika kauli zake kuhusu matumizi ya lugha ya Kiswahili katikashughuli rasmi za Serikali <strong>na</strong> kusisitiza matumizi ya Kiswahili katika semi<strong>na</strong>, warsha,mabango ya matangazo barabarani, maelekezo ya bidhaa zi<strong>na</strong>zotengenezwanchini <strong>na</strong> matangazo ya biashara; <strong>na</strong>· Serikali kuo<strong>na</strong> umuhimu wa kulishirikisha Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA)katika kuandaa vitabu vya Bajeti za Serikali kwa miaka ijayo kwa Lugha yaKiswahili ili kuwawezesha wa<strong>na</strong>nchi kuelewa muelekeo wa hali ya Uchumi <strong>na</strong>Mapato ya Serikali pamoja <strong>na</strong> maeneo yaliyopewa kipaumbele.Mheshimiwa Naibu Spika, tatu, Baraza la Sa<strong>na</strong>a la Taifa (BASATA). Kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> Upungufukatika Sheria ya Haki Miliki ya Mwaka 1999 <strong>na</strong> pia kutokuwepo utekelezaji wa Sheria hii kikamilifu,bado unyonyaji wa wasanii u<strong>na</strong>fanywa <strong>na</strong> mawakala, wadhamini, wazalishaji <strong>na</strong> wasambazaji wakazi za wasanii. Kamati i<strong>na</strong>o<strong>na</strong> ku<strong>na</strong> umuhimu mkubwa wa Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni<strong>na</strong> Michezo <strong>na</strong> Wizara ya Viwanda <strong>na</strong> Biashara ziharakishe kuleta Muswada wa Marekebisho yaSheria ya Haki Miliki <strong>na</strong> Haki Shiriki Na. 7 ya Mwaka 1999 kwani upatika<strong>na</strong>ji wa Sheria hii utasaidiaukuaji wa pato la wasanii <strong>na</strong> hata Serikali kwa ujumla.Mheshimiwa Naibu Spika, u<strong>cha</strong>mbuzi wa Kiuchumi wa Sekta ya Muziki uliofanywa <strong>na</strong> Idaraya Uchumi ya Chuo Kikuu <strong>cha</strong> Dar es Salaam <strong>na</strong> kuwasilishwa mbele ya Kamati tarehe 19 Juni20<strong>11</strong>, umebaini kuwa mara baada ya marekebisho ya Sheria hii <strong>na</strong> utekelezaji wake utakapoanza,Taifa litapata <strong>cha</strong>nzo kipya <strong>cha</strong> mapato ya Serikali kwani utafiti u<strong>na</strong>onyesha kuwa:-· Pato la Taifa li<strong>na</strong>lotoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> Sa<strong>na</strong>a ya Muziki hapa nchini li<strong>na</strong>kadiriwa kuwashilingi bilioni 71, ikiwa ni karibia asilimia 0.5 ya jumla ya pato lote la Taifa (GDP);· Mapato ya<strong>na</strong>yopatika<strong>na</strong> kwenye Sekta ya Muziki, ya<strong>na</strong>toka katika asilimia 12 tuya kiwango kilichotakiwa kulipiwa kodi ya mapato kwenye sekta hiyo; <strong>na</strong>· Hasara i<strong>na</strong>yotoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ulipaji mdogo wa kodi kwa Taifa (kwenye sekta ya muziki)i<strong>na</strong>kadiriwa kuwa asilimia 0.1 ya GDP ilitegemewa kuongezeka kwa kiasi <strong>cha</strong>asilimia <strong>11</strong> katika kipindi <strong>cha</strong> miaka mitatu kuanzia 2007.Mheshimiwa Naibu Spika, kama Sheria ya Haki Miliki <strong>na</strong> Haki Shiriki ya Mwaka 1999,ikifanyiwa marekebisho <strong>na</strong> kutekelezwa, faida kwa Wadau wa Sekta ya Sa<strong>na</strong>a itakuwa kamaifuatavyo:-· Kipato <strong>cha</strong> wadau wote wa sekta hii ikiwemo Serikali kitaongezeka;· Kutakuwa <strong>na</strong> ongezeko la kipato kwa walioajiriwa katika sa<strong>na</strong>a ya muziki <strong>na</strong>filamu <strong>na</strong> kwa hali hii itavutia ajira mpya katika sa<strong>na</strong>a hizi; <strong>na</strong>· Makadirio ya walioajiriwa (kudumu) katika sekta ya muziki ni asilimia 48 ya walewote wa<strong>na</strong>ojishughulisha <strong>na</strong> muziki, asilimia 52 hufanya muziki kama kazi ya ziadahivyo baada ya kufanyia marekebisho Sheria hii, kipato kitakuwa zaidi <strong>na</strong>kitafanya wengi kwenye sekta hii kuithamini kazi ya sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> kuifanya yakudumu kwani itakuwa i<strong>na</strong>walipa vizuri.37
- Page 7 and 8: Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12: NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14: NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16: Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18: MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88:
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90:
tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92:
MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94:
jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95:
na yakizungumza habari ya interest