12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

· Ufinyu wa fedha za ruzuku kwa ajili ya matumizi ya kawaida. Kwa mwaka wafedha 20<strong>11</strong>/2012, Shirika limetengewa kwa mwezi shilingi 100,079,416 ambazo nipungufu kwa asilimia 44.6 ikilinganishwa <strong>na</strong> kiwango <strong>cha</strong> mwaka wa fedha2010/20<strong>11</strong>. Hali hii i<strong>na</strong>kwamisha utekelezaji wa shughuli za maendeleo <strong>na</strong> miradimbalimbali;· Kutotekelezwa kwa Mkataba wa Utendaji wa mradi wa dijitali ambapo Serikalihaijatoa udhamini wa Mkopo u<strong>na</strong>otolewa <strong>na</strong> Benki ya Maendeleo ya Chi<strong>na</strong>yaani Chi<strong>na</strong> Development Bank;· Ukarabati wa vifaa vya kurushia matangazo (OB VAN equipments) vya televishenibado haujafanyika kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ukosefu wa fedha za mradi kwa wakati;· Shirika li<strong>na</strong> upungufu wa watumishi 33 pamoja <strong>na</strong> vitendea kazi kwa ajili ya vituovipya vya FM vilivyoanzishwa; <strong>na</strong>· Wizara <strong>na</strong> Idara nyingi za Serikali hazijalipa madeni yao kwa TBC kwa muda mrefukutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> huduma za vipindi mbalimbali vilivyotangazwa katika Shirika hilojambo ambalo li<strong>na</strong>kwamisha baadhi ya shughuli za TBC kutofanyika kwa wakati.Mheshimiwa Naibu Spika, Kamati i<strong>na</strong>toa ushauri ufuatao:-· Serikali itambue umuhimu wa Shirika hili <strong>na</strong> kulitengea fedha za kutoshakujiendesha <strong>na</strong> Fedha za Maendeleo zitolewe kwa wakati ili kurahisisha utekelezajiwa miradi mbalimbali;· Kufuatia ukomo wa matumizi ya mitambo ya a<strong>na</strong>lojia kwa nchi za Afrika Masharikiifikapo mwaka 2012, Shirika la Star Media lenye ubia <strong>na</strong> Shirika la Utangazaji TBClimeanza kutekeleza mradi wa televisheni wa digitali. Hata hivyo, mradi huoumekuwa mgumu kutekelezeka kwani Serikali haijatekeleza baadhi ya vipengelevya mkataba wa utendaji ikiwemo udhamini wa mkopo u<strong>na</strong>otolewa <strong>na</strong> Chi<strong>na</strong>Development Bank ambao u<strong>na</strong>tarajiwa kuwezesha ukamilishaji wa ujenzi wamitambo hiyo ya dijitali nchi nzima.NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, <strong>na</strong>waomba tumsikilize vizuri Mheshimiwa Nkamiakwa sababu usomaji wake ndivyo i<strong>na</strong>vyotakiwa taarifa zisomwe. Sasa wale wote wa<strong>na</strong>okujambele hapa tujifunze, Mheshimiwa Nkamia endelea. (Kicheko)MHE. JUMA S. NKAMIA (K.n.y. MWENYEKITI <strong>WA</strong> KAMATI YA MAENDELEO YA JAMII): Kamatii<strong>na</strong>shauri Serikali ione umuhimu wa kutoa udhamini wa mkopo haraka kwani ucheleweshaji huuutaathiri mradi kutosambaa nchi nzima kabla ya ukomo wa matumizi ya mitambo ya a<strong>na</strong>lojia;· Serikali iboreshe jengo la TBC Mikocheni kwa kukamilisha jengo lililowekewa msingi<strong>na</strong> Rais mstaafu Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi zaidi ya muongo mmoja uliopita iliTBC nzima ihamie eneo la Mikocheni. Hii itasaidia kutoa <strong>na</strong>fasi ya eneo la Ofisi zaNyerere Road kutumiwa <strong>na</strong> Wizara ya Habari badala ya kuendelea kutumiafedha nyingi kugharamia kodi ya pango katikati ya mji kama ilivyo sasa; <strong>na</strong>· Serikali kuziagiza Taasisi <strong>na</strong> Idara zake zi<strong>na</strong>zotangaza vipindi vyake mbalimbalikupitia TBC kulipa madeni kwa wakati ili kuliwezesha Shirika hili kujiendeshakikamilifu katika maeneo ambayo halitegemei fedha za Serikali moja kwa moja.Aidha, Shirika lione umuhimu wa kutangaza habari za michezo i<strong>na</strong>yohusisha timuzetu za Taifa zi<strong>na</strong>pokwenda nje ya nchi badala ya kutegemea wafadhili tu.(Makofi)Mheshimiwa Naibu Spika, Kamati i<strong>na</strong>o<strong>na</strong> kuwa ku<strong>na</strong> umuhimu wa Serikali kupitisha Sheriaya Huduma za Vyombo vya Habari nchini pamoja <strong>na</strong> ile ya Haki ya kupata Habari <strong>na</strong> kushirikia<strong>na</strong>36

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!