12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

NAIBU <strong>WA</strong>ZIRI <strong>WA</strong> UCHUKUZI: Mheshimiwa Naibu Spika, makubaliano ya usafiri wa angahayawezi kutukataza sisi tusimruhusu mtu ambaye a<strong>na</strong> ndege a<strong>na</strong>taka kuja <strong>na</strong>yo hapa. Kwanza,tu<strong>na</strong>pata malipo kwa kutua ile ndege <strong>na</strong> kupaki ile ndege <strong>na</strong> atanunua mafuta hapa lakini piaa<strong>na</strong>pofanya hivyo a<strong>na</strong>tutangazia kule wa<strong>na</strong>kotoka ili watalii wengi zaidi waje. Kwa hiyo tu<strong>na</strong>mpaoption yule mtalii kama akitaka kutumia usafiri wa ndani hapa pia tu<strong>na</strong>ruhusu, wazo ni zuri lakiniSheria za Usafiri wa Anga, hazitukatazi kumruhusu mtu kuja <strong>na</strong> ndege yake, in fact mapatoya<strong>na</strong>kuwa mengi zaidi kwa kufanya hivyo.MHE. LUCY P. OWENYA aliuliza:-Na. 404Utengenezaji <strong>na</strong> Uuzaji Vyakula KiholelaKumekuwepo <strong>na</strong> utengenezaji <strong>na</strong> uuzaji wa vyakula kiholela jambo ambalo ni hatari kwawalaji kama haku<strong>na</strong> uangalifu katika zoezi hili:-Je, ni kwa jinsi gani mamlaka husika (TFDA) i<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngia kwa kutoa elimu au kuzuiaukiukwaji wa taratibu <strong>na</strong> kanuni za utengenezaji wa vyakula?NAIBU <strong>WA</strong>ZIRI <strong>WA</strong> AFYA NA USTAWI <strong>WA</strong> JAMII alijibu:-Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda kujibu swali la Mheshimiwa Lucy Fidelis Owenya, VitiMaalum kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Naibu Spika, usindikaji, hifadhi, usafirishaji wa <strong>cha</strong>kula u<strong>na</strong>simamiwa kwamujibu wa Sheria ya Chakula, Dawa <strong>na</strong> Vipodozi Na. 1 ya mwaka 2003 pamoja <strong>na</strong> kanuni zilizochini ya Sheria hiyo. Lengo ni kuhakikisha kuwa <strong>cha</strong>kula ki<strong>na</strong>chowafikia walaji ni salama ili kulindaafya zao.Mheshimiwa Naibu Spika, kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> kukua kwa sekta isiyo rasmi, kumekuwa <strong>na</strong>ongezeko la wafanyabiashara wa<strong>na</strong>otengeneza <strong>na</strong> kuuza vyakula bila kuzingatia mashartiyaliyowekwa chini ya sheria ya Chakula, Dawa <strong>na</strong> Vipodozi ya mwaka 2003. Pamoja <strong>na</strong> kuwepokwa sheria hiyo kumekuwepo <strong>na</strong> <strong>cha</strong>ngamoto ya wajasiriamali wadogo wa vyakulawa<strong>na</strong>oshindwa kutimiza masharti ya biashara kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mitaji midogo waliyokuwa <strong>na</strong>yo.Mheshimiwa Naibu Spika, baadhi ya mbinu zi<strong>na</strong>zotumiwa <strong>na</strong> TFDA kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong><strong>cha</strong>ngamoto hiyo <strong>na</strong> kuimarisha usalama <strong>na</strong> ubora wa vyakula vi<strong>na</strong>vyozalishwa <strong>na</strong> sekta isiyorasmi ni kama ifuatavyo:-(i) Kutoa mafunzo kwa wajasiriamali wa<strong>na</strong>ojihusisha <strong>na</strong> uzalishaji wa vyakula hususanviwanda vidogo, juu ya mbinu za utayarishaji wa <strong>cha</strong>kula salama <strong>na</strong> bora, hata katika mazingiramagumu. Mafunzo haya hutolewa kwa ushirikiano <strong>na</strong> SIDO. Aidha, elimu hutolewa kupitiamaonesho mbalimbali kama wiki ya Utumishi wa Umma, Sabasaba <strong>na</strong> Nane<strong>na</strong>ne.(ii) Kutoa elimu kwa umma kupitia vyombo vya habari juu ya misingi ya usindikajibora, kanuni za usafi <strong>na</strong> matakwa ya sheria katika uanzishwaji wa biashara za usindikaji kwa lengola kuwapa wa<strong>na</strong>nchi uelewa wa kubaini vyakula ambavyo vi<strong>na</strong>weza kuhatarisha afya zao.(iii) Kuendesha ukaguzi wa mara kwa mara kwenye maeneo ya kutengeneza <strong>na</strong>kuuza vyakula <strong>na</strong> pale i<strong>na</strong>pooneka<strong>na</strong> mazingira ni tishio kwa afya ya jamii biashara hufungwa <strong>na</strong>hatua zaidi za kisheria kuchukuliwa.(iv) Ili kuimarisha ukaguzi huu TFDA imeanzisha Ofisi za Kanda, Kanda za Ziwa,Kaskazini, Mashariki <strong>na</strong> Nyanda za Juu Kusini. Matarajio ni kuongeza Ofisi za Kanda ya Kati,Magharibi <strong>na</strong> Kusini. Hatua hii itaongeza udhibiti wa bidhaa ikiwa ni pamoja <strong>na</strong> vyakula. Aidha,mamlaka i<strong>na</strong>kasimu baadhi ya majukumu kwenye ngazi ya Halmashauri kwa lengo la kuongezaufanisi.<strong>11</strong>

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!