M<strong>cha</strong>ngo wangu utasimama katika mambo matatu, kwanza kabisa nitakuwa <strong>na</strong>lawama, pili nitakuwa <strong>na</strong> ushauri, lakini pia nitakuwa <strong>na</strong> pongezi. Lakini kwa kuwa fikra zamwa<strong>na</strong>damu zimejengeka zaidi katika mambo mazuri kwa hiyo <strong>na</strong>omba Mwenyekiti nianze kwapongezi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, pongezi za kwanza <strong>na</strong>wapongeza Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>,Utamaduni <strong>na</strong> Michezo Mheshimiwa Dkt. Emmanuel Nchimbi pamoja <strong>na</strong> Naibu wake kwa hali yamoyo wa kujitolea katika kusimamia <strong>na</strong> kuendeleza michezo <strong>na</strong> utamaduni katika nchi yetu.Pongezi za pili <strong>na</strong>penda nikipongeze Chama <strong>cha</strong> Waandishi wa Habari wa Michezo chini yaMwenyekiti wake Bwa<strong>na</strong> Juma Pinto kwa tukio la kihistoria kabisa ambalo wamelianzisha kutoazawadi kwa wa<strong>na</strong>michezo wa<strong>na</strong>ofanya vizuri lakini zaidi kwa kumtunukia tuzo maalum Rais waAwamu ya Tatu Mheshimiwa Benjamin William Mkapa katika tuzo hizo zilizofanyika mwezi uliopitakwa jitihada zake za kukuza michezo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda pia nimpongeze Rais wa TFF Leodgar Tenga kwakuteuliwa kwake kuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF).Lakini pia <strong>na</strong>mpongeza Naibu wake Athumani Nyamrani kwa kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Bodi yaRufaa katika Shirikisho hilo la Soka la Afrika. Napenda pia kuzipongeza timu za Azam <strong>na</strong> Mtibwakwa jitihada zake za makusudi kwa mshikamano wake wa dhati kabisa katika kuendeleza soka laTanzania, huu ni mfano wa kuigwa <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>stahili kupata pongezi za kutosha kabisa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mako<strong>cha</strong> wazawa ni<strong>na</strong>o wa<strong>cha</strong>che ambao nitawatamka hapalakini ni wengi ambao wa<strong>na</strong>stahili pongezi. Jamhuri Kiwelu, Silvester Mashi, Salum Mayanga <strong>na</strong>Ramadhani Aluko wamefanya kazi kubwa sa<strong>na</strong> ya kuibua vipaji katika nchi yetu. Michezo marazote i<strong>na</strong>hitaji ioneshwe <strong>na</strong> isikike.Lakini wapo waandishi ambao wamekuwa wa<strong>na</strong>andika makala ya ai<strong>na</strong> mbalimbalikusaidia kuinua michezo <strong>na</strong> kusaidia kuelimisha michezo. Nampongeza sa<strong>na</strong> Keny Mwaisabula,Kambi Mbwa<strong>na</strong>, Abdurahman Kipenga <strong>na</strong> Edo Kumwembe kwa makala ambayo wa<strong>na</strong>toa katikavyombo mbalimbali vya habari, lakini siwezi kumsahau Shafii Dauda <strong>na</strong> Alex Luambano kwau<strong>cha</strong>mbuzi wao makini wa michezo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, upande wa michezo, nikifuata kitabu hiki <strong>cha</strong> hotuba <strong>na</strong>semakabisa sitoweza ku<strong>cha</strong>ngia kama vile ambavyo mwenyewe mtazamo wangu u<strong>na</strong>vyoo<strong>na</strong> <strong>na</strong> halihalisi ilivyo. M<strong>cha</strong>ngo wangu wa maandishi nimeuwasilisha hapo kwa Mheshimiwa Waziri, kwahiyo, utawia<strong>na</strong> zaidi <strong>na</strong> kitabu hiki <strong>cha</strong> hotuba ambacho wametugawia. (Makofi)Mimi ni mkweli <strong>na</strong> dua yangu kwa Mwenyezi Mungu kila siku <strong>na</strong>omba aniue nikiwa<strong>na</strong>sema ukweli. Sasa hivi timu yetu ya Taifa imepoteza mwelekeo <strong>na</strong> hai<strong>na</strong> dira, ni ukweliusiofichika ko<strong>cha</strong> hatufai. Ko<strong>cha</strong> wa Timu ya Taifa haku<strong>na</strong> jambo hata moja ambalo amewezakutufanyia mpaka hii leo tusisubiri mpaka tuzidi kuharibikiwa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwenye suala la michezo mapendekezo niliyoyatoa hapo kwaSerikali kupitia Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wetu wa Awamu ya <strong>Nne</strong> ametoa fedha nyingisa<strong>na</strong> ukiangalia wastani zaidi ya dola 30,000 zi<strong>na</strong>potea kila mwezi kuwalipa mako<strong>cha</strong> wa kigeni.Malazi yao <strong>na</strong> usafiri wao mako<strong>cha</strong> hawa hawa<strong>na</strong> msaada wowote, kwa nini fedha hizitusijielekeze kuwasaidia vija<strong>na</strong> wetu hapa Watanzania wenzetu wakaenda Ulaya kwendakujifunza au kwenye nchi zilizoendelea wakaja kufundisha mpira hapa? Ni jambo ambaloli<strong>na</strong>stajaabisha sa<strong>na</strong> u<strong>na</strong>wezaje kutengeneza timu ya Taifa bila ya kutengeneza msingi? Walimuwa shule za msingi ambao wa<strong>na</strong>kuza vija<strong>na</strong> hawa<strong>na</strong> elimu ya michezo, mako<strong>cha</strong> ambaowa<strong>na</strong>fundisha timu za daraja la pili, la tatu, timu za mikoa, wilaya hawa<strong>na</strong> ujuzi. Sasa kwa ninitu<strong>na</strong>elekeza fedha hizi zote kuwanufaisha watu wawili tu wakati tungeweza kuwanufaisha watuwengi zaidi? Hili <strong>na</strong>sema mliangalie vizuri <strong>na</strong> mliangalie kwa makini. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuwa hapa tu<strong>na</strong>zungumza <strong>na</strong> Serikali, tu<strong>na</strong>ishauri Serikalikama Katiba i<strong>na</strong>vyotamka Bunge kazi yake mojawapo ni kuisimamia Serikali, <strong>na</strong>ishauri Serikali ifute76
ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vifaa vya michezo vi<strong>na</strong>kuwa ni ghali sa<strong>na</strong> kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> beikuwa juu <strong>na</strong> ushuru kuwa mkubwa. (Makofi)Kwa kuwa kengele ya kwanza imelia mengine itabidi niyaruke, lakini <strong>na</strong>taka nizungumziesuala la wasanii pia. Wasaidiwe kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ya kipekee, wameonyesha wa<strong>na</strong>weza. Wasaniihawa siku zote wamekuwa wa<strong>na</strong>lalamika ni jambo la kustaajabisha kwamba kazi zao zi<strong>na</strong>ibiwa,kazi zao zi<strong>na</strong>ibiwa <strong>na</strong> haku<strong>na</strong> hatua zi<strong>na</strong>zochukuliwa. Imekuwa ni hoja hapa hata masteringstudio kwa nini tusianzishe kwa umoja walio<strong>na</strong>o? Tuwagawie japo mastering studio moja wakawawa<strong>na</strong>hifadhi kazi zao <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>jizalishia wenyewe kuliko kuhangaika <strong>na</strong> hawa watu ambaowa<strong>na</strong>wanyonya kila siku. Lakini pamoja <strong>na</strong> hayo kupitia Bunge hili <strong>na</strong>omba niwashauri wasanii <strong>na</strong>ovilevile wajiheshimu. Tumechoka kusoma kashfa katika magazeti <strong>na</strong> vyombo vya habarizi<strong>na</strong>zowahusu wao. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hapa asubuhi kulikuwa <strong>na</strong> hoja kwamba vyombo vya habarivi<strong>na</strong>potosha ukweli, i<strong>na</strong>wezeka<strong>na</strong> ikawa ni kweli, lakini Serikali <strong>na</strong>yo ivunje ukimya iwe i<strong>na</strong>toataarifa za kweli wasisubiri mpaka vyombo vya habari vipotoshe, tusiwakemee tu. Mimi ni Mjumbekatika Bunge hili kwenye Kamati ya Mahesabu ya Mashirika ya Umma, <strong>na</strong>mshukuru MzeeMwambalaswa hapa amezungumza, lakini ni<strong>na</strong>chosema kwamba vyombo vya Serikali vyaTBC/TSN visaidiwe kulipa madeni yake. Tumepitia hesabu zao wa<strong>na</strong>dai karibu shilingi bilioni 4.5.M<strong>na</strong>taka wajiendeshe wapanue huduma, watajiendeshaje <strong>na</strong> Serikali yenyewe <strong>na</strong> Mawizarahayalipi fedha katika vyombo hivi? Sasa tusifanye hadithi za kuwahimiza kuwafanya wafanye kazibora wakati sisi wenyewe hatupo tayari kuwasaidia kwa kuwalipa kazi ambazo wa<strong>na</strong>zifanyakupitia vyombo hivi.Mheshimiwa Mwenyekiti, la mwisho kabisa nitaomba hili nipatiwe maelezo <strong>na</strong> Waziri waMichezo hali iliyokuwepo kwa wa<strong>na</strong>michezo wa<strong>na</strong>okwenda kwenye All Africa GamesMozambique ni mbaya. Malalamiko hayaishi kila siku vyombo vya habari, wa<strong>na</strong>riadha wa<strong>na</strong>lia,wa<strong>na</strong> ngumi wa<strong>na</strong>lalamika kila ai<strong>na</strong> ya michezo. Hivi kweli kama Serikali kutoka hapa kwendaMozambique tumeshindwa kupeleka wa<strong>na</strong>michezo wengi tu<strong>na</strong>peleka wa<strong>na</strong>michezo 60 kati yaokaribu 20 ni viongozi.Mimi nimeongea <strong>na</strong> Mheshimiwa Shabiby hapa alikuwa yupo tayari kutoa mabasi yakekupeleka mpaka Mozambique. Serikali kweli hai<strong>na</strong> uwezo wa kukodi mabasi mawili kuwapelekawa<strong>na</strong>michezo zaidi ya 100. Ku<strong>na</strong> maboti, Mozambique tu<strong>na</strong>weza kwenda kila <strong>na</strong>m<strong>na</strong> hatamajahazi yapo. Kwa sababu kama tungesema kwamba tuchukue waogeleaji wasingeogopakusafiri kwenda Mozambique kwa kutumia majahazi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hili ni jambo ambalo <strong>na</strong>mwomba Mheshimiwa Waziri sio kwakusubiri mpaka tupate adha kwa kusubiri mpaka jambo lingine lolote. Nataka litolewe tamkokwamba wa<strong>na</strong>michezo wa<strong>na</strong>ongezeka kwa sababu hatutokuwa <strong>na</strong> <strong>na</strong>fasi nyingine zaidi yakuwapeleka wa<strong>na</strong>michezo wengi katika mashindano ya All Africa Game. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kushukuru. (Makofi)MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong>. Namwita sasa Mheshimiwa Do<strong>na</strong>ld Max, MheshimiwaMartha Mlata ajiandae <strong>na</strong> Mheshimiwa Sabree<strong>na</strong> Sungura ajiandae. (Makofi)MHE. DONALD K. MAX: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kushukuru kwa kunipa <strong>na</strong>fasi hii. Awaliya yote <strong>na</strong>omba nimpongeze Waziri wa Wizara hii Mheshimiwa Dkt. Emmanuel Nchimbi, kwasababu mimi ni Mjumbe kwenye Wizara hii. Nimpongeze Mheshimiwa Dkt. Fenella Mukangara,nimpongeze sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Jenista Mhagama ambaye ndiye Mwenyekiti wetu. Lakini pongezizaidi ziende kwa Msemaji Mkuu aliyezungumza leo, mdogo wangu ambaye ametoa hotuba nzurisa<strong>na</strong> <strong>na</strong> kutukumbusha alikotoka ndugu yetu Juma Nkamia, nimpongeze sa<strong>na</strong>. Hotuba imesikikavizuri, simu tumepokea nyingi kwa hiyo, tu<strong>na</strong>omba awe <strong>na</strong> moyo wa kuendelea kutuelimishakwenye hilo. Naomba tufike mahali sasa haya masuala ya makabrasha yaanze kupungua.Tu<strong>na</strong>weka mikakati, tu<strong>na</strong>toa fedha utekelezaji u<strong>na</strong>shindika<strong>na</strong>. Marehemu Baba wa Taifaalipofanya makosa aliandika vitabu <strong>na</strong> tu<strong>na</strong>visoma kwamba ingekuwa nianze upya miaka 25mingine makosa haya nisingefanya. Hapa tulipo tu<strong>na</strong>endelea <strong>na</strong> makosa. (Makofi)77
- Page 7 and 8:
Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12:
NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14:
NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16:
Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18:
MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20:
inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22:
Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24:
Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90: tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92: MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94: jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95: na yakizungumza habari ya interest