12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

M<strong>cha</strong>ngo wangu utasimama katika mambo matatu, kwanza kabisa nitakuwa <strong>na</strong>lawama, pili nitakuwa <strong>na</strong> ushauri, lakini pia nitakuwa <strong>na</strong> pongezi. Lakini kwa kuwa fikra zamwa<strong>na</strong>damu zimejengeka zaidi katika mambo mazuri kwa hiyo <strong>na</strong>omba Mwenyekiti nianze kwapongezi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, pongezi za kwanza <strong>na</strong>wapongeza Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>,Utamaduni <strong>na</strong> Michezo Mheshimiwa Dkt. Emmanuel Nchimbi pamoja <strong>na</strong> Naibu wake kwa hali yamoyo wa kujitolea katika kusimamia <strong>na</strong> kuendeleza michezo <strong>na</strong> utamaduni katika nchi yetu.Pongezi za pili <strong>na</strong>penda nikipongeze Chama <strong>cha</strong> Waandishi wa Habari wa Michezo chini yaMwenyekiti wake Bwa<strong>na</strong> Juma Pinto kwa tukio la kihistoria kabisa ambalo wamelianzisha kutoazawadi kwa wa<strong>na</strong>michezo wa<strong>na</strong>ofanya vizuri lakini zaidi kwa kumtunukia tuzo maalum Rais waAwamu ya Tatu Mheshimiwa Benjamin William Mkapa katika tuzo hizo zilizofanyika mwezi uliopitakwa jitihada zake za kukuza michezo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda pia nimpongeze Rais wa TFF Leodgar Tenga kwakuteuliwa kwake kuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF).Lakini pia <strong>na</strong>mpongeza Naibu wake Athumani Nyamrani kwa kuteuliwa kuwa Mjumbe wa Bodi yaRufaa katika Shirikisho hilo la Soka la Afrika. Napenda pia kuzipongeza timu za Azam <strong>na</strong> Mtibwakwa jitihada zake za makusudi kwa mshikamano wake wa dhati kabisa katika kuendeleza soka laTanzania, huu ni mfano wa kuigwa <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>stahili kupata pongezi za kutosha kabisa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mako<strong>cha</strong> wazawa ni<strong>na</strong>o wa<strong>cha</strong>che ambao nitawatamka hapalakini ni wengi ambao wa<strong>na</strong>stahili pongezi. Jamhuri Kiwelu, Silvester Mashi, Salum Mayanga <strong>na</strong>Ramadhani Aluko wamefanya kazi kubwa sa<strong>na</strong> ya kuibua vipaji katika nchi yetu. Michezo marazote i<strong>na</strong>hitaji ioneshwe <strong>na</strong> isikike.Lakini wapo waandishi ambao wamekuwa wa<strong>na</strong>andika makala ya ai<strong>na</strong> mbalimbalikusaidia kuinua michezo <strong>na</strong> kusaidia kuelimisha michezo. Nampongeza sa<strong>na</strong> Keny Mwaisabula,Kambi Mbwa<strong>na</strong>, Abdurahman Kipenga <strong>na</strong> Edo Kumwembe kwa makala ambayo wa<strong>na</strong>toa katikavyombo mbalimbali vya habari, lakini siwezi kumsahau Shafii Dauda <strong>na</strong> Alex Luambano kwau<strong>cha</strong>mbuzi wao makini wa michezo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, upande wa michezo, nikifuata kitabu hiki <strong>cha</strong> hotuba <strong>na</strong>semakabisa sitoweza ku<strong>cha</strong>ngia kama vile ambavyo mwenyewe mtazamo wangu u<strong>na</strong>vyoo<strong>na</strong> <strong>na</strong> halihalisi ilivyo. M<strong>cha</strong>ngo wangu wa maandishi nimeuwasilisha hapo kwa Mheshimiwa Waziri, kwahiyo, utawia<strong>na</strong> zaidi <strong>na</strong> kitabu hiki <strong>cha</strong> hotuba ambacho wametugawia. (Makofi)Mimi ni mkweli <strong>na</strong> dua yangu kwa Mwenyezi Mungu kila siku <strong>na</strong>omba aniue nikiwa<strong>na</strong>sema ukweli. Sasa hivi timu yetu ya Taifa imepoteza mwelekeo <strong>na</strong> hai<strong>na</strong> dira, ni ukweliusiofichika ko<strong>cha</strong> hatufai. Ko<strong>cha</strong> wa Timu ya Taifa haku<strong>na</strong> jambo hata moja ambalo amewezakutufanyia mpaka hii leo tusisubiri mpaka tuzidi kuharibikiwa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwenye suala la michezo mapendekezo niliyoyatoa hapo kwaSerikali kupitia Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wetu wa Awamu ya <strong>Nne</strong> ametoa fedha nyingisa<strong>na</strong> ukiangalia wastani zaidi ya dola 30,000 zi<strong>na</strong>potea kila mwezi kuwalipa mako<strong>cha</strong> wa kigeni.Malazi yao <strong>na</strong> usafiri wao mako<strong>cha</strong> hawa hawa<strong>na</strong> msaada wowote, kwa nini fedha hizitusijielekeze kuwasaidia vija<strong>na</strong> wetu hapa Watanzania wenzetu wakaenda Ulaya kwendakujifunza au kwenye nchi zilizoendelea wakaja kufundisha mpira hapa? Ni jambo ambaloli<strong>na</strong>stajaabisha sa<strong>na</strong> u<strong>na</strong>wezaje kutengeneza timu ya Taifa bila ya kutengeneza msingi? Walimuwa shule za msingi ambao wa<strong>na</strong>kuza vija<strong>na</strong> hawa<strong>na</strong> elimu ya michezo, mako<strong>cha</strong> ambaowa<strong>na</strong>fundisha timu za daraja la pili, la tatu, timu za mikoa, wilaya hawa<strong>na</strong> ujuzi. Sasa kwa ninitu<strong>na</strong>elekeza fedha hizi zote kuwanufaisha watu wawili tu wakati tungeweza kuwanufaisha watuwengi zaidi? Hili <strong>na</strong>sema mliangalie vizuri <strong>na</strong> mliangalie kwa makini. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuwa hapa tu<strong>na</strong>zungumza <strong>na</strong> Serikali, tu<strong>na</strong>ishauri Serikalikama Katiba i<strong>na</strong>vyotamka Bunge kazi yake mojawapo ni kuisimamia Serikali, <strong>na</strong>ishauri Serikali ifute76

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!