12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Je, hawa watu wapo <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>fanya kazi ya vija<strong>na</strong>? Hii ni <strong>cha</strong>ngamoto kwa Serikali.Tu<strong>na</strong>omba mhakikishe kwamba Maafisa Vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>patika<strong>na</strong> <strong>na</strong> ni maeneo mengi tu ya nchi hiihawapo <strong>na</strong> waliokuwepo wa<strong>na</strong>kaimu. U<strong>na</strong>kuta Afisa Utamaduni ndiye a<strong>na</strong>kaimu <strong>na</strong>fasi ya AfisaVija<strong>na</strong>. Hili ni tatizo. Ama u<strong>na</strong>mkuta mtu ni mtu mzima a<strong>na</strong>wekwa kwenye Idara ya Vija<strong>na</strong>. Jamanimtu huyo kweli atajua <strong>cha</strong>ngamoto za vija<strong>na</strong>! Serikali hili ilifanyie kazi, Waziri pale uchukue kama<strong>cha</strong>ngamoto hii, upite katika Halmashauri zako za Wilaya <strong>na</strong> Manispaa mbalimbali, tu<strong>na</strong>takaMaafisa Vija<strong>na</strong> wawe vija<strong>na</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda sasa nigusie suala lingine, suala zima la michezo.Michezo imekuwa <strong>na</strong> faida kubwa sa<strong>na</strong> katika nchi yetu, katika uchumi wa nchi, katika afya zetu<strong>na</strong> katika mazingira mengine. Napenda bi<strong>na</strong>fsi katika sekta ya michezo niugusie hasa Mkoa waKigoma <strong>na</strong> kama sitauongelea Mkoa wa Kigoma katika maendeleo ya michezo ya nchi hii,nitakuwa sijautendea haki Mkoa huu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, Kigoma tu<strong>na</strong>fanya vizuri katika sekta ya michezo, lakini hatupatisupport ya kutosha kutoka Serikalini <strong>na</strong> hata i<strong>na</strong>pofikia hatua tu<strong>na</strong>kua <strong>na</strong> mashindano mbalimbalikwa mfano, Taifa Cup ama Copa Coca Cola, Mkoa u<strong>na</strong>kuwa u<strong>na</strong>kosa pesa za kutosha kuwezaku-support shughuli hizi za michezo. Mara nyingi tumekuwa tuaambiwa kwamba RAS a<strong>na</strong>patabarua kutoka kwa Waziri Mkuu, a<strong>na</strong>ambiwa ashughulikie masuala haya, lakini hali sivyo, imekuwawa<strong>na</strong>nchi ndiyo wa<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngishwa <strong>na</strong> Wabunge hapa wakati mwingine tu<strong>na</strong>-support <strong>na</strong> wadaumbalimbali wa michezo. (Makofi)Kwa hiyo, Serikali isikae pembeni ikao<strong>na</strong> hili jukumu ni la wa<strong>na</strong>nchi peke yake <strong>na</strong> yenyeweisaidie kukuza sekta hii hasa kwa Mkoa wa Kigoma. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, Kigoma tu<strong>na</strong>omba tujengewe shule ambazo zitakuwa ni SportAcademy. Mfano mzuri Kigoma tumekuwa <strong>na</strong> wachezaji wazuri wakiwemo aki<strong>na</strong> Sunday Ma<strong>na</strong>ra,Ismail Mwarabu, Makumbi Juma, Abeid Mziba, Thomas Kipese, Hamza Maneno, Kaseja <strong>na</strong> hataaki<strong>na</strong> Akilimali Yahaya. Hawa ni wachezaji wazuri katika nchi hii wakitokea Mkoa wa Kigoma. Kwanini hamtupi vipaumbele? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tumeo<strong>na</strong> juzi juzi kwenye Shindano la Copa Coca Cola, timu yavija<strong>na</strong> chini ya miaka 17 kutoka Kigoma, michezo yote kumi waliyoshiriki wamekuwa wakitandikawatu bao nne, tatu, nne, tatu, michezo yote kumi, ham<strong>na</strong> aliyevimbisha kifua mbele yao. Namwishoni wakaja kuwa<strong>cha</strong>pa Morogoro hapa. Kwa nini tusichukulie fursa hii kuinua michezo katikaMkoa huu? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, katika timu hiyo, watoto sita wameachwa wachezee timu yavija<strong>na</strong> ya Taifa, wanne wakipelekwa chini ya Azam FC under seventeen. Jamani hatuoni kamaMkoa huu umekuwa <strong>na</strong> <strong>cha</strong>ngamoto kubwa katika sekta ya michezo? Na huu ni wakati muafakasasa tuwatengezee Sport Academy kwa sababu wamekuwa wa<strong>na</strong>fanya vizuri. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>cha</strong>ngamoto nyingine i<strong>na</strong>yotukabili kama Mkoa, MaafisaMichezo hatu<strong>na</strong>. Katika Halmashauri tulikuwa <strong>na</strong>ye, lakini hapa juzi juzi tumeambiwa kaletwaDodoma. Kwa hiyo, pamoja <strong>na</strong> kufanya kwetu vizuri, lakini bado tu<strong>na</strong>hitaji Maafisa Michezoambao wataweza kuzishauri timu zetu.Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini <strong>cha</strong>ngamoto nyingine imekuwa ni hizi kozi za kuwafundishawenzetu waamuzi <strong>na</strong> mako<strong>cha</strong>, zimekuwa zi<strong>na</strong>kuja mara <strong>cha</strong>che sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> hata zikifika, vyetivi<strong>na</strong>kuwa vi<strong>na</strong>chelewa kutolewa. Kwa mfano, Februari mwaka ja<strong>na</strong> watu walipatiwa mafunzombalimbali, lakini mpaka mwaka huu, leo hii <strong>na</strong>ongea, watu hawa hawajapatiwa vyeti, kwa hiyo,hii ni <strong>cha</strong>ngamoto. Mheshimiwa Waziri, hakikisha mafunzo haya ya<strong>na</strong>potolewa, basi wa<strong>na</strong>nchihawa wa<strong>na</strong>patiwa vyeti vyao. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini <strong>cha</strong>ngamoto ya mwisho i<strong>na</strong>yotukabili kama Mkoa niUwanja wa Lake Tanganyika. Uwanja ule ni mkubwa, ni mzuri, lakini Serikali mmeusahau. Uwanjaumeanza kufifia, hau<strong>na</strong> mainte<strong>na</strong>nce. Mheshimiwa Waziri, tu<strong>na</strong>hitaji mainte<strong>na</strong>nce,<strong>na</strong> sisi tu<strong>na</strong>hitajimainte<strong>na</strong>nce ya ule uwanja ili watoto wetu waweze kuibua vipaji mbalimbali. (Makofi)83

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!