12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

m<strong>na</strong>pendeza, kwa nini m<strong>na</strong>tembea uchi? Sasa tu<strong>na</strong>tangaza nini? Hata kama pale kwenye hizibongo flava wa<strong>na</strong>vyoimba wa<strong>na</strong>imba pale huwezi kuelewa a<strong>na</strong>imba Kiswahili, a<strong>na</strong>imbaKiingereza. Sasa imba kitu kijulikanike kama u<strong>na</strong>imba Kiswahili tujue u<strong>na</strong>imba Kiswahili, kamau<strong>na</strong>imba Kizaramo tukujue u<strong>na</strong>imba Kizaramo, kama u<strong>na</strong>imba Kiingereza basi tujue u<strong>na</strong>imbaKiingereza kuliko ku<strong>cha</strong>nganya lugha i<strong>na</strong> maa<strong>na</strong> gani? (Makofi/Kicheko)Leo ukienda kwenye mabango yote jamani mimi <strong>na</strong>sema si Watanzania wote wa<strong>na</strong>juaKiingereza, mabango mengi utakuta yameandikwa lugha ya Kiingereza, kwani haku<strong>na</strong> Taifalililoendelea kwa kuiga lugha za watu. Kwa nini tusienzi lugha yetu? (Makofi)Mimi <strong>na</strong>sema tuienzi lugha yetu aliyotuachia Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Raiswetu wa kwanza, kwa sababu ku<strong>na</strong> watu wa<strong>na</strong>toka labda vijijini huko mikoani wa<strong>na</strong>kuja hapaDar es Salaam wa<strong>na</strong>tafuta shule labda shule a<strong>na</strong>weza kuipita mara tatu, tatu lakini a<strong>na</strong>kutabango limeandikwa Kiingereza hajui jamani. Kwa nini tusiwe kama Watanzania, kwani ukifika kwaMjerumani leo u<strong>na</strong>kuta a<strong>na</strong>ongea Kijerumani <strong>na</strong> a<strong>na</strong>kuwa <strong>na</strong> mkalimani, kwa nini ukienda kwenyemaduka ya Kikorea kama Kikorea huwezi kuuziwa kitu dukani, kwa nini ukienda Japan u<strong>na</strong>kutaMjapani a<strong>na</strong>ongea Kijapani kama wewe hu<strong>na</strong> mkalimani huwezi kuuziwa kitu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, sisi tutafikisha wapi hili Taifa ambalo tu<strong>na</strong>lia<strong>cha</strong> vija<strong>na</strong> ambaotu<strong>na</strong>waa<strong>cha</strong> tu<strong>na</strong>sema ni Taifa la kesho lakini mimi <strong>na</strong>sema kija<strong>na</strong> ni Taifa la leo. Hapo nimetoka.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine <strong>na</strong>omba ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu hawa waporaji wa kazi zawatoto wetu. Hawa wasanii wa<strong>na</strong>fanyakazi katika mazingira magumu. Sasa <strong>na</strong>sema mtu yeyote<strong>na</strong> <strong>na</strong>omba Bunge hili lipitishe Sheria atakayekamatwa <strong>na</strong> kazi ya msanii ambaye hajaitolea jashobasi achukuliwe hatua. Siyo apigwe faini ya 200,000 halafu arudi te<strong>na</strong> kwenda kuiba sitaki. Hawawatoto <strong>na</strong>taka waenziwe kwa kazi zao <strong>na</strong> wapate ajira. Kwa kweli vija<strong>na</strong> hawa wa<strong>na</strong>kata tamaa.Kukata tamaa kwa vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>kwenda kwenye magenge. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kweli siungi mkono hoja hii mpaka vija<strong>na</strong> hawa wapateufumbuzi wake. (Makofi)MWENYEKITI: Ahsante sa<strong>na</strong> kwa mi<strong>cha</strong>ngo yako mizuri ya kizalendo. (Makofi)MHE. HAMAD ALI HAMAD: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>mi <strong>na</strong>shukuru kupata <strong>na</strong>fasi hii yaku<strong>cha</strong>ngia Wizara hii ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo. (Makofi)Awali ya yote <strong>na</strong>omba nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia waislam wotetukamaliza kumi la rehema, <strong>na</strong>muomba Mwenyezi Mungu atulipe rehema kwa kumaliza siku kumihizi za awali. Lakini nimuombe Mwenyezi Mungu atuwezesha kuifunga Ramadhani hii kwa salama<strong>na</strong> amani. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya shukrani hizo kwa Mwenyezi Mungu <strong>na</strong>ombani<strong>cha</strong>ngie Wizara hii <strong>na</strong> <strong>na</strong>omba nianze kwa kusema kwamba michezo ni kazi <strong>na</strong> michezo ni ajira.Mataifa yote duniani wa<strong>na</strong> michezo wa<strong>na</strong>faidika <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>kuwa <strong>na</strong>uwezo wa hatakusaidia mambo mbalimbali katika nchi nyingine kwa sababu ya vipato wa<strong>na</strong>vyopata kwasababu ya kazi za michezo.Lakini kwa nchi yetu ya Tanzania michezo i<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong> kama ni burudani ndio maa<strong>na</strong>haku<strong>na</strong> wachezaji wa michezo mbalimbali ambao wamestaafu michezo <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>mudu maishayao hivi leo. I<strong>na</strong>sikitisha kwamba mchezaji siku akitundika jezi a<strong>na</strong>kuwa ji<strong>na</strong> lake <strong>na</strong>lo limepotea.Vinginevyo labda kwa imani yake aseme kwamba bado ni<strong>na</strong> hamu ya kufundisha michezo fulanifulani katika nchi yangu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hata pale mchezaji a<strong>na</strong>popata bahati mbaya ndani ya michezoya kuwakilisha Taifa i<strong>na</strong>sikitisha kwamba haku<strong>na</strong> chochote ki<strong>na</strong>chomlinda kwa maslahi ya maishayake baada ya kupata bahati mbaya ya kuumia kwenye michezo. Naiomba Wizara izingatie92

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!