Mheshimiwa Mwenyekiti, Mzee Mkapa, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu amezungumziasa<strong>na</strong> umangimeza, ubi<strong>na</strong>fsi kwenye Wizara zetu. Huu ni mzigo mzito kwa sababu bahati nzuriWaziri Mkuu yuko hapa labda wengine wa<strong>na</strong>ogopa kusema lakini ukweli ndio huo. Mawaziri <strong>na</strong>Naibu Mawaziri sio wenye mzigo mle ndani ya Wizara, matatizo yako kwenye utendaji. Washaurihawapo, utakuta Wizara i<strong>na</strong> Msemaji wa Wizara, utakuta i<strong>na</strong> Wa<strong>na</strong>sheria, lakini wa<strong>na</strong>shindwakuwashauri, kwa sababu mtu kama Waziri a<strong>na</strong>beba Taifa, habebi jimbo a<strong>na</strong>angalia mikoa 24,Wilaya 100 <strong>na</strong> kitu yeye a<strong>na</strong> mzigo mzito kuliko mimi mwenye Jjimbo lenye kata 19, vijiji 136.(Makofi)Kwa hiyo, a<strong>na</strong>pofanya kazi yake a<strong>na</strong>angalia Taifa kama Taifa, haangalii Jimbo lakehaangalii Mkoa wake. Sasa kama hawasaidiwi maendeleo yatakuwa magumu sa<strong>na</strong>. Kwakiingereza tu<strong>na</strong>sema <strong>cha</strong>rity begins at home. Hapa nyumbani tu<strong>na</strong>shindwa hata Mheshimiwa Raism<strong>na</strong>shindwa kumshauri. Nimshukuru Mheshimiwa Mwambalaswa, Mheshimiwa Mangunguwamezungumza vizuri. Tu<strong>na</strong>tumia five billion kumweka Maximo hapa nchini for ten years. Hiyo fivebillion sasa hivi tungekuwa <strong>na</strong> walimu wa michezo <strong>na</strong> tungejigawa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kama ni mia moja wangekwenda kwa sababu <strong>na</strong> sisitulisomeshwa <strong>na</strong> Serikali zilikuwa zi<strong>na</strong>kuja scholarship mia moja tu<strong>na</strong>soma nje tu<strong>na</strong>rudi kutumikiaTaifa. Kule wenzetu kila mmoja a<strong>na</strong> utalaam wake. Mimi kama mimi ukinipa watu mia moja, watu25 nitawapeleka Latin America, kama Brazil au Argenti<strong>na</strong>, wengine 25 nitawapeleka Seria A, 25nikawapeleka pale Uingereza waliobaki nitawapaleka hata kama ni Ujerumani au wapi ili kusudiMikoa yetu 24 i<strong>na</strong>weza kuwa <strong>na</strong> mako<strong>cha</strong> wa Kimataifa kila baada ya miaka mitano tukitoamako<strong>cha</strong> hata 20 au 30 nchi hii itakwenda. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tu<strong>na</strong>posema kuihamasisha michezo ni kama kwenye kilimo tupopale pale. Wewe u<strong>na</strong>niambia Kilimo Kwanza leo <strong>na</strong>kulimia hekari 1,000 sijui nyanya nikilima<strong>na</strong>ipeleka wapi kutengeneza Tomato Sauce <strong>na</strong> kwenye michezo ni hivyo hivyo. Tumehamasishandugu zetu vijijini kila mahali. Mpango wa MMEM tumekamilisha <strong>na</strong> Mpango wa MMES. Leotu<strong>na</strong>zungumzia michezo, sijasikia Serikali i<strong>na</strong>sema kwamba tujiandae vipi <strong>na</strong> michezo. Tumelipigiakelele <strong>na</strong> mpaka leo li<strong>na</strong>endelea. U<strong>na</strong>pojiandaa kwa michezo watu wenye taaluma wapo wenginchi hii. Tupo milioni arobaini <strong>na</strong> kitu <strong>na</strong> wakati <strong>na</strong><strong>cha</strong>ngia kwenye Wizara ya Uchukuzi nilisemawataalam wengi wamo humu ndani ya Bunge. Lakini <strong>na</strong>shangaa Wizara hazitaki kuwatumia walaSerikali haiwahitaji kutoa mi<strong>cha</strong>ngo yao. Siamini kama Serikali itashindwa kutoa exemption kuletahata konte<strong>na</strong> 20 za mipira <strong>na</strong> jezi tukaanzia mashuleni, hilo siliamini. Kwa sababu kama tumesemavifaa vya michezo watoto wetu hawa<strong>na</strong> pesa, Serikali itoe exemption, makonte<strong>na</strong> yaingie hapa,Halmashauri zipo, Madiwani wapo, Wenyeviti watendaji wapo, wenyeviti wa Serikali wapo. Shulezote zitakuwa accommodated. Huyo huyo Diwani a<strong>na</strong>yebeba Kata sita m<strong>na</strong>mpa kazi kwambaongea <strong>na</strong> walimu wako, pekua shule zako, kila shule itutolee wachezaji wawili tuanze kuchuja,sasa hizo programu hatuoni. Tu<strong>na</strong>andika kwenye makabrasha makubwa kama haya mambomengi sa<strong>na</strong> lakini kwenye utendaji huwa haku<strong>na</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, nije kwenye uwajibikaji. Kama nilivyosema watendaji wetu lazimawasaidie Mawaziri. Tu<strong>na</strong>lipa pesa, tu<strong>na</strong>pitisha haya mahela, mtu a<strong>na</strong>kaa ofisini hali ambayotu<strong>na</strong>yoikabili sisi vija<strong>na</strong>, mtendaji hajakanyaga hata siku moja, Afisa Michezo yuko pale Wilayaniha<strong>na</strong> pikipiki, kupewa gari <strong>na</strong> Halmashauri ni kazi, hiyo michezo itaendeleaje?Kwa hiyo, u<strong>na</strong>kuta kwamba zile takwimu za kujua shule ziko ngapi zi<strong>na</strong>zocheza mipira,shule za sekondari ni ngapi, form five <strong>na</strong> form six wangapi, vyuo wako wangapi? Lakini Waingerezawalisema <strong>cha</strong>rity begins at home. Humu ndani tupo Wabunge 367 tukiwaa<strong>cha</strong> dada zetu <strong>na</strong>mama zetu hapa, humu ndani peke yake ku<strong>na</strong> timu ishirini za watu kumi <strong>na</strong> moja, kumi <strong>na</strong> moja.Lakini i<strong>na</strong>shangaza kwamba Bunge li<strong>na</strong>unda timu moja. Kwa nini sisi tu<strong>na</strong>kuwa wazembe, bilakuonyesha mfano hatuendi.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, mimi <strong>na</strong>omba hata wale ambao wa<strong>na</strong>o<strong>na</strong> hawawezikukimbia. Tuanze humu, iwepo A, B, C, tuwe <strong>na</strong> hata timu tatu. Leo katika watu 367 katimu kamojakashindane <strong>na</strong> British Council, ni aibu. Kwa sababu <strong>na</strong> sisi lazima tuonyeshe mfano, wacheza mpiratumo humu humu. (Makofi)78
Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC, tu<strong>na</strong>sema kwamba Serikali hairuhusiwi kufanyabiashara, mimi hilo kwa upande huu <strong>na</strong>omba Miswada mingine iwe i<strong>na</strong>kuja tu<strong>na</strong>jadilia<strong>na</strong>. Mimisiwezi kukubali zile nyaraka za TBC ambapo ile maktaba imechoka, ukiangalia zile kanda za plastikitoka Uhuru zimo mle <strong>na</strong> zi<strong>na</strong>ota ukungu. Tuwe <strong>na</strong> machungu, hii nchi ni yetu. Vita ya Majimaji,Machifu wetu aki<strong>na</strong> Adam Sapi, marehemu Masanja <strong>na</strong> Fundikira nyaraka zitapotea. Mimi sidhanikama Taifa letu litakuwa li<strong>na</strong>elewa hawa wazee walitutoa vipi kwa mkoloni, zile nyarakazi<strong>na</strong>popata ukungu zikaharibika hatuzipati te<strong>na</strong>.Mimi ni<strong>na</strong>iomba Serikali <strong>na</strong>jua si<strong>na</strong> ubavu huo, ni<strong>na</strong>chokiomba ni kitu kimoja, TBC i<strong>na</strong>jengo, Serikali itoe guarantee wakope hela benki, wamalizie hili jengo kubwa, kuliko haliwaliyo<strong>na</strong>yo sasa. Wa<strong>na</strong> jengo dogo ambalo ni la zamani <strong>na</strong> haliwatoshi lile jengo jipya wa<strong>na</strong>tumiafloor <strong>cha</strong>che baada ya kutembelea huko u<strong>na</strong>o<strong>na</strong> mafaili ya<strong>na</strong>pitishwa barabarani kutoka TBC - Akupelekwa TBC - B. Yule mtu a<strong>na</strong>yepitisha hayo mafaili siku akipigwa ngwala zikaibiwa nyaraka i<strong>na</strong>maa<strong>na</strong> Taifa lipo kwenye janga. (Makofi)Kwa hiyo, mimi <strong>na</strong>omba itafutwe <strong>na</strong>m<strong>na</strong> Serikali i<strong>na</strong>weza kuidhamini TBC ikapewa pesatumalize hilo jengo, wote wakae kwenye kivuli kimoja <strong>na</strong> lile jengo li<strong>na</strong>weza kuuzwa ili kusudi TBCipate mtaji mkubwa kwa sababu tu<strong>na</strong>angalia miaka 50 mbele. Leo tu<strong>na</strong>timiza miaka 50 tupo watumilioni arobaini <strong>na</strong> miaka 50 ijayo tutakuwa almost eighty. Kwa hiyo, mimi <strong>na</strong>omba hilo.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwenye michezo, TFF i<strong>na</strong>pokea dola laki tano kila mwaka karibushilingi milioni 600. Kwa nini haiwezi kutenga asilimia hata kumi kwa ajili vija<strong>na</strong>? Wao wamekuwa<strong>na</strong>ni? Watasifiwa sa<strong>na</strong> lakini <strong>na</strong>sema hela ile i<strong>na</strong>tolewa <strong>na</strong> FIFA kuendeleza michezo, vija<strong>na</strong> kwanini wa<strong>na</strong>tengwa? Kwa sababu taarifa ya habari ya asubuhi leo, dada zetu wa<strong>na</strong>tafuta pesawacheza gofu kwa ajili ya <strong>na</strong>uli ya kwenda kwenye mashindano. Ni aibu sa<strong>na</strong> kwa Taifa <strong>na</strong> wakatiTFF ipo <strong>na</strong> ndiyo chombo chetu kikuu. Kwenye utamaduni hapo ndipo pa<strong>na</strong>chosha, utamaduniumeisha. Kwa sababu vija<strong>na</strong> wa leo hata nchi hawaijui i<strong>na</strong> makabila mangapi, ngoma ganitulikuwa tu<strong>na</strong>zicheza. Ni aibu sa<strong>na</strong>. Mimi ni<strong>na</strong>choomba ile dhama<strong>na</strong> yetu ndani ya maktaba,vija<strong>na</strong> wetu wajue Watanzania tu<strong>na</strong>ishi kwa amani <strong>na</strong> tu<strong>na</strong>cheka pamoja. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, ahante sa<strong>na</strong>. (Makofi)MHE. MARTHA M. MLATA: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sa<strong>na</strong>. Namshukuru MwenyeziMungu kwa kupata <strong>na</strong>fasi hii. Nampongeza Waziri <strong>na</strong> Naibu Waziri <strong>na</strong> timu yake yote kwa hotubaambayo ameiwasilisha hapa. Lakini <strong>na</strong>omba nianze kwa kutoa pongezi za dhati kabisa kwa timuya msamaria ya mpira wa miguu ya Manyoni ambayo imefanikiwa kuingia daraja la kwanza <strong>na</strong>sasa hivi wako Tanga. Kwa hiyo, <strong>na</strong>watakia kheri <strong>na</strong> ushindi tupo pamoja. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, niseme pia Mkoa wa Singida u<strong>na</strong> hazi<strong>na</strong> kubwa sa<strong>na</strong> ya watuwenye vipaji hasa vija<strong>na</strong> wenye mbio <strong>na</strong> mara nyingi wamekuwa wakikimbilia Arusha. Sasani<strong>na</strong>mwomba Mheshimiwa Waziri kwa kutambua hilo <strong>na</strong>omba utuletee chuo <strong>cha</strong> mafunzo yariadha pale Singida ili uweze kupata hazi<strong>na</strong> kubwa sa<strong>na</strong> katika Taifa hili <strong>na</strong> kuongeza ajira kwavija<strong>na</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, pia <strong>na</strong>omba niwazungumzie <strong>na</strong> kuwapongeza waandishi wahabari wa Mkoa wa Singida kwa kweli wa<strong>na</strong>fanya kazi nzuri, kazi kubwa sa<strong>na</strong> japokuwa kaziyenyewe imekuwa ni kwa mazingira magumu sa<strong>na</strong>, hawa<strong>na</strong> vitendea kazi wengi wamekuwawakijitolea kwa fedha zao wenyewe, hawa<strong>na</strong> usafiri, hawa<strong>na</strong> jengo. Kwa kweli wamekuwawakifanya kazi katika mazingira magumu lakini ni kazi nzuri. Niwaombe tu wadau <strong>na</strong> wapenzi wamambo ya habari kwa ile Press Club ya Singida tuwasaidie waweze kuwa <strong>na</strong> jengo lao <strong>na</strong>vitendea kazi kwa ajili ya kuinua Mkoa wetu wa Singida, pia ku<strong>na</strong> suala la utamaduni hasaMaafisa Utamaduni. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, sielewi Mheshimiwa Waziri <strong>na</strong>o<strong>na</strong> amezungumza tu lakini a<strong>na</strong>Maafisa Utamaduni ambao yeye a<strong>na</strong>dhani ni wa kwake lakini ha<strong>na</strong> Maafisa Utamaduni. MaafisaUtamaduni waliopo kwenye Wilaya wapo chini ya Mkurugenzi kwa hiyo wapo chini ya TAMISEMI79
- Page 7 and 8:
Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12:
NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14:
NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16:
Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18:
MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20:
inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22:
Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24:
Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26:
katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90: tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92: MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94: jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95: na yakizungumza habari ya interest