12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa Vija<strong>na</strong> tumeshaanzisha benki hiyo. Tu<strong>na</strong>omba tushirikiane ili vija<strong>na</strong>wote bila kujali itikadi yao ya vyama waweze kupata fursa ya kupata mikopo kwa bei <strong>na</strong>fuu.Hongera sa<strong>na</strong> Kamati ya Utekelezaji ya Umoja wa Vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> Baraza Kuu la Umoja wa Vija<strong>na</strong> Taifa.Naamini kabisa pia fursa hiyo ya mikopo watapata hata vija<strong>na</strong> wenzetu wa Igunga. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo, sasa <strong>na</strong>penda kuanza ku<strong>cha</strong>ngia.Nianze kwa kumnukuu Mheshimiwa Mbunge mwenzangu Zai<strong>na</strong>b Kawawa wakati aki<strong>cha</strong>ngiakatika Hotuba ya Wizara ya Kazi alisema vija<strong>na</strong> ni bomu lingine ambalo li<strong>na</strong>kuja. Ni kweli kabisawakati Serikali i<strong>na</strong>fikiri kushughulikia tatizo la migogoro ya wafanyakazi lakini vija<strong>na</strong> ni bomu kubwali<strong>na</strong>lokuja mbele. Vija<strong>na</strong> wengi hawa<strong>na</strong> ajira <strong>na</strong> hii si kwa Tanzania peke yake ni kwa Afrika nzima<strong>na</strong> ndio maa<strong>na</strong> Umoja wa Nchi za Afrika walilio<strong>na</strong> hilo <strong>na</strong> kuweka mikakati ya miaka 10 kuanziamwaka 2009 mpaka 2019 kwamba ajenda ya vija<strong>na</strong> ni agenda muhimu <strong>na</strong> wengi sasa hiviwa<strong>na</strong>elekea kukata tamaa <strong>na</strong> ndio maa<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>shiriki katika mageuzi kwenye nchi zao. Mimi<strong>na</strong>omba Serikali iwe makini katika hili tusifike huko, tuwasikilize vija<strong>na</strong> tuweze kutatua matatizo yao.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mbali ya Tanzania kuwa ya tatu Afrika katika kuzalisha dhahabulakini <strong>na</strong>sikitika kwamba sekta hii ya madini haijatoa m<strong>cha</strong>ngo mkubwa wala haijatoa ufumbuziwa kumaliza tatizo la umaskini kwa vija<strong>na</strong>. Mbali <strong>na</strong> vija<strong>na</strong> wa<strong>cha</strong>che ambao wa<strong>na</strong>nufaika <strong>na</strong>sekta ya madini labda kwa kuwa <strong>na</strong> ma-Godfather kwenye migodi lakini bado vija<strong>na</strong> wengiwa<strong>na</strong>ofanya kazi kwenye migodi wa<strong>na</strong>fanya kazi kama vibarua, hawajui hatma yao ya keshoikoje lakini pia hata hawa wachimbaji wadogo hawajawezeshwa vya kutosha ambao wengi waoni vija<strong>na</strong> kuweza kumudu gharama za vifaa vya uchimbaji wala kumiliki migodi ya nchi yao.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, katika sekta ya madini, vija<strong>na</strong> wenzetu wamekuwa watazamajiwa kuo<strong>na</strong> tu madini ya<strong>na</strong>chukuliwa <strong>na</strong> kwenda nchi zingine. Sasa angalizo langu kwa Serikali kwasababu tayari sekta ya madini imeshindwa kutoa m<strong>cha</strong>ngo mkubwa wa kumaliza umaskini kwavija<strong>na</strong> <strong>na</strong> kutatuta tatizo la ajira, sekta muhimu ambayo itamaliza tatizo hili ni kilimo. Naomba piavija<strong>na</strong> wasije wakawa ma<strong>na</strong>mba katika ardhi yao. Asilimia 80 ya Watanzania wa<strong>na</strong>pata ajirakatika sekta ya kilimo. Sasa Wizara hii ya Vija<strong>na</strong> imejipanga vipi kuhakikisha vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nufaika <strong>na</strong>sekta ya kilimo? Wakati Waziri wa Fedha a<strong>na</strong>wasilisha bajeti yake alielezea mikakati mbalimbali yaTanzania kuwa <strong>na</strong> mageuzi ya kilimo <strong>na</strong> kuwezesha kulisha dunia, fine, si<strong>na</strong> tatizo <strong>na</strong>lo lakini je,Wizara hii ambayo <strong>na</strong>amini ndio coordi<strong>na</strong>tor ya Wizara mbalimbali katika issue zi<strong>na</strong>zowahusuvija<strong>na</strong> imejipanga vipi kuhakikisha vija<strong>na</strong> wenzetu watanufaika katika sekta ya kilimo?Mheshimiwa Mwenyekiti, nilikuwa <strong>na</strong>pitia vitabu mbalimbali ku<strong>na</strong> hekta milioni 25 ambazozi<strong>na</strong>faa katika kilimo <strong>cha</strong> umwagiliaji, je, Wizara imejipanga vipi kuhakikisha vija<strong>na</strong> wenzetuwatawezeshwa ili <strong>na</strong> wenyewe kuweza kumiliki <strong>na</strong> kuweza kushiriki vyema katika kilimo <strong>cha</strong>umwagiliaji <strong>na</strong> hii ipo kwenye mpango wa muda mrefu. Katika mpango wa muda mfupi nilikuwa<strong>na</strong>angalia ku<strong>na</strong> hekta milioni moja ambazo zi<strong>na</strong>faa katika umwagiliaji katika kipindi hiki <strong>cha</strong> 2015.Sasa je, Wizara i<strong>na</strong>tuambia nini vija<strong>na</strong> hapa wataweza kumiliki hekta ngapi, mtawawezeshaji kwakutumia mito, maziwa kuhakikisha <strong>na</strong>o hizi hekta milioni moja kwa kipindi hiki hawaziangalii tuzi<strong>na</strong>kwenda <strong>na</strong> bado wao wa<strong>na</strong>endelee kugubikwa <strong>na</strong> umaskini?Mheshimiwa Mwenyekiti, Mheshimiwa Waziri, <strong>na</strong>mwamini kabisa, vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>mwamini,aliweza kulea Taasisi muhimu ya Umoja wa Vija<strong>na</strong> kwa miaka 10, <strong>na</strong>omba awasaidie vija<strong>na</strong>wenzake waondokane <strong>na</strong> umaskini kupitia sekta ya kilimo. Waziri Mkullo hapa alishatuambiakwamba tutafanya Mapinduzi ya kilimo <strong>na</strong> watashirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wawekezaji mbalimbali kwakugharimu mabilioni ya dola. Tayari tumeshashuhudia ku<strong>na</strong> baadhi ya maeneo yameshaanzakutengwa kwa ajili ya kuwekeza kwenye sekta ya kilimo. Tu<strong>na</strong>omba <strong>na</strong> hili <strong>na</strong>lo vija<strong>na</strong> wasiwewatazamaji kuangalia ardhi yao tu i<strong>na</strong>ondoka <strong>na</strong> hawafaidiki <strong>na</strong>yo. Namwomba MheshimiwaWaziri awe coordi<strong>na</strong>tor mzuri kwa issues zi<strong>na</strong>zowahusu vija<strong>na</strong> katika Wizara zote. Kilimo sasa hivindio itakuwa mkombozi wa vija<strong>na</strong> wasiwe wa<strong>na</strong>imba tu kauli ya Kilimo Kwanza halafu hawanufaiki<strong>na</strong>yo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hawa vija<strong>na</strong> asilimia 60 ndio wa<strong>na</strong>otengeneza asilimia 14.4 yawatu wasiokuwa <strong>na</strong> ajira Tanzania, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> tuwasaidie vija<strong>na</strong> wenzetu wasikate tamaa,53

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!