Mheshimiwa Mwenyekiti, pili, viwanja vyote vya michezo, kama Uwanja wa MajimajiSongea, Sheikh Amri Abeid Arusha, Uwanja wa Jamhuri Morogoro, Uwanja wa Jamhuri Dodoma,ule u<strong>na</strong>oitwa Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza <strong>na</strong> viwanja vingine vyote vilivyomilikishwa kwaCCM, virejeshwe Serikalini <strong>na</strong> viwe chini ya Mamlaka ya Viwanja vya Michezo tu<strong>na</strong>yotakaianzishwe, ili viboreshwe <strong>na</strong> kutumika kwa maslahi ya Watanzania wote.Mheshimiwa Mwenyekiti, badala ya kutegemea tu vituo vya michezo vi<strong>cha</strong>chevilivyoanzishwa <strong>na</strong> sekta bi<strong>na</strong>fsi, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>itaka Serikali iandae mpango wakukuza vipaji vya wa<strong>na</strong>michezo wadogo kwa kuanzisha Vituo vya Michezo (Sports Academy)katika kila Halmashauri kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Mamlaka ya Viwanja vya Michezo tuliyopendekezaianzishwe.Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja <strong>na</strong> hali mbaya ya sekta ya michezo nchini, bado zipotimu <strong>na</strong> wapo wachezaji ambao wamekuwa wajitutumua <strong>na</strong> kufanya vizuri kwenye ushindani wakimataifa. Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>chukua fursa hii kuzipongeza timu za soka za Simba <strong>na</strong>Yanga kwa kufanikiwa kufika fai<strong>na</strong>li ya Kombe la Kagame baada ya kuzitoa timu nyingine zaAfrika Mashariki <strong>na</strong> Kati. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, Lugha ya Kiswahili <strong>na</strong> utamaduni wetu. Kuhusu maendeleo yaKiswahili, Tanzania i<strong>na</strong>sifika kwa kuongea Kiswahili fasaha, lakini leo ukiingia katika tovuti yeyoteduniani, ukiuliza Kiingereza utaambiwa asili yake ni Uingereza, Kifaransa asili yake Ufaransa, Kijapa<strong>na</strong>sili yake Japan, Kijerumani asili yake Ujerumani, Kispanyola asili yake Hispania, lakini u<strong>na</strong>poulizaKiswahili, wa<strong>na</strong>sema asili yake ni Kenya.Mheshimiwa Mwenyekiti, elimu bora hutolewa kwa lugha ya Taifa i<strong>na</strong>vyosemwa <strong>na</strong> karibukila mtu <strong>na</strong> lugha hiyo hapa kwetu ni lugha ya Kiswahili. Kwa mujibu wa wataalamu <strong>na</strong> watafiti wamasuala ya lugha <strong>na</strong> maendeleo (Kwa mfano Prof. Kahigi), ni kwamba haku<strong>na</strong> nchi yoyoteDuniani ambayo imeendelea kwa lugha ya kukopa. Hivyo basi, Tanzania haiwezi kuendelea kwakutumia lugha ya Kiingereza tuu katika kutoa elimu kwa vija<strong>na</strong> wetu kwa hiyo lugha zote mbilizitumike kikamilifu katika kufundishia. Hata hivyo, Kambi ya Upinzani tu<strong>na</strong>pongeza taasisi zoteambazo zimeendelea kukikuza Kiswahili. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hivi tumeshindwa hata kulinda huu utamaduni wetu wa asili?Kwa sababu hata juhudi ambazo Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) wa<strong>na</strong>zifanya kuendelezaKiswahili duniani, zi<strong>na</strong>ishia kutolisaidia Taifa kwa sababu ya mtazamo wa Serikali juu ya lugha yakufundishia shule za sekondari <strong>na</strong> vyuo vya juu.Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo, kwa niaba ya Kambi Rasmi ya Upinzani,<strong>na</strong>omba kuwasilisha.(Makofi)MWENYEKITI: Ahsante kwa hotuba yako nzuri. Waheshimiwa Wabunge sasa tu<strong>na</strong>ingiakatika majadiliano, <strong>na</strong>omba niwataje watakaoanza asubuhi hii, tutaanza <strong>na</strong> Mheshimiwa EstherBulaya, Mheshimiwa Abdallah Ameir, Mheshimiwa Mohamed Seif Khatib ajiandaye.MHE. ESTER A. BULAYA: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>shukuru kwa kunipa <strong>na</strong>fasi hii <strong>na</strong>miniweze ku<strong>cha</strong>ngia ikizingatiwa mimi ni mdau muhimu, by Profession ni Mwandishi wa Habari lakinipia ni Mbunge wa Vija<strong>na</strong>, kwa hiyo Wizara hii i<strong>na</strong>nihusu vilivyo.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>chukua fursa hii kuwapongeza Waandishi wenzangu Tanzanianzima kwa kufanya kazi katika mazingira magumu, lakini bado wameweza kutoa m<strong>cha</strong>ngo wakutoa elimu kwa wa<strong>na</strong>nchi wa Tanzania. Pia <strong>na</strong>penda kuchukua fursa hii kuwapongeza vija<strong>na</strong>wote Tanzania kwa kuendelea kujitutumua kupiga<strong>na</strong> <strong>na</strong> kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> ukata wa maishau<strong>na</strong>owakabili kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> tatizo kubwa la ajira i<strong>na</strong>yowakabili vija<strong>na</strong> wetu ambao ni asilimia sitini.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda kuchukua fursa hii kuwapongeza wajumbe wenzanguwa Kamati ya Utekelezaji wa Umoja wa Vija<strong>na</strong> Taifa kwa kuumiza kichwa <strong>na</strong> kufikiria ni kitu ganiambacho wa<strong>na</strong>weza kukianzisha kuleta suluhu ya matatizo ya<strong>na</strong>yowakabili vija<strong>na</strong> wenzetu <strong>na</strong>kuamua kuanzisha Benki ya Vija<strong>na</strong> ambayo wenzetu wa Kambi ya Upinzani walikuwa wa<strong>na</strong>omba52
Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa Vija<strong>na</strong> tumeshaanzisha benki hiyo. Tu<strong>na</strong>omba tushirikiane ili vija<strong>na</strong>wote bila kujali itikadi yao ya vyama waweze kupata fursa ya kupata mikopo kwa bei <strong>na</strong>fuu.Hongera sa<strong>na</strong> Kamati ya Utekelezaji ya Umoja wa Vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> Baraza Kuu la Umoja wa Vija<strong>na</strong> Taifa.Naamini kabisa pia fursa hiyo ya mikopo watapata hata vija<strong>na</strong> wenzetu wa Igunga. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo, sasa <strong>na</strong>penda kuanza ku<strong>cha</strong>ngia.Nianze kwa kumnukuu Mheshimiwa Mbunge mwenzangu Zai<strong>na</strong>b Kawawa wakati aki<strong>cha</strong>ngiakatika Hotuba ya Wizara ya Kazi alisema vija<strong>na</strong> ni bomu lingine ambalo li<strong>na</strong>kuja. Ni kweli kabisawakati Serikali i<strong>na</strong>fikiri kushughulikia tatizo la migogoro ya wafanyakazi lakini vija<strong>na</strong> ni bomu kubwali<strong>na</strong>lokuja mbele. Vija<strong>na</strong> wengi hawa<strong>na</strong> ajira <strong>na</strong> hii si kwa Tanzania peke yake ni kwa Afrika nzima<strong>na</strong> ndio maa<strong>na</strong> Umoja wa Nchi za Afrika walilio<strong>na</strong> hilo <strong>na</strong> kuweka mikakati ya miaka 10 kuanziamwaka 2009 mpaka 2019 kwamba ajenda ya vija<strong>na</strong> ni agenda muhimu <strong>na</strong> wengi sasa hiviwa<strong>na</strong>elekea kukata tamaa <strong>na</strong> ndio maa<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>shiriki katika mageuzi kwenye nchi zao. Mimi<strong>na</strong>omba Serikali iwe makini katika hili tusifike huko, tuwasikilize vija<strong>na</strong> tuweze kutatua matatizo yao.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mbali ya Tanzania kuwa ya tatu Afrika katika kuzalisha dhahabulakini <strong>na</strong>sikitika kwamba sekta hii ya madini haijatoa m<strong>cha</strong>ngo mkubwa wala haijatoa ufumbuziwa kumaliza tatizo la umaskini kwa vija<strong>na</strong>. Mbali <strong>na</strong> vija<strong>na</strong> wa<strong>cha</strong>che ambao wa<strong>na</strong>nufaika <strong>na</strong>sekta ya madini labda kwa kuwa <strong>na</strong> ma-Godfather kwenye migodi lakini bado vija<strong>na</strong> wengiwa<strong>na</strong>ofanya kazi kwenye migodi wa<strong>na</strong>fanya kazi kama vibarua, hawajui hatma yao ya keshoikoje lakini pia hata hawa wachimbaji wadogo hawajawezeshwa vya kutosha ambao wengi waoni vija<strong>na</strong> kuweza kumudu gharama za vifaa vya uchimbaji wala kumiliki migodi ya nchi yao.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, katika sekta ya madini, vija<strong>na</strong> wenzetu wamekuwa watazamajiwa kuo<strong>na</strong> tu madini ya<strong>na</strong>chukuliwa <strong>na</strong> kwenda nchi zingine. Sasa angalizo langu kwa Serikali kwasababu tayari sekta ya madini imeshindwa kutoa m<strong>cha</strong>ngo mkubwa wa kumaliza umaskini kwavija<strong>na</strong> <strong>na</strong> kutatuta tatizo la ajira, sekta muhimu ambayo itamaliza tatizo hili ni kilimo. Naomba piavija<strong>na</strong> wasije wakawa ma<strong>na</strong>mba katika ardhi yao. Asilimia 80 ya Watanzania wa<strong>na</strong>pata ajirakatika sekta ya kilimo. Sasa Wizara hii ya Vija<strong>na</strong> imejipanga vipi kuhakikisha vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nufaika <strong>na</strong>sekta ya kilimo? Wakati Waziri wa Fedha a<strong>na</strong>wasilisha bajeti yake alielezea mikakati mbalimbali yaTanzania kuwa <strong>na</strong> mageuzi ya kilimo <strong>na</strong> kuwezesha kulisha dunia, fine, si<strong>na</strong> tatizo <strong>na</strong>lo lakini je,Wizara hii ambayo <strong>na</strong>amini ndio coordi<strong>na</strong>tor ya Wizara mbalimbali katika issue zi<strong>na</strong>zowahusuvija<strong>na</strong> imejipanga vipi kuhakikisha vija<strong>na</strong> wenzetu watanufaika katika sekta ya kilimo?Mheshimiwa Mwenyekiti, nilikuwa <strong>na</strong>pitia vitabu mbalimbali ku<strong>na</strong> hekta milioni 25 ambazozi<strong>na</strong>faa katika kilimo <strong>cha</strong> umwagiliaji, je, Wizara imejipanga vipi kuhakikisha vija<strong>na</strong> wenzetuwatawezeshwa ili <strong>na</strong> wenyewe kuweza kumiliki <strong>na</strong> kuweza kushiriki vyema katika kilimo <strong>cha</strong>umwagiliaji <strong>na</strong> hii ipo kwenye mpango wa muda mrefu. Katika mpango wa muda mfupi nilikuwa<strong>na</strong>angalia ku<strong>na</strong> hekta milioni moja ambazo zi<strong>na</strong>faa katika umwagiliaji katika kipindi hiki <strong>cha</strong> 2015.Sasa je, Wizara i<strong>na</strong>tuambia nini vija<strong>na</strong> hapa wataweza kumiliki hekta ngapi, mtawawezeshaji kwakutumia mito, maziwa kuhakikisha <strong>na</strong>o hizi hekta milioni moja kwa kipindi hiki hawaziangalii tuzi<strong>na</strong>kwenda <strong>na</strong> bado wao wa<strong>na</strong>endelee kugubikwa <strong>na</strong> umaskini?Mheshimiwa Mwenyekiti, Mheshimiwa Waziri, <strong>na</strong>mwamini kabisa, vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>mwamini,aliweza kulea Taasisi muhimu ya Umoja wa Vija<strong>na</strong> kwa miaka 10, <strong>na</strong>omba awasaidie vija<strong>na</strong>wenzake waondokane <strong>na</strong> umaskini kupitia sekta ya kilimo. Waziri Mkullo hapa alishatuambiakwamba tutafanya Mapinduzi ya kilimo <strong>na</strong> watashirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> wawekezaji mbalimbali kwakugharimu mabilioni ya dola. Tayari tumeshashuhudia ku<strong>na</strong> baadhi ya maeneo yameshaanzakutengwa kwa ajili ya kuwekeza kwenye sekta ya kilimo. Tu<strong>na</strong>omba <strong>na</strong> hili <strong>na</strong>lo vija<strong>na</strong> wasiwewatazamaji kuangalia ardhi yao tu i<strong>na</strong>ondoka <strong>na</strong> hawafaidiki <strong>na</strong>yo. Namwomba MheshimiwaWaziri awe coordi<strong>na</strong>tor mzuri kwa issues zi<strong>na</strong>zowahusu vija<strong>na</strong> katika Wizara zote. Kilimo sasa hivindio itakuwa mkombozi wa vija<strong>na</strong> wasiwe wa<strong>na</strong>imba tu kauli ya Kilimo Kwanza halafu hawanufaiki<strong>na</strong>yo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hawa vija<strong>na</strong> asilimia 60 ndio wa<strong>na</strong>otengeneza asilimia 14.4 yawatu wasiokuwa <strong>na</strong> ajira Tanzania, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> tuwasaidie vija<strong>na</strong> wenzetu wasikate tamaa,53
- Page 7 and 8: Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12: NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14: NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16: Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18: MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90: tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92: MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94: jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95: na yakizungumza habari ya interest