12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni zaidi ya miaka mitatu kama sikosei hawa watu wa<strong>na</strong>actkama Watendaji wazuri. Kwa huu muda mrefu, wameshajulika<strong>na</strong> kama hawa watuwa<strong>na</strong>weza, basi wawekwe wawe full directors, wafanye kazi kwa kujiamini kwamba wako kazinikweli <strong>na</strong> kama basi hamwaoni kama wa<strong>na</strong>fanya kazi vizuri, basi wateuliwe wale ambaom<strong>na</strong>dhani watafanya kazi. Wakati mwingine tu<strong>na</strong>takiwa sisi kama Serikali tushirikiane <strong>na</strong> hivivyombo vya habari ili tufanye kazi vizuri.Mheshimiwa Mwenyekiti, nisingependa kuongea sa<strong>na</strong> kwenye eneo hili, lakini pia kablasijatoka kwenye eneo hili la vyombo vya habari, ku<strong>na</strong> Sheria ambayo ilikuwa i<strong>na</strong>zungumzwaBunge lililopita, sikuwepo, lakini nilikuwa <strong>na</strong>fuatilia. Ku<strong>na</strong> Sheria ya vyombo vya habari, ni<strong>na</strong>aminikabisa Sheria hii ndiyo itakayoweza kuleta tija kwa waandishi wa habari <strong>na</strong> kwa vyombo vyahabari kwa ujumla. Ni<strong>na</strong>omba basi Serikali ilete hii Sheria hapa ili tuweze kuijadili. Ni<strong>na</strong>amini kabisaSheria hii ndiyo itakayoleta tija kama nilivyosema pale mwanzo.Mheshimiwa Mwenyekiti, sheria hii i<strong>na</strong>sisitiza <strong>na</strong> ni lazima iangalie maslahi ya waandishi wahabari. Naomba Sheria hii iangalie maslahi pia ya vyombo vya habari ili tuweze kufanya kazi kwapamoja kama mhimili wa nne japo haujawa rasmi. Nimesema Wamarekani wamesema kamakungekuwa <strong>na</strong> mhimili mwingine, vyombo vya habari vingekuwa ni muhimili wa nne. Basi <strong>na</strong> mimi<strong>na</strong>amini <strong>na</strong> wote m<strong>na</strong>amini vyombo vya habari vingekuwa vikifanya kazi kubwa, tushirikiane<strong>na</strong>vyo ili tuweze kufika kule tu<strong>na</strong>kotaka kufika.Mheshimiwa Mwenyekiti, nimepitia randama ya Wizara, nimeangalia katika mipango yamaendeleo, nimeo<strong>na</strong> ku<strong>na</strong> mpango wa kuibua fursa ya ajira kwa vija<strong>na</strong>. Mpango huo umelengakutoa mafunzo ya ujasiriamali kwa vija<strong>na</strong>, mpango huo umeandaliwa <strong>na</strong> Serikali ikishirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong>Shirika la Kazi Duniani, kitu ambacho ni kizuri, <strong>na</strong>furahi sa<strong>na</strong>. Lakini ni<strong>na</strong>penda tu kujua ni vija<strong>na</strong>wangapi kutoka Mkoa wa Geita watanufaika <strong>na</strong> mpango huu?Mwisho wa siku, nitapenda kuuliza kama tutajaaliwa mwakani nijue ni vija<strong>na</strong> wangapiwamenufaika <strong>na</strong> mradi huu mzuri, maa<strong>na</strong> kama u<strong>na</strong>toa mafunzo ya ujasiriamali kwa vija<strong>na</strong>, basivija<strong>na</strong> walio wengi maeneo mbalimbali wakipata hii elimu itawasaidia kujikwamua <strong>na</strong> ugumu wamaisha.Mheshimiwa Mwenyekiti, pia katika hii bajeti, nimeo<strong>na</strong> ku<strong>na</strong> mradi wa kinga dhidi yaUKIMWI. Mradi huu lengo lake kubwa ni kuhamasisha vija<strong>na</strong> kubadili tabia ili kupunguzamaambukizi ya UKIMWI, mimba zisizotarajiwa, <strong>na</strong> watoto wa mitaani.Mheshimiwa Mwenyekiti, ni<strong>na</strong>omba Wizara hii kama ambavyo vyombo mbalimbalivimejitokeza kuwaibua wa<strong>na</strong>ovuta madawa ya kulevya, wametambulika <strong>na</strong> wakasaidiwa <strong>na</strong>wengine wamepatiwa elimu, sasa wamerudi kuwa katika hali nzuri ya kawaida. Ku<strong>na</strong> kundi dogola vija<strong>na</strong> <strong>na</strong>dhani limesahaulika kidogo, ni kundi la hawa mabinti ambao wa<strong>na</strong>jiuza usiku, yaanima<strong>cha</strong>ngudoa. Ni<strong>na</strong> imani kabisa kupitia Wizara hii kama litawekwa dirisha <strong>na</strong> ukawekwautaratibu wa kuwapata hawa mabinti ni<strong>na</strong> uhakika siyo wote ambao wa<strong>na</strong>penda kufanya hiibiashara haramu <strong>na</strong> mbaya, ni<strong>na</strong>amini wa<strong>na</strong>fanya biashara hii pengine kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mazingira,ugumu wa maisha <strong>na</strong> wengine pengine ni kukosa elimu.Hivyo dirisha hilo kama litakuwepo litawasaidia hata hawa mabinti ambao hawapendikufanya hii biashara, pengine wa<strong>na</strong>fanya kwa sababu ya kukosa elimu <strong>na</strong> kukosa misaadamuhimu, hii i<strong>na</strong>weza ikawasaidia wakabadilika <strong>na</strong> kubadilisha tabia. Kwa sababu fungu lipo kwaajili ya kuwasaidia <strong>na</strong> kuwahamasisha waweze kubadili tabia. Ni<strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> Serikali izingatie hilo<strong>na</strong> iwasaidie, maa<strong>na</strong> hilo ni kundi la vija<strong>na</strong> ambalo limetengewa hili fungu, itakuwa ni vizuri pia <strong>na</strong>wao wakanufaika <strong>na</strong>lo.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba niende kwenye Idara ya Utamaduni ambayo ndiyoi<strong>na</strong>beba hasa ji<strong>na</strong> la Wizara, moja ya jukumu la Idara ya hii ni kuimarisha <strong>na</strong> kuwezesha sekta yautamaduni iweze kushiriki kikamilifu katika kuinua pato la mwa<strong>na</strong>nchi.67

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!