12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

yake, u<strong>na</strong>punguza gharama ya kwenda hospitali. Afya maa<strong>na</strong> yake u<strong>na</strong>fanya kazi vizuri kazinikwako. Michezo pia ni ajira. Michezo ni itifaki <strong>na</strong> michezo pia i<strong>na</strong>leta amani <strong>na</strong> umoja <strong>na</strong> utulivu.Kwa hiyo, michezo ni muhimu sa<strong>na</strong> kwamba ipate <strong>na</strong>fasi katika nchi yetu tuendelee.Mheshimiwa Mwenyekiti, michezo katika Tanzania, <strong>na</strong>fikiri ku<strong>na</strong> haja ya Serikalikuiendeleza kwa kuwekeza. Bila kuwekeza michezo haiwezi kuendelea. Lazima tu-invest kwenyemichezo ili tuendelee. Bila hivyo, hatuwezi kuendelea. Kuwekeza wapi? Tutaanza kwenyemaeneo mbalimbali. Kwa mfano, kuwekeza katika viwanja vya michezo, <strong>na</strong> siyo kwenye kiwanja<strong>cha</strong> Taifa tu, lakini viwanja vyote vya Mikoa viwekezwe ili michezo ipate kuendelea zaidi. Piamchezo usiwe mmoja tu katika riadha <strong>na</strong> kadhalika. Tuwekeze katika kutafuta walimu bora.Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi nilikuwa <strong>na</strong>msikia Mheshimiwa Mbunge mwenzangu hapa,<strong>na</strong>fikiri siyo busara kwa sababu ni Mswahili tu, basi a<strong>na</strong>kuwa ko<strong>cha</strong> wa Taifa, hapa<strong>na</strong>. Michezo nisayansi. Lazima awe <strong>na</strong> ujuzi. Tusidhanie kwamba lazima awe ni Mswahili, hata Wazunguwa<strong>na</strong>chukua kila mahali.Kwa hiyo, <strong>na</strong>sema michezo ni sayansi, lazima tuwapate wataalamu wenye kujua michezo,siyo kwa sababu alicheza mpira zamani <strong>na</strong> kadhalika. Wakati wao walicheza mpira kulikuwa <strong>na</strong>formation ya mpira ikiitwa WM. Sasa ku<strong>na</strong> four to four, haiwezekani kabisa. Kucheza mpira wamiguu chini, sasa watu wa<strong>na</strong>cheza <strong>na</strong> viatu. Kwa hiyo, wakati umebadilika kabisa, ku<strong>na</strong> sayansi,ku<strong>na</strong> televisheni <strong>na</strong> kadhalika. Kwa hiyo, ni lazima tutafute waalimu wa<strong>na</strong>ofa<strong>na</strong><strong>na</strong> <strong>na</strong> wakati huu.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda kuongelea kuhusu michezo pia vifaa. Bila vifaahatuwezi kucheza. Lazima Serikali isaidie kwa vifaa vya bei rahisi ili wa<strong>na</strong>michezo wawe <strong>na</strong> vifaa.Kuwe <strong>na</strong> mipango bora vya wa<strong>na</strong>michezo. Mimi nilikuwa Waziri pale <strong>na</strong> Bwa<strong>na</strong> Nchimbia<strong>na</strong>kumbuka <strong>na</strong> Bendera. Hali mbaya sa<strong>na</strong> kwenye vyama vya michezo ni mbaya sa<strong>na</strong>, sijuimpaka leo ni vipi. Kwa hiyo, lazima viongozi wa michezo wapate taaluma, wajifunze kazi kwaufanisi mkubwa sa<strong>na</strong>.Mheshimiwa Mwenyekiti, Sheria za Michezo lazima zifundishwe. Chimbuko bora lawachezaji bora lazima tuwe <strong>na</strong> mahali ambapo pa<strong>na</strong> chemchemi ya kupata wachezaji bora.M<strong>na</strong>pata wapi? Nashauri, moja ni majeshi. Majeshi ni sehemu kubwa ya kuwapata wachezajibora. Wachezaji bora wa zamani walikuwa wakikimbia mbio katika majeshi. Kwa hiyo, lazimatuzungumze <strong>na</strong>o tuwasaidie, tuwape vifaa ili watutolee wachezaji bora katika Taifa letu.Eneo la pili, ni viwanda. Zamani tulikuwa <strong>na</strong> viwanda <strong>na</strong> makampuni kama TPC, Bandari<strong>na</strong> kadhalika. Sasa haku<strong>na</strong>. Humu tulipata wachezaji bora zaidi. Eneo la tatu, ni Shule za Primary,Secondary <strong>na</strong> Vyuo <strong>na</strong> Vyuo Vikuu. Sasa tu<strong>na</strong>fanya michezo, lakini siyo kama zamani, hatakidogo. Ku<strong>na</strong> haja ya kuo<strong>na</strong> njia zaidi kutafuta vija<strong>na</strong> katika Shule za Msingi <strong>na</strong> Shule za Sekondari.Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine ni vilabu. Vilabu vikubwa vi<strong>na</strong>baki kutafuta wachezajibora tu, lakini hawaandai wenyewe. Lazima Sheria ile ya TFF zamani kwamba lazima kila klabu iwe<strong>na</strong> timu yake ya vija<strong>na</strong> iwe ni lazima, bila hivyo wasiingizwe katika mashindano. Bila hivyowatapata wapi wachezaji? Kwa hiyo, sasa pengine ni vilabu vyenyewe vijitahiji kufanya hivyo.Lakini pia kuwe <strong>na</strong> shule za michezo acadamy. Mimi siamini kwamba TFF wa<strong>na</strong>weza kufanyahivyo. Lakini vilabu wafanye hivyo. Watu bi<strong>na</strong>fsi wafanye hivyo ili tuwe <strong>na</strong> mtandao mkubwa wawachezaji kutoka sehemu mbalimbali, bila hivyo hatushindi. Nchi zote za West Africa zi<strong>na</strong>fanikiwakwa sababu wa<strong>na</strong>zo acadamy. Mimi nilikwenda kule <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>jua.Pia TFF iunde chombo maalum <strong>cha</strong> kuendesha mashindano ya vija<strong>na</strong> ya miaka 15, 17, 19<strong>na</strong> 21. Bila hivyo, bila <strong>na</strong> mashindano ya vija<strong>na</strong> Watanzania, itakuwa kichwa <strong>cha</strong> mwenda wazimukila siku. Vilabu <strong>na</strong>vyo pia lazima vipewe <strong>na</strong>fasi hiyo. Riadha ni mchezo ambao hau<strong>na</strong> gharamakubwa sa<strong>na</strong>, kwa sababu wa<strong>na</strong>kimbia mmoja mmoja tu. Kwenye mpira wa miguu wako <strong>11</strong>. Lakinimbio ni mtu mmoja tu basi. Rahisi kuucheza mchezo huo. Ningemshauri Mheshimiwa Nchimbi,mimi nilikuwa pale, Waziri wako nilitaka kwenda Kenya <strong>na</strong> Ethiopia kujifunza, kwa niniwa<strong>na</strong>tushinda watu hawa? Kwa nini? Mimi ningeshauri kwamba tafuta timu yako uende Kenya <strong>na</strong>Ethiopia ukaone kwa nini wa<strong>na</strong>tupita watu hawa jirani zetu kwenye riadha?58

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!