12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

“Kuhusu vitendo vya ubakaji ambavyo nimevisikia, ni kweli. Tu<strong>na</strong>mshukuru MheshimiwaMbunge kwa kutuletea taarifa hizo <strong>na</strong> <strong>na</strong>amini wenzangu katika Wizara husika suala hililitachunguzwa kwa sababu kwa vyovyote vile lazima Jeshi litakuwa <strong>na</strong> majirani. Kwa hiyo, <strong>na</strong>dhanitatizo hapa siyo kwamba liko karibu ila ni tabia, kama ni kweli, litashughulikiwa”. Mwisho wakunukuu.Waheshimiwa Wabunge, kwa kuzingatia jibu la Mheshimiwa Waziri, ni dhahiri kwambaMheshimiwa Waziri hakutamka kwamba Wa<strong>na</strong>jeshi wa<strong>na</strong>baka watoto wa shule, bali alichokisemani kwamba Serikali ilikuwa imesikia <strong>na</strong> kumshukuru Mheshimiwa aliyeuliza swali kwa kutoa taarifahiyo Serikalini ili iweze kufanyiwa kazi <strong>na</strong> hatua ziweze kuchukuliwa. (Makofi)Nawaomba Waheshimiwa wote ambao tu<strong>na</strong>jibu maswali au kutoa maelezo humuBungeni kuendelea kuwa <strong>na</strong> umakini ambao tumekuwa <strong>na</strong>o kwa ajili ya kufanya shuguli za Bungeletu kuwa bora zaidi.Waheshimiwa Wabunge, huu ndiyo Mwongozo wangu kuhusu suala hili. Nawashukurunikwa kunisikiliza. Tutaendelea kufafanua Miongozo mingine kadri muda utakavyokuwa ukiruhusu.Kwa sababu ya muda, kabla sijamwita Msemaji wa Kambi ya Upinzani kuhusu Wizara ya Habari,Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo, <strong>na</strong>omba sasa nimwite Mheshimiwa Mwenyekiti wa Bunge,Mheshimiwa Mabumba ili aje kuendeleza hili jahazi hapa mbele. Mheshimiwa Mabumba!I<strong>na</strong>elekea ku<strong>na</strong> mawasiliano kidogo, basi nimwite Msemaji wa Kambi ya Upinzani.MHE. JOSEPH O. MBILINYI - MSEMAJI MKUU <strong>WA</strong> KAMBI YA UPINZANI (WIZARA YA HABARI,VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO): Mheshimiwa Naibu Spika, ni<strong>na</strong> matatizo kidogo ya macho,wakati mwingine u<strong>na</strong>weza ukao<strong>na</strong> machozi ya<strong>na</strong>toka, silii! Ni matatizo kidogo ya macho,nimepata eye infections.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>mshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia uhai, afya njema <strong>na</strong>kunipa fursa ya kipekee ya kufanya maajabu yenye manufaa kwa taifa langu; kwa baraka zake,niliweza kung’ara kwenye sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> kuwa nyota wa muziki wa Bongofleva, ukipenda – Hip Hop;kwa uwezo wake leo nimekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini <strong>na</strong> kwa mapenzi yake, mimiMsanii wa Bongofleva sasa nimekuwa Waziri Kivuli wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo.(Makofi)NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Mbilinyi, sekunde tu! Sasa, <strong>na</strong>omba kumkaribisha MheshimiwaMabumba ili aweze kuendelea.Mwenyekiti (Mheshimiwa Sylivester Massele Mabumba) Alikalia KitiMWENYEKITI: Mheshimiwa, endelea!MHE. JOSEPH O. MBILINYI - MSEMAJI MKUU <strong>WA</strong> KAMBI YA UPINZANI (WIZARA YA HABARI,VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO): Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante. Nakushukuru kwa kunipa<strong>na</strong>fasi hii ya kusimama mbele ya Bunge lako Tukufu kuwasilisha maoni <strong>na</strong> mapendekezo ya KambiRasmi ya Upinzani kuhusu Bajeti ya Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo, kwa mwakawa fedha 20<strong>11</strong>/2012, kwa mujibu wa Kanuni za Bunge Kifungu <strong>cha</strong> 99 (7) toleo la 2007.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>tambua <strong>na</strong> kuthamini imani <strong>na</strong> heshima kubwa niliyopewa <strong>na</strong>wa<strong>na</strong>nchi wa Jimbo la Mbeya Mjini katika U<strong>cha</strong>guzi Mkuu uliopita. Li<strong>cha</strong> ya kuletewa mabomu yamachozi, virungu <strong>na</strong> bado haku<strong>na</strong> yeyote kati yetu aliyeogopa. Uwongo haukuweza kufunikaukweli <strong>na</strong> hata rushwa haikuweza kurubuni akili. Wa<strong>na</strong>nchi kwa umoja wao walijitoa mhangakulinda kura zetu bila woga <strong>na</strong> hatimaye Dunia nzima i<strong>na</strong>jua <strong>na</strong> imekubali kuwa mimi ndiye SUGU<strong>na</strong> CHADEMA si <strong>cha</strong>ma legelege, bali ni Chama makini <strong>na</strong> ki<strong>na</strong>choaminika mbele ya jamii.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>mshukuru <strong>na</strong> kumpongeza kwa moyo wa dhati kabisa KatibuMkuu wa Chama <strong>cha</strong>ngu, Dkt. Wilbrod Peter Slaa <strong>na</strong> Makamanda wote wa CHADEMA nchi nzimakwa kazi kubwa tuliyoifanya katika U<strong>cha</strong>guzi Mkuu uliopita <strong>na</strong> kwa harakati nzito tu<strong>na</strong>zoendelea42

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!