12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

kuni<strong>cha</strong>gua kuwa Mbunge wao kwa mara nyingine te<strong>na</strong> kwa kura za kishindo. Mimi <strong>na</strong>ahidikwamba nitajitahidi kuwasaidia <strong>na</strong> kuwapa matumaini yao katika muda ujao. (Makofi)Pili, ningependa niwashukuru sa<strong>na</strong> Madaktari wa hapa Dodoma, madaktari wa Muhimbili<strong>na</strong> madaktari wa Hydrabadi kule India kwa kunisaidia pale nilipokuwa <strong>na</strong> matatizo ya kiafya.Nimerejea mzima <strong>na</strong> salama kabisa. Nawaambia ndugu zangu wa Uzini bado mzima <strong>na</strong> <strong>na</strong>wezakuwatumikia kwa nguvu zangu zote kabisa. Nawashukuru sa<strong>na</strong>. Mwisho, <strong>na</strong>mshukuru sa<strong>na</strong>Mheshimiwa Waziri Nchimbi kwa hotuba yake nzuri <strong>na</strong> nimefarijika kuo<strong>na</strong> kwamba wakati mimiMwenyekiti wa Umoja wa Vija<strong>na</strong> mwaka 1977/1988 yeye alikuwa chipukizi. Baadaye akajakuchukua <strong>na</strong>fasi yangu ya Uenyekiti. Nilipokuwa Waziri wake wa Wizara ya Habari <strong>na</strong> Utamaduniakawa Naibu wangu. Sasa ni Waziri wa Habari. Hongera sa<strong>na</strong> kwa kunifuata nyuma. Endeleasa<strong>na</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini ni ishara kwamba vija<strong>na</strong> wa Tanzania wale ambaowa<strong>na</strong>lelewa <strong>na</strong> <strong>cha</strong>ma wa<strong>na</strong> <strong>na</strong>fasi nzuri katika uongozi katika nchi hii <strong>na</strong> Nchimbi <strong>na</strong>o<strong>na</strong> nimfano nzuri. Kwa hiyo vija<strong>na</strong>, endeleeni kukitumia <strong>cha</strong>ma chenu. Asanteni sa<strong>na</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mazungumzo yangu yatakuwa katika maeneo matatu. Suala laUandishi, michezo <strong>na</strong> suala la lugha ya Taifa. Uandishi wa habari ni taaluma. Ni lazima mtuasomee, hata kama u<strong>na</strong> kalamu yako nzuri ya Perker lazima uende chuoni ukasome. Uandishi wahabari siyo kazi ya wale ambayo wamekosa kazi, ndio waende kwenye habari. Maa<strong>na</strong> yake ku<strong>na</strong>mazoea kwamba kama umekosa kwenda shuleni basi, kachukue uandishi wa habari. Maa<strong>na</strong>u<strong>na</strong>pata makanjanja huko! Kwa sababu watu wa<strong>na</strong>kwenda kule bila kukusudia kwa sababuhawa<strong>na</strong> kazi nyingine.Ni vyema wafuate maadili ya uandishi. Uandishi wa habari pia ni maadili. Ku<strong>na</strong> maadiliya uandishi wenyewe <strong>na</strong> maadili ya Taifa. Kwa hiyo, <strong>na</strong>shauri waandishi wa habari wafuatemaadili ya uandishi wa habari, maadili ya Taifa <strong>na</strong> pia uzalendo. Mimi <strong>na</strong>angalia televisheni maranyingi sa<strong>na</strong>, <strong>na</strong> sijao<strong>na</strong> hata siku moja maiti wa maaskari wa Marekani, siyo kama hawafi,wa<strong>na</strong>kufa, Iraq, Pakistan, lakini hawaonyeshi. Lakini hapa utao<strong>na</strong> waandishi wetu wapiga pi<strong>cha</strong>,wa<strong>na</strong>onyesha maiti, watu hali zao mbaya kabisa. Sidhani kama ni uzalendo ule. Lazima tujizuie,mambo mengine hayafai kuonyesha katika hadhara. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, uandishi wa habari siyo umbeya wala uzushi. Kwa hiyo, siyofahari kwamba wewe hodari kuandika umbeya <strong>na</strong> uzushi. Kila mtu a<strong>na</strong> haki ya faragha zake.Kwa hiyo, <strong>na</strong>omba waandishi wa habari fuateni maadili, andikeni habari, msiandike umbeya <strong>na</strong>uzushi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, wakati wa u<strong>cha</strong>guzi hapa Tanzania, waandishi wa habari huwawa<strong>na</strong>nunuliwa <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>siasa <strong>na</strong> kuwa vibaraka wao ili wawasemee wao. Hii siyo uandishi wahabari mzuri. Mimi <strong>na</strong>shauri Serikali iwe <strong>na</strong> mpango kwamba kila wakati wa u<strong>cha</strong>guzi vyombo vyahabari vijisajili vyenyewe kwamba mimi kipindi hiki nitasaidia <strong>cha</strong>ma <strong>cha</strong> CHADEMA ili tuwajue.Mimi CUF ni kadhalika. Ndivyo wa<strong>na</strong>vyofanya Marekani. Marekani u<strong>na</strong>jua kabisa kwamba gazetifulani li<strong>na</strong>unga mkono <strong>cha</strong>ma kadhaa. Tufanye hivyo ili kupunguza u<strong>na</strong>fiki ulioko katika baadhi yawaandishi wetu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, <strong>na</strong>sema kwamba hili ni muhimu sa<strong>na</strong> kwa waandishiwa habari kwamba wajitambulishe wao kwamba wa<strong>na</strong>fanya nini. Nilikuwa <strong>na</strong>msikiliza Msemajiwa Upinzani, rafiki yangu, akizungumza kuhusu gazeti la Daily News. Mimi <strong>na</strong>fikiri lile ni gazeti mojaambalo li<strong>na</strong>fuata maadili ya uandishi ni Daily News. Ni<strong>na</strong> heshima kubwa sa<strong>na</strong> hapa nchini <strong>na</strong> njeya nchi yetu. (Makofi)Yule mhariri alisema kwamba Dkt. Slaa hatashinda, ametabiri tu <strong>na</strong> utabiri siyo vibayakutabiri. Mtu kama kasema hivyo, kama safari hii Dkt. Slaa hatashinda, katabiri. Pia siyo vibayakwa mwandishi wa habari kutabiri. Pili, niende kwenye michezo. Michezo, ni sehemu nyingineambayo i<strong>na</strong>zungumzia kwamba michezo ni furaha. Haku<strong>na</strong> mtu ambaye ha<strong>na</strong> mchezoaupendao, ku<strong>na</strong> wa faragha <strong>na</strong> dhahiri. Ku<strong>na</strong> kukaa kitako <strong>na</strong> kusimama <strong>na</strong> kukimbia, kila mmojaa<strong>na</strong> mchezo wake. Kwa hiyo, michezo ni furaha kwa kila mtu <strong>na</strong> michezo ni afya <strong>na</strong> afya maa<strong>na</strong>57

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!