maduka ya vifaa vya michezo katika kila Wilaya kwa ajili ya kupata vifaa vya michezo vya mpirawa miguu <strong>na</strong> kadhalika.Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo la tatu ambalo <strong>na</strong>taka kuli<strong>cha</strong>ngia katika kuendelezampira wetu wa miguu Tanzania, mashuleni ndio chimbuko letu la michezo. Kama ni chimbuko letu<strong>na</strong> tu<strong>na</strong>amini kwamba mashuleni tu<strong>na</strong>toa vipaji vizuri vya wa<strong>na</strong>michezo basi kuanzishwe somomaalum la michezo katika shule <strong>na</strong> wapatikane Walimu ambao wa<strong>na</strong>weza kufundisha masomoya michezo katika shule zetu ili kuweza kuibua vipaji ambavyo vitaweza kusaidia kukuza mchezowetu wa mpira wa miguu.Mheshimiwa Mwenyekiti, niondoke hapo niende kwenye TFF, Chama chetu <strong>cha</strong> MpiraTanzania kifanye haya yafuatayo. Moja, kuanzisha academy <strong>na</strong> academy hizi ziwe zi<strong>na</strong>simamiwa<strong>na</strong> Chama chenyewe <strong>cha</strong> michezo siyo zianzishwe academy halafu baadaye ziachiwe huru.Ndani ya academy basi kuwe <strong>na</strong> Sheria ndogondogo ambazo zitaweza kuwaba<strong>na</strong> wale ambaowa<strong>na</strong>watamani wachezaji wadogo wawe <strong>na</strong> utaratibu maalum wa kuweza kuwachukua <strong>na</strong>kuweza kuwatumia ili faida ziweze kupatika<strong>na</strong> katika sehemu zote.Mheshimiwa Mwenyekiti, la pili ambalo <strong>na</strong>liomba kwa TFF, mako<strong>cha</strong> kama walivyosemaKambi ya Upinzani, tu<strong>na</strong> mako<strong>cha</strong> wazuri wa Tanzania ambao wa<strong>na</strong>weza kufundisha.Mheshimiwa Mwenyekiti, tu<strong>na</strong>tumia hela nyingi zaidi kuwachukua mako<strong>cha</strong> wa njeambao wazalendo wako hapa ambao wa<strong>na</strong>weza kutumia hela ndogo tu <strong>na</strong> wakaweza kufanyakazi vizuri kama alivyotoa ndugu yangu hapa, aki<strong>na</strong> Julio ni ko<strong>cha</strong> mzuri <strong>na</strong> amefanya kazi nzurisa<strong>na</strong> ya kuweza kuitangaza Tanzania katika mashindano mbalimbali. Kwa hiyo, hawa ni mako<strong>cha</strong>ambao tu<strong>na</strong>wahitaji tuwaenzi, tuwaenzi kabisa waweze kuendeleza vipaji vya watoto wetu.(Makofi)Kama walivyosema wenzangu kwamba ni lazima mako<strong>cha</strong> watakaokuja kutoka nje, basini vizuri zaidi wale tukawatumia kuwafundisha mako<strong>cha</strong> wetu wa Tanzania. Halafu baadayewatakapoondoka, basi wa<strong>na</strong>a<strong>cha</strong> hazi<strong>na</strong> siyo wa<strong>na</strong>ondoka <strong>na</strong> utamu wao, hapa<strong>na</strong>.Wa<strong>na</strong>ondoka, lakini wa<strong>na</strong>tuachia hekima ambayo tu<strong>na</strong>weza tukaitumia siku hadi siku.Mheshimiwa Mwenyekiti, niondoke hapo, niende katika TFF <strong>na</strong> ZFA. Kwa kweli <strong>na</strong>shukurusa<strong>na</strong> uhusiano uliokuwepo kati ya TFF <strong>na</strong> ZFA Zanzibar katika muda mrefu <strong>na</strong> ushirikiano ambaoumetoka katika kuhakikisha kwamba Zanzibar <strong>na</strong>yo i<strong>na</strong>kuwa mwa<strong>na</strong><strong>cha</strong>ma wa FIFA. Lakini bila yaZanzibar, haku<strong>na</strong> Tanzania. Zanzibar ndiyo i<strong>na</strong>yofanya kuwe <strong>na</strong> Tanzania. Lakini muda woteambao nilikuwa nimeweza kufanya kazi ndani ya ZFA Zanzibar, sijao<strong>na</strong> ruzuku hata moja ambayoimetokea TFF kwenda ZFA katika kuisaidia. Ile ruzuku i<strong>na</strong>yotoka FIFA ni ruzuku ya Tanzania <strong>na</strong> kamani ruzuku ya Tanzania <strong>na</strong> Zanzibar <strong>na</strong>yo wa<strong>na</strong>yo haki waweze kuipata. (Makofi)Kwa hiyo, <strong>na</strong>omba Mheshimiwa Waziri atakapokuja, atuelezee: Je, a<strong>na</strong>elewa nini? TFFi<strong>na</strong>pata ruzuku gani kutoka FIFA? Je, ZFA i<strong>na</strong>kuwa i<strong>na</strong>gawiwa katika mfumo gani kama ipo haki yakuweza kugawiwa? Kwa hiyo, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Waziri atakapokuja, hili <strong>na</strong>ombaatuelezee ili tuweze kufahamu: Je, ZFA i<strong>na</strong>kuwa i<strong>na</strong> haki ya kuweza kupata fungu kutoka FIFAambayo imepitia TFF au fungu lolote liko ndani ya TFF peke yake?Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo, <strong>na</strong>penda sa<strong>na</strong> kuwapongeza sa<strong>na</strong>wa<strong>na</strong>nchi wangu wa Dimani kwa kuni<strong>cha</strong>gua mimi kuwa Mbunge <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>waahidi kwambasitawaangusha katika kipindi <strong>cha</strong> miaka mitano. Baada ya kusema hayo, <strong>na</strong>unga mkono hoja.Asante sa<strong>na</strong>. (Makofi)MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Abdallah Sharia. Naomba kumwita sasaMheshimiwa Muhammed Seif Khatib, Mheshimiwa Alhaj Mohamed Missanga ajiandae <strong>na</strong>Mheshimiwa Mariam Kasembe atafuatia. Mheshimiwa Mohammed.MHE. MUHAMMED SEIF KHATIB: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>shukuru kwa kunipa heshima hii<strong>na</strong> mimi kwa sababu ni mara yangu ya kwanza kusimama tangu u<strong>cha</strong>guzi mkuu kumalizika,ningeomba nichukue <strong>na</strong>fasi hii kuwashukuru wapiga kura wangu wa Jimbo la Uzini Zanzibar kwa56
kuni<strong>cha</strong>gua kuwa Mbunge wao kwa mara nyingine te<strong>na</strong> kwa kura za kishindo. Mimi <strong>na</strong>ahidikwamba nitajitahidi kuwasaidia <strong>na</strong> kuwapa matumaini yao katika muda ujao. (Makofi)Pili, ningependa niwashukuru sa<strong>na</strong> Madaktari wa hapa Dodoma, madaktari wa Muhimbili<strong>na</strong> madaktari wa Hydrabadi kule India kwa kunisaidia pale nilipokuwa <strong>na</strong> matatizo ya kiafya.Nimerejea mzima <strong>na</strong> salama kabisa. Nawaambia ndugu zangu wa Uzini bado mzima <strong>na</strong> <strong>na</strong>wezakuwatumikia kwa nguvu zangu zote kabisa. Nawashukuru sa<strong>na</strong>. Mwisho, <strong>na</strong>mshukuru sa<strong>na</strong>Mheshimiwa Waziri Nchimbi kwa hotuba yake nzuri <strong>na</strong> nimefarijika kuo<strong>na</strong> kwamba wakati mimiMwenyekiti wa Umoja wa Vija<strong>na</strong> mwaka 1977/1988 yeye alikuwa chipukizi. Baadaye akajakuchukua <strong>na</strong>fasi yangu ya Uenyekiti. Nilipokuwa Waziri wake wa Wizara ya Habari <strong>na</strong> Utamaduniakawa Naibu wangu. Sasa ni Waziri wa Habari. Hongera sa<strong>na</strong> kwa kunifuata nyuma. Endeleasa<strong>na</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini ni ishara kwamba vija<strong>na</strong> wa Tanzania wale ambaowa<strong>na</strong>lelewa <strong>na</strong> <strong>cha</strong>ma wa<strong>na</strong> <strong>na</strong>fasi nzuri katika uongozi katika nchi hii <strong>na</strong> Nchimbi <strong>na</strong>o<strong>na</strong> nimfano nzuri. Kwa hiyo vija<strong>na</strong>, endeleeni kukitumia <strong>cha</strong>ma chenu. Asanteni sa<strong>na</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mazungumzo yangu yatakuwa katika maeneo matatu. Suala laUandishi, michezo <strong>na</strong> suala la lugha ya Taifa. Uandishi wa habari ni taaluma. Ni lazima mtuasomee, hata kama u<strong>na</strong> kalamu yako nzuri ya Perker lazima uende chuoni ukasome. Uandishi wahabari siyo kazi ya wale ambayo wamekosa kazi, ndio waende kwenye habari. Maa<strong>na</strong> yake ku<strong>na</strong>mazoea kwamba kama umekosa kwenda shuleni basi, kachukue uandishi wa habari. Maa<strong>na</strong>u<strong>na</strong>pata makanjanja huko! Kwa sababu watu wa<strong>na</strong>kwenda kule bila kukusudia kwa sababuhawa<strong>na</strong> kazi nyingine.Ni vyema wafuate maadili ya uandishi. Uandishi wa habari pia ni maadili. Ku<strong>na</strong> maadiliya uandishi wenyewe <strong>na</strong> maadili ya Taifa. Kwa hiyo, <strong>na</strong>shauri waandishi wa habari wafuatemaadili ya uandishi wa habari, maadili ya Taifa <strong>na</strong> pia uzalendo. Mimi <strong>na</strong>angalia televisheni maranyingi sa<strong>na</strong>, <strong>na</strong> sijao<strong>na</strong> hata siku moja maiti wa maaskari wa Marekani, siyo kama hawafi,wa<strong>na</strong>kufa, Iraq, Pakistan, lakini hawaonyeshi. Lakini hapa utao<strong>na</strong> waandishi wetu wapiga pi<strong>cha</strong>,wa<strong>na</strong>onyesha maiti, watu hali zao mbaya kabisa. Sidhani kama ni uzalendo ule. Lazima tujizuie,mambo mengine hayafai kuonyesha katika hadhara. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, uandishi wa habari siyo umbeya wala uzushi. Kwa hiyo, siyofahari kwamba wewe hodari kuandika umbeya <strong>na</strong> uzushi. Kila mtu a<strong>na</strong> haki ya faragha zake.Kwa hiyo, <strong>na</strong>omba waandishi wa habari fuateni maadili, andikeni habari, msiandike umbeya <strong>na</strong>uzushi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, wakati wa u<strong>cha</strong>guzi hapa Tanzania, waandishi wa habari huwawa<strong>na</strong>nunuliwa <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>siasa <strong>na</strong> kuwa vibaraka wao ili wawasemee wao. Hii siyo uandishi wahabari mzuri. Mimi <strong>na</strong>shauri Serikali iwe <strong>na</strong> mpango kwamba kila wakati wa u<strong>cha</strong>guzi vyombo vyahabari vijisajili vyenyewe kwamba mimi kipindi hiki nitasaidia <strong>cha</strong>ma <strong>cha</strong> CHADEMA ili tuwajue.Mimi CUF ni kadhalika. Ndivyo wa<strong>na</strong>vyofanya Marekani. Marekani u<strong>na</strong>jua kabisa kwamba gazetifulani li<strong>na</strong>unga mkono <strong>cha</strong>ma kadhaa. Tufanye hivyo ili kupunguza u<strong>na</strong>fiki ulioko katika baadhi yawaandishi wetu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, <strong>na</strong>sema kwamba hili ni muhimu sa<strong>na</strong> kwa waandishiwa habari kwamba wajitambulishe wao kwamba wa<strong>na</strong>fanya nini. Nilikuwa <strong>na</strong>msikiliza Msemajiwa Upinzani, rafiki yangu, akizungumza kuhusu gazeti la Daily News. Mimi <strong>na</strong>fikiri lile ni gazeti mojaambalo li<strong>na</strong>fuata maadili ya uandishi ni Daily News. Ni<strong>na</strong> heshima kubwa sa<strong>na</strong> hapa nchini <strong>na</strong> njeya nchi yetu. (Makofi)Yule mhariri alisema kwamba Dkt. Slaa hatashinda, ametabiri tu <strong>na</strong> utabiri siyo vibayakutabiri. Mtu kama kasema hivyo, kama safari hii Dkt. Slaa hatashinda, katabiri. Pia siyo vibayakwa mwandishi wa habari kutabiri. Pili, niende kwenye michezo. Michezo, ni sehemu nyingineambayo i<strong>na</strong>zungumzia kwamba michezo ni furaha. Haku<strong>na</strong> mtu ambaye ha<strong>na</strong> mchezoaupendao, ku<strong>na</strong> wa faragha <strong>na</strong> dhahiri. Ku<strong>na</strong> kukaa kitako <strong>na</strong> kusimama <strong>na</strong> kukimbia, kila mmojaa<strong>na</strong> mchezo wake. Kwa hiyo, michezo ni furaha kwa kila mtu <strong>na</strong> michezo ni afya <strong>na</strong> afya maa<strong>na</strong>57
- Page 7 and 8: Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12: NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14: NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16: Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18: MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90: tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92: MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94: jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95: na yakizungumza habari ya interest