ya ya kutupa vifaa vizito, basketball ya kutumia baiskeli, riadha, football, wa<strong>na</strong>cheza hawa. Katikakucheza kwao, wameshawahi kutuwakilisha huko kwenye Mataifa ya mbali. Kila mara timu hizizi<strong>na</strong>pojaribu kwenda nje, mara zote wamerudi <strong>na</strong> medali tofauti <strong>na</strong> michezo i<strong>na</strong>yochezwa <strong>na</strong>watu wenye macho, miguu <strong>na</strong> masikio wakati mwingine wa<strong>na</strong>rudi bila kitu (zero). Hawa wa<strong>na</strong>rudi<strong>na</strong> medali, <strong>na</strong> medali hizi ni sifa ya Taifa hili. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini mpaka kufikia hatua ya nchi yetu kufahamika nje kutoka<strong>na</strong><strong>na</strong> walemavu hawa kufanya juhudi, wenye ulemavu hawa hawasaidiwi kikamilifu wakati wamaandalizi ya hayo mashindano. Ku<strong>na</strong> walioleta medali <strong>11</strong> mwezi wa Sita tu, kama Vyombo vyaHabari <strong>na</strong>vyo tu<strong>na</strong>visikiliza.Mheshimiwa Mwenyekiti, nitumie fursa hii kuvishukuru kabisa vyombo vya habari, kwambavi<strong>na</strong>thubutu kabisa kutoa taarifa ya mambo haya. Wale walikuwa watu wenye ulemavu wa akilichini ya Olimpiki maalum, walikwenda kushinda<strong>na</strong> kimataifa, wakarudi <strong>na</strong> Medali <strong>11</strong> mwezi wasita, nchini hapa. Lakini maandalizi yao pale walipoweka Kambi salvation army Dar es Salaamyalikuwa ya<strong>na</strong>sikitisha. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, i<strong>na</strong>sikitisha kwa sababu hata huduma muhimu za maa<strong>na</strong> zilezilikoseka<strong>na</strong> <strong>na</strong> mjue kwamba, kwa watu wenye ulemavu kama ni elimu yao, kama ni kazi zaozi<strong>na</strong>gharimu zaidi kuliko michezo ya wazima. Kwa hiyo, hata kuangaliwa wa<strong>na</strong>hitajika waangaliwezaidi kwa sababu wa<strong>na</strong> mahitaji maalum ya ziada ili kuweza kufanikisha chochote kile ambachomtu mwenye ulemavu a<strong>na</strong>paswa kukitekeleza au kukifanikisha nchini. Hata <strong>cha</strong>kula kilikuwa tatizo,wasaidizi waliwekewa wa<strong>cha</strong>che tu.Kwa mfano, kwa upande wa ulemavu wa akili mtoto mmoja a<strong>na</strong>hitaji kuwa <strong>na</strong> wasaidizihata wawili. Mwingine a<strong>na</strong>cheka hovyo, mwingine a<strong>na</strong>fanya hivi, wa<strong>na</strong>paswa kusaidiwa wale,lakini wasaidizi walikuwa wa<strong>cha</strong>che. Mako<strong>cha</strong> walikuwa wawili tu wa kuwaelekeza hiyo michezoyote ambayo walikwenda kushiriki huko mbele ya safari. Hivi Serikali hawakulijua hili? Kwaninitu<strong>na</strong>achia tu <strong>cha</strong>ma ki<strong>na</strong>chohusika? Kama vyama vikubwa vi<strong>na</strong>saidiwa sijui <strong>na</strong> TFF, sijui <strong>na</strong>wadhamini gani, sembuse vyama vya michezo vya watu wenye ulemavu?Hamjui kwamba havi<strong>na</strong> fedha wala uwezo ni moyo tu wa kwenda kuwakilisha nchi za nje,hawakusaidiwa. Kama ni msaada u<strong>na</strong>kuwa sijui wa tiketi ile ya kwenda kule, lakini hii tiketiutampeleka huko kwa kushinda kitu gani kama huku nyumbani hujamsaidia kumtayarisha huyumtu. Matayarisho ya wa<strong>na</strong>michezo wetu te<strong>na</strong> hapa sio tu kwamba wenye ulemavu, matayarishoya wa<strong>na</strong>michezo wetu katika michezo mbalimbali wa<strong>na</strong>pokwenda nje, jamani i<strong>na</strong>kuwa sio mizuri.Mheshimiwa Mwenyekiti, ja<strong>na</strong> nimesikiliza kwenye vyombo vya habari wa<strong>na</strong>riadhawa<strong>na</strong>okwenda sijui Mozambique wa<strong>na</strong>lalamika, netball Taifa Stars sijui timu gani ile Twigawa<strong>na</strong>lalamika, i<strong>na</strong>kuwaje hatuwezi kushinda kama maandalizi huku nyumbani hatuyavalii njuga,halafu tu<strong>na</strong>sema tu<strong>na</strong>rudi watu wendawazimu. Sasa kama huku nyumbani kwenyewe ndiotu<strong>na</strong>karibisha uendawazimu, kule watakwenda kuponyeka <strong>na</strong> uendawazimu si watarudi tu hivyohivyo. Kwa hiyo, hili limenisikitisha pamoja <strong>na</strong> kwamba watoto hawa wamerudi <strong>na</strong> medali lakinihawakusaidiwa. Sasa ki<strong>na</strong>chofurahisha ni kwamba tu<strong>na</strong>furahia tu ushindi, lakini maandalizihatuyakamilishi. Mimi ni<strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> michezo ya kundi hili ithaminiwe wasaidiwe kuandaliwa kwasababu mara zote wamerudi <strong>na</strong> ushindi. Kila mwaka wa<strong>na</strong>poshiriki wa<strong>na</strong>rudi <strong>na</strong> ushindi sasa kwanini tusiendelee kuwapa moyo? Kwa nini tusiwathamini <strong>na</strong> wao wa<strong>na</strong>tuletea ki<strong>na</strong>chofaa?(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kingine ambacho ningependa kukizungumzia ni juu ya vyombovya habari. Vyombo vya habari <strong>na</strong>vishukuru kwa ujumla wake televesheni, magazeti pamoja <strong>na</strong>kwamba wakati mwingine ndio hivyo tu<strong>na</strong>walalamikia kwamba aah, wa<strong>na</strong>andika andikawa<strong>na</strong>tuonyesha vitu ambavyo havisaidii, <strong>na</strong>dhani wameshasikia itabidi wajirekebishe. Lakini kwaupande wangu <strong>na</strong>shukuru vyombo vya habari vi<strong>na</strong>poenda kwa masuala ya watu wenye ulemavukwa kweli hawaoni kuvitoa vile vitu hadharani. Kwa mfano mwenye ulemavu a<strong>na</strong>pohitaji kitu, juzitu hapa kama mme-note TBC Dodoma ilimsaili kija<strong>na</strong> mmoja ambaye ametoka Kondoa <strong>na</strong>baiskeli iliyotengenezwa <strong>na</strong> mbao, sijui wenzangu mliio<strong>na</strong>? Kokocho kokocho amejieleza TBCwamemuonyesha. (Makofi)74
Nishukuru wafadhili <strong>na</strong> hasa TBC basi iliyo disclose hiyo scenery yule kija<strong>na</strong> ja<strong>na</strong> tuamepata baiskeli <strong>na</strong> mfadhili amekataa kumuelewa ni <strong>na</strong>ni lakini mimi kama mwakilishi waoimebidi nimshukuru sa<strong>na</strong> yule baba, <strong>na</strong>ishukuru sa<strong>na</strong> TBC kama chombo kimojawapo <strong>cha</strong> habari<strong>na</strong> vingine vyote vimeshawahi kufanya hivyo, watu wa<strong>na</strong>saidiwa watu wa<strong>na</strong>elewa kwamba ni kitugani ki<strong>na</strong>choeleweka. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kwa TBC hapo hapo <strong>na</strong>omba niiulize Serikali. Ni muhimusa<strong>na</strong> utamaduni wetu tuenzi <strong>na</strong> tuuhifadhi. Hivi kwa nini kiashiria <strong>cha</strong> Taarifa ya Habari ndani yaTBC mmeweka sasa mviringo tu nje nje nje nje!!! Yule aliyekuwa a<strong>na</strong>piga tarumbeta juu ya Mlimawa Kilimanjaro kwa nini mlimtoa? Mbo<strong>na</strong> yule alikuwa a<strong>na</strong>onyesha utamaduni <strong>na</strong> alikuwaa<strong>na</strong>onyesha fahari ya Tanzania ule mlima. Sasa hivi utasikia so so so so!!!Mimi hata sivielewi vitu vile vi<strong>na</strong>elimisha nini? Vile vi<strong>na</strong>elimisha nini, utamaduni tu<strong>na</strong>uenzivipi? Kwa taarifa ile mimi <strong>na</strong>dhani wengine walitaka kuo<strong>na</strong> aah!! Hii Kilimanjaro ndivyo ilivyo hatahao waliopo nje. Sasa yametolewa yale, sijui ndio uzungu, sijui ndio utamaduni tu<strong>na</strong>usahau mimihata hakinifurahishi. Akinifurahishi Mheshimiwa Mwenyekiti <strong>na</strong> nilishauliza swali hapa, nilivyojibiwajibiwa basi hivyo hivyo. Niliuliza kwa ajili ya kuumia sioni maa<strong>na</strong> utamaduni ule urudishwe. Kamahatumrudishi Mzee Nyunyusa yule wa ngoma 12 kwamba ni old fashion lakini hata huyu mbo<strong>na</strong>bado ilikuwa i<strong>na</strong>leta ile essence ya Utaifa jamani. Nadhani mmenielewa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya hapo nizungumzie Mfuko wa Maendeleo wa Vija<strong>na</strong>.Naipongeza Serikali kwamba mwaka hadi mwaka i<strong>na</strong>sema i<strong>na</strong>imarisha Mfuko huu kwa kuongezafedha ili kwa kupitia SACCOS vija<strong>na</strong> kukopeshwa. Lakini hapa tu <strong>na</strong>omba nitoe ushauri fedha hiziza Mifuko ya Vija<strong>na</strong> hasa kwa kupitia Halmashauri kule, vija<strong>na</strong> wenye ulemavu katika maeneomengi walikuwa hawapati. Naipongeza Shinyanga tu waliweza kufanya kitu kama hicho, lakinikwingine kote hawaangaliwi hawa. Kwanza hawajui, kwa hilo la msingi hapa Maafisa Maendeleowa Vija<strong>na</strong> kwenye Halmashauri zetu basi wa-take effort kuwaelimisha hawa ndugu zangukwamba m<strong>na</strong>paswa kujiunga ndipo iwe hivyo, vinginevyo ni haki ambayo i<strong>na</strong>potea tu kwasababu hawaijui <strong>na</strong> wala hawashirikishwi.Kwa hiyo, ni<strong>na</strong>omba pawe <strong>na</strong> maelekezo maalum kwa Maafisa wa<strong>na</strong>ohusika kuweza kumobilisehawa watu ili waweze kufaidika kama vija<strong>na</strong> wenzao wa<strong>na</strong>vyofaidika pamoja <strong>na</strong>kwamba msemaji aliyepita a<strong>na</strong>sema hata huko kwao hawafaidiki. Kwa kweli huu Mfuko u<strong>na</strong>matatizo kweli kweli. Sijui sasa hivi kwa sababu m<strong>na</strong>upitishia kwenye ma-SACCOS, vinginevyoilikuwa ni shughuli nzito. Afadhali hata ule Mfuko wa Maendeleo wa aki<strong>na</strong>mama kwa sababu miminilikuwa ni mmojawapo wa kukadiria kwamba kikundi hiki ki<strong>na</strong>faa, kikundi hiki ki<strong>na</strong>faa, huu Mfuko<strong>na</strong>o uweze kuangaliwa kikamilifu. Kwa hiyo, ni<strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> ndugu zangu hawa waweze kufaidika<strong>na</strong> mabadiliko haya <strong>na</strong> wao ndio maskini wa maskini katika maisha. Kama kija<strong>na</strong> wa kawaidam<strong>na</strong>sema ni maskini a<strong>na</strong> hali ngumu hawa vija<strong>na</strong> wenye ulemavu ndio tatizo kupita kiasi. Ndiohao mtawao<strong>na</strong> mabarabarani wa<strong>na</strong>endelea kuomba <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong> kuwa ni mzigo wa Taifakwa sababu tumewasahau mno kuliko hata wao wengine. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema haya <strong>na</strong>unga mkono hoja, lakini <strong>na</strong>ombahaya niliyoyashauri timu za michezo za watoto wenye ulemavu zipate support <strong>na</strong> Serikaliwa<strong>na</strong>tuletea faida. Mfuko huu wa wenye ulemavu <strong>na</strong>o wafaidike <strong>na</strong> TBC mrudisheni yule babawa kipenga juu ya Mlima wa Kilimanjaro. Ahsante sa<strong>na</strong>. (Makofi)MWENYEKITI: Ahsante sa<strong>na</strong> Mheshimiwa, <strong>na</strong>mwita sasa Mheshimiwa Murtaza Mangungupia Mheshimiwa Do<strong>na</strong>ld Max ajiandae, Mheshimiwa Martha Mlata ajiandae <strong>na</strong> Mheshimiwa SusanLyimo ajiandae. (Makofi)MHE. MURTAZA A. MANGUNGU: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong> kwa kunipa<strong>na</strong>fasi hii ili <strong>na</strong> mimi niweze ku<strong>cha</strong>ngia katika hotuba ya Makadirio ya Wizara husika. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kabla sija<strong>cha</strong>ngia ningependa ku-declare interest kwamba kwamujibu wa Kanuni 61 ya Bunge. Mimi ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa TFF kwa maa<strong>na</strong> kwambakule tukienda tu<strong>na</strong>lipwa posho, kwa hiyo, ku<strong>na</strong> mengine <strong>na</strong>weza nikasema ya<strong>na</strong> maslahi yakifedha <strong>na</strong> mimi. (Makofi)75
- Page 7 and 8:
Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12:
NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14:
NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16:
Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18:
MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20:
inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22:
Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90: tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92: MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94: jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95: na yakizungumza habari ya interest