12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Nishukuru wafadhili <strong>na</strong> hasa TBC basi iliyo disclose hiyo scenery yule kija<strong>na</strong> ja<strong>na</strong> tuamepata baiskeli <strong>na</strong> mfadhili amekataa kumuelewa ni <strong>na</strong>ni lakini mimi kama mwakilishi waoimebidi nimshukuru sa<strong>na</strong> yule baba, <strong>na</strong>ishukuru sa<strong>na</strong> TBC kama chombo kimojawapo <strong>cha</strong> habari<strong>na</strong> vingine vyote vimeshawahi kufanya hivyo, watu wa<strong>na</strong>saidiwa watu wa<strong>na</strong>elewa kwamba ni kitugani ki<strong>na</strong>choeleweka. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kwa TBC hapo hapo <strong>na</strong>omba niiulize Serikali. Ni muhimusa<strong>na</strong> utamaduni wetu tuenzi <strong>na</strong> tuuhifadhi. Hivi kwa nini kiashiria <strong>cha</strong> Taarifa ya Habari ndani yaTBC mmeweka sasa mviringo tu nje nje nje nje!!! Yule aliyekuwa a<strong>na</strong>piga tarumbeta juu ya Mlimawa Kilimanjaro kwa nini mlimtoa? Mbo<strong>na</strong> yule alikuwa a<strong>na</strong>onyesha utamaduni <strong>na</strong> alikuwaa<strong>na</strong>onyesha fahari ya Tanzania ule mlima. Sasa hivi utasikia so so so so!!!Mimi hata sivielewi vitu vile vi<strong>na</strong>elimisha nini? Vile vi<strong>na</strong>elimisha nini, utamaduni tu<strong>na</strong>uenzivipi? Kwa taarifa ile mimi <strong>na</strong>dhani wengine walitaka kuo<strong>na</strong> aah!! Hii Kilimanjaro ndivyo ilivyo hatahao waliopo nje. Sasa yametolewa yale, sijui ndio uzungu, sijui ndio utamaduni tu<strong>na</strong>usahau mimihata hakinifurahishi. Akinifurahishi Mheshimiwa Mwenyekiti <strong>na</strong> nilishauliza swali hapa, nilivyojibiwajibiwa basi hivyo hivyo. Niliuliza kwa ajili ya kuumia sioni maa<strong>na</strong> utamaduni ule urudishwe. Kamahatumrudishi Mzee Nyunyusa yule wa ngoma 12 kwamba ni old fashion lakini hata huyu mbo<strong>na</strong>bado ilikuwa i<strong>na</strong>leta ile essence ya Utaifa jamani. Nadhani mmenielewa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya hapo nizungumzie Mfuko wa Maendeleo wa Vija<strong>na</strong>.Naipongeza Serikali kwamba mwaka hadi mwaka i<strong>na</strong>sema i<strong>na</strong>imarisha Mfuko huu kwa kuongezafedha ili kwa kupitia SACCOS vija<strong>na</strong> kukopeshwa. Lakini hapa tu <strong>na</strong>omba nitoe ushauri fedha hiziza Mifuko ya Vija<strong>na</strong> hasa kwa kupitia Halmashauri kule, vija<strong>na</strong> wenye ulemavu katika maeneomengi walikuwa hawapati. Naipongeza Shinyanga tu waliweza kufanya kitu kama hicho, lakinikwingine kote hawaangaliwi hawa. Kwanza hawajui, kwa hilo la msingi hapa Maafisa Maendeleowa Vija<strong>na</strong> kwenye Halmashauri zetu basi wa-take effort kuwaelimisha hawa ndugu zangukwamba m<strong>na</strong>paswa kujiunga ndipo iwe hivyo, vinginevyo ni haki ambayo i<strong>na</strong>potea tu kwasababu hawaijui <strong>na</strong> wala hawashirikishwi.Kwa hiyo, ni<strong>na</strong>omba pawe <strong>na</strong> maelekezo maalum kwa Maafisa wa<strong>na</strong>ohusika kuweza kumobilisehawa watu ili waweze kufaidika kama vija<strong>na</strong> wenzao wa<strong>na</strong>vyofaidika pamoja <strong>na</strong>kwamba msemaji aliyepita a<strong>na</strong>sema hata huko kwao hawafaidiki. Kwa kweli huu Mfuko u<strong>na</strong>matatizo kweli kweli. Sijui sasa hivi kwa sababu m<strong>na</strong>upitishia kwenye ma-SACCOS, vinginevyoilikuwa ni shughuli nzito. Afadhali hata ule Mfuko wa Maendeleo wa aki<strong>na</strong>mama kwa sababu miminilikuwa ni mmojawapo wa kukadiria kwamba kikundi hiki ki<strong>na</strong>faa, kikundi hiki ki<strong>na</strong>faa, huu Mfuko<strong>na</strong>o uweze kuangaliwa kikamilifu. Kwa hiyo, ni<strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> ndugu zangu hawa waweze kufaidika<strong>na</strong> mabadiliko haya <strong>na</strong> wao ndio maskini wa maskini katika maisha. Kama kija<strong>na</strong> wa kawaidam<strong>na</strong>sema ni maskini a<strong>na</strong> hali ngumu hawa vija<strong>na</strong> wenye ulemavu ndio tatizo kupita kiasi. Ndiohao mtawao<strong>na</strong> mabarabarani wa<strong>na</strong>endelea kuomba <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong> kuwa ni mzigo wa Taifakwa sababu tumewasahau mno kuliko hata wao wengine. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema haya <strong>na</strong>unga mkono hoja, lakini <strong>na</strong>ombahaya niliyoyashauri timu za michezo za watoto wenye ulemavu zipate support <strong>na</strong> Serikaliwa<strong>na</strong>tuletea faida. Mfuko huu wa wenye ulemavu <strong>na</strong>o wafaidike <strong>na</strong> TBC mrudisheni yule babawa kipenga juu ya Mlima wa Kilimanjaro. Ahsante sa<strong>na</strong>. (Makofi)MWENYEKITI: Ahsante sa<strong>na</strong> Mheshimiwa, <strong>na</strong>mwita sasa Mheshimiwa Murtaza Mangungupia Mheshimiwa Do<strong>na</strong>ld Max ajiandae, Mheshimiwa Martha Mlata ajiandae <strong>na</strong> Mheshimiwa SusanLyimo ajiandae. (Makofi)MHE. MURTAZA A. MANGUNGU: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong> kwa kunipa<strong>na</strong>fasi hii ili <strong>na</strong> mimi niweze ku<strong>cha</strong>ngia katika hotuba ya Makadirio ya Wizara husika. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kabla sija<strong>cha</strong>ngia ningependa ku-declare interest kwamba kwamujibu wa Kanuni 61 ya Bunge. Mimi ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa TFF kwa maa<strong>na</strong> kwambakule tukienda tu<strong>na</strong>lipwa posho, kwa hiyo, ku<strong>na</strong> mengine <strong>na</strong>weza nikasema ya<strong>na</strong> maslahi yakifedha <strong>na</strong> mimi. (Makofi)75

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!