12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mheshimiwa Mwenyekiti, pili, viwanja vyote vya michezo, kama Uwanja wa MajimajiSongea, Sheikh Amri Abeid Arusha, Uwanja wa Jamhuri Morogoro, Uwanja wa Jamhuri Dodoma,ule u<strong>na</strong>oitwa Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza <strong>na</strong> viwanja vingine vyote vilivyomilikishwa kwaCCM, virejeshwe Serikalini <strong>na</strong> viwe chini ya Mamlaka ya Viwanja vya Michezo tu<strong>na</strong>yotakaianzishwe, ili viboreshwe <strong>na</strong> kutumika kwa maslahi ya Watanzania wote.Mheshimiwa Mwenyekiti, badala ya kutegemea tu vituo vya michezo vi<strong>cha</strong>chevilivyoanzishwa <strong>na</strong> sekta bi<strong>na</strong>fsi, Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>itaka Serikali iandae mpango wakukuza vipaji vya wa<strong>na</strong>michezo wadogo kwa kuanzisha Vituo vya Michezo (Sports Academy)katika kila Halmashauri kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Mamlaka ya Viwanja vya Michezo tuliyopendekezaianzishwe.Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja <strong>na</strong> hali mbaya ya sekta ya michezo nchini, bado zipotimu <strong>na</strong> wapo wachezaji ambao wamekuwa wajitutumua <strong>na</strong> kufanya vizuri kwenye ushindani wakimataifa. Kambi Rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>chukua fursa hii kuzipongeza timu za soka za Simba <strong>na</strong>Yanga kwa kufanikiwa kufika fai<strong>na</strong>li ya Kombe la Kagame baada ya kuzitoa timu nyingine zaAfrika Mashariki <strong>na</strong> Kati. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, Lugha ya Kiswahili <strong>na</strong> utamaduni wetu. Kuhusu maendeleo yaKiswahili, Tanzania i<strong>na</strong>sifika kwa kuongea Kiswahili fasaha, lakini leo ukiingia katika tovuti yeyoteduniani, ukiuliza Kiingereza utaambiwa asili yake ni Uingereza, Kifaransa asili yake Ufaransa, Kijapa<strong>na</strong>sili yake Japan, Kijerumani asili yake Ujerumani, Kispanyola asili yake Hispania, lakini u<strong>na</strong>poulizaKiswahili, wa<strong>na</strong>sema asili yake ni Kenya.Mheshimiwa Mwenyekiti, elimu bora hutolewa kwa lugha ya Taifa i<strong>na</strong>vyosemwa <strong>na</strong> karibukila mtu <strong>na</strong> lugha hiyo hapa kwetu ni lugha ya Kiswahili. Kwa mujibu wa wataalamu <strong>na</strong> watafiti wamasuala ya lugha <strong>na</strong> maendeleo (Kwa mfano Prof. Kahigi), ni kwamba haku<strong>na</strong> nchi yoyoteDuniani ambayo imeendelea kwa lugha ya kukopa. Hivyo basi, Tanzania haiwezi kuendelea kwakutumia lugha ya Kiingereza tuu katika kutoa elimu kwa vija<strong>na</strong> wetu kwa hiyo lugha zote mbilizitumike kikamilifu katika kufundishia. Hata hivyo, Kambi ya Upinzani tu<strong>na</strong>pongeza taasisi zoteambazo zimeendelea kukikuza Kiswahili. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hivi tumeshindwa hata kulinda huu utamaduni wetu wa asili?Kwa sababu hata juhudi ambazo Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) wa<strong>na</strong>zifanya kuendelezaKiswahili duniani, zi<strong>na</strong>ishia kutolisaidia Taifa kwa sababu ya mtazamo wa Serikali juu ya lugha yakufundishia shule za sekondari <strong>na</strong> vyuo vya juu.Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo, kwa niaba ya Kambi Rasmi ya Upinzani,<strong>na</strong>omba kuwasilisha.(Makofi)MWENYEKITI: Ahsante kwa hotuba yako nzuri. Waheshimiwa Wabunge sasa tu<strong>na</strong>ingiakatika majadiliano, <strong>na</strong>omba niwataje watakaoanza asubuhi hii, tutaanza <strong>na</strong> Mheshimiwa EstherBulaya, Mheshimiwa Abdallah Ameir, Mheshimiwa Mohamed Seif Khatib ajiandaye.MHE. ESTER A. BULAYA: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>shukuru kwa kunipa <strong>na</strong>fasi hii <strong>na</strong>miniweze ku<strong>cha</strong>ngia ikizingatiwa mimi ni mdau muhimu, by Profession ni Mwandishi wa Habari lakinipia ni Mbunge wa Vija<strong>na</strong>, kwa hiyo Wizara hii i<strong>na</strong>nihusu vilivyo.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>chukua fursa hii kuwapongeza Waandishi wenzangu Tanzanianzima kwa kufanya kazi katika mazingira magumu, lakini bado wameweza kutoa m<strong>cha</strong>ngo wakutoa elimu kwa wa<strong>na</strong>nchi wa Tanzania. Pia <strong>na</strong>penda kuchukua fursa hii kuwapongeza vija<strong>na</strong>wote Tanzania kwa kuendelea kujitutumua kupiga<strong>na</strong> <strong>na</strong> kukabilia<strong>na</strong> <strong>na</strong> ukata wa maishau<strong>na</strong>owakabili kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> tatizo kubwa la ajira i<strong>na</strong>yowakabili vija<strong>na</strong> wetu ambao ni asilimia sitini.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda kuchukua fursa hii kuwapongeza wajumbe wenzanguwa Kamati ya Utekelezaji wa Umoja wa Vija<strong>na</strong> Taifa kwa kuumiza kichwa <strong>na</strong> kufikiria ni kitu ganiambacho wa<strong>na</strong>weza kukianzisha kuleta suluhu ya matatizo ya<strong>na</strong>yowakabili vija<strong>na</strong> wenzetu <strong>na</strong>kuamua kuanzisha Benki ya Vija<strong>na</strong> ambayo wenzetu wa Kambi ya Upinzani walikuwa wa<strong>na</strong>omba52

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!