12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

matangazo ya kudhalilisha nchi yetu, pesa hizo watupelekee Majimboni. Wabunge tu<strong>na</strong> matatizomakubwa Majimboni kwetu. Hongera sa<strong>na</strong> ndugu yangu Mustapha Sabodo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, niendelee kuzungumzia suala la michezo. Suala la michezo, mimi<strong>na</strong>fikiri katika nchi yetu bado hatujatilia mkazo. Lakini vile vile suala la michezo ukiangalia kwaundani, kwa sehemu kubwa tumekuwa tukiachiwa wa<strong>na</strong>siasa. Sisi Wabunge, Madiwani, kwenyemaeneo yetu kama hatuhamasishi michezo, basi ujue huko Mikoani michezo imekwisha.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba nichukue <strong>na</strong>fasi hii nimkumbushe Mheshimiwa Waziri,tulipoanza Bunge hili, nilifanya makusudi mazima ya kumpatia mpango uliopo kwenye Jimbolangu la Masasi kwa ajili ya kuwasaidia vija<strong>na</strong> ambao wao wenyewe wameamua kuondoka<strong>na</strong> <strong>na</strong>kukaa katika vijiwe <strong>na</strong> kuunda vikundi vya kiuchumi, lakini jioni wa<strong>na</strong>shiriki michezo. Nilikuletea <strong>na</strong>ni<strong>na</strong>fikiri umeisoma, umeipitia, sidhani kama ku<strong>na</strong> Mbunge amefanya hivyo. Ni<strong>na</strong>chokitarajiaMheshimiwa Waziri, hawa vija<strong>na</strong> walikuwa wa<strong>na</strong>kaa vijiweni, wao wenyewe ndio wameamuakusajili vilabu ambavyo ndani yake ku<strong>na</strong> vikundi vya kiuchumi.Mheshimiwa Mwenyekiti, hivi sasa ni<strong>na</strong>vyozungumza, Jimbo la Masasi, ku<strong>na</strong> vikundivilivyosajiliwa 85, vikundi vya utamaduni vinne vimesajiliwa, lakini hawa wote ndani ya klabu zaowameanzisha vikundi vya kiuchumi. Asubuhi wa<strong>na</strong>fanya kazi za kiuchumi kuzalisha mali, jioniwa<strong>na</strong>kwenda kushiriki michezo. Naomba Mheshimiwa Waziri, atakapokuwa a<strong>na</strong>fanyamajumuisho, anipe jibu la lile ombi langu. Naomba nisaidiwe, tusiwavunje moyo hawa vija<strong>na</strong>ambao kwa kweli sasa hivi wameamua kua<strong>cha</strong><strong>na</strong> <strong>na</strong> mambo yote waliyokuwa wa<strong>na</strong>yafanyamaovu <strong>na</strong> kurudi katika mstari kama Serikali i<strong>na</strong>vyoshauri. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini la mwisho, <strong>na</strong>omba nichukue <strong>na</strong>fasi hii kuzungumzia sualala utamaduni. Suala la utamaduni katika nchi yetu tumekuwa <strong>na</strong> tofauti makabila kwa makabila.Kila kabila li<strong>na</strong> utamaduni wake, lakini hivi sasa utamaduni mkubwa uliopo ndani ya makabila yetuumekuwa ukipotea. Naomba nichukue <strong>na</strong>fasi hii kupongeza kabila moja bila hiya<strong>na</strong> ya ai<strong>na</strong>yoyote, <strong>na</strong>omba niwapongeze wamasai.Mheshimiwa Mwenyekiti, wenzetu Wamasai ukiangalia katika nchi yetu ndiyo badowa<strong>na</strong>endeleza tamaduni zao. Lakini pamoja <strong>na</strong> kuwapongeza <strong>na</strong> wao <strong>na</strong>omba niwaambie, kwasababu, ni<strong>na</strong>vyoo<strong>na</strong>, hata wao utamaduni wao utapotea kwa sababu, sasa hivi wameenea nchinzima, wamekuwa wamachinga wa kuuza dawa. Sasa ni<strong>na</strong> wasiwasi, wale Wwamasai wanguwaliopo Mtwara, kama bado wa<strong>na</strong>endeleza mila <strong>na</strong> utamaduni waliokuwa wa<strong>na</strong>uendelezawalipokuwa huko Arusha, <strong>na</strong>wapongeza sa<strong>na</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, huu ni mfano wa kuigwa <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>sema sisi wengine tuliobakiatuangalie mila tulizo<strong>na</strong>zo katika makabila yetu. Zile mila <strong>na</strong> desturi ambazo kwa kweli zi<strong>na</strong>wezazikatujengea heshima katika nchi yetu, hebu tuziangalie tuzirejeshe te<strong>na</strong> kwa manufaa ya kizazikijacho. Iko hatari kabisa, kizazi kijacho hakitajua utamaduni wetu ulikuwa ni upi? Kwa sababu sasahivi watoto wetu wamekuwa wakiangalia luninga. Kwa hiyo, watoto wa<strong>na</strong>fikiria kwamba,tamaduni ni yale mambo wa<strong>na</strong>yoyao<strong>na</strong> katika TV zetu. Kwa hiyo, ni<strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> tushirikiane,Serikali pamoja <strong>na</strong> sisi viongozi <strong>na</strong> wazee kule vijijini wa<strong>na</strong>onisikiliza, kurudisha heshima ya nchi yetuhii kupitia suala la utamaduni wetu.Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kwenye suala hilo hilo la michezo, mwaka huu hatukufanyavizuri katika kuwandaa vija<strong>na</strong> wetu wa Shule za Msingi pamoja <strong>na</strong> Sekondari. Kazi ilikuwa kama niya Zimamoto. Dakika za mwisho, Serikali ndiyo i<strong>na</strong>agiza kwenye Halmashauri zetu kwamba,Halmashauri zisaidie Shule za Msingi katika kuendesha haya mashindano. Kama tutakuwatu<strong>na</strong>kwenda kwa utaratibu huu, hatutapata vija<strong>na</strong> ambao wa<strong>na</strong> vipaji <strong>na</strong> huko vijijini wamejaavija<strong>na</strong> ambao wa<strong>na</strong> vipaji vya ai<strong>na</strong> mbalimbali. Kama tukiwasaidia, ni<strong>na</strong>amini kabisa tutakuwa <strong>na</strong>vija<strong>na</strong> wa fani mbalimbali wa michezo ya ai<strong>na</strong> mbalimbali kwenye Taifa letu hili.Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini vile vile tuangalie suala la viwanja. Hata tukiangaliakwenye sekondari zetu za Kata tu<strong>na</strong>zojenga, viwanja tu<strong>na</strong>vyovikuta, sa<strong>na</strong> sa<strong>na</strong> ni viwanja vyampira wa miguu. Sekondari <strong>cha</strong>che utakazozikuta ambazo zi<strong>na</strong> viwanja vya mpira wa miguu,netball, labda basket ball, haku<strong>na</strong>.63

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!