Mheshimiwa Mwenyekiti, tumeshuhudia hivi majuzi, tumekuwa tukilumba<strong>na</strong> humu ndanikatika masuala ya mafuta. Lakini tulipolipeleka kwa Waziri Mkuu, amechukua hatua za makusudi<strong>na</strong> hivi leo watu wa<strong>na</strong>anza kupata huduma. Lakini siyo hilo tu, tu<strong>na</strong>tarajia hoja ya Waziri wa Nishati<strong>na</strong> Madini, kwa kuwa tuliirejesha, <strong>na</strong>tumaini Mheshimiwa Waziri Mkuu atakuja <strong>na</strong> majibu mazuriitakapofikia siku ya siku. Kwa hiyo, ni<strong>na</strong>mwomba Waziri Mkuu, tumhakikishie kwamba, sisi Wabungetuko nyuma yake, tutaendelea kumshauri <strong>na</strong> tu<strong>na</strong>omba aendelee kutusikiliza. Akaze buti, asihofujambo lolote ili kuifikisha nchi yetu mahali pa<strong>na</strong>pokusudiwa.Mheshimiwa Mwenyekiti, shukrani zangu za tatu, <strong>na</strong>omba niwapongeze wasi<strong>cha</strong><strong>na</strong>wangu kutoka kwenye Jimbo langu la Masasi, wasi<strong>cha</strong><strong>na</strong> kutoka Kijiji <strong>cha</strong> Ndanda, pale Njenga,ambao walishiriki ligi ya Netball ngazi ya Mkoa <strong>na</strong> kushika <strong>na</strong>fasi ya pili kwa kujitegemea waowenyewe bila msaada wowote. Nawapongeza sa<strong>na</strong>. Nasema nipo nyuma yao <strong>na</strong> hayo ndiyomatunda niliyokuwa ni<strong>na</strong>wahamasisha wakati <strong>na</strong>pita kushukuru. Nawashukuru sa<strong>na</strong> kwakunisikiliza.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba nianze ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu uhuru wa vyombo vya habari.Vyombo vya habari ni vyombo ambavyo vi<strong>na</strong>tusaidia sa<strong>na</strong> katika kutoa elimu <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchiwa<strong>na</strong>elimika kupitia vyombo vya habari <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi wamekuwa wadau wakubwa katikavyombo hivi vya habari. Lakini niseme kwa masikitiko makubwa kwamba wapo wadau mbalimbaliwa<strong>na</strong>shindwa kuvitumia vyombo vyetu hivi vya habari kwa kutoa taarifa ambazo zi<strong>na</strong>wezazikasaidia katika nchi yetu <strong>na</strong> kupeleka taarifa kwenye vyombo vya habari zi<strong>na</strong>zopotosha ummazisizokuwa <strong>na</strong> maslahi, zisizofundisha wa<strong>na</strong>nchi wetu.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba nitoe mfano. Ku<strong>na</strong> matangazo mbalimbali ambayotumekuwa tukishuhudia katika television, masuala kwa mfano ya Haki Elimu, tumekuwa tukiangaliajinsi wa<strong>na</strong>vyoonyesha shule zetu zilivyo mbovu huko vijijini. Tumekuwa tukishuhudia matangazombalimbali ya<strong>na</strong>yotangaza jinsi aki<strong>na</strong> mama tu<strong>na</strong>vyolundika<strong>na</strong> kwenye kitanda kimoja penginewatu sita <strong>na</strong> wakati wa kujifungua kupata matatizo.Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa mimi ni<strong>na</strong>omba niwe tofauti <strong>na</strong> matangazo haya. Niwetofauti <strong>na</strong> wadau wa<strong>na</strong>opeleka matangazo haya kwa sababu, kwa fikira zangu mara nyinginimekuwa nikifikiria kwamba, mwa<strong>na</strong>nchi au mwa<strong>na</strong>damu a<strong>na</strong>weza akajifunza jambo zuri kwayale mazuri ambayo ya<strong>na</strong>tendwa <strong>na</strong> mtu mwingine. Nilichokuwa ni<strong>na</strong>kitarajia, kama ku<strong>na</strong> hawawadau wa<strong>na</strong>peleka haya matangazo, wa<strong>na</strong>tumia pesa nyingi sa<strong>na</strong> katika kufanya utafiti hukokwenye vijiji vyetu, kwa sababu, matangazo haya ni<strong>na</strong>amini ya<strong>na</strong>lipiwa. Wa<strong>na</strong>tumia pesa nyingisa<strong>na</strong>!Mheshimiwa Mwenyekiti, ni<strong>na</strong>fikiri hawa wadau kama wangekuwa wa<strong>na</strong>o<strong>na</strong> kwambaWatanzania walio wengi hawa<strong>na</strong> shule bora, tu<strong>na</strong>pata shida ya maji, badala ya kutumia pesanyingi kwa utafiti huu, fedha hizo zote wa<strong>na</strong>zozitumia wangekuwa wa<strong>na</strong>peleka pale mahaliambapo pa<strong>na</strong> tatizo.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba nitoe mfano. Sisi Waheshimiwa Wabunge, tutakuwamashahidi, yupo ndugu yetu mmoja a<strong>na</strong>itwa Mustapha Sabodo. Yule baba a<strong>na</strong> huruma sa<strong>na</strong> <strong>na</strong>a<strong>na</strong> uzalendo wa nchi yetu. Ametambua matatizo mengi yaliyopo katika nchi yetu, ameo<strong>na</strong> jinsiwatu wa<strong>na</strong>vyopata shida ya maji, ameo<strong>na</strong> jinsi madarasa yetu huko vijijini yalivyo mabovu, lakiniyeye badala ya kutumia pesa zake kupeleka matangazo kwenye vyombo vya habari <strong>na</strong> kutoamatangazo haya, amekuwa akitumia pesa zake kwa ajili ya kusaidia kuondoa kero mbalimbalizilizopo katika nchi yetu. Nampongeza sa<strong>na</strong> mdau huyu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>waomba sasa wale wadau wengine ambao wa<strong>na</strong>tumiamuda mwingi <strong>na</strong> pesa nyingi kupeleka mambo mabaya katika vyombo vya habari, waige mfanowa Mustapha Sabodo. Hizo pesa kama wa<strong>na</strong>zo, basi wanisaidie hata mimi Mama Kasembekupeleka kwenye Jimbo langu ziende zikajenge shule, niende nikachimbiwe visima, kwa sababuyale matangazo wasije wakafikiria kwamba, wa<strong>na</strong>nchi ya<strong>na</strong>wafurahisha <strong>na</strong> hayaleti tija yoyotewala hayaleti manufaa yoyote. Naomba vyombo vya habari m<strong>na</strong>onisikiliza, leo hii <strong>na</strong>omba mtoekwamba, Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Masasi, a<strong>na</strong>waomba wadau wote ambao wa<strong>na</strong>leta62
matangazo ya kudhalilisha nchi yetu, pesa hizo watupelekee Majimboni. Wabunge tu<strong>na</strong> matatizomakubwa Majimboni kwetu. Hongera sa<strong>na</strong> ndugu yangu Mustapha Sabodo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, niendelee kuzungumzia suala la michezo. Suala la michezo, mimi<strong>na</strong>fikiri katika nchi yetu bado hatujatilia mkazo. Lakini vile vile suala la michezo ukiangalia kwaundani, kwa sehemu kubwa tumekuwa tukiachiwa wa<strong>na</strong>siasa. Sisi Wabunge, Madiwani, kwenyemaeneo yetu kama hatuhamasishi michezo, basi ujue huko Mikoani michezo imekwisha.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba nichukue <strong>na</strong>fasi hii nimkumbushe Mheshimiwa Waziri,tulipoanza Bunge hili, nilifanya makusudi mazima ya kumpatia mpango uliopo kwenye Jimbolangu la Masasi kwa ajili ya kuwasaidia vija<strong>na</strong> ambao wao wenyewe wameamua kuondoka<strong>na</strong> <strong>na</strong>kukaa katika vijiwe <strong>na</strong> kuunda vikundi vya kiuchumi, lakini jioni wa<strong>na</strong>shiriki michezo. Nilikuletea <strong>na</strong>ni<strong>na</strong>fikiri umeisoma, umeipitia, sidhani kama ku<strong>na</strong> Mbunge amefanya hivyo. Ni<strong>na</strong>chokitarajiaMheshimiwa Waziri, hawa vija<strong>na</strong> walikuwa wa<strong>na</strong>kaa vijiweni, wao wenyewe ndio wameamuakusajili vilabu ambavyo ndani yake ku<strong>na</strong> vikundi vya kiuchumi.Mheshimiwa Mwenyekiti, hivi sasa ni<strong>na</strong>vyozungumza, Jimbo la Masasi, ku<strong>na</strong> vikundivilivyosajiliwa 85, vikundi vya utamaduni vinne vimesajiliwa, lakini hawa wote ndani ya klabu zaowameanzisha vikundi vya kiuchumi. Asubuhi wa<strong>na</strong>fanya kazi za kiuchumi kuzalisha mali, jioniwa<strong>na</strong>kwenda kushiriki michezo. Naomba Mheshimiwa Waziri, atakapokuwa a<strong>na</strong>fanyamajumuisho, anipe jibu la lile ombi langu. Naomba nisaidiwe, tusiwavunje moyo hawa vija<strong>na</strong>ambao kwa kweli sasa hivi wameamua kua<strong>cha</strong><strong>na</strong> <strong>na</strong> mambo yote waliyokuwa wa<strong>na</strong>yafanyamaovu <strong>na</strong> kurudi katika mstari kama Serikali i<strong>na</strong>vyoshauri. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini la mwisho, <strong>na</strong>omba nichukue <strong>na</strong>fasi hii kuzungumzia sualala utamaduni. Suala la utamaduni katika nchi yetu tumekuwa <strong>na</strong> tofauti makabila kwa makabila.Kila kabila li<strong>na</strong> utamaduni wake, lakini hivi sasa utamaduni mkubwa uliopo ndani ya makabila yetuumekuwa ukipotea. Naomba nichukue <strong>na</strong>fasi hii kupongeza kabila moja bila hiya<strong>na</strong> ya ai<strong>na</strong>yoyote, <strong>na</strong>omba niwapongeze wamasai.Mheshimiwa Mwenyekiti, wenzetu Wamasai ukiangalia katika nchi yetu ndiyo badowa<strong>na</strong>endeleza tamaduni zao. Lakini pamoja <strong>na</strong> kuwapongeza <strong>na</strong> wao <strong>na</strong>omba niwaambie, kwasababu, ni<strong>na</strong>vyoo<strong>na</strong>, hata wao utamaduni wao utapotea kwa sababu, sasa hivi wameenea nchinzima, wamekuwa wamachinga wa kuuza dawa. Sasa ni<strong>na</strong> wasiwasi, wale Wwamasai wanguwaliopo Mtwara, kama bado wa<strong>na</strong>endeleza mila <strong>na</strong> utamaduni waliokuwa wa<strong>na</strong>uendelezawalipokuwa huko Arusha, <strong>na</strong>wapongeza sa<strong>na</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, huu ni mfano wa kuigwa <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>sema sisi wengine tuliobakiatuangalie mila tulizo<strong>na</strong>zo katika makabila yetu. Zile mila <strong>na</strong> desturi ambazo kwa kweli zi<strong>na</strong>wezazikatujengea heshima katika nchi yetu, hebu tuziangalie tuzirejeshe te<strong>na</strong> kwa manufaa ya kizazikijacho. Iko hatari kabisa, kizazi kijacho hakitajua utamaduni wetu ulikuwa ni upi? Kwa sababu sasahivi watoto wetu wamekuwa wakiangalia luninga. Kwa hiyo, watoto wa<strong>na</strong>fikiria kwamba,tamaduni ni yale mambo wa<strong>na</strong>yoyao<strong>na</strong> katika TV zetu. Kwa hiyo, ni<strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> tushirikiane,Serikali pamoja <strong>na</strong> sisi viongozi <strong>na</strong> wazee kule vijijini wa<strong>na</strong>onisikiliza, kurudisha heshima ya nchi yetuhii kupitia suala la utamaduni wetu.Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kwenye suala hilo hilo la michezo, mwaka huu hatukufanyavizuri katika kuwandaa vija<strong>na</strong> wetu wa Shule za Msingi pamoja <strong>na</strong> Sekondari. Kazi ilikuwa kama niya Zimamoto. Dakika za mwisho, Serikali ndiyo i<strong>na</strong>agiza kwenye Halmashauri zetu kwamba,Halmashauri zisaidie Shule za Msingi katika kuendesha haya mashindano. Kama tutakuwatu<strong>na</strong>kwenda kwa utaratibu huu, hatutapata vija<strong>na</strong> ambao wa<strong>na</strong> vipaji <strong>na</strong> huko vijijini wamejaavija<strong>na</strong> ambao wa<strong>na</strong> vipaji vya ai<strong>na</strong> mbalimbali. Kama tukiwasaidia, ni<strong>na</strong>amini kabisa tutakuwa <strong>na</strong>vija<strong>na</strong> wa fani mbalimbali wa michezo ya ai<strong>na</strong> mbalimbali kwenye Taifa letu hili.Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini vile vile tuangalie suala la viwanja. Hata tukiangaliakwenye sekondari zetu za Kata tu<strong>na</strong>zojenga, viwanja tu<strong>na</strong>vyovikuta, sa<strong>na</strong> sa<strong>na</strong> ni viwanja vyampira wa miguu. Sekondari <strong>cha</strong>che utakazozikuta ambazo zi<strong>na</strong> viwanja vya mpira wa miguu,netball, labda basket ball, haku<strong>na</strong>.63
- Page 7 and 8:
Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12: NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14: NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16: Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18: MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90: tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92: MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94: jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95: na yakizungumza habari ya interest