Mhehsimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>ipongeza Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo,Wizara hii imekuwa ikifanya kazi katika mazingira magumu <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>ipongeza hotuba ya Waziri Kivuli<strong>na</strong> yale mazuri tuliyoyasema pia myachukue <strong>na</strong> myafanyie kazi. (Makofi)Mhehsimiwa Mwenyekiti, Wizara hii imekuwa ikisahaulika sa<strong>na</strong>, Wizara hii imekuwa niWizara nyeti lakini imekuwa ikisahaulika, hata wakati maswali ya Wizara hii ya<strong>na</strong>ulizwa ya<strong>na</strong>kuwaya<strong>na</strong>wekwa nyuma. Ni<strong>na</strong>omba Wizara hii ipewe kipaumbele, kwa sababu Wizara hii ndiyoi<strong>na</strong>beba mambo nyeti.Mheshimiwa Mwenyekiti, vija<strong>na</strong> ni Taifa la leo wala siyo Taifa la kesho. Vija<strong>na</strong> hawatu<strong>na</strong>watumia kwa mambo mengi, ukifika kipindi <strong>cha</strong> u<strong>cha</strong>guzi tu<strong>na</strong>watumia vija<strong>na</strong>, tukifikakwenye mambo fulani fulani tu<strong>na</strong>watumia vija<strong>na</strong>, lakini kwa nini vija<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>sahaulika? Nasemavija<strong>na</strong> wakumbukwe <strong>na</strong> vija<strong>na</strong> wakumbukwe kwa <strong>na</strong>fasi mbalimbali za uongozi, za ajira hatakwenye mikopo ya Rais i<strong>na</strong>yotoka, vija<strong>na</strong> wapewe kipaumbele kwenye mikopo hiyo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, vija<strong>na</strong> wengi hapa Tanzania wamekuwa ni vija<strong>na</strong> sijui nisemewa<strong>na</strong>sindikiza siku, kwa sababu ku<strong>na</strong> wachezaji wa mipira, wachezaji hawa sijui wa<strong>na</strong>pofikia umriwa kustaafu wa<strong>na</strong>lipwa wapi kiinua mgongo, <strong>na</strong>taka Waziri aniambie wa<strong>na</strong>lipwa wapi wachezajiambao wa<strong>na</strong>chezea timu zetu za Taifa wapostaafu au ujira wao wa kustaafu wa<strong>na</strong>lipwa wapi?Naomba muangalie suala hilo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, Waziri huwezi kutaja kama hujataja Zanzibar, Zanzibar ipo ndaniya Jamhuri ya Muungano, <strong>na</strong>omba m<strong>na</strong>poshiriki kwenye maonesho au kwenye michezombalimbali ya nje ya nchi muwakumbuke vija<strong>na</strong> wa Zanzibar <strong>na</strong> wao <strong>na</strong>fasi zao muwape. Vija<strong>na</strong>hawa wamekuwa wakilalamika, wa<strong>na</strong>sema wa<strong>na</strong>sahaulika sa<strong>na</strong>, lakini <strong>na</strong>jua Zanzibar ku<strong>na</strong> vija<strong>na</strong>wazuri sa<strong>na</strong>, wacheza mpira wazuri sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> Zanzibar tu<strong>na</strong> tamaduni mbalimbali, ku<strong>na</strong> ngoma zaasili za Zanzibar, ngoma ambayo hata Tanzania Bara haipatikani, ngoma hii ipo Pemba, ngoma hiiya mchezo wa ng’ombe ni ngoma ambayo i<strong>na</strong>ingizia Serikali Pato la Taifa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, <strong>na</strong>omba mambo mazuri ya Zanzibar yaliyopo katikaKisiwa <strong>cha</strong> Pemba <strong>na</strong> Kisiwa <strong>cha</strong> Unguja <strong>na</strong> mambo haya ni adimu kwa Tanzania Bara <strong>na</strong>ombamuuenzi utamaduni wetu kwa kupitia sekta ya Muungano <strong>na</strong> sisi Wazanzibar pia tunufaike kwenyesekta hii ya Muungano katika mambo ya utamaduni. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, Rais kama ameamua kusaidia vija<strong>na</strong> kama studio, hii studioisaidie kwa vija<strong>na</strong> wote ambao wa<strong>na</strong>fanya kazi za miziki, kazi zao za sa<strong>na</strong>a. Asitoe kwa mtummoja au kwa vikundi vi<strong>cha</strong>che. Hili litaleta tatizo <strong>na</strong> litaleta malumbano kwa Rais. Nilikuwa<strong>na</strong>muomba Rais kama ameamua kusaidia vija<strong>na</strong> awasaidie vija<strong>na</strong> wote bila kuwabagua.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine ambalo li<strong>na</strong>niuma kama mama <strong>na</strong> mtoto wa kiislam leonitalisemea katika Bunge hili <strong>na</strong> nilikuwa <strong>na</strong>omba nipate <strong>na</strong>fasi ya ku<strong>cha</strong>ngia Wizara hii ndiomaa<strong>na</strong> nimeomba <strong>na</strong> nimeipata <strong>na</strong>shukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia kuipata. Mimi kwakweli ku<strong>na</strong> mambo ya<strong>na</strong>yonishangaza kwenye TV, kwenye vyombo vya habari. Sasa <strong>na</strong>sema kwanini watoto wa kike wamekuwa wakidhalilishwa sa<strong>na</strong> ndani ya TV katika matangazo mbalimbali?Ni kwa nini wa<strong>na</strong>ume wao hawavai nguo za uchi kama wa<strong>na</strong>wake? Utakuta hata kwenye muzikikama ni benki u<strong>na</strong>kuta wale aki<strong>na</strong> baba wamevaa vizuri, vija<strong>na</strong> wamevaa vizuri. Ukikuta kwenyefilamu u<strong>na</strong>mkuta mwa<strong>na</strong>ume kavaa vizuri lakini ukimwangalia mwa<strong>na</strong>mke kakaa nusu uchi. Hiisheria ni ya kumlinda tu mwa<strong>na</strong>ume? (Makofi)Nataka Bunge lako Tukufu litoe sheria hapa ya wa<strong>na</strong>wake ambao wa<strong>na</strong>tembea nusuuchi. Ndio maa<strong>na</strong> siku hizi wa<strong>na</strong>ume hawaoi. Wa<strong>na</strong>ume watawaoa vipi <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>wakewa<strong>na</strong>wao<strong>na</strong> kila kitu <strong>cha</strong>o kiko nje? Sasa huyu mwa<strong>na</strong>ume atakwenda kuoa vipi <strong>na</strong> huku kila kituameshakio<strong>na</strong>? Naomba sheria hii ifanyiwe kazi. Naomba watoto wetu wa Kitanzania, vija<strong>na</strong> ku<strong>na</strong>mambo yale ya kulegeza suruali ngoja jamani <strong>na</strong>omba niwaambie. (Makofi/Kicheko)MWENYEKITI: Naomba tumsikilize vizuri.90
MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wenzetu kule Marekani ambao wa<strong>na</strong>legeza surualiwalikuwa wafungwa ambao walikuwa wa<strong>na</strong>kosa mikanda ya kufungia suruali, ni kwa nini mlegezesuruali halafu mkiangalia <strong>na</strong> nguo zenu za ndani ni <strong>cha</strong>fu. Kwa nini msikae katika maadili yaKitanzania <strong>na</strong> ukakaa kama mtoto wa Kitanzania? Wewe u<strong>na</strong>taka ukae kama mfungwa waMarekani aliyekosa mkanda wa kufungia suruali? Hili mimi <strong>na</strong>likemea kwa nguvu zote. Kaeni katikamaadili ya Kitanzania. (Makofi/Kicheko)Ni<strong>na</strong>omba dada zangu, watoto wangu <strong>na</strong> wadogo zangu ambao m<strong>na</strong>-act filamumbalimbali muache kutembea uchi ndio maa<strong>na</strong> siku hizi wa<strong>na</strong>wake wamekuwa wengi <strong>na</strong>hawapati wachumba <strong>na</strong> hawaolewi, kisa kila kitu mwa<strong>na</strong>ume a<strong>na</strong>kio<strong>na</strong> ndani ya TV. Wakatimwingine umekuwa u<strong>na</strong>tazama TV uko <strong>na</strong> watu wa heshima upo <strong>na</strong> baba yako, upo <strong>na</strong> watotowakati mwingine u<strong>na</strong>badilisha hata matangazo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu matangazo, mtu akitaka biashara yake itoke a<strong>na</strong>tafutamwa<strong>na</strong>mke mzuri a<strong>na</strong>mdhalilisha kwenye TV. Kwa nini mwa<strong>na</strong>ume <strong>na</strong>ye asiwekwe pale kwenyeTV akadhalilishwa? Kila tangazo a<strong>na</strong>wekwa mwa<strong>na</strong>mke, ni kwa nini, <strong>na</strong>omba hii sheria jamanituige maadili ya Kitanzania tusiige maadili ya kutoka nje. (Makofi/Kicheko)Naomba ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu Big Brother, nimemuo<strong>na</strong> ndugu yangu pale Faida Bakarkasema lakini kaogopa kusema. Big Brother i<strong>na</strong> maa<strong>na</strong> gani? Kweli Big brother u<strong>na</strong>kuau<strong>na</strong>kwenda kushiriki mashindano yale ya<strong>na</strong>kudhalilisha, nyie wenyewe ni wafuatiliaji wa vyombovya habari <strong>na</strong> mengi pia mmeyao<strong>na</strong> yaliyotokea kwenye Big Brother <strong>na</strong>omba kabisa kwendakudhalilishwa Watanzania huko a<strong>na</strong>dhalilishwa Mtanzania alivyokuwa mweusi. Sijui mimi <strong>na</strong>semawazungu wa<strong>na</strong>penda ngozi yetu, kama wa<strong>na</strong>penda hii ngozi basi watuoe, kwa sababu hapa<strong>na</strong>jua ku<strong>na</strong> mabinti wengi sa<strong>na</strong> wa Kiswahili waolewe <strong>na</strong> hao wazungu mkaone ngozi yaKitanzania lakini msidhalilishe kwa kupitia hii Big Brother. (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba Big Brother ipigwe marufuku <strong>na</strong> Waziri utakapokujakutoa majumuisho yako uniambie hii Big Brother imeingizia Pato gani la Taifa? Ku<strong>na</strong> pato ganitu<strong>na</strong>lopata kwenye Big Brother hii. Nataka uje uniambie kama ku<strong>na</strong> pato tu<strong>na</strong>lopata kwenye BigBrother? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwenye haya mambo ya Miss Tanzania, haya mambo ya Missyaleta UKIMWI <strong>na</strong> UKIMWI hauwezi kuisha kwa sababu watoto wetu wa<strong>na</strong>dhalilishwa sa<strong>na</strong> jamani.Kama ninyi ni wazazi roho lazima zitawauma. Hebu nendeni huko kwenye mahoteli makubwawatoto wa<strong>na</strong>kokwenda kuweka makambi ya u-miss kama wewe u<strong>na</strong> tumbo la uchungu la uzaziu<strong>na</strong>weza kuzaa bila siku zako. Naomba haya masuala yakomeshwe. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine <strong>na</strong>omba ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu waandishi wa habari.Waandishi wetu wa habari mimi <strong>na</strong>wapongeza sa<strong>na</strong>. Lakini waandishi wa habari m<strong>na</strong> matatizo,humo ndani katika Bunge hili la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ku<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>wake wajasiriwa<strong>na</strong>ongea sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> wa<strong>na</strong> hoja nzito sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> waibua hoja nzito sa<strong>na</strong>. Lakini waandishi wa habarimmekuwa mkipiga pi<strong>cha</strong> zote ni wa<strong>na</strong>ume, wengine wamesinzia, wengine yaani sijui.(Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa nini pi<strong>cha</strong> zile za kusinzia au pi<strong>cha</strong> nyingine zile za ajabu zakuonyesha tu aki<strong>na</strong> baba tu, kwa nini msiweke hawa wa<strong>na</strong>wake ambao wa<strong>na</strong>ibua hoja nzito? Aummetuo<strong>na</strong> sisi wa<strong>na</strong>wake ni mabubu humu ndani hatuwezi kuongea? Lakini <strong>na</strong>jua tu<strong>na</strong>wezakuongea. Hata kama habari zetu tukiongea basi utakuta habari nzuri i<strong>na</strong>uzwa kwa mtu mwingine.Naomba waandishi wa habari muwe waadilifu katika kazi hii. Najua wa<strong>na</strong>wake wengi hapa niwasemaji. Sitaki muweke pi<strong>cha</strong> za ajabu ajabu kwenye magazeti za aki<strong>na</strong> baba mara wenginewamelala, sitaki. Wekeni pi<strong>cha</strong> za aki<strong>na</strong>mama ambao wa<strong>na</strong>zungumza katika Bunge hili. Hiyo<strong>na</strong>sema hiyo ni message send imekwenda hiyo. (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine ni kuhusu mambo ya utamaduni, mambo ya uasiliakutangaza wewe ni Mtanzania. Hivi leo hii ukitazama jamani kwenye TV huwezi kumfa<strong>na</strong>nishaMmarekani <strong>na</strong> Mtanzania kwa sababu vija<strong>na</strong> wetu wa<strong>na</strong>iga mambo mbalimbali kutoka nchi zawenzetu. Kwa nini msiige mambo mazuri? Ku<strong>na</strong> mambo mazuri, ku<strong>na</strong> vitenge vizuri tu mkisho<strong>na</strong>91
- Page 7 and 8:
Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12:
NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14:
NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16:
Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18:
MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20:
inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22:
Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24:
Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26:
katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28:
wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30:
· Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32:
· Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34:
· Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36:
2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38:
na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89: tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 93 and 94: jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95: na yakizungumza habari ya interest