12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wenzetu kule Marekani ambao wa<strong>na</strong>legeza surualiwalikuwa wafungwa ambao walikuwa wa<strong>na</strong>kosa mikanda ya kufungia suruali, ni kwa nini mlegezesuruali halafu mkiangalia <strong>na</strong> nguo zenu za ndani ni <strong>cha</strong>fu. Kwa nini msikae katika maadili yaKitanzania <strong>na</strong> ukakaa kama mtoto wa Kitanzania? Wewe u<strong>na</strong>taka ukae kama mfungwa waMarekani aliyekosa mkanda wa kufungia suruali? Hili mimi <strong>na</strong>likemea kwa nguvu zote. Kaeni katikamaadili ya Kitanzania. (Makofi/Kicheko)Ni<strong>na</strong>omba dada zangu, watoto wangu <strong>na</strong> wadogo zangu ambao m<strong>na</strong>-act filamumbalimbali muache kutembea uchi ndio maa<strong>na</strong> siku hizi wa<strong>na</strong>wake wamekuwa wengi <strong>na</strong>hawapati wachumba <strong>na</strong> hawaolewi, kisa kila kitu mwa<strong>na</strong>ume a<strong>na</strong>kio<strong>na</strong> ndani ya TV. Wakatimwingine umekuwa u<strong>na</strong>tazama TV uko <strong>na</strong> watu wa heshima upo <strong>na</strong> baba yako, upo <strong>na</strong> watotowakati mwingine u<strong>na</strong>badilisha hata matangazo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu matangazo, mtu akitaka biashara yake itoke a<strong>na</strong>tafutamwa<strong>na</strong>mke mzuri a<strong>na</strong>mdhalilisha kwenye TV. Kwa nini mwa<strong>na</strong>ume <strong>na</strong>ye asiwekwe pale kwenyeTV akadhalilishwa? Kila tangazo a<strong>na</strong>wekwa mwa<strong>na</strong>mke, ni kwa nini, <strong>na</strong>omba hii sheria jamanituige maadili ya Kitanzania tusiige maadili ya kutoka nje. (Makofi/Kicheko)Naomba ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu Big Brother, nimemuo<strong>na</strong> ndugu yangu pale Faida Bakarkasema lakini kaogopa kusema. Big Brother i<strong>na</strong> maa<strong>na</strong> gani? Kweli Big brother u<strong>na</strong>kuau<strong>na</strong>kwenda kushiriki mashindano yale ya<strong>na</strong>kudhalilisha, nyie wenyewe ni wafuatiliaji wa vyombovya habari <strong>na</strong> mengi pia mmeyao<strong>na</strong> yaliyotokea kwenye Big Brother <strong>na</strong>omba kabisa kwendakudhalilishwa Watanzania huko a<strong>na</strong>dhalilishwa Mtanzania alivyokuwa mweusi. Sijui mimi <strong>na</strong>semawazungu wa<strong>na</strong>penda ngozi yetu, kama wa<strong>na</strong>penda hii ngozi basi watuoe, kwa sababu hapa<strong>na</strong>jua ku<strong>na</strong> mabinti wengi sa<strong>na</strong> wa Kiswahili waolewe <strong>na</strong> hao wazungu mkaone ngozi yaKitanzania lakini msidhalilishe kwa kupitia hii Big Brother. (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba Big Brother ipigwe marufuku <strong>na</strong> Waziri utakapokujakutoa majumuisho yako uniambie hii Big Brother imeingizia Pato gani la Taifa? Ku<strong>na</strong> pato ganitu<strong>na</strong>lopata kwenye Big Brother hii. Nataka uje uniambie kama ku<strong>na</strong> pato tu<strong>na</strong>lopata kwenye BigBrother? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwenye haya mambo ya Miss Tanzania, haya mambo ya Missyaleta UKIMWI <strong>na</strong> UKIMWI hauwezi kuisha kwa sababu watoto wetu wa<strong>na</strong>dhalilishwa sa<strong>na</strong> jamani.Kama ninyi ni wazazi roho lazima zitawauma. Hebu nendeni huko kwenye mahoteli makubwawatoto wa<strong>na</strong>kokwenda kuweka makambi ya u-miss kama wewe u<strong>na</strong> tumbo la uchungu la uzaziu<strong>na</strong>weza kuzaa bila siku zako. Naomba haya masuala yakomeshwe. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine <strong>na</strong>omba ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu waandishi wa habari.Waandishi wetu wa habari mimi <strong>na</strong>wapongeza sa<strong>na</strong>. Lakini waandishi wa habari m<strong>na</strong> matatizo,humo ndani katika Bunge hili la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ku<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>wake wajasiriwa<strong>na</strong>ongea sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> wa<strong>na</strong> hoja nzito sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> waibua hoja nzito sa<strong>na</strong>. Lakini waandishi wa habarimmekuwa mkipiga pi<strong>cha</strong> zote ni wa<strong>na</strong>ume, wengine wamesinzia, wengine yaani sijui.(Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa nini pi<strong>cha</strong> zile za kusinzia au pi<strong>cha</strong> nyingine zile za ajabu zakuonyesha tu aki<strong>na</strong> baba tu, kwa nini msiweke hawa wa<strong>na</strong>wake ambao wa<strong>na</strong>ibua hoja nzito? Aummetuo<strong>na</strong> sisi wa<strong>na</strong>wake ni mabubu humu ndani hatuwezi kuongea? Lakini <strong>na</strong>jua tu<strong>na</strong>wezakuongea. Hata kama habari zetu tukiongea basi utakuta habari nzuri i<strong>na</strong>uzwa kwa mtu mwingine.Naomba waandishi wa habari muwe waadilifu katika kazi hii. Najua wa<strong>na</strong>wake wengi hapa niwasemaji. Sitaki muweke pi<strong>cha</strong> za ajabu ajabu kwenye magazeti za aki<strong>na</strong> baba mara wenginewamelala, sitaki. Wekeni pi<strong>cha</strong> za aki<strong>na</strong>mama ambao wa<strong>na</strong>zungumza katika Bunge hili. Hiyo<strong>na</strong>sema hiyo ni message send imekwenda hiyo. (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine ni kuhusu mambo ya utamaduni, mambo ya uasiliakutangaza wewe ni Mtanzania. Hivi leo hii ukitazama jamani kwenye TV huwezi kumfa<strong>na</strong>nishaMmarekani <strong>na</strong> Mtanzania kwa sababu vija<strong>na</strong> wetu wa<strong>na</strong>iga mambo mbalimbali kutoka nchi zawenzetu. Kwa nini msiige mambo mazuri? Ku<strong>na</strong> mambo mazuri, ku<strong>na</strong> vitenge vizuri tu mkisho<strong>na</strong>91

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!