12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

wasije kupoteza matumizi kabisa <strong>na</strong> Serikali yao kwamba haiwajali. Wamekosa fursa katika sektaya ya madini, wapate fursa katika sekta ya kilimo, waweze kujiajiri wenyewe ili waweze kuondoaumaskini u<strong>na</strong>owakabili. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa nizungumzie profession yangu ya habari. Tumekuwatukiwategemea sa<strong>na</strong> Waandishi wa Habari katika mambo yetu mbalimbali. Nashukuru hapa leo<strong>na</strong>sema wazi hizi pande mbili zote zi<strong>na</strong>miliki media. Upande wa Opposition <strong>na</strong> Serikali lakini badowa<strong>na</strong>shindwa kuboresha maslahi ya Waandishi wa Habari. I<strong>na</strong>sikitisha <strong>na</strong> i<strong>na</strong>tia aibu humu ndanitu<strong>na</strong>kuwa tu<strong>na</strong>jidai kupigania haki za watu lakini watu tu<strong>na</strong>owaajiri, Waandishi wa Habaritu<strong>na</strong>wanyonya kwa sababu wao wenyewe hawawezi kujitetea. Si vizuri tukawa tu<strong>na</strong>ji<strong>na</strong>fikishahumu ndani wakati Waandishi kwenye vyombo vyetu hatuwalipi vizuri.Mheshimiwa Mwenyekiti, i<strong>na</strong>sikitisha eti Mwandishi a<strong>na</strong>lipwa shilingi 1000 kwa story. Asilimia80 ya Waandishi waliokuwepo kwenye vyombo vya habari ni corresponded, wa<strong>na</strong>lipwa kutoka<strong>na</strong>habari. Labda kwa wiki akijitahidi ataandika habari 100 lakini zitatoka mbili, kwa hiyo, kwa wiki a<strong>na</strong>shilingi 2000 tu<strong>na</strong>kwenda wapi, halafu baadaye tu<strong>na</strong>sema wawe wazalendo wawe wazalendohata maslahi yao hatuwaboreshei? Naomba Mheshimiwa Waziri alichukue hilo <strong>na</strong> sisi tuliomohumu ndani tu<strong>na</strong>omiliki vyombo vya habari tuache u<strong>na</strong>fiki, tuwalipe vizuri Waandishi wa Habari.Tuache kuwatumia kwa maslahi yetu bi<strong>na</strong>fsi, tuwalipe vizuri. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda kuwaomba Waandishi wa Habari wenzangu, tupokwenye Mfumo wa Vyama Vingi <strong>na</strong> tu<strong>na</strong>jua kila mtu a<strong>na</strong> mapenzi ya Chama <strong>cha</strong>ke lakini tutendefair. Tutumie ethics zetu zi<strong>na</strong>vyosema, tuandike habari zilizo sahihi bila kujali itikadi zetu <strong>na</strong>zitakazotoa elimu kwa umma hata kama wewe haikufurahishi, lakini tulitendee haki Taifa hili tuwewazalendo, tutende haki. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, pia <strong>na</strong>penda kuzungumzia Timu ya Taifa ya Wa<strong>na</strong>wake,imesahaulika. Hapa sasa ndipo tu<strong>na</strong>poo<strong>na</strong> unyanyasaji wa kijinsia, Timu ya Twiga Stars. Hii timuhaipewi hadhi kama Timu ya Taifa, haipewi hadhi kama jinsi i<strong>na</strong>vyopewa hadhi Timu ya Mpira waMiguu (Taifa Stars). Timu ya Taifa Stars imekuwa ikelelewa kama yai, Twiga Stars i<strong>na</strong>lelewa kamajiwe, siyo haki. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, Timu ya Twiga Stars mbali <strong>na</strong> matatizo yote waliyokuwa <strong>na</strong>yo,wamekuwa wakifanya mazoezi kwenye mazingira magumu sometimes wa<strong>na</strong>kosa hata majimazoezi eti timu ya Taifa ya Wa<strong>na</strong>wake <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>jitahidi. Tumeo<strong>na</strong> mwaka ja<strong>na</strong> wameshirikiMichuano ya Mpira wa Miguu ya Wa<strong>na</strong>wake Afrika lakini mwaka huu wameshiriki COSAFA <strong>na</strong> piawalishika <strong>na</strong>fasi ya tatu <strong>na</strong> wamepata fursa kushiriki Michuano ya All African Game ambayoitarajia kuanzia mwezi Septemba lakini maandalizi duni, timu hii i<strong>na</strong>fanya mazoezi katika mazingiramagumu. Hapa hata tukiuliza maandalizi yake yakoje hatujui lakini watoto wa watu wa<strong>na</strong>-strugglekwa ajili ya Taifa hili. Wa<strong>na</strong>fanya mazoezi katika mazingira magumu mpaka ku<strong>na</strong> Mmarekanimmoja ameandaa DVD, a<strong>na</strong>itwa Nishal Legal ameelezea the way Twiga Stars i<strong>na</strong>vyofanyamazoezi katika mazingira magumu mbali ya kuipa heshima Taifa letu. Namwomba sa<strong>na</strong>Mheshimiwa Waziri, atupie macho Timu hii ya Taifa ya Wa<strong>na</strong>wake hata kama TFFwa<strong>na</strong>muongopea, <strong>na</strong>mshauri afanye research, <strong>na</strong>amini a<strong>na</strong> uwezo huo wa kupata taarifa sahihiili tuisaidie timu hii tusi-base kwa Taifa Stars ambayo sometimes i<strong>na</strong>boronga, tuisaidie Timu ya TwigaStars. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, pia <strong>na</strong>penda kujua wa<strong>na</strong> mikakati gani ya kuibua soko lawa<strong>na</strong>wake. Tu<strong>na</strong>o<strong>na</strong> tu Kopa Cocacola lakini je, kwa upande wa timu ya wa<strong>na</strong>wake kuibuawachezaji wa mpira wa miguu wa kike ukoje? Kule kwetu Tarime ku<strong>na</strong> timu nzuri tu ya wa<strong>na</strong>wakelakini sijasikia mikakati yoyote ya Serikali ya kuendeleza soko la wa<strong>na</strong>wake Tanzania. NamwombaMheshimiwa Waziri waache kuwanyanyapaa wa<strong>na</strong>wake <strong>na</strong> unyanyapaa huu umeanza kwenyeTimu ya Twiga Stars.Mheshimiwa Mwenyekiti, nimeangalia kwenye Hotuba, mbele yake ku<strong>na</strong> Timu ya Taifa yaTaifa Stars, nilitegemea hata huku upande wa nyuma ingekuwepo Timu ya Twiga Stars.Mheshimiwa Waziri Waziri <strong>na</strong>kuomba, dada yangu Mheshimiwa Naibu Waziri timu hii ya Twiga54

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!