12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

wakati yenyewe imeshindwa kuwajibisha Wahariri wa gazeti lake? Uchochezi huu u<strong>na</strong>paswakukemewa <strong>na</strong> kila Mtanzania kwa nguvu zetu zote. (Makofi)Mheshimiwa Spika, ku<strong>na</strong> tabia imezuka ya viongozi wa Serikali kuvitisha vyombo ya habaripale vi<strong>na</strong>potoa udhaifu wa Watendaji Serikalini, kama ilivyotokea hapa Bungeni hivi karibuniwakati Mheshimiwa Waziri Ofisi ya Rais (Mahusiano) alipotoa vitisho kwa gazeti la Mwa<strong>na</strong>nchi.Kambi ya Upinzani i<strong>na</strong>laani kitendo hicho <strong>na</strong> kuitaka Serikali iache mara moja vitisho kwa vyombovya habari. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hili ni jambo ambalo wote tu<strong>na</strong>takiwa tulikemee kwa nguvu zetuzote <strong>na</strong> kila i<strong>na</strong>powezeka<strong>na</strong> tuwaumbue <strong>na</strong> tuwataje wale wote wa<strong>na</strong>oshiriki katika matendohaya ambayo haya<strong>na</strong> nia njema sio tu kwa tasnia yenyewe ya habari kwa kuipa ji<strong>na</strong> baya <strong>na</strong>kuipaka matope, bali pia kwa nchi yetu kwani tu<strong>na</strong> mifano dhahiri hapa Afrika <strong>na</strong> kwinginekoduniani juu ya athari ambazo zimewahi kutokea vyombo vya habari vilipotumika vibaya. Sotetu<strong>na</strong>kumbuka yaliyofanywa <strong>na</strong> vyombo vya habari vya Serikali kule Rwanda <strong>na</strong> maafayaliyotokea.Mheshimiwa Mwenyekiti, Sheria ya Haki ya Kupata Habari. Haki ya kupata habari ni haki yamsingi ya bi<strong>na</strong>damu <strong>na</strong> i<strong>na</strong>lindwa <strong>na</strong> Ibara ya 18 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano waTanzania. Ni haki ambayo i<strong>na</strong>mhusu kila Mtanzania bila ya kujali wadhifa au daraja lake kwenyejamii, umri au jinsia. Mwaka 2006, <strong>na</strong>taka niamini kwa nia njema kabisa, Serikali ilianzisham<strong>cha</strong>kato wa kutunga Sheria ya Uhuru wa Habari kwa kutoa Rasimu ya Muswada wa Sheria hiyo.Hata hivyo Rasimu ya Muswada huo ilikataliwa <strong>na</strong> wadau kwa sababu haikukidhi haja walaviwango vya Sheria kama hiyo vi<strong>na</strong>vyotakika<strong>na</strong>. Mwaka 2007, Serikali iliitikia wito wa Wadau waHabari <strong>na</strong> Haki za Bi<strong>na</strong>damu wa kutaka kuwepo <strong>na</strong> sheria mbili tofauti <strong>na</strong> kutenganisha Rasimuyake ya Muswada wa Sheria ya Uhuru wa Habari <strong>na</strong> kutengeneza Rasimu mbili, moja ya Sheria yaHaki ya Kupata Habari <strong>na</strong> nyingine ya Sheria ya Huduma za Vyombo vya Habari.Mheshimiwa Mwenyekiti, hoja ya kutenganisha Muswada huo ilikuwa <strong>na</strong> bado ni muhimusa<strong>na</strong> kwa sababu Sheria ya Haki ya Kupata Habari ni mtambuka <strong>na</strong> i<strong>na</strong>husu haki ya Kikatiba yaWatanzania wote. Sheria ya Huduma za Vyombo vya Habari ni ya kisekta <strong>na</strong> i<strong>na</strong>husia<strong>na</strong> zaidi <strong>na</strong>kutoa mwelekeo wa jinsi vyombo vya habari vitakavyofanya kazi nchini.Mheshimiwa Mwenyekiti, m<strong>cha</strong>kato huo ulipata mwitiko mzuri kutoka kwa Wadaumbalimbali wa Habari <strong>na</strong> Wa<strong>na</strong>harakati wa Haki za Bi<strong>na</strong>damu ambao kwa umoja waowalitembea nchi nzima kukusanya mawazo <strong>na</strong> mapendekezo ya wa<strong>na</strong>nchi kuhusu Sheria ya Hakiya Kupata Habari. Walipeleka mapendekezo yao kwa Serikali ili yaweze kujumuishwa katikam<strong>cha</strong>kato wa utungaji wa Sheria.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi rasmi ya Upinzani i<strong>na</strong>sisitiza kuwa Sheria hii ni muhimusa<strong>na</strong>, kwani itaimarisha utawala wa wazi <strong>na</strong> uwajibikaji. Utawala ulioshamiri katika mila za usiri ndioulioifikisha Tanzania yetu mahali pabaya. Ndio <strong>cha</strong>nzo <strong>cha</strong> mikataba mibovu <strong>na</strong> kushindwa kwauwajibikaji kwa sababu tu Watendaji wabovu wa<strong>na</strong>weza kujifi<strong>cha</strong> katika kinga ya usiri.Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali imekuwa ikitoa ahadi mwaka hadi mwaka kuhusum<strong>cha</strong>kato wa utungaji wa Sheria hii muhimu lakini hadi leo hatujao<strong>na</strong> Muswada wa Sheria hiyoukia<strong>cha</strong> ule ambao wadau wamependekeza. Kambi Rasmi ya Upinzani tu<strong>na</strong>itaka Serikali kuuletaBungeni Muswada wa Sheria hiyo ndani ya mwaka huu, ili tuujadili <strong>na</strong> kupitisha Sheria hiyo bila yakukawia zaidi.Mheshimiwa Mwenyekiti, Kambi Rasmi ya Upinzani tu<strong>na</strong>itahadharisha Serikali kuwa isijaribuku<strong>cha</strong>kachua hata kidogo maoni hayo ya wadau kwa sababu tumejiridhisha kuwa ya<strong>na</strong> msingi<strong>na</strong> dhamira ya dhati ya kuboresha tasnia nzima ya habari <strong>na</strong> uhuru wake. Tu<strong>na</strong>chukua fursa hiikuwataarifu mapema wadau wote wa habari kwamba tutakuwa pamoja <strong>na</strong>o wakati wote waharakati za kushinikiza Muswada huo uletwe Bungeni ndani ya mwaka huu. Tu<strong>na</strong>taka Sheria hiyoipatikane mapema iwezekavyo ikiwa imebeba maoni yote ya wadau.44

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!