12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

· Kutafuta <strong>na</strong> kuanzisha sehemu nyingine nje ya maktaba ya pi<strong>cha</strong> ya Dar es Salaam ambapo pi<strong>cha</strong>zilizohifadhiwa katika CD zitaweza kuhifadhiwa ili kuepuka uwezekano wa kupoteza kumbukumbu hizoendapo litatokea janga lolote kama moto katika maktaba ya pi<strong>cha</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC)pamoja <strong>na</strong> shughuli zake za kawaida limejipanga kuweka mfumo bora zaidi wa kudhibiti matangazo <strong>na</strong> kununuajenereta la kituo <strong>cha</strong> Mbeya.Mheshimiwa Naibu Spika, malengo ya utekelezaji ya mwaka 20<strong>11</strong>/2012, kwa upande waKampuni ya Magazeti ya Serikali ni kuimarisha <strong>na</strong> kuongeza ubora wa magazeti <strong>na</strong> kupanuausambazaji Mikoani. Kadhalika, kuanzisha Gazeti la Kiswahili la Michezo <strong>na</strong> kutafuta fedha zaununuzi wa mashine za ku<strong>cha</strong>pa vitabu, kalenda <strong>na</strong> vipeperushi.Mheshimiwa Naibu Spika, sekta ya maendeleo ya vija<strong>na</strong>. Katika mwaka wa fedha20<strong>11</strong>/2012, Wizara imepanga kutekeleza malengo yafuatayo:-· Kuratibu Mbio za Mwenge wa Uhuru <strong>na</strong> Wiki ya Vija<strong>na</strong>.· Kufuatilia marejesho ya fedha walizokopeshwa Vija<strong>na</strong> kupitia SACCOS <strong>na</strong> kuendeleakuwawezesha Vija<strong>na</strong> kiuchumi kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vija<strong>na</strong> chini ya utaratibuwa SACCOS za Vija<strong>na</strong>.· Ku<strong>cha</strong>pisha <strong>na</strong> kusambaza mkakati wa ushiriki <strong>na</strong> ushirikishwaji wa Vija<strong>na</strong> katika shughuliza maendeleo ya kijamii.· Kuendeleza ushirikiano bai<strong>na</strong> ya Wizara, Taasisi za Serikali <strong>na</strong> Jumuiya za Kikanda <strong>na</strong> zileza Kimataifa, pia kuwezesha vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> watendaji wa masuala ya vija<strong>na</strong> kushiriki <strong>na</strong>kutekeleza mikakati ya Jumuiya za Kimataifa ya maendeleo ya vija<strong>na</strong>.· Kuendelea kuwahamasisha vija<strong>na</strong> kuunda vikundi vya pamoja vya kuzalisha mali,kuwashauri <strong>na</strong> kuwaelekeza jinsi ya kusajili taasisi <strong>na</strong> vikundi vyao <strong>na</strong> kuzishawishi taasisi zakifedha <strong>na</strong> mamlaka nyingine kutoa huduma rafiki kwa vija<strong>na</strong> zi<strong>na</strong>zolenga ustawi wavija<strong>na</strong> kiuchumi.· Kuendelea kuwahimiza vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi kwa ujumla kushiriki katika shughuli za kujitoleakatika maeneo yao.· Kuendelea <strong>na</strong> mpango wa kuwawezesha waelimishaji rika juu ya Mwongozo mpya waStadi za Maisha kwa Vija<strong>na</strong> kwa lengo la kufahamu matumizi yake <strong>na</strong> kisha kuutumiakatika shughuli zao za kila siku za utoaji wa elimu kwa vija<strong>na</strong>.· Kuendelea <strong>na</strong> kazi ya ukarabati wa Vituo vya Vija<strong>na</strong> vya Ilonga- Kilosa, Sasanda-Mbozi <strong>na</strong>Marangu- Moshi.Mheshimiwa Naibu Spika, sekta ya maendeleo ya utamaduni. Katika kipindi <strong>cha</strong> mwakawa fedha 20<strong>11</strong>/2012, Wizara itatekeleza yafuatayo:-· Kuhifadhi <strong>na</strong> kusambaza matokeo ya utafiti <strong>na</strong> ku<strong>cha</strong>pisha vijarida vya mila <strong>na</strong> desturi.· Kuendesha utafiti wa mila <strong>na</strong> desturi katika jamii 20.· Kuandaa <strong>na</strong> kurusha vipindi 52 vya radio <strong>na</strong> runinga vya Maadili ya Mtanzania.· Kuratibu <strong>na</strong> kuendesha Mpango wa kuibua vipaji kwa watoto wa shule za msingi katikafani mbalimbali.· Kusimamia <strong>na</strong> kuratibu vikundi vya ngoma za asili vi<strong>na</strong>vyoshiriki katika Maadhimisho yaSherehe za Kitaifa.28

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!