12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>shukuru, muda wangu mfupi. (Makofi)MHE. FAIDA MOHAMMED BAKAR: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sa<strong>na</strong> kwa kunipatia<strong>na</strong>fasi <strong>na</strong> mimi niweze kuongelea hotuba ya Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo.Naunga mkono hoja kabla sijaanza kuongea. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutufikisha hapa leotukiwa katika hali ya amani <strong>na</strong> usalama. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda kuchukua fursa hii adhimu kumshukuru MheshimiwaWaziri wa Wizara hii kwa kazi kubwa a<strong>na</strong>yoifanya kila siku katika kuliendeleza Taifa hili <strong>na</strong>kuidumisha Wizara hii. Mheshimiwa Waziri, Dkt. Emmanuel Nchimbi <strong>na</strong>mwelewa sa<strong>na</strong> kwa sababualikuwa Mwenyekiti wangu wa Vija<strong>na</strong> Taifa, Umoja wa Vija<strong>na</strong> wa Chama <strong>cha</strong> Mapinduzi. Natu<strong>na</strong>mwelewa kwa kazi yake kubwa ambayo alikuwa a<strong>na</strong>ifanya katika kipindi chote. Kwa hiyo,<strong>na</strong>muamini <strong>na</strong> a<strong>na</strong>weza kufanya kazi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda pia kumpongeza Mheshimiwa Naibu Waziri, rafikiyangu Dkt. Fenella Mukangara, a<strong>na</strong>cheka cheka pale, a<strong>na</strong>jua, kwa kazi kubwa ya ushirikiano <strong>na</strong>Mheshimiwa Dkt. Nchimbi kwa kuiongoza Wizara hii. (Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda ku<strong>cha</strong>ngia yafuatayo, kwanza kabla sijaingia hapa,niombe Wizara hii ikisaidia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Bunge iweze kutuletea wale wa<strong>na</strong>otafsiri lugha kwa walio <strong>na</strong>ulemavu wa<strong>na</strong>otuangalia kule kwa sababu Bunge li<strong>na</strong>toka live. Wale ambao wa<strong>na</strong>kuwahawasikii, hawawezi kujua sisi tu<strong>na</strong>ongea nini, hawawezi kujua Wabunge wao wa<strong>na</strong>ongea nini.Nawahurumia sa<strong>na</strong>, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> iweze kutekelezwa hiyo kwa heshima <strong>na</strong> taadhima <strong>na</strong> vilevilekatika vyombo vya habari vyote, wawemo wale wa<strong>na</strong>otafsiri lugha zile kwa hao walemavu, <strong>na</strong>wao wa<strong>na</strong>taka kujua maendeleo ya nchi yao, lakini hawawezi kusikia. Naomba sa<strong>na</strong> hilolitekelezwe. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu waandishi wa habari. Nawapongezasa<strong>na</strong> waandishi wa habari wa nchi yetu ya Tanzania kwa kazi kubwa, nzuri <strong>na</strong> ngumuwa<strong>na</strong>yoifanya usiku <strong>na</strong> m<strong>cha</strong><strong>na</strong> katika kutuhabarisha sisi wa<strong>na</strong>nchi. Kazi ya habari ni ngumu sa<strong>na</strong>,mimi nilijaribu kuisomea kidogo hii habari, lakini nikaio<strong>na</strong> ni ngumu sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> ndiyo maa<strong>na</strong>sikumalizia kwa sababu niliio<strong>na</strong> ni ngumu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo hii kazi ni ngumu sa<strong>na</strong>. Hawa waandishi wa habarii<strong>na</strong>paswa Serikali iwaangalie. Iwaangalie kwa sababu bila ya waandishi wa habari nchi yetuhaiwezi kwenda mbele kwa sababu hatuwezi kupata taarifa. Bila taarifa hatuwezi kujua niniki<strong>na</strong>fanyika katika nchi hii. Lakini waandishi wa habari leo, hawa waandishi wa habariwa<strong>na</strong>nyimwa haki zao mbalimbali ingawa Serikali i<strong>na</strong>jitahidi kuwasaidia kwa kila hali.Mheshimiwa Mwenyekiti, o<strong>na</strong>, mfano kama kwenye maandamano pengine ya kisiasa jinsiambavyo waandishi wa habari wa<strong>na</strong>vyokuwa mstari wa mbele kutuhabarisha <strong>na</strong> mambombalimbali. Lakini pale huwa wa<strong>na</strong>pata athari nyingi sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> mimi siku moja nilisema hapaBungeni, ku<strong>na</strong> mwandishi mmoja wa habari alipigwa <strong>na</strong> ile camera yake ikapasuliwa <strong>na</strong> sijui kesiile ilifikia hatua gani mpaka leo sijui i<strong>na</strong>endeleaje.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kweli <strong>na</strong>muomba sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Waziri alione hilo, wawe<strong>na</strong> vitendea kazi kwani hawa ni vibaya kuwa <strong>na</strong> magari? U<strong>na</strong>jua, kama wakienda kutafuta habari,waandishi wa habari wa<strong>na</strong>enda kwa miguu. Wakopeshwe magari ili waweze kuzifuatilia habarikwa uharaka. Hata kama hawa<strong>na</strong> magari, basi hata Vespa waweze kukopeshwa katika Wizarahii, Serikali iwakopeshe, mwenzangu a<strong>na</strong>niambia hata Bajaj, lakini Bajaj hazifai. Wapatiwe usafiri iliwaweze kutekeleza kazi zao kwa haraka kwa sababu ni watu muhimu sa<strong>na</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hata hapa Bungeni, hawa waandishi wa habari wa hapaBungeni, ku<strong>na</strong> sehemu yao kule wametengewa. Tulisema hapa, mimi mwenyewe niliongea hapakwamba angalau wapatiwe computer mbalimbali ziwasaidie. Lakini ukienda kule ham<strong>na</strong>,wa<strong>na</strong>tumia tu laptop zao <strong>na</strong> vilevile kulikuwa <strong>na</strong> TV, haipo. Sasa mfano kama mwandishi hayupo84

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!