12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mheshimiwa Mwenyekiti, hapo hapo tu<strong>na</strong>himiza kwamba, vija<strong>na</strong> wetu mashuleni washirikimashindano ya ai<strong>na</strong> mbalimbali. Bila kuwa <strong>na</strong> viwanja, hili suala halitafanikiwa. Lakinitu<strong>na</strong>pozungumzia michezo, tusizungumzie suala la netball pamoja <strong>na</strong> mpira wa miguu tu. Ikomichezo mingi, zamani nilikuwa <strong>na</strong>o<strong>na</strong>, kwa mfano, masuala ya riadha, kupokeza<strong>na</strong> vijiti, watuwalikuwa wa<strong>na</strong>kimbia kwa magunia. Ile pia ilikuwa i<strong>na</strong>leta <strong>cha</strong>ngamoto kwa sababu, ipo michezoambayo m<strong>na</strong>weza mkashiriki watu wa rika zote.Mheshimiwa Mwenyekiti, hivi kwa mfano tukikazania mashindano, kwa mfano, yale yakukimbiza mbuzi, atakayempata wa kwake, u<strong>na</strong>wasaidia hata wazee wetu <strong>na</strong> wao washirikikatika suala la michezo. Ku<strong>na</strong> m<strong>cha</strong>ngiaji mmoja hapa amesema michezo ni afya. U<strong>na</strong>pofanyamichezo <strong>na</strong> wewe u<strong>na</strong>punguza gharama za kwenda hospitali kupata matibabu.Mheshimiwa Mwenyekiti, mwisho, <strong>na</strong>omba nitoe hamasa kwa Waheshimiwa Wabungekwamba <strong>na</strong> sisi tusiwe wasemaji tu, tushiriki katika michezo, tu<strong>na</strong>pokuwa hapa Bungeni <strong>na</strong>tu<strong>na</strong>porudi majumbani kwetu. Kwa sababu, sisi tukishiriki suala la michezo, <strong>na</strong>fikiri hata jamiii<strong>na</strong>yotuzunguka <strong>na</strong> wao wataiga mfano wetu, tutajikuta jamii yote i<strong>na</strong>shiriki katika michezo.Mheshimiwa Waziri, Mheshimiwa Naibu Waziri, hapa Bungeni tu<strong>na</strong> timu zetu, tu<strong>na</strong> klabu yetu…(Hapa kengele iligonga kuashiria muda wamzungumzaji kwisha)MWENYEKITI: Nakushukuru, Mheshimiwa.MHE. MARIAM R. KASEMBE: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>unga mkono hoja. Ahsante.MWENYEKITI: Ahsante sa<strong>na</strong> Mheshimiwa, <strong>na</strong>kushukuru. Sasa badala ya Mheshimiwa MozaAbeid Said, <strong>na</strong>mwita Mheshimiwa Kombo Hamisi Kombo.MHE. KOMBO HAMISI KOMBO: Mheshimiwa Mwenyekiti, awali ya yote, <strong>na</strong>chukua <strong>na</strong>fasi hiikukushukuru kwa kunipa <strong>na</strong>fsi hii ya ku<strong>cha</strong>ngia Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo.Nianze <strong>na</strong> Sekta ya Habari.Mheshimiwa Mwenyekiti, Sekta ya Habari ni chombo muhimu katika jamii yoyote <strong>na</strong> katikanchi yoyote. Sekta ya Habari ni sekta ambayo i<strong>na</strong>weza ikaliletea Taifa maendeleo. Lakini sekta hiiya habari i<strong>na</strong> uwezo mkubwa wa kuweza kuliletea janga Taifa lolote. Hali iendako, vyombo vyahabari vitatumiwa vibaya.Mheshimiwa Mwenyekiti, niseme kwamba, kweli Tanzania tu<strong>na</strong>o utaalam wa vyombo vyahabari, lakini wengi wao wa<strong>na</strong>vitumia vyombo vya habari kinyume <strong>na</strong> maadili ya vyombo vyahabari vi<strong>na</strong>vyotakiwa vitumike. Tuangalie miaka ya nyuma wenzetu wa Burundi kulikuwa <strong>na</strong> rediomoja iliyokuwa ikiitwa Redio Intarahamwe.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuwa redio hii ilitumika vibaya katika nchi ya Burundi, iliwezakuwaletea Warundi maafa makubwa mno, sasa <strong>na</strong> Tanzania upeo wetu wa kutumia vyombo vyahabari tu<strong>na</strong>utumia vibaya. I<strong>na</strong>wezeka<strong>na</strong> kwamba baadhi ya waandishi wa habari wa<strong>na</strong>chukuahongo kutoka kwa watu fulani, ili waweze kuandika habari zao vile ambavyo wa<strong>na</strong>taka wao. Sasahaya, siyo maadili mema ya uandishi wa habari. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, habari ni elimu, <strong>na</strong> endapo itatumiwa vizuri kama i<strong>na</strong>vyotakiwa,basi wa<strong>na</strong>nchi wetu wataweza kuzifuatilia habari zetu. Lakini <strong>na</strong>taka nikuhakikishie kwamba, ku<strong>na</strong>baadhi ya magazeti hivi sasa, baadhi ya wa<strong>na</strong>nchi wengi hawayatumii kwa sababu manenoyaliyomo mle, hayaleti <strong>cha</strong>ngamoto yoyote ya maendeleo isipokuwa ni kupiga<strong>na</strong> vijembe,kulumba<strong>na</strong> bai<strong>na</strong> ya viongozi <strong>na</strong> kiongozi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda niseme kwamba waandishi wetu tusiwatumie vibaya.Kama tu<strong>na</strong> chochote <strong>cha</strong> kuwasaidia waandishi, kama alivyosema Mheshimiwa Bulaya, basituwasaidie waandishi, lakini isiwe ni kichocheo <strong>cha</strong> rushwa <strong>cha</strong> kutaka tuandikiwe habari zetu viletu<strong>na</strong>vyotaka sisi. (Makofi)64

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!