12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mheshimiwa Mwenyekiti, tumeshuhudia hivi majuzi, tumekuwa tukilumba<strong>na</strong> humu ndanikatika masuala ya mafuta. Lakini tulipolipeleka kwa Waziri Mkuu, amechukua hatua za makusudi<strong>na</strong> hivi leo watu wa<strong>na</strong>anza kupata huduma. Lakini siyo hilo tu, tu<strong>na</strong>tarajia hoja ya Waziri wa Nishati<strong>na</strong> Madini, kwa kuwa tuliirejesha, <strong>na</strong>tumaini Mheshimiwa Waziri Mkuu atakuja <strong>na</strong> majibu mazuriitakapofikia siku ya siku. Kwa hiyo, ni<strong>na</strong>mwomba Waziri Mkuu, tumhakikishie kwamba, sisi Wabungetuko nyuma yake, tutaendelea kumshauri <strong>na</strong> tu<strong>na</strong>omba aendelee kutusikiliza. Akaze buti, asihofujambo lolote ili kuifikisha nchi yetu mahali pa<strong>na</strong>pokusudiwa.Mheshimiwa Mwenyekiti, shukrani zangu za tatu, <strong>na</strong>omba niwapongeze wasi<strong>cha</strong><strong>na</strong>wangu kutoka kwenye Jimbo langu la Masasi, wasi<strong>cha</strong><strong>na</strong> kutoka Kijiji <strong>cha</strong> Ndanda, pale Njenga,ambao walishiriki ligi ya Netball ngazi ya Mkoa <strong>na</strong> kushika <strong>na</strong>fasi ya pili kwa kujitegemea waowenyewe bila msaada wowote. Nawapongeza sa<strong>na</strong>. Nasema nipo nyuma yao <strong>na</strong> hayo ndiyomatunda niliyokuwa ni<strong>na</strong>wahamasisha wakati <strong>na</strong>pita kushukuru. Nawashukuru sa<strong>na</strong> kwakunisikiliza.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba nianze ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu uhuru wa vyombo vya habari.Vyombo vya habari ni vyombo ambavyo vi<strong>na</strong>tusaidia sa<strong>na</strong> katika kutoa elimu <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchiwa<strong>na</strong>elimika kupitia vyombo vya habari <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi wamekuwa wadau wakubwa katikavyombo hivi vya habari. Lakini niseme kwa masikitiko makubwa kwamba wapo wadau mbalimbaliwa<strong>na</strong>shindwa kuvitumia vyombo vyetu hivi vya habari kwa kutoa taarifa ambazo zi<strong>na</strong>wezazikasaidia katika nchi yetu <strong>na</strong> kupeleka taarifa kwenye vyombo vya habari zi<strong>na</strong>zopotosha ummazisizokuwa <strong>na</strong> maslahi, zisizofundisha wa<strong>na</strong>nchi wetu.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba nitoe mfano. Ku<strong>na</strong> matangazo mbalimbali ambayotumekuwa tukishuhudia katika television, masuala kwa mfano ya Haki Elimu, tumekuwa tukiangaliajinsi wa<strong>na</strong>vyoonyesha shule zetu zilivyo mbovu huko vijijini. Tumekuwa tukishuhudia matangazombalimbali ya<strong>na</strong>yotangaza jinsi aki<strong>na</strong> mama tu<strong>na</strong>vyolundika<strong>na</strong> kwenye kitanda kimoja penginewatu sita <strong>na</strong> wakati wa kujifungua kupata matatizo.Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa mimi ni<strong>na</strong>omba niwe tofauti <strong>na</strong> matangazo haya. Niwetofauti <strong>na</strong> wadau wa<strong>na</strong>opeleka matangazo haya kwa sababu, kwa fikira zangu mara nyinginimekuwa nikifikiria kwamba, mwa<strong>na</strong>nchi au mwa<strong>na</strong>damu a<strong>na</strong>weza akajifunza jambo zuri kwayale mazuri ambayo ya<strong>na</strong>tendwa <strong>na</strong> mtu mwingine. Nilichokuwa ni<strong>na</strong>kitarajia, kama ku<strong>na</strong> hawawadau wa<strong>na</strong>peleka haya matangazo, wa<strong>na</strong>tumia pesa nyingi sa<strong>na</strong> katika kufanya utafiti hukokwenye vijiji vyetu, kwa sababu, matangazo haya ni<strong>na</strong>amini ya<strong>na</strong>lipiwa. Wa<strong>na</strong>tumia pesa nyingisa<strong>na</strong>!Mheshimiwa Mwenyekiti, ni<strong>na</strong>fikiri hawa wadau kama wangekuwa wa<strong>na</strong>o<strong>na</strong> kwambaWatanzania walio wengi hawa<strong>na</strong> shule bora, tu<strong>na</strong>pata shida ya maji, badala ya kutumia pesanyingi kwa utafiti huu, fedha hizo zote wa<strong>na</strong>zozitumia wangekuwa wa<strong>na</strong>peleka pale mahaliambapo pa<strong>na</strong> tatizo.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba nitoe mfano. Sisi Waheshimiwa Wabunge, tutakuwamashahidi, yupo ndugu yetu mmoja a<strong>na</strong>itwa Mustapha Sabodo. Yule baba a<strong>na</strong> huruma sa<strong>na</strong> <strong>na</strong>a<strong>na</strong> uzalendo wa nchi yetu. Ametambua matatizo mengi yaliyopo katika nchi yetu, ameo<strong>na</strong> jinsiwatu wa<strong>na</strong>vyopata shida ya maji, ameo<strong>na</strong> jinsi madarasa yetu huko vijijini yalivyo mabovu, lakiniyeye badala ya kutumia pesa zake kupeleka matangazo kwenye vyombo vya habari <strong>na</strong> kutoamatangazo haya, amekuwa akitumia pesa zake kwa ajili ya kusaidia kuondoa kero mbalimbalizilizopo katika nchi yetu. Nampongeza sa<strong>na</strong> mdau huyu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>waomba sasa wale wadau wengine ambao wa<strong>na</strong>tumiamuda mwingi <strong>na</strong> pesa nyingi kupeleka mambo mabaya katika vyombo vya habari, waige mfanowa Mustapha Sabodo. Hizo pesa kama wa<strong>na</strong>zo, basi wanisaidie hata mimi Mama Kasembekupeleka kwenye Jimbo langu ziende zikajenge shule, niende nikachimbiwe visima, kwa sababuyale matangazo wasije wakafikiria kwamba, wa<strong>na</strong>nchi ya<strong>na</strong>wafurahisha <strong>na</strong> hayaleti tija yoyotewala hayaleti manufaa yoyote. Naomba vyombo vya habari m<strong>na</strong>onisikiliza, leo hii <strong>na</strong>omba mtoekwamba, Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Masasi, a<strong>na</strong>waomba wadau wote ambao wa<strong>na</strong>leta62

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!