12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kuzingatia faida zilizo orodheshwa hapo juu, Kamati i<strong>na</strong>toamaoni yafuatayo:-· Baraza la Sa<strong>na</strong>a kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Bodi ya Filamu Tanzania lihakikishe li<strong>na</strong>dhibitifilamu zi<strong>na</strong>zoiingizwa nchini kiholela <strong>na</strong> zi<strong>na</strong>zokiuka mila <strong>na</strong> desturi za Kitanzaniaambazo hazi<strong>na</strong> manufaa kwa Taifa letu;· Taasisi za Serikali, Polisi, Forodha <strong>na</strong> Mahakama washirikiane <strong>na</strong> Chama <strong>cha</strong>Hakimiliki Tanzania (Copyright Society of Tanzania - COSOTA) kukomeshauharamia wa kazi za sa<strong>na</strong>a;· COSOTA imeanzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Haki Miliki <strong>na</strong> Haki Shiriki Namba 7ya Mwaka 1999. Toka COSOTA ianzishwe bado kumekuwa <strong>na</strong> malalamiko yawasanii kuhusu haki zao <strong>na</strong> malipo katika kazi za kisanii. Kamati i<strong>na</strong>shauri Serikalikupitia Wizara husika kufanya mapitio ya Sheria ya COSOTA ili kuzipa hadhi kazi zasa<strong>na</strong>a kwani nchi nyingi za jirani zimeweza kulinda kazi za sa<strong>na</strong>a za wasanii wake<strong>na</strong> kuzifanya kuwa ajira kwa kutumia vyombo vya kisheria vilivyomo katika nchizao mfano mzuri ni Malawi <strong>na</strong> Nigeria.· Kumekuwa <strong>na</strong> utekelezaji mdogo wa Sheria kwenye ulipaji wa mirabaha <strong>na</strong> kodikutoka kwenye sekta ya sa<strong>na</strong>a ikijumuisha muziki <strong>na</strong> filamu. Wazalishaji,wasambazaji <strong>na</strong> watumiaji wa kazi za sa<strong>na</strong>a hawalipi mirabaha kamai<strong>na</strong>vyostahili kwa mujibu wa Sheria. Kamati i<strong>na</strong>shauri Serikali kupitia Mamlaka yaMapato Tanzania (TRA) isimamie kuhakikisha mirabaha <strong>na</strong> kodi zi<strong>na</strong>lipwa kwaniSerikali i<strong>na</strong>poteza mapato mengi ambayo yangesaidia katika kuinua uchumi wanchi;· Serikali iboreshe vyuo vilivyokuwepo kwa ajili ya Walimu wa kufundisha sa<strong>na</strong>a.Kwa mfano Chuo <strong>cha</strong> Butimba <strong>na</strong> vingine vilivyopo nchini ili kusaidia kukuza vipajivya sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> kutengeneza ajira kwa vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> pia kukuza pato la Taifa; <strong>na</strong>· Serikali kuo<strong>na</strong> haja ya Jumba la Sa<strong>na</strong>a Bagamoyo kuwa chini ya Wizara yaHabari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo badala ya kuwa chini ya Wizara yaMaliasili <strong>na</strong> Utalii. Vilevile, COSOTA kutoka Wizara ya Viwanda <strong>na</strong> Biashara <strong>na</strong>kuwa Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo. Hii itasaidia ufuatiliaji wakaribu <strong>na</strong> utekelezaji mzuri kwani Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezondio haswa Wizara husika kwa taasisi hizi.Mheshimiwa Naibu Spika, nne, Baraza la Michezo la Taifa (BMT). Pamoja <strong>na</strong> ufinyu wabajeti bado Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limekuwa likitekeleza majukumu yake kwa mujibu washeria iliyoliunda ya mwaka 1967 ikiwa ni pamoja <strong>na</strong> kuvisimamia vyama 30 vya michezo <strong>na</strong>kuandaa mafunzo kwa viongozi mbalimbali wa michezo nchini.Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja <strong>na</strong> kuwa Baraza li<strong>na</strong>tekeleza majukumu yake, badoku<strong>na</strong> maeneo ambayo Kamati i<strong>na</strong>o<strong>na</strong> juhudi zaidi zi<strong>na</strong>hitajika <strong>na</strong> i<strong>na</strong>toa ushauri ufuatao:-· Upo umuhimu wa baraza hili kupewa ofisi katika Uwanja Mpya wa Taifa badalaya kuendelea kutumia majengo ambayo ni mabovu <strong>na</strong> ya<strong>na</strong>yohatarishausalama <strong>na</strong> maisha ya wafanyakazi;· Wizara iangalie vizuri uwepo wa Baraza la michezo <strong>na</strong> wakati huo huo kuwa <strong>na</strong>kurugenzi ya michezo katika Wizara kwani i<strong>na</strong>oneka<strong>na</strong> kusababisha mwingilianowa majukumu ya kazi;· Serikali iteuwe Baraza Jipya la Michezo kwani kwa mujibu wa Sheria, Baraza lililopolilishamaliza muda wake tangu mwaka 2009;38

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!