· Kuhamasisha mamlaka mbalimbali kujenga viwanja vya michezo kama vitega uchumivya mamlaka hizo <strong>na</strong> kuboresha viwanja vilivyopo.· Kuendelea kusajili Vyama <strong>na</strong> Vilabu vya Michezo.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, Baraza la Michezo laTaifa (BMT) litatekeleza kazi zifuatazo :-· Kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Halmashauri za Manispaa, Miji <strong>na</strong> Wilaya kuhamasisha <strong>na</strong> kuendeshamatamasha ya michezo kwa jamii.· Kuanzisha <strong>na</strong> kuendesha mafunzo ya ufundishaji michezo kwa viongozi vija<strong>na</strong> kwaushirikiano <strong>na</strong> vyama vya Michezo vya Taifa <strong>na</strong> UK-Sport Inter<strong>na</strong>tio<strong>na</strong>l.· Kuendesha mafunzo ya muda mfupi ya ufundishaji kwa Walimu wa Michezo wapatao 500katika Wilaya 10 za Tanzania Bara.· Kuandaa, Kusimamia <strong>na</strong> kuendesha mafunzo ya Uongozi kwa Vija<strong>na</strong> kupitia michezo kwawashiriki wapatao 1,200 <strong>na</strong> pia kuwashirikisha katika mabo<strong>na</strong>nza wa<strong>na</strong>funzi wapatao2,000 wa shule za Msingi <strong>na</strong> Sekondari.· Kuanzisha mpango maalum wa mafunzo ya Uongozi wa Michezo kwa Wa<strong>na</strong>wake.· Kuendesha mafunzo ya Utawala Bora, kwa Viongozi wa vyama vya Michezo vya Taifakwa lengo la kuongeza ufanisi <strong>na</strong> kuongeza tija katika Sekta ya Michezo.· Kujenga uwezo wa Wafanyakazi wa Baraza la Michezo la Taifa <strong>na</strong> vyama vya Michezovya Taifa kwa kuwaandalia mafunzo ya kulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> mahitaji yaliyopo.· Kukamilisha marekebisho ya Sheria Na.12 ya Baraza ya mwaka 1967 <strong>na</strong> marekebisho yakeNa.6 ya mwaka 1971.Mheshimiwa Naibu Spika, Idara ya Utawala <strong>na</strong> Rasilimali Watu. Katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka 20<strong>11</strong>/2012, Wizaraimekusudia kutekeleza yafuatayo:-· Kufanya mapitio ya mahitaji ya mafunzo kwa watumishi (Training Needs Assessment).· Kuandaa <strong>na</strong> kutekeleza mpango wa mafunzo utakaojumuisha mafunzo ya muda mfupi <strong>na</strong> mrefu ndani<strong>na</strong> nje ya nchi kwa watumishi wa Wizara.· Kupandisha vyeo watumishi wa Wizara walio <strong>na</strong> sifa kwa mujibu wa Nyaraka za Maendeleo ya Utumishiwa Umma.· Kuelimisha Watumishi kuhusu rushwa <strong>na</strong> maadili sehemu za kazi <strong>na</strong> kutoa mafunzo kwa wajumbe waKamati ya Maadili ya Wizara.· Kufanya mafunzo ya mpango wa maendeleo ya rasilimali watu <strong>na</strong> maandalizi ya mfumo wa taarifa zakiutumishi <strong>na</strong> mshahara (Human Capital Ma<strong>na</strong>gement Information system – HCMIS).· Kuendesha kampeni ya ushauri <strong>na</strong>saha <strong>na</strong> kupima Virus vya UKIMWI kwa hiari <strong>na</strong> kutoa huduma ya lishe<strong>na</strong> madawa kwa watumishi walioathirika.Mheshimiwa Naibu Spika, Idara ya Sera <strong>na</strong> Mipango. Katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha20<strong>11</strong>/2012 Wizara itatekeleza yafuatayo:-· Kuratibu <strong>na</strong> kukamilisha mapitio ya Sera ya Maendeleo ya Michezo ya mwaka 1995pamoja <strong>na</strong> Sheria za BAKITA, BASATA, Bodi ya Filamu <strong>na</strong> Michezo ya Kuigiza Jukwaani <strong>na</strong>Baraza la Michezo la Taifa.32
· Kufanya tathmini <strong>na</strong> ufuatiliaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo i<strong>na</strong>yotekelezwaWizarani, <strong>na</strong> kusimamia utekelezaji wa Mpango Mkakati wa Miaka Mitatu (2010/20<strong>11</strong> –2012/2013).· Kuratibu masuala ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ya<strong>na</strong>yohusu sekta za Wizara, pamoja <strong>na</strong>kubaini fursa za ushirikiano wa nchi wa<strong>na</strong><strong>cha</strong>ma wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.Mheshimiwa Naibu Spika, hitimisho, Serikali itaendeleza mafanikio yaliyopatika<strong>na</strong> katika Sektazi<strong>na</strong>zosimamiwa <strong>na</strong> Wizara ili ziweze ku<strong>cha</strong>ngia zaidi katika maendeleo ya nchi yetu. Matarajio yaSerikali ni kuo<strong>na</strong> kuwa Sekta za Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo zi<strong>na</strong> <strong>na</strong>fasi muhimu katikaku<strong>cha</strong>ngia ukuaji wa uchumi wa nchi yetu. U<strong>cha</strong>ngiaji ambao ni pamoja <strong>na</strong> kuongeza ajira,kipato, kulinda mazingira, kuleta amani <strong>na</strong> furaha katika jamii. Katika kutumia fursa hizo bado ku<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngamoto ambazo zi<strong>na</strong>hitaji zipatiwe ufumbuzi ili kuzitumia ipasavyo katika kuleta maendeleoya nchi. Matarajio yangu ni kwamba <strong>cha</strong>ngamoto zilizopo zitaendelea kupatiwa ufumbuzi hatuakwa hatua hasa kwa kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> sekta bi<strong>na</strong>fsi kupitia mfumo wa “Public-Private-Partnership”(PPP) <strong>na</strong> wadau wengine wa maendeleo. Tukidhamiria i<strong>na</strong>wezeka<strong>na</strong>.Mheshimiwa Naibu Spika, shukrani, kwa niaba ya Serikali <strong>na</strong> kwa niaba yangu, <strong>na</strong>ombakuwashukuru kwa dhati wale wote walioshirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong>si katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa2010/20<strong>11</strong>, katika kutimiza malengo yetu. Mafanikio ya utekelezaji wa majukumu <strong>na</strong> malengo yaWizara umewezeka<strong>na</strong> kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ushirikiano uliopo miongoni mwa viongozi <strong>na</strong> wafanyakazi waWizara <strong>na</strong> wadau wengine walio nje ya Wizara. Shukrani zangu za pekee ziende kwa MheshimiwaDkt. Fenella E. Mukangara, (Mb), Naibu Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo ambayeamekuwa msaada mkubwa kwangu, Bwa<strong>na</strong> Sethi Kamuhanda, Katibu Mkuu, Bibi Sihaba Nkinga,Naibu Katibu Mkuu, Wakurugenzi, Wataalamu <strong>na</strong> Watumishi wote wa Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>,Utamaduni <strong>na</strong> Michezo pamoja <strong>na</strong> Asasi zilizo chini ya Wizara kwa juhudi walizofanya kuhakikishakwamba wa<strong>na</strong>timiza ipasavyo majukumu tuliyokabidhiwa <strong>na</strong> Taifa.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda pia kuwashukuru wale wote walioshiriki katikakutekeleza majukumu ya Wizara. Aidha, <strong>na</strong>washukuru wahisani wote ambao wametusaidia <strong>na</strong><strong>na</strong>amini kuwa wataendelea kutusaidia. Siyo rahisi kuwataja wote lakini nitaje wa<strong>cha</strong>che ambaowa<strong>na</strong>endelea kutusaidia wakiwemo Serikali ya Jamhuri ya Watu wa Chi<strong>na</strong>, Finland, Uingereza,Denmark, Japan, Sweden, Norway <strong>na</strong> Ujerumani; Pia Mashirika ya kimataifa ya UNESCO <strong>na</strong>UNICEF. (Makofi)Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda kuvishukuru vyombo vyote vya habari nchini. Vyombo hivivimefanya kazi nzuri <strong>na</strong> fasaha ya kuitangaza nchi yetu. Naamini kuwa vyombo hivyo vitaendelea<strong>na</strong> kazi ya kuhabarisha, kuburudisha <strong>na</strong> kuelimisha kwa kuzingatia maadili. Aidha, <strong>na</strong>mshukurusa<strong>na</strong> Mpiga Chapa wa Serikali kwa ku<strong>cha</strong>pisha hotuba hii kwa wakati, bila kuvisahau vituo vyaTelevisheni ambavyo kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ya pekee vimerusha hotuba hii hewani.Mheshimiwa Naibu Spika, mapato, katika mwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012, Wizara imepanga kukusanyajumla ya shilingi 670,009,000 kutoka katika vyanzo vyake mbalimbali vya mapato.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012, Wizaraimetengewa bajeti ya shilingi 14,671,877,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida (MatumiziMengineyo <strong>na</strong> Mishahara), fedha hizo zi<strong>na</strong>jumuisha:-· Mishahara ya Idara Shilingi 2,076,869,000.· Mishahara ya Asasi Shilingi 5,991,270,000.· Matumizi Mengineyo ya Idara Shilingi 3,806,163,200.· Matumizi Mengineyo ya Asasi Shilingi 2,797,574,800.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha 20<strong>11</strong>/2012, Wizaraimetengewa jumla ya shilingi 3,880,851,000 kwa ajili ya kutekeleza Miradi ya Maendeleo. Kati yahizo, shilingi 770,6<strong>11</strong>,000 ni fedha za kigeni <strong>na</strong> shilingi 3,<strong>11</strong>0,240,000 ni fedha za ndani.33
- Page 7 and 8: Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12: NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14: NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16: Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18: MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84:
Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86:
hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88:
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90:
tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92:
MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94:
jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95:
na yakizungumza habari ya interest