12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

· Kuhamasisha mamlaka mbalimbali kujenga viwanja vya michezo kama vitega uchumivya mamlaka hizo <strong>na</strong> kuboresha viwanja vilivyopo.· Kuendelea kusajili Vyama <strong>na</strong> Vilabu vya Michezo.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, Baraza la Michezo laTaifa (BMT) litatekeleza kazi zifuatazo :-· Kushirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Halmashauri za Manispaa, Miji <strong>na</strong> Wilaya kuhamasisha <strong>na</strong> kuendeshamatamasha ya michezo kwa jamii.· Kuanzisha <strong>na</strong> kuendesha mafunzo ya ufundishaji michezo kwa viongozi vija<strong>na</strong> kwaushirikiano <strong>na</strong> vyama vya Michezo vya Taifa <strong>na</strong> UK-Sport Inter<strong>na</strong>tio<strong>na</strong>l.· Kuendesha mafunzo ya muda mfupi ya ufundishaji kwa Walimu wa Michezo wapatao 500katika Wilaya 10 za Tanzania Bara.· Kuandaa, Kusimamia <strong>na</strong> kuendesha mafunzo ya Uongozi kwa Vija<strong>na</strong> kupitia michezo kwawashiriki wapatao 1,200 <strong>na</strong> pia kuwashirikisha katika mabo<strong>na</strong>nza wa<strong>na</strong>funzi wapatao2,000 wa shule za Msingi <strong>na</strong> Sekondari.· Kuanzisha mpango maalum wa mafunzo ya Uongozi wa Michezo kwa Wa<strong>na</strong>wake.· Kuendesha mafunzo ya Utawala Bora, kwa Viongozi wa vyama vya Michezo vya Taifakwa lengo la kuongeza ufanisi <strong>na</strong> kuongeza tija katika Sekta ya Michezo.· Kujenga uwezo wa Wafanyakazi wa Baraza la Michezo la Taifa <strong>na</strong> vyama vya Michezovya Taifa kwa kuwaandalia mafunzo ya kulinga<strong>na</strong> <strong>na</strong> mahitaji yaliyopo.· Kukamilisha marekebisho ya Sheria Na.12 ya Baraza ya mwaka 1967 <strong>na</strong> marekebisho yakeNa.6 ya mwaka 1971.Mheshimiwa Naibu Spika, Idara ya Utawala <strong>na</strong> Rasilimali Watu. Katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka 20<strong>11</strong>/2012, Wizaraimekusudia kutekeleza yafuatayo:-· Kufanya mapitio ya mahitaji ya mafunzo kwa watumishi (Training Needs Assessment).· Kuandaa <strong>na</strong> kutekeleza mpango wa mafunzo utakaojumuisha mafunzo ya muda mfupi <strong>na</strong> mrefu ndani<strong>na</strong> nje ya nchi kwa watumishi wa Wizara.· Kupandisha vyeo watumishi wa Wizara walio <strong>na</strong> sifa kwa mujibu wa Nyaraka za Maendeleo ya Utumishiwa Umma.· Kuelimisha Watumishi kuhusu rushwa <strong>na</strong> maadili sehemu za kazi <strong>na</strong> kutoa mafunzo kwa wajumbe waKamati ya Maadili ya Wizara.· Kufanya mafunzo ya mpango wa maendeleo ya rasilimali watu <strong>na</strong> maandalizi ya mfumo wa taarifa zakiutumishi <strong>na</strong> mshahara (Human Capital Ma<strong>na</strong>gement Information system – HCMIS).· Kuendesha kampeni ya ushauri <strong>na</strong>saha <strong>na</strong> kupima Virus vya UKIMWI kwa hiari <strong>na</strong> kutoa huduma ya lishe<strong>na</strong> madawa kwa watumishi walioathirika.Mheshimiwa Naibu Spika, Idara ya Sera <strong>na</strong> Mipango. Katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha20<strong>11</strong>/2012 Wizara itatekeleza yafuatayo:-· Kuratibu <strong>na</strong> kukamilisha mapitio ya Sera ya Maendeleo ya Michezo ya mwaka 1995pamoja <strong>na</strong> Sheria za BAKITA, BASATA, Bodi ya Filamu <strong>na</strong> Michezo ya Kuigiza Jukwaani <strong>na</strong>Baraza la Michezo la Taifa.32

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!