12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

wengi hawajawa makini sa<strong>na</strong> katika masuala mazima ya computer <strong>na</strong> internet, kwa hiyo, sidhanikama hoja nyingi zi<strong>na</strong>zohusu maslahi ya Taifa zi<strong>na</strong>tumwa kwa ufasaha ama kwa uhakika <strong>na</strong>kupatiwa majibu. Kwa hiyo, <strong>na</strong>fikiri hizi njia nyinginezo za barua ama za kuo<strong>na</strong><strong>na</strong> a<strong>na</strong> kwa a<strong>na</strong> <strong>na</strong>wenzetu Maafisa Habari, zingeweza kutumika zaidi <strong>na</strong> <strong>na</strong>fikiri zi<strong>na</strong>weza zikasaidia kusogeza mbeleTaifa letu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda kuchukua fursa hii kuwapongeza Wa<strong>na</strong>habari,wamekuwa ni <strong>cha</strong>chu ya maendeleo. Lakini kwa kiasi kidogo wamekuwa <strong>na</strong> wenyewe ni<strong>cha</strong>ngamoto katika maendeleo yetu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ya kipekee kabisa kumpongezaMwandishi wa Gazeti la Mwa<strong>na</strong>halisi, Ndugu Saed Kubenea kwa kazi nzuri ambayo ameifanyakatika Taifa letu. Li<strong>cha</strong> ya vitisho, kumwagiwa tindikali, kutaka kugongwa <strong>na</strong> gari, lakiniamesimama imara <strong>na</strong> kutetea fani yake. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba sasa nigusie suala zima la utamaduni. Utamaduni katikanchi yetu kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> moja ama nyingine u<strong>na</strong>poromoka. Pamoja <strong>na</strong> kuvisifia vyombo vya habari,lakini <strong>na</strong> vyenyewe kwa wakati mwingine vimekuwa vi<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngia katika uporomokaji wa maadilihaya. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba moja kwa moja sasa nigusie sekta nyeti, sekta ya vija<strong>na</strong>.Kama tu<strong>na</strong>vyojua, asilimia zaidi ya 60 katika nchi hii ni vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> ndiyo nguvukazi ya Taifa. Kulikuwaku<strong>na</strong> msemo kwamba vija<strong>na</strong> ni Taifa la kesho, lakini hapa<strong>na</strong>, vija<strong>na</strong> ni Taifa la leo, lazimawawezeshwe leo hii ili waweze kujenga nchi yao wakati bado wa<strong>na</strong> nguvu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, katika Halmashauri zetu imekuwa i<strong>na</strong>tengwa takribani asilimiatano ya mapato ili vija<strong>na</strong> waweze kusaidiwa <strong>na</strong> kukopeshwa. Lakini ni<strong>na</strong>kotoka mimi Manispaa yaKigoma Ujiji, hali hii sijaikuta <strong>na</strong> nilipomuuliza Mkurugenzi, akasema kwamba katika usimamiaji wakurudisha fedha hizi kumekuwa <strong>na</strong> utata <strong>na</strong> usumbufu ndiyo maa<strong>na</strong> tu<strong>na</strong>shindwa kutoa kiwangohiki. Lakini mimi <strong>na</strong>o<strong>na</strong> ni kuwanyima haki zao za msingi wakazi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu ajira kwa vija<strong>na</strong>, Mkoa wa Kigoma umetengewa takribanihekta 3,000 kwa ajili ya Special Economic Zone. Eneo hili li<strong>na</strong>hitaji wawekezaji waende wakajengeviwanda, lakini tu<strong>na</strong> <strong>cha</strong>ngamoto kubwa, tu<strong>na</strong>tumia umeme wa jenereta. Hivi ni <strong>na</strong>ni ataendakuwekeza viwanda katika umeme huo? Kwa hiyo, hii ni <strong>cha</strong>ngamoto, lakini kama tungepataviwanda vya kutosha, vija<strong>na</strong> wetu wangepata ajira. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kule mjini tu<strong>na</strong>lima, mjini tu<strong>na</strong> zao la mawese, wenzetu wa Kasuluwa<strong>na</strong> zao la mhogo, Kibondo wa<strong>na</strong> asali <strong>na</strong> nta, Kigoma Vijijini wa<strong>na</strong> mawese. Vitu hivi vingewezakusaidia vija<strong>na</strong> wetu kupata ajira za kutosha <strong>na</strong> ku<strong>cha</strong>ngia uchumi wa Mkoa <strong>na</strong> Taifa kwa ujumla.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini pia, suala la elimu Kanda ya Magharibi, <strong>na</strong>penda kusikitikapamoja <strong>na</strong> Tanzania sasa hivi Vyuo Vikuu vi<strong>na</strong>ota kama uyoga, lakini Kanda ya Magharibi hatu<strong>na</strong>Chuo Kikuu hata kimoja. Kwa hiyo, ningeomba Serikali iweze kutuangalia watu wa Kanda yaMagharibi tuweze kupata chuo ili vija<strong>na</strong> wetu waweze kusoma <strong>na</strong> kupata ajira mbalimbali.Ningependekeza kama suala hili litafanyiwa kazi, basi chuo hicho kiwekwe Mkoa wa Kigoma iliwenzetu wa Tabora waje wasome, wenzetu wa Rukwa waje, wenzetu wa Kagera, Burundi, Kongo<strong>na</strong> Rwanda kwa sababu ni maeneo ya karibu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tumekuwa <strong>na</strong> tatizo la Maafisa Vija<strong>na</strong> katika Halmashauri zetu.Kwanza, mimi bi<strong>na</strong>fsi sijamuo<strong>na</strong>. Nimeenda kwenye vikao vya RCC, nimeenda kwenye vikao vyaFull Council, kwa kweli sijawahi kutambulishwa kwamba huyu ni Afisa Maendeleo ya Vija<strong>na</strong>. Hii ni<strong>cha</strong>ngamoto kubwa kwa Serikali. Jamani Serikali m<strong>na</strong> mipango mizuri, m<strong>na</strong>weka sera nzuri, kwanini hamfuatilii utekelezaji wake? Kwa nini hamhakikishi kwamba huu uteule m<strong>na</strong>outoa, m<strong>na</strong>endakuangalia huko?82

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!