12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

iangaliwe. Te<strong>na</strong> <strong>na</strong>shukuru hii Wizara yote ime-balance gender. Kwa hiyo, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> muisaidieTimu ya Taifa ya Wa<strong>na</strong>wake.Mheshimiwa Mwenyekiti, issue ya wasanii imezungumzwa sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> hawa ni vija<strong>na</strong> wenzetu<strong>na</strong> <strong>na</strong>shukuru Kambi ya Upinzani kwa wazo lake la shughuli ya kusimamia kazi za wasanii zihamieWizara ya Habari <strong>na</strong> mimi hilo <strong>na</strong>liafiki kabisa. Wasanii wetu wamechoka, wa<strong>na</strong>tumia mudamwingi kutunga nyimbo lakini hawathaminiwi. Fedha wa<strong>na</strong>zozipata haziendani kabisa <strong>na</strong> kazi zao.(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>unga mkono hoja lakini niliyosema <strong>na</strong>omba yazingatiwe.(Makofi)MWENYEKITI: Kabla sijamwita msemaji a<strong>na</strong>yefuata, <strong>na</strong>omba Idara ya Hansard, Hotuba yaMsemaji wa Kambi ya Upinzani muichukue kama ilivyokuwa kwa sababu hakuweza kuimaliza.(Makofi)MHE. ABDALLAH SHARIA AMEIR: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante kwa kunio<strong>na</strong> <strong>na</strong> kunipa<strong>na</strong>fasi kuzungumza katika Bunge hili la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mara ya kwanzakabisa.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza kabisa, <strong>na</strong>penda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwakunijalia mimi kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Jimbo la Dimani kwatiketi ya Chama <strong>cha</strong> Mapinduzi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi nitaongelea zaidi katika suala zima la mchezo wa mpira wamiguu kwa sababu kama m<strong>na</strong>vyofahamu mimi ni mdau mkubwa wa mchezo wa mpira wamiguu. Kule Zanzibar nilikuwa Katibu Mkuu wa Chama <strong>cha</strong> Mpira wa Miguu kwa miaka 12 <strong>na</strong> zaidi.Kwa maa<strong>na</strong> hiyo, <strong>na</strong>penda kumpongeza Mheshimiwa Waziri kwa kutoa hotuba yake nzuriambayo i<strong>na</strong>weza kutekelezeka ndani ya miaka mitano. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira ni fedha <strong>na</strong> bila ya fedha huwezi kuwa <strong>na</strong> mpira.Tukiangalia juzi hapa tulikuwa tu<strong>na</strong> Mashindano ya Kagame, kwa kweli tukiangalia kwa undanifedha zilitumika zaidi hasa kwa timu zote za Tanzania ambazo ziliweza kuingia katika hatua yafai<strong>na</strong>li <strong>na</strong> hatimaye timu yetu ya Yanga ya Dar es Salaam kuwa Mabingwa wa Kombe la Kageralakini <strong>na</strong>sema fedha zilitumika, Yanga imesajili wachezaji wengi hasa Asamoo kutoka Gha<strong>na</strong>. Kwahiyo, <strong>na</strong>chotaka kusema, Serikali <strong>na</strong>iomba sa<strong>na</strong> ipange bajeti madhubuti kabisa ambayoitasimamia mpira huu wa miguu wa Tanzania ili tuweze kuondoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> aibu ambayo tuliipata juzi,timu yetu ya Taifa imeshindwa kwenda Sudan <strong>na</strong> yote hii i<strong>na</strong>toka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ukosefu wa fedha. Sasa<strong>na</strong>dhani Serikali itakapokuwa i<strong>na</strong> bajeti nzuri, i<strong>na</strong> uhusiano <strong>na</strong> mambo ya michezo basi tutawezakufanya vizuri.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>iomba Serikali ifanye mambo haya yafuatayo ili kuwezakuinua mpira wetu wa miguu Tanzania. Kwanza, Wizara ya Michezo ishirikiane <strong>na</strong> Wizara ambayoi<strong>na</strong>husika <strong>na</strong> mambo ya viwanja tuhakikishe kwamba kila sehemu ambayo i<strong>na</strong>tolewa viwanja kwaajili ya makazi ya wa<strong>na</strong>damu basi kuwe <strong>na</strong> viwanja vya michezo. Viwanja hivi vya michezo sikwamba viwepo tu <strong>na</strong> Serikali iweze kuvisimamia ipasavyo. Kwa sababu kama vitakuwavimetengenezwa viwanja lakini havikusimamiwa vizuri <strong>na</strong> Serikali watatokea wajanja wa<strong>cha</strong>chekuweza kuvitumia <strong>na</strong> kufanya mambo yao ambayo wa<strong>na</strong>yahitaji. Mfano mzuri ni Uwanja waJangwani, ku<strong>na</strong> eneo ambalo limezingirwa sasa hivi watu wa<strong>na</strong>taka kulitumia kwa manufaa yaoambalo ni eneo kwa ajili ya michezo lakini kwa makusudi watu kwa ubi<strong>na</strong>fsi wao wa<strong>na</strong>takakulitumia kwa manufaa yao. Kwa hiyo, <strong>na</strong>omba Serikali ianzishe viwanja vya michezo kila sehemuzilizopimwa <strong>na</strong> isimamie.Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo la pili, kipindi <strong>cha</strong> nyuma Zanzibar kulikuwa ku<strong>na</strong> madukaya michezo ambayo ya<strong>na</strong>hudumiwa <strong>na</strong> Serikali yenyewe. Sasa <strong>na</strong>iomba sa<strong>na</strong> Wizara wetuianzishe Mfuko Maalum wa kuanzisha maduka ya michezo <strong>na</strong> yasambazwe katika kila Wilaya ilikuhakikisha kuwe <strong>na</strong> u<strong>na</strong>fuu wa vifaa vya michezo <strong>na</strong> upatika<strong>na</strong>ji wake uwe katika kila Wilaya <strong>na</strong>waweze kuvimudu kwa bei rahisi zaidi. Kwa hiyo, <strong>na</strong>iomba Serikali kupitia Wizara yetu basi ianzishe55

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!