12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Wizarailipanga kukusanya Mapato ya jumla ya shilingi 697,601,000 kutoka vyanzo mbalimbali. Hadi kufikiamwishoni mwa mwezi Juni, 20<strong>11</strong> jumla ya sh. 442,899,176/= zilikuwa zimekusanywa ambazo ni sawa<strong>na</strong> asilimia 63 ya lengo la makusanyo ya mwaka. M<strong>cha</strong>nganuo wa makusanyo hayo upo kwenyeKiambatisho Na I. Kadhalika Wizara ilitengewa jumla ya sh. 18,786,123,491/= kwa ajili ya Matumiziya Kawaida, fedha hizo zilijumuisha mishahara ya Wizara sh. 2,204,370,168/= <strong>na</strong> ya Taasisi sh.5,322,056,000/=. Matumizi Mengineyo (OC) ya Wizara sh. 7,017,626,323/= <strong>na</strong> ya Taasisi sh.4,242,071,000/=. Hadi kufikia mwezi Juni, 20<strong>11</strong>, jumla ya sh. 17,993,171,000/= zilikuwa zimetolewa <strong>na</strong>kutumika. M<strong>cha</strong>nganuo wa matumizi kwa kila Idara upo katika Kiambatisho Na. II.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong> Wizarailitengewa jumla ya shilingi 7,982,562,000 fedha za ndani kwa ajili ya kutekeleza Miradi kumi <strong>na</strong>moja ya Maendeleo. Hadi kufikia mwezi Juni 20<strong>11</strong>, shilingi 5,600,000,000 zilikuwa zimetolewa <strong>na</strong>kutumika. M<strong>cha</strong>nganuo wa matumizi kwa kila Mradi upo katika Kiambatisho Na III.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wa fedha wa 2010/20<strong>11</strong>, Wizarailitengewa jumla ya sh. 7,982,562,000/= fedha za ndani kwa ajili ya kutekeleza Miradi kumi <strong>na</strong> mojaya Maendeleo. Hadi kufikia mwezi Juni, 20<strong>11</strong>, Sh. 5,600,000,000/= zilikuwa zimetolewa <strong>na</strong>kutumika. M<strong>cha</strong>nganuo wa matumizi kwa kila Mradi upo katika Kiambatisho Na. III.Mheshimiwa Naibu Spika, kuhusu sekta ya habari. Katika mwaka wa fedha 2010/20<strong>11</strong>,Wizara ilitoa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa habari wapatao 150 kutoka katika Vitengovya Habari vya Wizara mbalimbali, Idara, Wakala, Taasisi za Umma, Mashirika ya Umma, Mikoa,Majiji, Miji <strong>na</strong> Halmashauri za Wilaya. Hivi sasa, Wizara i<strong>na</strong>endelea <strong>na</strong> m<strong>cha</strong>kato wa kukamilishaSera mpya ya Habari <strong>na</strong> ukamilishaji wa rasimu ya mapendekezo ya kutunga Sheria ya KusimamiaVyombo vya Habari.Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara kupitia Idara ya Habari imefanikiwa kukusanya taarifambalimbali za Serikali, kuandika habari <strong>na</strong> kuzitoa katika vyombo vya habari, kupiga pi<strong>cha</strong> zamatukio mbalimbali ya Kitaifa, kuzitoa katika magazeti <strong>na</strong> kuzihifadhi katika maktaba yakumbukumbu ya pi<strong>cha</strong> kwa njia ya elektroniki. Aidha, Wizara imeboresha u<strong>cha</strong>pishaji wa jarida laNchi Yetu <strong>na</strong> kuhakikisha li<strong>na</strong><strong>cha</strong>pishwa kwa wakati uliopangwa. Matoleo mawili yenye <strong>na</strong>kala8,000 za jarida hili yame<strong>cha</strong>pishwa <strong>na</strong> kusambazwa. Kadhalika Wizara ime<strong>cha</strong>pisha bango laBaraza la Mawaziri li<strong>na</strong>lowatambulisha kwa wa<strong>na</strong>nchi Mawaziri <strong>na</strong> Naibu Mawaziri <strong>na</strong> Wizarawa<strong>na</strong>zoziongoza.Mheshimiwa Naibu Spika, Tovuti ya wa<strong>na</strong>nchi imeanzishwa <strong>na</strong> Serikali ili kuhakikisha kuwawa<strong>na</strong>nchi wa<strong>na</strong>pata haki yao ya kikatiba ya kutoa maoni kwa uhuru katika masualaya<strong>na</strong>yowahusu. Tovuti imewawezesha wa<strong>na</strong>nchi kuwa <strong>na</strong> mawasiliano ya moja kwa moja <strong>na</strong>Serikali. Changamoto iliyopo kwa sasa ni kuhakikisha kwamba hoja za wa<strong>na</strong>nchi zi<strong>na</strong>jibiwa kwawakati <strong>na</strong> kwa ufasaha ili kutatua matatizo ya<strong>na</strong>yowakabili. Wizara i<strong>na</strong>endelea kuzihamasishaWizara nyingine, Idara zi<strong>na</strong>zojitegemea, Taasisi <strong>na</strong> wadau wengine ili kujibu hoja zote zi<strong>na</strong>zotolewa<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi kwa muda muafaka. Kwa kipindi <strong>cha</strong> mwaka ulioanza mwezi Julai, 2010 hadi Juni,20<strong>11</strong> jumla ya hoja <strong>11</strong>,934 zimepokelewa kupitia Tovuti ya wa<strong>na</strong>nchi <strong>na</strong> kujibiwa.Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuhakikisha ku<strong>na</strong> uelewa mzuri wa matumizi ya Tovuti yaWa<strong>na</strong>nchi, Wizara imetoa mafunzo juu ya tovuti hiyo kwa watendaji waandamizi wa Wizarambalimbali, Idara <strong>na</strong> Wakala. Aidha, ili kuhakikisha kuwa kumbukumbu za matukio mbalimbali yaKitaifa zilizohifadhiwa tangu mwaka 1948 katika mfumo wa pi<strong>cha</strong> <strong>na</strong> negatives hazipotei, Wizarailianzisha mradi wa maktaba ya pi<strong>cha</strong> ili kuhifadhi pi<strong>cha</strong> zote kwa njia ya digitali. Jumla ya pi<strong>cha</strong>2,500,000 zilizokuwepo zimehifadhiwa kwa teknolojia hiyo. Hivi sasa pi<strong>cha</strong> zote zi<strong>na</strong>zopigwa kwakutumia kamera za kisasa za digitali zi<strong>na</strong>endelea kuingizwa katika maktaba hiyo.Aidha, Wizara imeanza m<strong>cha</strong>kato wa kuanzisha mtandao wa kulinda <strong>na</strong> kuuza pi<strong>cha</strong>popote duniani kupitia internet, e–commerce project. Utaratibu huu utahakikisha kuwa pi<strong>cha</strong> zakumbukumbu za Kitaifa <strong>na</strong> Kimataifa zi<strong>na</strong>patika<strong>na</strong> kwa urahisi mahali popote duniani lakinihazichukuliwi kwa njia ya mtandao bila idhini ya Serikali.20

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!