12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

· Kutoa taarifa katika magazeti kuhusu filamu zote zilizopitishwa, zilizokatazwa <strong>na</strong> madarajazilizopatiwa.· Kuimarisha Sekretarieti ya Bodi kwa kuongeza wataalamu <strong>na</strong> kutafuta fursa za masomo yamuda mrefu <strong>na</strong> mfupi.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, TaSUBa imepangakutekeleza kazi zifuatazo:-· Kuendesha mafunzo ya Stashahada kwa washiriki 120 <strong>na</strong> mafunzo ya muda mfupi kwawasanii 150 walio kazini.· Kukamilisha Mtaala wa shahada ya kwanza ya Sa<strong>na</strong>a za Maonyesho <strong>na</strong> Sa<strong>na</strong>a za Ufundi.· Kuendesha Tamasha la 30 la Bagamoyo la Sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> Utamaduni.· Kuimarisha mafunzo ya cheti katika fani ya uzalishaji <strong>na</strong> usanifu wa muziki kwa washiriki 30.· Kujenga jengo la utawala ikiwa ni sehemu ya mpango kabambe wa TaSUBa.Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha wa 20<strong>11</strong>/2012, Mfuko wa Utamaduniumepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-· Kuendeleza tasnia ya utamaduni katika utaalamu asilia wa usukaji kwa aki<strong>na</strong> mamawaishio vijijini katika Mikoa ya Tanga, Iringa <strong>na</strong> Dodoma.· Uendelezaji wa Vituo vya Utamaduni <strong>na</strong> Masoko katika Mikoa ya Dodoma <strong>na</strong> Morogoro.· Kuendeleza tasnia ya utamaduni katika utaalamu asilia wa nguo kwenye Mikoa yaSingida <strong>na</strong> Ruvuma pamoja <strong>na</strong> Visiwa vya Pemba.Mheshimiwa Naibu Spika, sekta ya maendeleo ya michezo. Katika kipindi <strong>cha</strong> mwaka wafedha 20<strong>11</strong>/2012, Wizara itatekeleza kazi zifuatazo:-· Kuendelea <strong>na</strong> jitihada za kutafuta fedha kwa ajili ya uendelezaji wa awamu ya pili yaUjenzi wa eneo Changamani la Michezo lililoko Jijini Dar es salaam.· Kuanzisha mfumo maalum wa Kitaifa wa kutathmini sifa <strong>na</strong> kutoa madaraja ya Walimuwa Michezo mbalimbali kwa ushirikiano <strong>na</strong> Vyama vya Michezo vya Kitaifa <strong>na</strong> UK-SportInter<strong>na</strong>tio<strong>na</strong>l.· Kuratibu maandalizi <strong>na</strong> kuwezesha timu za taifa kushiriki katika michezo ya nchi za Afrikaitakayofanyika nchini Msumbiji mwezi Septemba, 20<strong>11</strong>.· Kuendesha mafunzo ya Stashahada ya Elimu ya ufundishaji michezo, Stashahada yaUongozi <strong>na</strong> Utawala wa Michezo kwa wa<strong>na</strong>chuo wa Chuo <strong>cha</strong> Maendeleo ya MichezoMalya.· Kutoa mafunzo ya muda mfupi ya fani mbalimbali za michezo kwa washiriki katika vituovya michezo Kanda ya Kaskazini (Arusha) <strong>na</strong> Kanda ya Kusini (Songea).· Kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu miundombinu <strong>na</strong> vifaa bora vya michezo kwawamiliki, mameneja wa viwanja <strong>na</strong> wadau wengine.· Kuimarisha huduma za Kinga <strong>na</strong> Tiba kwa wa<strong>na</strong>michezo kwa kupima afya, kuendeshakliniki za wazi <strong>na</strong> kuendesha mafunzo ya Kimataifa jijini Dar es Salaam <strong>na</strong> Arusha.31

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!