12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

maduka ya vifaa vya michezo katika kila Wilaya kwa ajili ya kupata vifaa vya michezo vya mpirawa miguu <strong>na</strong> kadhalika.Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo la tatu ambalo <strong>na</strong>taka kuli<strong>cha</strong>ngia katika kuendelezampira wetu wa miguu Tanzania, mashuleni ndio chimbuko letu la michezo. Kama ni chimbuko letu<strong>na</strong> tu<strong>na</strong>amini kwamba mashuleni tu<strong>na</strong>toa vipaji vizuri vya wa<strong>na</strong>michezo basi kuanzishwe somomaalum la michezo katika shule <strong>na</strong> wapatikane Walimu ambao wa<strong>na</strong>weza kufundisha masomoya michezo katika shule zetu ili kuweza kuibua vipaji ambavyo vitaweza kusaidia kukuza mchezowetu wa mpira wa miguu.Mheshimiwa Mwenyekiti, niondoke hapo niende kwenye TFF, Chama chetu <strong>cha</strong> MpiraTanzania kifanye haya yafuatayo. Moja, kuanzisha academy <strong>na</strong> academy hizi ziwe zi<strong>na</strong>simamiwa<strong>na</strong> Chama chenyewe <strong>cha</strong> michezo siyo zianzishwe academy halafu baadaye ziachiwe huru.Ndani ya academy basi kuwe <strong>na</strong> Sheria ndogondogo ambazo zitaweza kuwaba<strong>na</strong> wale ambaowa<strong>na</strong>watamani wachezaji wadogo wawe <strong>na</strong> utaratibu maalum wa kuweza kuwachukua <strong>na</strong>kuweza kuwatumia ili faida ziweze kupatika<strong>na</strong> katika sehemu zote.Mheshimiwa Mwenyekiti, la pili ambalo <strong>na</strong>liomba kwa TFF, mako<strong>cha</strong> kama walivyosemaKambi ya Upinzani, tu<strong>na</strong> mako<strong>cha</strong> wazuri wa Tanzania ambao wa<strong>na</strong>weza kufundisha.Mheshimiwa Mwenyekiti, tu<strong>na</strong>tumia hela nyingi zaidi kuwachukua mako<strong>cha</strong> wa njeambao wazalendo wako hapa ambao wa<strong>na</strong>weza kutumia hela ndogo tu <strong>na</strong> wakaweza kufanyakazi vizuri kama alivyotoa ndugu yangu hapa, aki<strong>na</strong> Julio ni ko<strong>cha</strong> mzuri <strong>na</strong> amefanya kazi nzurisa<strong>na</strong> ya kuweza kuitangaza Tanzania katika mashindano mbalimbali. Kwa hiyo, hawa ni mako<strong>cha</strong>ambao tu<strong>na</strong>wahitaji tuwaenzi, tuwaenzi kabisa waweze kuendeleza vipaji vya watoto wetu.(Makofi)Kama walivyosema wenzangu kwamba ni lazima mako<strong>cha</strong> watakaokuja kutoka nje, basini vizuri zaidi wale tukawatumia kuwafundisha mako<strong>cha</strong> wetu wa Tanzania. Halafu baadayewatakapoondoka, basi wa<strong>na</strong>a<strong>cha</strong> hazi<strong>na</strong> siyo wa<strong>na</strong>ondoka <strong>na</strong> utamu wao, hapa<strong>na</strong>.Wa<strong>na</strong>ondoka, lakini wa<strong>na</strong>tuachia hekima ambayo tu<strong>na</strong>weza tukaitumia siku hadi siku.Mheshimiwa Mwenyekiti, niondoke hapo, niende katika TFF <strong>na</strong> ZFA. Kwa kweli <strong>na</strong>shukurusa<strong>na</strong> uhusiano uliokuwepo kati ya TFF <strong>na</strong> ZFA Zanzibar katika muda mrefu <strong>na</strong> ushirikiano ambaoumetoka katika kuhakikisha kwamba Zanzibar <strong>na</strong>yo i<strong>na</strong>kuwa mwa<strong>na</strong><strong>cha</strong>ma wa FIFA. Lakini bila yaZanzibar, haku<strong>na</strong> Tanzania. Zanzibar ndiyo i<strong>na</strong>yofanya kuwe <strong>na</strong> Tanzania. Lakini muda woteambao nilikuwa nimeweza kufanya kazi ndani ya ZFA Zanzibar, sijao<strong>na</strong> ruzuku hata moja ambayoimetokea TFF kwenda ZFA katika kuisaidia. Ile ruzuku i<strong>na</strong>yotoka FIFA ni ruzuku ya Tanzania <strong>na</strong> kamani ruzuku ya Tanzania <strong>na</strong> Zanzibar <strong>na</strong>yo wa<strong>na</strong>yo haki waweze kuipata. (Makofi)Kwa hiyo, <strong>na</strong>omba Mheshimiwa Waziri atakapokuja, atuelezee: Je, a<strong>na</strong>elewa nini? TFFi<strong>na</strong>pata ruzuku gani kutoka FIFA? Je, ZFA i<strong>na</strong>kuwa i<strong>na</strong>gawiwa katika mfumo gani kama ipo haki yakuweza kugawiwa? Kwa hiyo, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Waziri atakapokuja, hili <strong>na</strong>ombaatuelezee ili tuweze kufahamu: Je, ZFA i<strong>na</strong>kuwa i<strong>na</strong> haki ya kuweza kupata fungu kutoka FIFAambayo imepitia TFF au fungu lolote liko ndani ya TFF peke yake?Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo, <strong>na</strong>penda sa<strong>na</strong> kuwapongeza sa<strong>na</strong>wa<strong>na</strong>nchi wangu wa Dimani kwa kuni<strong>cha</strong>gua mimi kuwa Mbunge <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>waahidi kwambasitawaangusha katika kipindi <strong>cha</strong> miaka mitano. Baada ya kusema hayo, <strong>na</strong>unga mkono hoja.Asante sa<strong>na</strong>. (Makofi)MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Abdallah Sharia. Naomba kumwita sasaMheshimiwa Muhammed Seif Khatib, Mheshimiwa Alhaj Mohamed Missanga ajiandae <strong>na</strong>Mheshimiwa Mariam Kasembe atafuatia. Mheshimiwa Mohammed.MHE. MUHAMMED SEIF KHATIB: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>shukuru kwa kunipa heshima hii<strong>na</strong> mimi kwa sababu ni mara yangu ya kwanza kusimama tangu u<strong>cha</strong>guzi mkuu kumalizika,ningeomba nichukue <strong>na</strong>fasi hii kuwashukuru wapiga kura wangu wa Jimbo la Uzini Zanzibar kwa56

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!