12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, <strong>na</strong>penda kumshukuru Katibu wa Bunge Dkt. ThomasKashillilah akisaidiwa <strong>na</strong> Makatibu wa Kamati Ndugu Hosia<strong>na</strong> John <strong>na</strong> Ndugu Grace Bidya kwakuratibu shughuli za Kamati hadi Taarifa hii kutoka.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>omba kuwasilisha <strong>na</strong> <strong>na</strong>unga mkono hoja. (Makofi)NAIBU SPIKA: Ahsante sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Juma Nkamia kwa hotuba hiyo kwa niaba yaMwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii, ukiwa kama Makamu wa Mwenyekiti wa Kamatihiyo. Tu<strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong> kwa mara nyingine kwa usomaji wako ambao umetufundisha <strong>na</strong>m<strong>na</strong> yakuweka mambo sawasawa hapa, maa<strong>na</strong> wewe u<strong>na</strong> uzoefu wa kutumia Mic hizi kwa miaka mingi.Waheshimiwa Wabunge, Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo wa<strong>na</strong>fanyamaonyesho ya shughuli za Wizara hiyo katika eneo letu la maonyesho <strong>na</strong> kuuza pi<strong>cha</strong> za viongoziwa Kitaifa.Pia kampuni ya Freedom Electronic i<strong>na</strong>fanya maonyesho ya vifaa vya umeme vya ai<strong>na</strong>ya SAMSUNG. Wa<strong>na</strong>toa bei <strong>na</strong>fuu kwa ajili ya Wabunge wa<strong>na</strong>okwenda kununua vifaa hivyo <strong>na</strong>wa<strong>na</strong>nchi wengine walio katika maeneo haya.Waheshimiwa Wabunge, lingine ni kwamba mtao<strong>na</strong> maoni ya leo ya Kamati pamojaKambi ya Upinzani hayaku<strong>cha</strong>pwa katika vijitabu vyetu vile vya kawaida ambavyo tumevizoeabadala yake yako katika katarasi za A4, ni kwa sababu ile mashine yetu ya kudurusu i<strong>na</strong> matatizokidogo, tu<strong>na</strong>omba tuvumiliane.Nimepata vikaratasi vingi vikinukuu ile Kanuni ya “Mheshimiwa Mbunge kutotumia lughaya kuudhi” kutoka kwa Wabunge kadhaa wakisema kwamba Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>,Utamaduni <strong>na</strong> Michezo, alipotangaza kwamba Yanga wamekuwa Mabingwa peke yao bilakuwapongeza sa<strong>na</strong> Simba, kidogo imewakwaza baadhi yao. Naomba niseme Mheshimiwa Wazirihakuwa <strong>na</strong> nia mbaya. (Kicheko)Waheshimiwa Wabunge, kabla sijamwita Msemaji wa Kambi ya Upinzani, nitoe Mwongozowa Spika kuhusu suala liliombewa Mwongozo humu Bungeni <strong>na</strong> Mheshimiwa Faida MohamedBakar ja<strong>na</strong> kama ifuatavyo kwa mujibu wa Kanuni ile ya 68(1) <strong>na</strong> (7) ya Kanuni za Kudumu zaBunge, Toleo la 2007.Waheshimiwa Wabunge, ja<strong>na</strong> wakati wa kipindi <strong>cha</strong> asubuhi mara baada ya kipindi <strong>cha</strong>maswali, nilipokea maombi ya Mwongozo wa Spika kutoka kwa Mheshimiwa Faida MohamedBakar, Mwenyekiti alikuwa Mheshimiwa George Simba<strong>cha</strong>wene. Akasema <strong>na</strong> <strong>na</strong>nukuu:-“Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba Mwongozo wako, kwa kuwa katika kipindi <strong>cha</strong>maswali <strong>na</strong> majibu, Mheshimiwa Esther Matiko alisema Wa<strong>na</strong>jeshi wa<strong>na</strong>po<strong>cha</strong>nganyika <strong>na</strong>wa<strong>na</strong>nchi wa<strong>na</strong>baka watoto wa shule <strong>na</strong> Mheshimiwa Waziri hakusita, akamsifia, ahsante sa<strong>na</strong> <strong>na</strong>akasema kweli. Alivyomjibu kuwa ni kweli <strong>na</strong> amempongeza muuliza swali, <strong>na</strong>omba Mwongozowako, Bunge hili li<strong>na</strong>penda kujua kama hii ndiyo kauli ya Serikali hapa Bungeni kuwa Wa<strong>na</strong>jeshiwa<strong>na</strong>baka watoto wa shule?” Mwisho wa kunukuu kwa aliyoyasema Mheshimiwa Faida Bakar.Waheshimiwa Wabunge, Mwongozo wangu. Nimepitia Taarifa Rasmi za Majadiliano yaBunge ili kupata mtiririko wa swali la Mheshimiwa Esther Matiko ambalo aliuliza <strong>na</strong> mimi <strong>na</strong>nukuu:-“Kwa kuwa uwepo wa Wa<strong>na</strong>jeshi wame<strong>cha</strong>nganyika <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi kumepelekeamatendo mengine maovu kutendeka kama ubakaji wa wa<strong>na</strong>funzi wa shule za msingi, je, Serikalihaioni hiki kitu ni kibaya sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> ki<strong>na</strong>hitaji uharaka wa ai<strong>na</strong> yake kuwahamisha wa<strong>na</strong>nchi haoharaka sa<strong>na</strong> iwezeka<strong>na</strong>vyo?” Mwisho wa kunukuu swali la Mheshimiwa Matiko.Waheshimiwa Wabunge, jibu la Mheshimiwa Waziri wa Ardhi <strong>na</strong> Maendeleo ya Makazililikuwa <strong>na</strong> mimi <strong>na</strong>nukuu alivyosema:-41

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!