1. Mfuko wa Uwezeshaji maarufu kama Mfuko wa JK umeonesha kuwasaidia sa<strong>na</strong>Watanzania, hata hivyo vija<strong>na</strong> wengi vijijini hawakufaidika <strong>na</strong>o japokuwa ndiowazalishaji wakuu. Serikali itengeneze mpango maalum wa kuwafikishia rasilimalifedha vija<strong>na</strong> vijijini;2. Kwa kuwa kumekuwa <strong>na</strong> mazoea ya kuundwa kwa vigenge vya vija<strong>na</strong>wasiojishughulisha Mijini <strong>na</strong> Vijijini, Serikali irejee Sheria ya Nguvu Kazi <strong>na</strong> kuvigeuzavijiwe au vigenge hivyo vya vija<strong>na</strong> kuwa vikundi vya ajira <strong>na</strong> uzalishaji. Vikundihivyo vipewe nyenzo,mitaji <strong>na</strong> mafunzo ili pia kutatua tatizo la ajira;3. Kuanzishwe mfumo wa kutambua kazi rasmi <strong>na</strong> zisizo rasmi ili kuwaruhusu vija<strong>na</strong>kujiajiri;4. Vyuo vya VETA virudishwe Wizara ya Kazi <strong>na</strong> Ajira au Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>,Utamaduni <strong>na</strong> Michezo ili kusimamia vizuri sekta hiyo ya vija<strong>na</strong> kwani Vyuo hivyovi<strong>na</strong>lenga maendeleo ya vija<strong>na</strong> hususan ajira;5. Kutambua vikwazo vi<strong>na</strong>vyosababisha kutokuwepo kwa maendeleo endelevu yavija<strong>na</strong>; <strong>na</strong>6. Mikataba yote iliyosainia yenye kukuza <strong>na</strong> kuleta tija kwa vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> utamaduni waTaifa itungiwe Sheria haraka ili Taifa linufaike <strong>na</strong> Mikataba hiyo.Mheshimiwa Naibu Spika, shukrani. Kwa niaba ya Kamati, <strong>na</strong>omba kukushukuru wewebi<strong>na</strong>fsi kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> u<strong>na</strong>vyoendesha Vikao vya Bunge kwa umahiri <strong>na</strong> busara <strong>na</strong> kwa kunipatia<strong>na</strong>fasi ya kuwasilisha maoni ya Kamati. Aidha, <strong>na</strong>wapongeza Wenyeviti wote wa Kamati zaKudumu za Bunge kwa jinsi wa<strong>na</strong>vyokusaidia kuendesha shughuli za Bunge.Mheshimiwa Spika, <strong>na</strong>penda kumshukuru Mheshimiwa Dkt. Emmanuel John Nchimbi (Mb)Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo, Naibu Waziri Mheshimiwa Dkt. Fenella EphraimMukangara (Mb), Katibu Mkuu Ndugu Sethi Kamuhanda, Naibu Katibu Mkuu, Ndugu SihabaNkinga <strong>na</strong> watumishi wote wa Wizara <strong>na</strong> Mashirika yaliyo chini ya Wizara hii kwa ushirikianomkubwa waliotupatia wakati wa kutekeleza kazi za Kamati. Kamati i<strong>na</strong>washukuru sa<strong>na</strong> <strong>na</strong>kuwatakia mafanikio makubwa zaidi katika kazi za ujenzi wa Taifa letu.Mheshimiwa Naibu Spika, Kwa umuhimu wa kipekee, <strong>na</strong>washukuru Wajumbe wa Kamatiyangu kwa ushirikiano mkubwa katika kutekeleza kazi za Kamati. Naomba niwatambue wajumbewa Kamati ya Maendeleo ya Jamii kama ifuatavyo:-Mheshimiwa Jenista J. Mhagama, Mwenyekiti <strong>na</strong> Mheshimiwa Juma Suleiman Nkamia,Makamu Mwenyekiti. (Makofi)Wengine ni Mheshimiwa Capt. John Damian Komba, Mheshimiwa Dkt.Getrude PangalileRwakatare, Mheshimiwa Fatuma Abdallah Mikidadi, Mheshimiwa Agnes Elias Hokororo,Mheshimiwa Mary Pius Chatanda, Mheshimiwa Moza Abedi Saidy, Mheshimiwa Do<strong>na</strong>ld Kevin Max,Mheshimiwa Joseph Osmund Mbilinyi, Mheshimiwa Mhe. Hamad Ali Hamad, Mheshimiwa AbdallahSharia Ameir, Mheshimiwa Salum Khalfan Barwany, Mheshimiwa Mariam Salum Msabaha,Mheshimiwa Mch.Assumpter Nshunju Mshama, Mheshimiwa Asha Mohamed Omar, MheshimiwaRamadhan Haji Salehe, Mheshimiwa Dkt. Seif Seleman Rashid, Mheshimiwa Rebecca Mi<strong>cha</strong>elMngodo, Mheshimiwa Said Mohamed Mtanda, Mheshimiwa Hussein Mussa Mzee <strong>na</strong> MheshimiwaLivingstone Joseph Lusinde. (Makofi)Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda kuwashukuru kwa dhati sa<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi wa Jimbo laKondoa Kusini <strong>na</strong> Kondoa kwa ujumla <strong>na</strong> familia yangu yote kwa ujumla, lakini pia niwashukuruviongozi wote wa Vyama vya Upinzani katika Wilaya ya Kondoa wa<strong>na</strong>oshirikia<strong>na</strong> <strong>na</strong> mimisitowataja maji<strong>na</strong> kwa sababu <strong>na</strong>ogopa huenda wakafukuzwa.40
Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, <strong>na</strong>penda kumshukuru Katibu wa Bunge Dkt. ThomasKashillilah akisaidiwa <strong>na</strong> Makatibu wa Kamati Ndugu Hosia<strong>na</strong> John <strong>na</strong> Ndugu Grace Bidya kwakuratibu shughuli za Kamati hadi Taarifa hii kutoka.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>omba kuwasilisha <strong>na</strong> <strong>na</strong>unga mkono hoja. (Makofi)NAIBU SPIKA: Ahsante sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Juma Nkamia kwa hotuba hiyo kwa niaba yaMwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Jamii, ukiwa kama Makamu wa Mwenyekiti wa Kamatihiyo. Tu<strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong> kwa mara nyingine kwa usomaji wako ambao umetufundisha <strong>na</strong>m<strong>na</strong> yakuweka mambo sawasawa hapa, maa<strong>na</strong> wewe u<strong>na</strong> uzoefu wa kutumia Mic hizi kwa miaka mingi.Waheshimiwa Wabunge, Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo wa<strong>na</strong>fanyamaonyesho ya shughuli za Wizara hiyo katika eneo letu la maonyesho <strong>na</strong> kuuza pi<strong>cha</strong> za viongoziwa Kitaifa.Pia kampuni ya Freedom Electronic i<strong>na</strong>fanya maonyesho ya vifaa vya umeme vya ai<strong>na</strong>ya SAMSUNG. Wa<strong>na</strong>toa bei <strong>na</strong>fuu kwa ajili ya Wabunge wa<strong>na</strong>okwenda kununua vifaa hivyo <strong>na</strong>wa<strong>na</strong>nchi wengine walio katika maeneo haya.Waheshimiwa Wabunge, lingine ni kwamba mtao<strong>na</strong> maoni ya leo ya Kamati pamojaKambi ya Upinzani hayaku<strong>cha</strong>pwa katika vijitabu vyetu vile vya kawaida ambavyo tumevizoeabadala yake yako katika katarasi za A4, ni kwa sababu ile mashine yetu ya kudurusu i<strong>na</strong> matatizokidogo, tu<strong>na</strong>omba tuvumiliane.Nimepata vikaratasi vingi vikinukuu ile Kanuni ya “Mheshimiwa Mbunge kutotumia lughaya kuudhi” kutoka kwa Wabunge kadhaa wakisema kwamba Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>,Utamaduni <strong>na</strong> Michezo, alipotangaza kwamba Yanga wamekuwa Mabingwa peke yao bilakuwapongeza sa<strong>na</strong> Simba, kidogo imewakwaza baadhi yao. Naomba niseme Mheshimiwa Wazirihakuwa <strong>na</strong> nia mbaya. (Kicheko)Waheshimiwa Wabunge, kabla sijamwita Msemaji wa Kambi ya Upinzani, nitoe Mwongozowa Spika kuhusu suala liliombewa Mwongozo humu Bungeni <strong>na</strong> Mheshimiwa Faida MohamedBakar ja<strong>na</strong> kama ifuatavyo kwa mujibu wa Kanuni ile ya 68(1) <strong>na</strong> (7) ya Kanuni za Kudumu zaBunge, Toleo la 2007.Waheshimiwa Wabunge, ja<strong>na</strong> wakati wa kipindi <strong>cha</strong> asubuhi mara baada ya kipindi <strong>cha</strong>maswali, nilipokea maombi ya Mwongozo wa Spika kutoka kwa Mheshimiwa Faida MohamedBakar, Mwenyekiti alikuwa Mheshimiwa George Simba<strong>cha</strong>wene. Akasema <strong>na</strong> <strong>na</strong>nukuu:-“Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba Mwongozo wako, kwa kuwa katika kipindi <strong>cha</strong>maswali <strong>na</strong> majibu, Mheshimiwa Esther Matiko alisema Wa<strong>na</strong>jeshi wa<strong>na</strong>po<strong>cha</strong>nganyika <strong>na</strong>wa<strong>na</strong>nchi wa<strong>na</strong>baka watoto wa shule <strong>na</strong> Mheshimiwa Waziri hakusita, akamsifia, ahsante sa<strong>na</strong> <strong>na</strong>akasema kweli. Alivyomjibu kuwa ni kweli <strong>na</strong> amempongeza muuliza swali, <strong>na</strong>omba Mwongozowako, Bunge hili li<strong>na</strong>penda kujua kama hii ndiyo kauli ya Serikali hapa Bungeni kuwa Wa<strong>na</strong>jeshiwa<strong>na</strong>baka watoto wa shule?” Mwisho wa kunukuu kwa aliyoyasema Mheshimiwa Faida Bakar.Waheshimiwa Wabunge, Mwongozo wangu. Nimepitia Taarifa Rasmi za Majadiliano yaBunge ili kupata mtiririko wa swali la Mheshimiwa Esther Matiko ambalo aliuliza <strong>na</strong> mimi <strong>na</strong>nukuu:-“Kwa kuwa uwepo wa Wa<strong>na</strong>jeshi wame<strong>cha</strong>nganyika <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>nchi kumepelekeamatendo mengine maovu kutendeka kama ubakaji wa wa<strong>na</strong>funzi wa shule za msingi, je, Serikalihaioni hiki kitu ni kibaya sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> ki<strong>na</strong>hitaji uharaka wa ai<strong>na</strong> yake kuwahamisha wa<strong>na</strong>nchi haoharaka sa<strong>na</strong> iwezeka<strong>na</strong>vyo?” Mwisho wa kunukuu swali la Mheshimiwa Matiko.Waheshimiwa Wabunge, jibu la Mheshimiwa Waziri wa Ardhi <strong>na</strong> Maendeleo ya Makazililikuwa <strong>na</strong> mimi <strong>na</strong>nukuu alivyosema:-41
- Page 7 and 8: Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12: NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14: NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16: Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18: MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20: inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22: Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24: Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26: katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28: wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30: · Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32: · Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87 and 88: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90: tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92:
MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94:
jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95:
na yakizungumza habari ya interest