Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>shukuru, muda wangu mfupi. (Makofi)MHE. FAIDA MOHAMMED BAKAR: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sa<strong>na</strong> kwa kunipatia<strong>na</strong>fasi <strong>na</strong> mimi niweze kuongelea hotuba ya Waziri wa Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo.Naunga mkono hoja kabla sijaanza kuongea. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutufikisha hapa leotukiwa katika hali ya amani <strong>na</strong> usalama. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda kuchukua fursa hii adhimu kumshukuru MheshimiwaWaziri wa Wizara hii kwa kazi kubwa a<strong>na</strong>yoifanya kila siku katika kuliendeleza Taifa hili <strong>na</strong>kuidumisha Wizara hii. Mheshimiwa Waziri, Dkt. Emmanuel Nchimbi <strong>na</strong>mwelewa sa<strong>na</strong> kwa sababualikuwa Mwenyekiti wangu wa Vija<strong>na</strong> Taifa, Umoja wa Vija<strong>na</strong> wa Chama <strong>cha</strong> Mapinduzi. Natu<strong>na</strong>mwelewa kwa kazi yake kubwa ambayo alikuwa a<strong>na</strong>ifanya katika kipindi chote. Kwa hiyo,<strong>na</strong>muamini <strong>na</strong> a<strong>na</strong>weza kufanya kazi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda pia kumpongeza Mheshimiwa Naibu Waziri, rafikiyangu Dkt. Fenella Mukangara, a<strong>na</strong>cheka cheka pale, a<strong>na</strong>jua, kwa kazi kubwa ya ushirikiano <strong>na</strong>Mheshimiwa Dkt. Nchimbi kwa kuiongoza Wizara hii. (Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>penda ku<strong>cha</strong>ngia yafuatayo, kwanza kabla sijaingia hapa,niombe Wizara hii ikisaidia<strong>na</strong> <strong>na</strong> Bunge iweze kutuletea wale wa<strong>na</strong>otafsiri lugha kwa walio <strong>na</strong>ulemavu wa<strong>na</strong>otuangalia kule kwa sababu Bunge li<strong>na</strong>toka live. Wale ambao wa<strong>na</strong>kuwahawasikii, hawawezi kujua sisi tu<strong>na</strong>ongea nini, hawawezi kujua Wabunge wao wa<strong>na</strong>ongea nini.Nawahurumia sa<strong>na</strong>, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> iweze kutekelezwa hiyo kwa heshima <strong>na</strong> taadhima <strong>na</strong> vilevilekatika vyombo vya habari vyote, wawemo wale wa<strong>na</strong>otafsiri lugha zile kwa hao walemavu, <strong>na</strong>wao wa<strong>na</strong>taka kujua maendeleo ya nchi yao, lakini hawawezi kusikia. Naomba sa<strong>na</strong> hilolitekelezwe. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu waandishi wa habari. Nawapongezasa<strong>na</strong> waandishi wa habari wa nchi yetu ya Tanzania kwa kazi kubwa, nzuri <strong>na</strong> ngumuwa<strong>na</strong>yoifanya usiku <strong>na</strong> m<strong>cha</strong><strong>na</strong> katika kutuhabarisha sisi wa<strong>na</strong>nchi. Kazi ya habari ni ngumu sa<strong>na</strong>,mimi nilijaribu kuisomea kidogo hii habari, lakini nikaio<strong>na</strong> ni ngumu sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> ndiyo maa<strong>na</strong>sikumalizia kwa sababu niliio<strong>na</strong> ni ngumu. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo hii kazi ni ngumu sa<strong>na</strong>. Hawa waandishi wa habarii<strong>na</strong>paswa Serikali iwaangalie. Iwaangalie kwa sababu bila ya waandishi wa habari nchi yetuhaiwezi kwenda mbele kwa sababu hatuwezi kupata taarifa. Bila taarifa hatuwezi kujua niniki<strong>na</strong>fanyika katika nchi hii. Lakini waandishi wa habari leo, hawa waandishi wa habariwa<strong>na</strong>nyimwa haki zao mbalimbali ingawa Serikali i<strong>na</strong>jitahidi kuwasaidia kwa kila hali.Mheshimiwa Mwenyekiti, o<strong>na</strong>, mfano kama kwenye maandamano pengine ya kisiasa jinsiambavyo waandishi wa habari wa<strong>na</strong>vyokuwa mstari wa mbele kutuhabarisha <strong>na</strong> mambombalimbali. Lakini pale huwa wa<strong>na</strong>pata athari nyingi sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> mimi siku moja nilisema hapaBungeni, ku<strong>na</strong> mwandishi mmoja wa habari alipigwa <strong>na</strong> ile camera yake ikapasuliwa <strong>na</strong> sijui kesiile ilifikia hatua gani mpaka leo sijui i<strong>na</strong>endeleaje.Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kweli <strong>na</strong>muomba sa<strong>na</strong> Mheshimiwa Waziri alione hilo, wawe<strong>na</strong> vitendea kazi kwani hawa ni vibaya kuwa <strong>na</strong> magari? U<strong>na</strong>jua, kama wakienda kutafuta habari,waandishi wa habari wa<strong>na</strong>enda kwa miguu. Wakopeshwe magari ili waweze kuzifuatilia habarikwa uharaka. Hata kama hawa<strong>na</strong> magari, basi hata Vespa waweze kukopeshwa katika Wizarahii, Serikali iwakopeshe, mwenzangu a<strong>na</strong>niambia hata Bajaj, lakini Bajaj hazifai. Wapatiwe usafiri iliwaweze kutekeleza kazi zao kwa haraka kwa sababu ni watu muhimu sa<strong>na</strong>. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, hata hapa Bungeni, hawa waandishi wa habari wa hapaBungeni, ku<strong>na</strong> sehemu yao kule wametengewa. Tulisema hapa, mimi mwenyewe niliongea hapakwamba angalau wapatiwe computer mbalimbali ziwasaidie. Lakini ukienda kule ham<strong>na</strong>,wa<strong>na</strong>tumia tu laptop zao <strong>na</strong> vilevile kulikuwa <strong>na</strong> TV, haipo. Sasa mfano kama mwandishi hayupo84
hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofisi yake, atamwo<strong>na</strong> vipi Faida akiongea hapa Bungeni?Atachukuaje habari? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> waandishi wa habari waangaliwe <strong>na</strong>vilevile waandishi wa habari hasa wa vyombo bi<strong>na</strong>fsi wawekewe bima. Kazi hii ni ngumu sa<strong>na</strong>,ku<strong>na</strong> mambo makubwa ya<strong>na</strong>yowapata waandishi wa habari. Kila siku tu<strong>na</strong>lisema jambo hili, lakinimpaka leo halijatekelezwa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>unganisha hapo hapo, hivi waandishi wa habari wa Zanzibarwako wapi hapa Bungeni? Hili ni Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, <strong>na</strong>iomba Serikali <strong>na</strong>wao waandishi wa habari wa Zanzibar wawe wa<strong>na</strong>kuja katika vipindi vya Bunge hapa ili <strong>na</strong> waowaweze kuwahabarisha wa<strong>na</strong>nchi kule Zanzibar <strong>na</strong> vilevile waweze kuo<strong>na</strong> jinsi gani Bungeli<strong>na</strong>endeshwa <strong>na</strong> wao waweze kufanya, kuandika habari za Bunge lao kwa sababu hili ni Bunge laJamhuri ya Muungano wa Tanzania. Naiomba Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, iwaandae waandishiwake wa habari wawe wa<strong>na</strong>kuja wakati wa Bunge hapa ili <strong>na</strong> wao kule Zanzibar wawezekuelimika. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, vilevile <strong>na</strong>omba ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> mikopo. Vija<strong>na</strong> niasilimia kubwa katika nchi yetu, haku<strong>na</strong> asiyejua <strong>na</strong> vija<strong>na</strong> ndiyo wapiga kura wakubwawakiwemo aki<strong>na</strong> baba <strong>na</strong> aki<strong>na</strong> mama. Vija<strong>na</strong> kwa kweli wametengewa mfuko wao huu, lakiniku<strong>na</strong> mfuko mkubwa huu wa JK, lakini huoni vija<strong>na</strong> wengi ambao wa<strong>na</strong>pata mikopo hii. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> vija<strong>na</strong> wapatiwe mikopo kwa sababu vija<strong>na</strong> niTaifa la leo. Wasipokuwa <strong>na</strong> kazi hawa vija<strong>na</strong> watakuwa wa<strong>na</strong>zurura zurura, mwisho watavutabangi <strong>na</strong> unga. Itakuwa kazi bure sisi hapa nchini kwetu, itakuwa hapa<strong>na</strong> salama. Naomba sa<strong>na</strong>vija<strong>na</strong> waangaliwe katika mikopo mbalimbali ili kuweza kuendeshea miradi yao mbalimbali <strong>na</strong>kujitafutia maisha. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> ajira. Hata kama vija<strong>na</strong> wako wengi sa<strong>na</strong>, lakini huonikwamba vija<strong>na</strong> ni wengi sa<strong>na</strong> ambao wa<strong>na</strong>fanya kazi katika sekta mbalimbali katika Serikali.Naomba sa<strong>na</strong> vija<strong>na</strong> wawe wa<strong>na</strong>ajiriwa. Hii Wizara iwe <strong>na</strong> database, ijue hasa vija<strong>na</strong> wake niwangapi katika nchi yetu ya Tanzania <strong>na</strong> wapi hawajaajiriwa. Vija<strong>na</strong> wengi ni wasomi, lakinihawa<strong>na</strong> ajira. Naomba sa<strong>na</strong> vija<strong>na</strong> waweze kuajiriwa ili wasije wakapotoka. Vija<strong>na</strong> wasipokuwa<strong>na</strong> ajira i<strong>na</strong>kuwa ni tatizo, sisi ndiyo wazazi, tu<strong>na</strong>jua. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, wizi wa kazi za sa<strong>na</strong>a. Jamani, wasanii ni watu muhimu sa<strong>na</strong>.Msanii ni kioo <strong>cha</strong> jamii. Tu<strong>na</strong>wahitaji sa<strong>na</strong> wasanii kwa sababu ya kuendeleza mila <strong>na</strong> desturi zetukatika nchi yetu ya Tanzania. Ku<strong>na</strong> wasanii mbalimbali, wenyewe wa<strong>na</strong>sema wale wasanii wazamani wa<strong>na</strong>oimba taarabu za kizamani, wa<strong>na</strong>oimba muziki wa kizamani, aki<strong>na</strong> King Kiki. Lakiniwapo pia wa Bongo Fleva, tu<strong>na</strong>wapenda <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>toa elimu kubwa sa<strong>na</strong>. Wasanii wa BongoFleva wa<strong>na</strong>toa fundisho kubwa sa<strong>na</strong> kwa jamii. (Makofi)Lakini wakifanya kazi zao hazionekani, mapato hayaonekani, wa<strong>na</strong>iba watu wa<strong>na</strong>pelekanje, wa<strong>na</strong>peleka sehemu mbalimbali. Sasa hivi ku<strong>na</strong> ufuatiliaji, lakini sijui, <strong>na</strong>penda tu kusema sijuikama utafanikiwa! Lakini Mwenyezi Mungu aujalie. (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, wasanii aki<strong>na</strong> Ferouz, Chege, Tundaman, Madee, Diamond,Lady Jay Dee, TID, wote ni wasanii wazuri sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> wengine tu<strong>na</strong>wapenda <strong>na</strong> nyimbo zao wakatiwa kupumzika u<strong>na</strong>furahi <strong>na</strong> u<strong>na</strong> elimika. (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, tuwapendelee sa<strong>na</strong> wasanii, tuwatunze wasanii, tuwawekeefungu lake <strong>na</strong> wao wasanii katika Bajeti zetu ili nchi yetu <strong>na</strong> wasanii wetu hawa wawezekuendelea mbele.Mheshimiwa Mwenyekiti, mashindano ya Big Brother Africa, hapa sasa ndiyo kwenyemaneno. Ku<strong>na</strong> vija<strong>na</strong> wetu wa<strong>na</strong>shirikishwa kwenye Big Brother. Hivi, mimi <strong>na</strong>muuliza MheshimiwaWaziri, ukija ujibu, hii Big Brother Africa maa<strong>na</strong> yake nini? Yafundisha nini? (Makofi)85
- Page 7 and 8:
Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12:
NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14:
NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16:
Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18:
MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20:
inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22:
Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24:
Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26:
katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28:
wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30:
· Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32:
· Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34: · Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36: 2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 87 and 88: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 89 and 90: tunakwenda Wizara ya Utamaduni kwa
- Page 91 and 92: MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94: jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95: na yakizungumza habari ya interest