12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofisi yake, atamwo<strong>na</strong> vipi Faida akiongea hapa Bungeni?Atachukuaje habari? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> waandishi wa habari waangaliwe <strong>na</strong>vilevile waandishi wa habari hasa wa vyombo bi<strong>na</strong>fsi wawekewe bima. Kazi hii ni ngumu sa<strong>na</strong>,ku<strong>na</strong> mambo makubwa ya<strong>na</strong>yowapata waandishi wa habari. Kila siku tu<strong>na</strong>lisema jambo hili, lakinimpaka leo halijatekelezwa. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>unganisha hapo hapo, hivi waandishi wa habari wa Zanzibarwako wapi hapa Bungeni? Hili ni Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, <strong>na</strong>iomba Serikali <strong>na</strong>wao waandishi wa habari wa Zanzibar wawe wa<strong>na</strong>kuja katika vipindi vya Bunge hapa ili <strong>na</strong> waowaweze kuwahabarisha wa<strong>na</strong>nchi kule Zanzibar <strong>na</strong> vilevile waweze kuo<strong>na</strong> jinsi gani Bungeli<strong>na</strong>endeshwa <strong>na</strong> wao waweze kufanya, kuandika habari za Bunge lao kwa sababu hili ni Bunge laJamhuri ya Muungano wa Tanzania. Naiomba Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, iwaandae waandishiwake wa habari wawe wa<strong>na</strong>kuja wakati wa Bunge hapa ili <strong>na</strong> wao kule Zanzibar wawezekuelimika. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, vilevile <strong>na</strong>omba ku<strong>cha</strong>ngia kuhusu vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> mikopo. Vija<strong>na</strong> niasilimia kubwa katika nchi yetu, haku<strong>na</strong> asiyejua <strong>na</strong> vija<strong>na</strong> ndiyo wapiga kura wakubwawakiwemo aki<strong>na</strong> baba <strong>na</strong> aki<strong>na</strong> mama. Vija<strong>na</strong> kwa kweli wametengewa mfuko wao huu, lakiniku<strong>na</strong> mfuko mkubwa huu wa JK, lakini huoni vija<strong>na</strong> wengi ambao wa<strong>na</strong>pata mikopo hii. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> vija<strong>na</strong> wapatiwe mikopo kwa sababu vija<strong>na</strong> niTaifa la leo. Wasipokuwa <strong>na</strong> kazi hawa vija<strong>na</strong> watakuwa wa<strong>na</strong>zurura zurura, mwisho watavutabangi <strong>na</strong> unga. Itakuwa kazi bure sisi hapa nchini kwetu, itakuwa hapa<strong>na</strong> salama. Naomba sa<strong>na</strong>vija<strong>na</strong> waangaliwe katika mikopo mbalimbali ili kuweza kuendeshea miradi yao mbalimbali <strong>na</strong>kujitafutia maisha. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> ajira. Hata kama vija<strong>na</strong> wako wengi sa<strong>na</strong>, lakini huonikwamba vija<strong>na</strong> ni wengi sa<strong>na</strong> ambao wa<strong>na</strong>fanya kazi katika sekta mbalimbali katika Serikali.Naomba sa<strong>na</strong> vija<strong>na</strong> wawe wa<strong>na</strong>ajiriwa. Hii Wizara iwe <strong>na</strong> database, ijue hasa vija<strong>na</strong> wake niwangapi katika nchi yetu ya Tanzania <strong>na</strong> wapi hawajaajiriwa. Vija<strong>na</strong> wengi ni wasomi, lakinihawa<strong>na</strong> ajira. Naomba sa<strong>na</strong> vija<strong>na</strong> waweze kuajiriwa ili wasije wakapotoka. Vija<strong>na</strong> wasipokuwa<strong>na</strong> ajira i<strong>na</strong>kuwa ni tatizo, sisi ndiyo wazazi, tu<strong>na</strong>jua. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, wizi wa kazi za sa<strong>na</strong>a. Jamani, wasanii ni watu muhimu sa<strong>na</strong>.Msanii ni kioo <strong>cha</strong> jamii. Tu<strong>na</strong>wahitaji sa<strong>na</strong> wasanii kwa sababu ya kuendeleza mila <strong>na</strong> desturi zetukatika nchi yetu ya Tanzania. Ku<strong>na</strong> wasanii mbalimbali, wenyewe wa<strong>na</strong>sema wale wasanii wazamani wa<strong>na</strong>oimba taarabu za kizamani, wa<strong>na</strong>oimba muziki wa kizamani, aki<strong>na</strong> King Kiki. Lakiniwapo pia wa Bongo Fleva, tu<strong>na</strong>wapenda <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>toa elimu kubwa sa<strong>na</strong>. Wasanii wa BongoFleva wa<strong>na</strong>toa fundisho kubwa sa<strong>na</strong> kwa jamii. (Makofi)Lakini wakifanya kazi zao hazionekani, mapato hayaonekani, wa<strong>na</strong>iba watu wa<strong>na</strong>pelekanje, wa<strong>na</strong>peleka sehemu mbalimbali. Sasa hivi ku<strong>na</strong> ufuatiliaji, lakini sijui, <strong>na</strong>penda tu kusema sijuikama utafanikiwa! Lakini Mwenyezi Mungu aujalie. (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, wasanii aki<strong>na</strong> Ferouz, Chege, Tundaman, Madee, Diamond,Lady Jay Dee, TID, wote ni wasanii wazuri sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> wengine tu<strong>na</strong>wapenda <strong>na</strong> nyimbo zao wakatiwa kupumzika u<strong>na</strong>furahi <strong>na</strong> u<strong>na</strong> elimika. (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, tuwapendelee sa<strong>na</strong> wasanii, tuwatunze wasanii, tuwawekeefungu lake <strong>na</strong> wao wasanii katika Bajeti zetu ili nchi yetu <strong>na</strong> wasanii wetu hawa wawezekuendelea mbele.Mheshimiwa Mwenyekiti, mashindano ya Big Brother Africa, hapa sasa ndiyo kwenyemaneno. Ku<strong>na</strong> vija<strong>na</strong> wetu wa<strong>na</strong>shirikishwa kwenye Big Brother. Hivi, mimi <strong>na</strong>muuliza MheshimiwaWaziri, ukija ujibu, hii Big Brother Africa maa<strong>na</strong> yake nini? Yafundisha nini? (Makofi)85

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!