12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Mwenyekiti, pia <strong>na</strong>omba Wizara ishirikiane <strong>na</strong> Wizara ya Ardhi. Nchi nyingiukio<strong>na</strong> kwenye miji wa<strong>na</strong>weka open spaces, siyo za kupumzikia tu, bali hata michezo, vija<strong>na</strong>wa<strong>na</strong>cheza michezo pale. Sasa Dar es Salaam imevamiwa, <strong>na</strong>shukuru Wizara ya Ardhi imeanzakulishughulikia suala hili <strong>na</strong> hata Dodoma imeanza kuvamiwa sasa hivi. Open spaces zotewa<strong>na</strong>jenga watu. Kwa hiyo, vija<strong>na</strong> wetu wa<strong>na</strong>kuwa hawa<strong>na</strong> pa kucheza, ndiyo maa<strong>na</strong> muda waspare wa<strong>na</strong>kwenda kuzurura mjini.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>mwomba Mheshimiwa Waziri, Wizara yake ishirikiane <strong>na</strong>Wizara ya Ardhi ili kuhakikisha kwamba open spaces zi<strong>na</strong>tumiwa kwa mambo ya kupumzika <strong>na</strong> piavija<strong>na</strong> kucheza michezo mbalimbali.Mheshimiwa Mwenyekiti, haya ya<strong>na</strong>yofuata <strong>na</strong>tataka ufafanuzi <strong>na</strong> maelezo kidogo kwaMheshimiwa Waziri. Jambo la kwanza niongelee uwanja wa Taifa wa Mpira. Serikali ya Awamu yaTatu imefanya jambo zuri sa<strong>na</strong>, tumejengewa uwanja wa michezo mkubwa sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> wa kisasa <strong>na</strong>uwanja huo ni mzuri sa<strong>na</strong> katika Afrika mashariki, kwani u<strong>na</strong>chukua watu wengi. Nia ya Serikali nikuinua viwango vya michezo vya vija<strong>na</strong> wetu.Sasa uwanja wa Taifa, viti vyote vilivyopo kule ndani vimewekewa <strong>na</strong>mba. Maa<strong>na</strong> ya<strong>na</strong>mba zile ni kwamba, utakapokuwa u<strong>na</strong>nunua tiketi, <strong>na</strong>mba ya kiti <strong>cha</strong>ko i<strong>na</strong>kuwa kwenye tiketi.Ili nunue tiketi ambayo i<strong>na</strong> <strong>na</strong>mba yako, zipo mashine ambazo zi<strong>na</strong>tumika kuingiza watu kwenyeviwanja vya michezo, cinema halls, kwenye stations za treni ambayo i<strong>na</strong>kuwa <strong>na</strong> <strong>na</strong>mba yako.Hiyo i<strong>na</strong>saidia kuhesabu watu <strong>na</strong> kuhesabu kiasi <strong>cha</strong> fedha. Hizi mashine zi<strong>na</strong>itwa turnstilemachines. Zipo za electronic <strong>na</strong> zipo nyingine ambazo ni manual ambazo zi<strong>na</strong>fanya kazi hatakama umeme umezimika.Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>taka maelezo ya Mheshimiwa Waziri, kwanini wa<strong>na</strong>ohusikahawaweki mashine hizi Uwanja wa Taifa? Wa<strong>na</strong>taka tuwaelewe vipi? Serikali kwa nia nzuri i<strong>na</strong>takakuinua michezo <strong>na</strong> ndiyo maa<strong>na</strong> Mheshimiwa Rais ameamua kumlipa mshahara ko<strong>cha</strong> wa timuya Taifa ya mpira wa Miguu. Sasa badala ya kufanya juhudi mpate mapato ya kutosha uwanjanipale, mumlipe wenyewe huyo ko<strong>cha</strong>. Mmeufanya kuwa ni mradi wenu wa kutunisha matumboyenu. Nataka maelezo kwa ki<strong>na</strong> ni kwanini hawaweki mashine hizo pale uwanjani? Hilo la kwanza!(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, la pili, nitataka maelezo. Shirila letu la Utangazaji, TBC miaka yakaribuni hapa waliingia ubia <strong>na</strong> Serikali ya Japani, wakapewa fedha nyingi, wakajengewamtambo wa kisasa wa masafa mafupi kule Mabibo ili waweze kurusha vipindi vya shule kwa Shuleza Msingi ili kuweza kuziba pengo lililopo la walimu ili wa<strong>na</strong>funzi wa<strong>na</strong>ingia darasani, wa<strong>na</strong>ikutaredio iko pale, wa<strong>na</strong>msikiliza mtu ambaye yuko studio Dar es Salaam, a<strong>na</strong>wafundisha. Lakini <strong>cha</strong>ajabu ni kwamba TBC mradi huo wameuzima, wa<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngamkia mambo mengine. Huu mradiuko wapi?Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>taka maelezo kutoka kwa Mheshimiwa Waziri. Kila wakatitu<strong>na</strong>piga kelele kwamba, walimu hawatoshi katika Shule za Msingi. Serikali ya Japani imetusaidiatuwafundishe watoto wetu kwa kutumia vipindi vya redio, TBC wamepeleka wapi mradi huo?Nitataka maelezo ya kutosha kutoka kwa Mheshimiwa Waziri. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, pia kumezuka mtindo sasa hivi wa vituo vya television cables vyaMikoani, huko Dodoma, Iringa, Mwanza, wa<strong>na</strong>rusha matangazo ya TV wao wenyewe bila yakupitisha kwa authority, bila kupitisha kwa Tanzania Communication Regulatory Authority (TCRA).Ipo imezuka sa<strong>na</strong>, hiyo ya cable TVs. Nataka maelezo ni kwanini Wizara imea<strong>cha</strong> hizi televisioncables zi<strong>na</strong>rusha matangazo kienyeji huko Mikoani? Hao ndiyo wa<strong>na</strong>opotosha hata maadili,wa<strong>na</strong>rusha vipindi vingine vya ajabu ajabu hata vya ngono. Wizara i<strong>na</strong>chukua hatua gani kuwezakushughulikia suala hili? Nitataka maelezo ya kutosha kutoka kwa Mheshimiwa Waziri.Mheshimiwa Mwenyekiti, vilevile <strong>na</strong>taka nizungumze juu ya mengine ambayo ni mazurizaidi kwa TBC. TBC wa<strong>na</strong>porusha matangazo yetu haya kama ni<strong>na</strong>vyoongea sasa hivi i<strong>na</strong>bidiwalipwe <strong>na</strong> Bunge, hivi ni<strong>na</strong>vyoongea, wa<strong>na</strong>lipwa <strong>na</strong> Bunge. Mwaka ja<strong>na</strong> TBC wamedai fedhazao muda mrefu sa<strong>na</strong>, mpaka Mheshimiwa Waziri Mkuu alipoingilia kati ndipo wakalipwa <strong>na</strong>70

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!