12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya kutoa maelezo hayo, <strong>na</strong>toa rai kwa wa<strong>na</strong>nchi wotepamoja <strong>na</strong> Waheshimiwa Wabunge, kutoa taarifa za ukiukwaji wa sheria kwenye Ofisi ya TFDAMakao Makuu, Ofisi za Kanda <strong>na</strong> Ofisi za Afya za Mkoa <strong>na</strong> Halmashauri, wa<strong>na</strong>pogundua ukiukwajiwa sheria ili kuwezesha mamlaka ya kuchukua hatua zi<strong>na</strong>zostahili <strong>na</strong> kulinda afya za wa<strong>na</strong>nchi.Aidha, <strong>na</strong>washukuru wote ambao wamekuwa wakitoa taarifa kwani kwa kufanya hivyo, wa<strong>na</strong>toam<strong>cha</strong>ngo <strong>cha</strong>nya katika shughuli za udhibiti <strong>na</strong> usalama wa vyakula.MHE. LUCY F. OWENYA: Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>shukuru kwa kunipatia <strong>na</strong>fasi yakuuliza swali la nyongeza. Si<strong>na</strong> uhakika kama TFDA huwa i<strong>na</strong>waangalia mama nitilie, mama nitiliehuwa wa<strong>na</strong>pika vyakula kwenye mazingira ya hali ngumu sa<strong>na</strong> <strong>na</strong> sehemu nyingine huwahawa<strong>na</strong> hata maji ya kusafishia vyombo vile, hali ambayo i<strong>na</strong>pelekea saa nyingine kupatamagonjwa ya mlipuko, sijui Serikali i<strong>na</strong>wasaidiaje ili kuhakikisha kwamba wa<strong>na</strong>tengeneza vyakulavile kwenye mazingira ya hali ya usafi ili kupunguza magonjwa ya mlipuko? (Makofi)Pili, ningependa kupata jibu kutoka kwa Mheshimiwa Naibu Waziri, ni kwa jinsi gani vyakulahivi vi<strong>na</strong><strong>cha</strong>ngia magonjwa sugu kama vile kisukari, blood pressure ya juu, saratani pamoja <strong>na</strong>hayo magonjwa ya mlipuko?NAIBU <strong>WA</strong>ZIRI <strong>WA</strong> AFYA NA USTAWI <strong>WA</strong> JAMII: Mheshimiwa Naibu Spika, ni kwamba, hawaaki<strong>na</strong>mama nitilie wa<strong>na</strong>pika kwenye maeneo ya Halmashauri ama Serikali za Mitaa, majukumuhaya tumeyakasimu kwa bwa<strong>na</strong> afya wa Halmashauri ndiye a<strong>na</strong>yetakiwa kuwa a<strong>na</strong>wazungukia<strong>na</strong> kuwapa elimu. Pale ambapo a<strong>na</strong>o<strong>na</strong> kwamba mazingira ni ma<strong>cha</strong>fu kabisa basi watafutemaeneo mbadala ili wale aki<strong>na</strong>mama waweze kujikimu kiuchumi siyo kuwafungia, ila <strong>na</strong>semakwamba wapate elimu <strong>na</strong> wahamishiwe sehemu ambazo ni salama. Jukumu hili limekasimiwaHalmashauri.Swali la pili, ni kwa kiasi gani vyakula hivi ambavyo vi<strong>na</strong>pikwa, <strong>na</strong>fikiri siyo mama nitilie tu,hebu tuulize kwamba ni vyakula gani ambavyo au ni kwa <strong>na</strong>m<strong>na</strong> gani vyakula vi<strong>na</strong>wezavika<strong>cha</strong>ngia maradhi ya kisukari, vika<strong>cha</strong>ngia saratani <strong>na</strong> maradhi mengine sugu.Mheshimiwa Naibu Spika, kila kitu ambacho bi<strong>na</strong>damu a<strong>na</strong>kula haki<strong>na</strong> usalama ndani yamwili wake kama hatakula kwa kiasi, ila <strong>na</strong>omba kusema kwamba ku<strong>na</strong> ai<strong>na</strong> nyingine za mafutaambayo tu<strong>na</strong>fuatilia sasa hivi ambayo <strong>na</strong>jua kwamba, kama tukifuatilia vizuri tutao<strong>na</strong> kwambaku<strong>na</strong> m<strong>cha</strong>ngo gani katika ku<strong>cha</strong>ngia sukari, ku<strong>cha</strong>ngia hypertension pamoja <strong>na</strong> maradhimengine ambayo ni sugu.Mheshimiwa Naibu Spika, <strong>na</strong>penda kusema kwamba, sisi kama Watanzania tuangalie ni<strong>na</strong>m<strong>na</strong> gani tu<strong>na</strong>rudi kula vyakula walivyokuwa wa<strong>na</strong>kula wazazi wetu wa zamani vyakuchemsha, tusipende sa<strong>na</strong> kukaanga ila <strong>na</strong>penda kutoa tahadhari kwamba hizi biashara zaChips Mayai zi<strong>na</strong>zokaangwa barabarani, <strong>na</strong>omba kusema kwamba havi<strong>na</strong> usalama sa<strong>na</strong> ilajuhudi tutakayofanya kama Wizara ya Afya ni kuwaelimisha waweze kupika <strong>cha</strong>kula ambacho nisalama.NAIBU SPIKA: Tuitendee haki Wizara ya Elimu <strong>na</strong> Mafunzo ya Ufundi, swali la mwishoasubuhi ya leo <strong>na</strong> li<strong>na</strong>ulizwa <strong>na</strong> Mheshimiwa Abdul Jabir Marombwa.MHE. ABDUL J. MAROMB<strong>WA</strong> aliuliza:-Na. 405Walimu wa Ufundi KutoajiriwaWalimu wote wa<strong>na</strong>omaliza mafunzo ya ualimu wa ufundi hukosa ajira Serikalini ingawaSerikali i<strong>na</strong> upungufu mkubwa wa walimu wa ufundi.Je, ni sababu zipi zi<strong>na</strong>ifanya Serikali isiajiri walimu hao, mfano walimu waliomaliza VETAMorogoro mwaka 2010?12

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!