12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

· Serikali itenge fedha za mafunzo kwa wataalamu wa Wizara kwani Sheria zaMichezo zi<strong>na</strong>badilika mara kwa mara;· Wataalamu wa<strong>na</strong>oagizwa kutoka nje kuja kufundisha michezo mbalimbali nchiniwapewe <strong>na</strong>fasi ya kutoa mafunzo kwa wataalamu wetu wa ndani ili baada yamikataba yao kuisha, Taifa libaki <strong>na</strong> wataalam wa ndani <strong>na</strong> hivyo kuepukagharama za kukodisha wataalam wengine kutoka nje;· Baraza la Michezo lihakikishe li<strong>na</strong>ondoa ama kupunguza uwingi wa Vyama vyaMichezo nchini jambo ambalo limekuwa likisababisha vurugu <strong>na</strong> misuguano isiyo<strong>na</strong> manufaa kwa maendeleo ya michezo nchini;· Pamoja <strong>na</strong> Serikali kuhakikisha kuwa ku<strong>na</strong> Afisa Maendeleo ya Michezo katika kilaMkoa bado Afisa huyu hajatengewa fungu la maendeleo ya michezo hivyohutegemea hisani ya Mkuu wa Mkoa ama Katibu Tawala Mkoa (RAS), jamboambalo li<strong>na</strong>muwia vigumu kutekeleza kazi zake. Vilevile, Halmashauri nyingi zaWilaya nchini hazitengi fedha kwa ajili ya maendeleo ya michezo <strong>na</strong> hivyokumfanya Afisa huyu kushindwa kufanya kazi zake ipasavyo; <strong>na</strong>· Serikali ianze kutenga bajeti kwa timu zi<strong>na</strong>zowakilisha nchi katika mashindano yakimataifa kuliko kila mara kutegemea ufadhili. (Makofi)Mheshimiwa Naibu Spika, tano, sekta ya Maendeleo ya Vija<strong>na</strong>. Takribani nusu yaWatanzania ni vija<strong>na</strong> <strong>na</strong> watoto lakini asilimia 60 mpaka 70 ya Watanzania wako katika maeneoya vijijini ambapo ajira kubwa ni kilimo. Hata hivyo, lipo tatizo kubwa la ukosefu wa ajira nchiniingawa Serikali imejitahidi kusomesha vija<strong>na</strong> katika sekta mbalimbali. Kamati i<strong>na</strong>ishauri kwa kuwamaendeleo ya vija<strong>na</strong> ya<strong>na</strong>simamiwa <strong>na</strong> Wizara hii, ni wakati muafaka sasa Serikali kuboreshasekta ya maendeleo ya vija<strong>na</strong> ili kukidhi mahitaji yao <strong>na</strong> hasa katika ajira.Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja <strong>na</strong> kazi nzuri i<strong>na</strong>yofanywa <strong>na</strong> Wizara ya kuwaendelezavija<strong>na</strong> katika vituo vyake vya Ilonga, Sasanda <strong>na</strong> Marangu, Kamati i<strong>na</strong>shauri yafuatayo yafanyikeili kuboresha mafunzo katika vyuo hivi:-· Vituo hivi visajiliwe katika Natio<strong>na</strong>l Council for Technical Education (NACTE) iliviweze kutoa mafunzo yenye hadhi ya Cheti, Stashahada <strong>na</strong> hata Shahada kwawahitimu;· Serikali iongeze Wakufunzi katika Fani ya Maendeleo ya Vija<strong>na</strong> katika Kilimo,Maarifa ya Nyumbani <strong>na</strong> Ufundi;· Serikali itenge bajeti kwa ajili ya vituo hivyo badala ya utaratibu wa sasa wakuendendesha mafunzo kwa mtindo wa zima moto;· Serikali kuendelea kutoa elimu kwa vija<strong>na</strong> kuhusu kujikinga <strong>na</strong> maambukizi yaVirusi Vya Ukimwi (VVU) <strong>na</strong> athari za mimba za utotoni hasa katika Mikoa ambayoi<strong>na</strong>ongoza kwa matatizo hayo;· Wizara kuandaa programu ya kuwaelimisha vija<strong>na</strong> <strong>na</strong>m<strong>na</strong> ambayo watewezakujiajiri wenyewe <strong>na</strong> kua<strong>cha</strong><strong>na</strong> <strong>na</strong> makundi yasiofaa pamoja <strong>na</strong> kushinda vijiweni;<strong>na</strong>· Awamu ya pili ya ujenzi wa uwanja wa Taifa ianze mapema kwani ule uliojengwauta<strong>cha</strong>kaa kabla ya awamu ya pili kujengwa. Hii pia itasaidia katika kuongezapato la TaifaMheshimiwa Naibu Spika, maoni ya jumla. Pamoja <strong>na</strong> maoni yote, Kamati i<strong>na</strong>toa ushauriwa jumla wa kisekta kama ifuatavyo:-39

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!