12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> Maofisa Utamaduni wapewe nyenzo kwa ajili yamambo ya michezo. Kama kweli tu<strong>na</strong>itaka Tanzania iendelee katika michezo basi ianzie kuleWilayani <strong>na</strong> Maafisa Utamaduni wapewe uwezo wa kufanya kazi zao. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu suala la viwanja vya michezo, nimeo<strong>na</strong> tuvi<strong>na</strong>shughulikiwa viwanja vya Dar es Salaam, kwani huko mikoani haku<strong>na</strong> viwanja? Hata kama niviwanja vya Chama <strong>cha</strong> Mapinduzi kwani wa<strong>na</strong>ofanya michezo hawaji kufanyia michezo kwenyeviwanja hivyo, viwanja vya Watanzania, kama ni viwanja vya Tanzania kwa nini vi<strong>na</strong>tengenezwatu viwanja vya Dar es Salaam kiwanja <strong>cha</strong> Kirumba hakitengenezwi, kiwanja <strong>cha</strong> Arushahakitengenezwi, kiwanja <strong>cha</strong> Maji Maji hakitengenezwi, kiwanja <strong>cha</strong> Hassan Mwinyihakitengenezwi, kiwanja <strong>cha</strong> Kigoma sasa hivi kimekuwa gofu hakitengenezwi, uwanja waMkwakwani hautengenezwi. Leo hii tu<strong>na</strong>taka maendeleo ya michezo ni maendeleo gani kamatusipotengeneza viwanja, watu wataenda kucheza wapi mpira wakacheze kwenye mizimu?(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> mambo ya michezo yaangaliwe ili watuwaendelee kupenda michezo hasa kwa kutengenezewa viwanja, kisiangaliwe kwamba kiwanjahiki ni <strong>cha</strong> Chama gani, tu<strong>na</strong>chotaka ni michezo ndani ya Tanzania. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa <strong>na</strong>kuja kwenye fani yangu…MBUNGE FULANI: Hapo sasa!MHE. STEPHEN H. NGONYANI: Mheshimiwa Mwenyekiti, i<strong>na</strong>sikitisha sa<strong>na</strong> kuo<strong>na</strong> kitendo <strong>cha</strong>waganga wa tiba asilia wa<strong>na</strong>vyodhalilishwa. Waganga wa tiba asilia sasa hivi wa<strong>na</strong>itika sehemumbili, wa<strong>na</strong>itika Wizara ya Afya <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>itika Wizara ya Habari. Wakiwa Mjini wa<strong>na</strong>ambiwawaende wakachukue vibali Wizara ya Afya, wakiwa vijijini wa<strong>na</strong>enda kwa Afisa Utamaduniwakachukue vibali. Sasa hawa watu kwa nini wa<strong>na</strong>yumbishwa? (Makofi)Mhehsimiwa Mwenyekiti, haku<strong>na</strong> hapa ndani mtu ambaye hamjui mganga wa tiba zaasili. Kama siyo kumjua kwa ji<strong>na</strong> basi ni kumjua kwa maandishi, si<strong>na</strong> maa<strong>na</strong> kwamba watu wotemliopo ndani m<strong>na</strong>enda kwa waganga, hapa<strong>na</strong>, la hasha! Lakini wote m<strong>na</strong>jua kwamba wagangawa<strong>na</strong>fanya kazi gani. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, siku za nyuma hapa hakukuwa <strong>na</strong> hospitali, ninyi wote mlikuwam<strong>na</strong>tumia tu. Wakati hospitali hazijajengwa watu walikuwa wa<strong>na</strong>tumia majani, wa<strong>na</strong>chemshamajani wa<strong>na</strong>kunywa mtu a<strong>na</strong>po<strong>na</strong> malaria. Lakini ikifika wakati wa u<strong>cha</strong>guzi wa<strong>na</strong>kimbiliwawaganga, wakishapita wa<strong>na</strong>wafa<strong>na</strong>nisha waganga ni watu matapeli <strong>na</strong> ni watu wasiokuwa <strong>na</strong>uwezo, sasa utapeli wa mganga ni nini, wakati wewe mwenyewe u<strong>na</strong> shida zako umeenda kwamganga amekutengenezea umeshinda, umekuja umepata hiyo <strong>na</strong>fasi uliyoitaka, akianza kutajwamganga kila kibaya wa<strong>na</strong>fafanisha <strong>na</strong> waganga wa tiba asilia. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tabia hii tafadhali <strong>na</strong>omba waangalie waganga wa tiba asiliasiyo watu lelemama kama wa<strong>na</strong>vyofikiria. Hospitali watu wamefanyiwa operesheni mkasiukabakia tumboni hawakusemwa, mtu amekwenda kufanyiwa operesheni ya mguu badala yakeamefanyiwa operesheni ya kichwa hawakusemwa, lakini mganga wa kienyeji akimpa mtu dawabahati mbaya ameharibikiwa imekuwa ndiyo wimbo, sasa wapi <strong>na</strong> wapi? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, leo hii si Shinyanga mtu akioneka<strong>na</strong> tu tu<strong>na</strong>ambiwa waganga,ku<strong>na</strong> uganga <strong>na</strong> u<strong>cha</strong>wi, mganga siyo m<strong>cha</strong>wi, msifa<strong>na</strong>nishe waganga kwamba ni wa<strong>cha</strong>wi, mtumkio<strong>na</strong> a<strong>na</strong> macho mekundu a<strong>na</strong>ambiwa m<strong>cha</strong>wi. Ku<strong>na</strong> watu wa<strong>na</strong>kaa kwenye mazizi ambapomacho ya<strong>na</strong>kuwa mekundu kwa ajili ya moshi, mtu akioneka<strong>na</strong> m<strong>na</strong>sema akauwawe m<strong>cha</strong>wijamani hebu wapeni heshima zao waganga. Huu utamaduni umeaniza kwa waganga. Zipo ai<strong>na</strong>tatu za waganga ku<strong>na</strong> asilia, ku<strong>na</strong> elimu dunia, ku<strong>na</strong> mizimu ambayo watu wa<strong>na</strong>enda kuombewawa<strong>na</strong>fanikiwa, sasa kila kitu kibaya ki<strong>na</strong>fa<strong>na</strong>nishwa <strong>na</strong> mganga. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba Wizara hii iangalie vizuri kama ni waganga wa<strong>na</strong>endaWizara ya Afya tujue tu<strong>na</strong>kwenda Wizara ya Afya, kama tu<strong>na</strong>kwenda Wizara ya Utamaduni tujue88

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!