Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> Maofisa Utamaduni wapewe nyenzo kwa ajili yamambo ya michezo. Kama kweli tu<strong>na</strong>itaka Tanzania iendelee katika michezo basi ianzie kuleWilayani <strong>na</strong> Maafisa Utamaduni wapewe uwezo wa kufanya kazi zao. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu suala la viwanja vya michezo, nimeo<strong>na</strong> tuvi<strong>na</strong>shughulikiwa viwanja vya Dar es Salaam, kwani huko mikoani haku<strong>na</strong> viwanja? Hata kama niviwanja vya Chama <strong>cha</strong> Mapinduzi kwani wa<strong>na</strong>ofanya michezo hawaji kufanyia michezo kwenyeviwanja hivyo, viwanja vya Watanzania, kama ni viwanja vya Tanzania kwa nini vi<strong>na</strong>tengenezwatu viwanja vya Dar es Salaam kiwanja <strong>cha</strong> Kirumba hakitengenezwi, kiwanja <strong>cha</strong> Arushahakitengenezwi, kiwanja <strong>cha</strong> Maji Maji hakitengenezwi, kiwanja <strong>cha</strong> Hassan Mwinyihakitengenezwi, kiwanja <strong>cha</strong> Kigoma sasa hivi kimekuwa gofu hakitengenezwi, uwanja waMkwakwani hautengenezwi. Leo hii tu<strong>na</strong>taka maendeleo ya michezo ni maendeleo gani kamatusipotengeneza viwanja, watu wataenda kucheza wapi mpira wakacheze kwenye mizimu?(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> mambo ya michezo yaangaliwe ili watuwaendelee kupenda michezo hasa kwa kutengenezewa viwanja, kisiangaliwe kwamba kiwanjahiki ni <strong>cha</strong> Chama gani, tu<strong>na</strong>chotaka ni michezo ndani ya Tanzania. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa <strong>na</strong>kuja kwenye fani yangu…MBUNGE FULANI: Hapo sasa!MHE. STEPHEN H. NGONYANI: Mheshimiwa Mwenyekiti, i<strong>na</strong>sikitisha sa<strong>na</strong> kuo<strong>na</strong> kitendo <strong>cha</strong>waganga wa tiba asilia wa<strong>na</strong>vyodhalilishwa. Waganga wa tiba asilia sasa hivi wa<strong>na</strong>itika sehemumbili, wa<strong>na</strong>itika Wizara ya Afya <strong>na</strong> wa<strong>na</strong>itika Wizara ya Habari. Wakiwa Mjini wa<strong>na</strong>ambiwawaende wakachukue vibali Wizara ya Afya, wakiwa vijijini wa<strong>na</strong>enda kwa Afisa Utamaduniwakachukue vibali. Sasa hawa watu kwa nini wa<strong>na</strong>yumbishwa? (Makofi)Mhehsimiwa Mwenyekiti, haku<strong>na</strong> hapa ndani mtu ambaye hamjui mganga wa tiba zaasili. Kama siyo kumjua kwa ji<strong>na</strong> basi ni kumjua kwa maandishi, si<strong>na</strong> maa<strong>na</strong> kwamba watu wotemliopo ndani m<strong>na</strong>enda kwa waganga, hapa<strong>na</strong>, la hasha! Lakini wote m<strong>na</strong>jua kwamba wagangawa<strong>na</strong>fanya kazi gani. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, siku za nyuma hapa hakukuwa <strong>na</strong> hospitali, ninyi wote mlikuwam<strong>na</strong>tumia tu. Wakati hospitali hazijajengwa watu walikuwa wa<strong>na</strong>tumia majani, wa<strong>na</strong>chemshamajani wa<strong>na</strong>kunywa mtu a<strong>na</strong>po<strong>na</strong> malaria. Lakini ikifika wakati wa u<strong>cha</strong>guzi wa<strong>na</strong>kimbiliwawaganga, wakishapita wa<strong>na</strong>wafa<strong>na</strong>nisha waganga ni watu matapeli <strong>na</strong> ni watu wasiokuwa <strong>na</strong>uwezo, sasa utapeli wa mganga ni nini, wakati wewe mwenyewe u<strong>na</strong> shida zako umeenda kwamganga amekutengenezea umeshinda, umekuja umepata hiyo <strong>na</strong>fasi uliyoitaka, akianza kutajwamganga kila kibaya wa<strong>na</strong>fafanisha <strong>na</strong> waganga wa tiba asilia. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, tabia hii tafadhali <strong>na</strong>omba waangalie waganga wa tiba asiliasiyo watu lelemama kama wa<strong>na</strong>vyofikiria. Hospitali watu wamefanyiwa operesheni mkasiukabakia tumboni hawakusemwa, mtu amekwenda kufanyiwa operesheni ya mguu badala yakeamefanyiwa operesheni ya kichwa hawakusemwa, lakini mganga wa kienyeji akimpa mtu dawabahati mbaya ameharibikiwa imekuwa ndiyo wimbo, sasa wapi <strong>na</strong> wapi? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, leo hii si Shinyanga mtu akioneka<strong>na</strong> tu tu<strong>na</strong>ambiwa waganga,ku<strong>na</strong> uganga <strong>na</strong> u<strong>cha</strong>wi, mganga siyo m<strong>cha</strong>wi, msifa<strong>na</strong>nishe waganga kwamba ni wa<strong>cha</strong>wi, mtumkio<strong>na</strong> a<strong>na</strong> macho mekundu a<strong>na</strong>ambiwa m<strong>cha</strong>wi. Ku<strong>na</strong> watu wa<strong>na</strong>kaa kwenye mazizi ambapomacho ya<strong>na</strong>kuwa mekundu kwa ajili ya moshi, mtu akioneka<strong>na</strong> m<strong>na</strong>sema akauwawe m<strong>cha</strong>wijamani hebu wapeni heshima zao waganga. Huu utamaduni umeaniza kwa waganga. Zipo ai<strong>na</strong>tatu za waganga ku<strong>na</strong> asilia, ku<strong>na</strong> elimu dunia, ku<strong>na</strong> mizimu ambayo watu wa<strong>na</strong>enda kuombewawa<strong>na</strong>fanikiwa, sasa kila kitu kibaya ki<strong>na</strong>fa<strong>na</strong>nishwa <strong>na</strong> mganga. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>omba Wizara hii iangalie vizuri kama ni waganga wa<strong>na</strong>endaWizara ya Afya tujue tu<strong>na</strong>kwenda Wizara ya Afya, kama tu<strong>na</strong>kwenda Wizara ya Utamaduni tujue88
tu<strong>na</strong>kwenda Wizara ya Utamaduni kwa sababu ku<strong>na</strong> vitu vingi ambavyo wa<strong>na</strong>fanyiwa wagangahalafu hawaonekani kama wa<strong>na</strong>fanya <strong>na</strong> hawaonekani kama ni bi<strong>na</strong>damu. Haku<strong>na</strong> mgangatapeli. Mganga ni mganga u<strong>na</strong>pomsaidia mtu u<strong>na</strong> mawili, u<strong>na</strong>msaidia apate <strong>na</strong>fuu u<strong>na</strong>msaidiaapone au la hasha Mungu hakukubali imani ya mtu ndiyo i<strong>na</strong>yomsaidia. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, nimeshangaa sa<strong>na</strong> hata hapa ndani mtu aki<strong>cha</strong>ngia a<strong>na</strong>semawaganga, waganga isiwe sera ya hapa ndani wote tu<strong>na</strong>fahamu mababu zetu walikuwawaganga, miti hii ndiyo i<strong>na</strong>yosababisha watu mpaka leo wa<strong>na</strong>kunywa dawa za hospitali zimetokakwenye miti. Babu zetu walikuwa wa<strong>na</strong>kula matunda wa<strong>na</strong>po<strong>na</strong>, walikuwa wa<strong>na</strong>kula mitiwa<strong>na</strong>po<strong>na</strong>, wa<strong>na</strong>kula mizizi wa<strong>na</strong>po<strong>na</strong>, ndiyo maa<strong>na</strong> ya tiba asili. Lakini kila kibaya ki<strong>na</strong>chotokeamtu a<strong>na</strong>fa<strong>na</strong>nisha <strong>na</strong> uganga. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>waomba ndugu zangu mimi ni mganga asilia, nimefanya kazi<strong>na</strong> waganga wenzangu hata hivi <strong>na</strong>washukuru sa<strong>na</strong> walinisaidia sa<strong>na</strong> kwa hali <strong>na</strong> mali mpakanimefika hapa. (Makofi/Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, aah, ni lazima tuelezane ukweli kwani nini bwa<strong>na</strong>! (Kicheko)MBUNGE FULANI: Hata <strong>na</strong> Mawaziri umewasaidia. (Kicheko)MHE. STEPHEN H. NGONYANI: Ku<strong>na</strong> watu wengi wa<strong>na</strong>jua asili hiyo, hata Mwenyekitimwenzangu wa Kamati ya ufundi a<strong>na</strong>jua yupo pale, sasa mkisema kwamba waganga, siyo vizurihivyo! (Kicheko)Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo nilikuwa <strong>na</strong>taka tu kuliweka sawa sualala waganga wa tiba asili wachukuliwe kama madaktari wengine wa nchi nyingine au madaktariwengine mabingwa kama mabingwa wengine kwa sababu ku<strong>na</strong> sehemu tofauti kama yeyeamesomea hospitali <strong>na</strong> vitabu <strong>na</strong> sisi tumesomea miti tu<strong>na</strong>ifahamu kama wewe u<strong>na</strong>takiwaukafanye operesheni sisi hatufanyi operesheni. Wasanii wapewe heshima zao, waandishi wahabari waache kunyanyaswa, kwa sababu m<strong>na</strong>powanyanyasa waandishi wa habari i<strong>na</strong> maa<strong>na</strong>m<strong>na</strong>taka ule ukweli wasiuseme, wasipousema ukweli watausemea wapi? (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi <strong>na</strong>unga<strong>na</strong> kabisa <strong>na</strong> wenzangu walionitangulia kwasababu wameongea vitu vizuri <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>omba sa<strong>na</strong> niwaunge mkono wenzangu wali<strong>cha</strong>ngiamengi sa<strong>na</strong>. Ndugu yangu Nkamia ni<strong>na</strong>kushukuru sa<strong>na</strong> kwa hotuba uliyoitoa leo asubuhi, umetoahotuba nzuri sa<strong>na</strong> ikizingatiwa kwamba wewe ni mwandishi wa habari lakini hukuyatetea yalemaslahi ya waandishi. Waambie wapandishe posho kama wa<strong>na</strong>vyopewa wengine, kwa sababuwakipandishiwa posho hawatakuwa wa<strong>na</strong>fanya kazi kwa kusema kwamba labda nikaombe kwamtu, <strong>na</strong> waandishi wa habari i<strong>na</strong>kuwa ni maneno m<strong>na</strong>sema wa<strong>na</strong>taka rushwa, sasa watafanyaje?(Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, m<strong>na</strong>wachukua watu m<strong>na</strong>enda kuwalipa shilingi 5,000/=, shilingi5,000/= i<strong>na</strong>msaidia nini, mtu u<strong>na</strong>mzungusha huko kwenye kampeni zako akirudi hata nyumbanikwake watu wa<strong>na</strong>mkimbia halafu akipewa hela m<strong>na</strong>sema amepewa rushwa, acheni kuwafikiriamabaya. Waandishi wa habari fanyeni mambo yenu, mkifanya makosa wenzenu watajuatumewashika, fanyeni kazi. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>unga mkono hoja. (Makofi)MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong>, <strong>na</strong>omba kumwita sasa Mheshimiwa Maryam Msabaha <strong>na</strong>Mheshimiwa Hamad Ali Hamad ajiandae. (Makofi)MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante kwa kunipa <strong>na</strong>fasi hii ilinipate ku<strong>cha</strong>ngia Wizara hii ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni <strong>na</strong> Michezo. Kwanza kabisa <strong>na</strong>mshukuruMwenyezi Mungu Subha<strong>na</strong> Wataallah <strong>na</strong> Ramadhani hii kunijalia leo nimesimama hapa <strong>na</strong>ni<strong>na</strong>washukuru vija<strong>na</strong> wote wa Wilaya ya Mjini Magharibi kwa <strong>cha</strong>ngamoto zao walizonipa wakatinilipokuwa <strong>na</strong>gombea. (Makofi)89
- Page 7 and 8:
Mheshimiwa Naibu Spika, lakini umeg
- Page 11 and 12:
NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI: Mheshimiw
- Page 13 and 14:
NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA
- Page 15 and 16:
Pili, Wakurugenzi na Wakurugenzi wa
- Page 17 and 18:
MHE. JOHN J. MNYIKA: Naomba unisiki
- Page 19 and 20:
inaongozwa na Mbunge wa Jimbo la Pe
- Page 21 and 22:
Mheshimiwa Naibu Spika, katika kuha
- Page 23 and 24:
Mheshimiwa Naibu Spika, Baraza la H
- Page 25 and 26:
katika kukuza na kuimarisha Demokra
- Page 27 and 28:
wakiwa ni Baraza Kuu la Michezo Bar
- Page 29 and 30:
· Kusimamia usambazaji wa machapis
- Page 31 and 32:
· Kutoa taarifa katika magazeti ku
- Page 33 and 34:
· Kufanya tathmini na ufuatiliaji
- Page 35 and 36:
2011 wakati wa vikao vya Kamati vil
- Page 37 and 38: na Mfuko wa Vyombo vya Habari na Ba
- Page 39 and 40: · Serikali itenge fedha za mafunzo
- Page 41 and 42: Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, nape
- Page 43 and 44: kuzifanya za kuielimisha jamii juu
- Page 45 and 46: Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na um
- Page 47 and 48: wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UD
- Page 49 and 50: (iii)(iv)(v)(vi)(vii)Chuo Kikuu cha
- Page 51 and 52: kuendelea kufanya vibaya na kuambul
- Page 53 and 54: Serikali, sasa sisi tayari Umoja wa
- Page 55 and 56: iangaliwe. Tena nashukuru hii Wizar
- Page 57 and 58: kunichagua kuwa Mbunge wao kwa mara
- Page 59 and 60: Mheshimiwa Mwenyekiti, mpira wa mig
- Page 61 and 62: na Academy yake, huyu ndiye mtu wa
- Page 63 and 64: matangazo ya kudhalilisha nchi yetu
- Page 65 and 66: Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingin
- Page 67 and 68: Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ni
- Page 69 and 70: namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa
- Page 71 and 72: Bunge. Mheshimiwa Waziri Mkuu alipo
- Page 73 and 74: pombe tu, wanaishia kunywa pombe, b
- Page 75 and 76: Nishukuru wafadhili na hasa TBC bas
- Page 77 and 78: ushuru kwenye vifaa vya michezo. Vi
- Page 79 and 80: Mheshimiwa Mwenyekiti, niende TBC,
- Page 81 and 82: Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini kuna
- Page 83 and 84: Je, hawa watu wapo na wanafanya kaz
- Page 85 and 86: hapa Bungeni, yupo kule kwenye ofis
- Page 87: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza natak
- Page 91 and 92: MHE. MARYAM SALUM MSABAHA: Wale wen
- Page 93 and 94: jambo hili la kuhakikisha kwamba ku
- Page 95: na yakizungumza habari ya interest