12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>na</strong> Mfuko wa Vyombo vya Habari <strong>na</strong> Baraza la Habari Tanzania (MCT) ili kuwawezesha Waandishiwa Habari, wamiliki wa vyombo vya habari <strong>na</strong> vyombo vya habari vyenyewe kufanya kazi zaokwa kuzingatia maadili ya uandishi wa habari makini zenye tija kwa Taifa.Mheshimiwa Naibu Spika, pili, Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA). Ni dhahiri kuwa lughaya Kiswahili imezidi kukua <strong>na</strong> kusambaa duniani ikiwa sasa ni Lugha ya Kimataifa i<strong>na</strong>yotumiwamathalani kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki <strong>na</strong> Umoja wa Afrika. Kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> umuhimu waKiswahili Katika Taifa letu <strong>na</strong> kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ukweli kuwa lugha hii ndio kiunganishi kikuu <strong>cha</strong>mawasiliano kwa Watanzania, Kamati i<strong>na</strong>toa ushauri ufuatao:-· Serikali kuwa makini katika kauli zake kuhusu matumizi ya lugha ya Kiswahili katikashughuli rasmi za Serikali <strong>na</strong> kusisitiza matumizi ya Kiswahili katika semi<strong>na</strong>, warsha,mabango ya matangazo barabarani, maelekezo ya bidhaa zi<strong>na</strong>zotengenezwanchini <strong>na</strong> matangazo ya biashara; <strong>na</strong>· Serikali kuo<strong>na</strong> umuhimu wa kulishirikisha Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA)katika kuandaa vitabu vya Bajeti za Serikali kwa miaka ijayo kwa Lugha yaKiswahili ili kuwawezesha wa<strong>na</strong>nchi kuelewa muelekeo wa hali ya Uchumi <strong>na</strong>Mapato ya Serikali pamoja <strong>na</strong> maeneo yaliyopewa kipaumbele.Mheshimiwa Naibu Spika, tatu, Baraza la Sa<strong>na</strong>a la Taifa (BASATA). Kutoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> Upungufukatika Sheria ya Haki Miliki ya Mwaka 1999 <strong>na</strong> pia kutokuwepo utekelezaji wa Sheria hii kikamilifu,bado unyonyaji wa wasanii u<strong>na</strong>fanywa <strong>na</strong> mawakala, wadhamini, wazalishaji <strong>na</strong> wasambazaji wakazi za wasanii. Kamati i<strong>na</strong>o<strong>na</strong> ku<strong>na</strong> umuhimu mkubwa wa Wizara ya Habari, Vija<strong>na</strong>, Utamaduni<strong>na</strong> Michezo <strong>na</strong> Wizara ya Viwanda <strong>na</strong> Biashara ziharakishe kuleta Muswada wa Marekebisho yaSheria ya Haki Miliki <strong>na</strong> Haki Shiriki Na. 7 ya Mwaka 1999 kwani upatika<strong>na</strong>ji wa Sheria hii utasaidiaukuaji wa pato la wasanii <strong>na</strong> hata Serikali kwa ujumla.Mheshimiwa Naibu Spika, u<strong>cha</strong>mbuzi wa Kiuchumi wa Sekta ya Muziki uliofanywa <strong>na</strong> Idaraya Uchumi ya Chuo Kikuu <strong>cha</strong> Dar es Salaam <strong>na</strong> kuwasilishwa mbele ya Kamati tarehe 19 Juni20<strong>11</strong>, umebaini kuwa mara baada ya marekebisho ya Sheria hii <strong>na</strong> utekelezaji wake utakapoanza,Taifa litapata <strong>cha</strong>nzo kipya <strong>cha</strong> mapato ya Serikali kwani utafiti u<strong>na</strong>onyesha kuwa:-· Pato la Taifa li<strong>na</strong>lotoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> Sa<strong>na</strong>a ya Muziki hapa nchini li<strong>na</strong>kadiriwa kuwashilingi bilioni 71, ikiwa ni karibia asilimia 0.5 ya jumla ya pato lote la Taifa (GDP);· Mapato ya<strong>na</strong>yopatika<strong>na</strong> kwenye Sekta ya Muziki, ya<strong>na</strong>toka katika asilimia 12 tuya kiwango kilichotakiwa kulipiwa kodi ya mapato kwenye sekta hiyo; <strong>na</strong>· Hasara i<strong>na</strong>yotoka<strong>na</strong> <strong>na</strong> ulipaji mdogo wa kodi kwa Taifa (kwenye sekta ya muziki)i<strong>na</strong>kadiriwa kuwa asilimia 0.1 ya GDP ilitegemewa kuongezeka kwa kiasi <strong>cha</strong>asilimia <strong>11</strong> katika kipindi <strong>cha</strong> miaka mitatu kuanzia 2007.Mheshimiwa Naibu Spika, kama Sheria ya Haki Miliki <strong>na</strong> Haki Shiriki ya Mwaka 1999,ikifanyiwa marekebisho <strong>na</strong> kutekelezwa, faida kwa Wadau wa Sekta ya Sa<strong>na</strong>a itakuwa kamaifuatavyo:-· Kipato <strong>cha</strong> wadau wote wa sekta hii ikiwemo Serikali kitaongezeka;· Kutakuwa <strong>na</strong> ongezeko la kipato kwa walioajiriwa katika sa<strong>na</strong>a ya muziki <strong>na</strong>filamu <strong>na</strong> kwa hali hii itavutia ajira mpya katika sa<strong>na</strong>a hizi; <strong>na</strong>· Makadirio ya walioajiriwa (kudumu) katika sekta ya muziki ni asilimia 48 ya walewote wa<strong>na</strong>ojishughulisha <strong>na</strong> muziki, asilimia 52 hufanya muziki kama kazi ya ziadahivyo baada ya kufanyia marekebisho Sheria hii, kipato kitakuwa zaidi <strong>na</strong>kitafanya wengi kwenye sekta hii kuithamini kazi ya sa<strong>na</strong>a <strong>na</strong> kuifanya yakudumu kwani itakuwa i<strong>na</strong>walipa vizuri.37

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!