12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

pombe tu, wa<strong>na</strong>ishia kunywa pombe, basi. Lakini wacheza ngoma za asili ni muhimu sa<strong>na</strong> katikaTaifa letu.Naomba Serikali ingewakumbuka sa<strong>na</strong> kwa sababu hawa ndio watarudisha utamaduniwa nchi yetu kupitia vizazi vi<strong>na</strong>vyokuja. Hiyo ni kumbukumbu tosha. Lakini hata Mawaziriwa<strong>na</strong>potembelea labda mashule, ni aibu sa<strong>na</strong> wa<strong>na</strong>imbiwa nyimbo za Bongo Fleva <strong>na</strong>wa<strong>na</strong>funzi; wapi <strong>na</strong> wapi jamani! Ngoma za asili ndiyo utambulisho wa nchi yetu <strong>na</strong> makabilayetu. Naomba Serikali iliangalie hilo. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali ingefanya michezo ni lazima, siyo hiyari. Michezoirudishwe mashuleni te<strong>na</strong> kuanzia Shule ya Msingi ikiwezeka<strong>na</strong> ianzie katika Shule za Chekecheakabisa. Pia kuwe <strong>na</strong> ushindani, hata katika baadhi ya sikukuu za kitaifa, tuwe tu<strong>na</strong>shuhudia mechiya Shule za Chekechea. Miaka 12 wa<strong>na</strong>anza <strong>na</strong> wenyewe kuandaliwa mashindano <strong>na</strong> hapondiyo tu<strong>na</strong>tafuta watoto wabunifu <strong>na</strong> wachezaji wazuri wa baadaye badala ya kusubiri mpakawamemaliza Darasa la Saba ndipo tuanze kutafuta watoto wa kucheza mpira.Mheshimiwa Mwenyekiti, hatuwezi kupata wachezaji wazuri kama tutaanza kuwatafutawatoto wa kucheza mpira wakiwa labda <strong>na</strong> miaka 20, hatuwezi kumpata mchezaji mzuri.Mchezaji mzuri ni kuanzia utotoni. Tu<strong>na</strong>omba Serikali irudishe michezo kuanzia Shule za Msingi auChekechea kabisa. Kipaji <strong>cha</strong> mtoto tu<strong>na</strong>anza kukio<strong>na</strong> akiwa mdogo. Kwa hiyo, michezoirudishwe, iwe ni lazima <strong>na</strong> siyo hiari. (Makofi)Mheshimiwa Mwenyekiti, zamani kulikuwa <strong>na</strong> michezo sa<strong>na</strong>. Katika masomo kulikuwa <strong>na</strong>kipindi kimetengwa kwa ajili ya michezo. Naomba sasa hivi vipindi vya michezo virudishwemashuleni. Kuwe <strong>na</strong> kipindi kabisa <strong>cha</strong> michezo, baada ya masomo mengine i<strong>na</strong>fuata michezo.Kama ilivyokuwa enzi zetu, kulikuwa <strong>na</strong> michezo mingi. Riadha, netball, football, high jump, longjump, michezo kama kukimbia kwenye magunia, eeh! Ni afya tosha kwa vija<strong>na</strong> wetu kwa sababumichezo ni afya, ni ajira <strong>na</strong> ni burudani. Leo katika vizazi vyetu hivi ukimwo<strong>na</strong> kija<strong>na</strong> wa sasa nikama bamia. Jamani! Eeh, kwa sababu hawa<strong>na</strong> kabisa <strong>na</strong>fasi ya kushiriki katika michezo.Hawapati michezo shuleni, wa<strong>na</strong>ipata kwa muda kama pale tu<strong>na</strong>poandaa mashindano yaUMITASHUMTA au UMISETA. Hapo ndiyo mazoezi ya<strong>na</strong>anza. Wapi <strong>na</strong> wapi! (Makofi)(Hapa kengele ya pili iligonga kuashiria muda wa mzungumzaji kwisha)MWENYEKITI: Ahsante Mheshimiwa.MHE. ANNAMARRYSTELLA J. MALLAC: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sa<strong>na</strong>. (Makofi)MWENYEKITI: Nakushukuru sa<strong>na</strong>.MHE. MARGARETH A. MKANGA: Mheshimiwa Mwenyekiti, <strong>na</strong>kushukuru kwa kunipa wasaa ili<strong>na</strong>mi niweze ku<strong>cha</strong>ngia hoja iliyoko mbele yetu. Kwanza, niwapongeze Waziri, Naibu Waziri <strong>na</strong>wote kabisa waliohusika katika kuandaa bajeti au hotuba hii. Hotuba imeeleweka vizuri tu sa<strong>na</strong>,i<strong>na</strong>tia matumaini, lakini kuwa <strong>na</strong> hotuba ya matumaini ni kitu kingine <strong>na</strong> kuweza kuitekeleza nisuala lingine. Tu<strong>na</strong>waomba tu kwamba pamoja <strong>na</strong> pesa ndogo waliyoipata, basi ndani yampangilio waendelee kupangilia kipaumbele zaidi <strong>cha</strong> haya yaliyomo, vinginevyo, yoteya<strong>na</strong>weza yakashindika<strong>na</strong>.Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi <strong>na</strong>anza kwanza kujikita kwenye masuala ya michezo.Nilivyo sio mchezaji, <strong>na</strong>jua tu karata, lakini <strong>na</strong>dhani <strong>na</strong>wajibika kwa vile mengine <strong>na</strong>yafahamu,hivyo nizungumzie mawili, matatu.Mheshimiwa Mwenyekiti, nimeisoma hii hotuba kwa makini kidogo, lakini imenipa majonziya kutosha tu, kwa sababu sikuo<strong>na</strong> ki<strong>na</strong>chonifurahisha kuhusu michezo ya watu wenye ulemavu.Kumekuwepo <strong>na</strong> kutokuwezesha kikamilifu sehemu hii ya michezo ya jamii hii.Mheshimiwa Mwenyekiti, ni<strong>na</strong>vyofahamu mimi, watoto wenye ulemavu, wakubwa zao,mababu zao wa<strong>na</strong>shiriki kwenye michezo i<strong>na</strong>yoweza kuchezwa <strong>na</strong> wao. Kwa mfano, ile michezo73

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!