12.07.2015 Views

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

MKUTANO WA NNE Kikao cha Arobaini na Nne - Tarehe 11 A

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

(a) Mheshimiwa Naibu Spika, Halmashauri zilizobainika zaidi kuwa <strong>na</strong> matumizi yafedha yasiyoridhisha ni pamoja <strong>na</strong> Halmashauri za Wilaya za Kishapu, Kilosa, Bagamoyo,Mkuranga, Ileje, Geita, Rombo, Tarime, Bunda <strong>na</strong> Rorya.(b) Mheshimiwa Naibu Spika, hatua zi<strong>na</strong>zochukuliwa kwa watumishi wotewa<strong>na</strong>osababisha matumizi mabaya ya fedha za umma katika Mamlaka za Serikali za Mitaa nipamoja <strong>na</strong> kufanyiwa uchunguzi <strong>na</strong> vyombo vya kisheria kama TAKUKURU, kupewa onyo kali,kushushwa ngazi za mishahara, kuvuliwa madaraka <strong>na</strong> kufikishwa Mahakamani.Aidha, Kamati ya kudumu ya Bunge, ya Hesabu za Serikali za Mitaa, hupendekeza kwaWaziri mwenye dhama<strong>na</strong> ya Serikali za Mitaa kwa watumishi wote waliosababisha ubadhirifu,kukatwa asilimia fulani ya mshahara wa mtumishi ili kufidia upotevu huo.(c) Mheshimiwa Naibu Spika, kuhusu kuwepo kwa miradi hewa, Halmashauri yaManispaa ya Ilala, wakati wa maandalizi ya taarifa ya mafanikio ya Serikali katika mwaka 2005ilifanya kosa la kiuandishi kwa kuhusisha Mtaa wa Mogo katika Kata ya Kipawa kuwa <strong>na</strong> Zaha<strong>na</strong>ti.Ukweli ni kwamba, Halmashauri hii imetekeleza miradi saba ya ujenzi wa zaha<strong>na</strong>ti katika kipindihicho. Hivyo, <strong>na</strong>thibitisha kuwa zaha<strong>na</strong>ti ya Mogo haipo <strong>na</strong> haku<strong>na</strong> mipango ya hivi karibuni yakujenga zaha<strong>na</strong>ti katika Mtaa huu kwa mujibu wa Halmashauri ya Wilaya ya Manispaa ya Ilala.MHE. RACHEL M. ROBERT: Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante. Nashukuru MheshimiwaWaziri, ameitaja Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu kuwa ni ki<strong>na</strong>ra wa ubadhirifu wa fedha <strong>na</strong>Mkaguzi wa Hesabu za Serikali mwaka 2009/2010, ameendelea kuitaja Halmashauri hii ya Kishapu<strong>na</strong> Mkuu wa Mkoa, Mheshimiwa Balele, alipigia kelele sa<strong>na</strong> hili jambo <strong>na</strong> baada ya kulipigiakelele, baadhi ya watumishi walihamishwa. Sasa <strong>na</strong>taka kuiuliza Serikali, kwa nini imekuwa <strong>na</strong> huuutaratibu wa kuwahamisha watumishi wa Halmashauri, hasa wa<strong>na</strong>ooneka<strong>na</strong> wamefanyaubadhirifu kwenye Halmashauri?Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili, katika majibu yake ya msingi, Mheshimiwa Waziri,amekubalia<strong>na</strong> <strong>na</strong> mimi kwamba, zaha<strong>na</strong>ti ya Mogo katika manispaa ya Ilala iliyoko katika Jimbola Segerea, haipo. Lakini Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya TAMISEMI <strong>na</strong> ni<strong>na</strong>lo gazeti hapa laJanuari, alikubali kwamba, hizi pesa ziliidhinishwa <strong>na</strong> zikatumika. Sasa <strong>na</strong>taka kujua ni aki<strong>na</strong> <strong>na</strong>niwalizitumia <strong>na</strong> zilitumika kwa ajili ya nini?NAIBU <strong>WA</strong>ZIRI OFISI YA <strong>WA</strong>ZIRI MKUU (TA<strong>WA</strong>LA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA - ELIMU):Mheshimiwa Naibu Spika, ubadhirifu wa fedha za Halmashauri ya Kishapu ambao piaulishafanyiwa ukaguzi, lakini pia Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa alishalitoa kauli <strong>na</strong>taka nikujulishe tuMheshimiwa Mbunge kwamba hatua dhidi ya wale wote ambao wa<strong>na</strong>bainika kufanya ubadhirifuwa fedha zi<strong>na</strong>endelea kuchukuliwa, wala si tu kwa kuwahamisha watendaji lakini pia kwa kufanyauchukuzi <strong>na</strong> pindi i<strong>na</strong>pobainika hayo huwa hatua zi<strong>na</strong>chukuliwa. Kwa mfano, katika kipindi <strong>cha</strong>mwaka 2006 mpaka 2010 tu<strong>na</strong> jumla ya Halmashauri 30 ambazo hatua mbalimbali za kinidhamuzilichukuliwa kwa Wakurugenzi wao. Wengine wameshavuliwa madaraka lakini wengine kesi zaozi<strong>na</strong>endelea Mahakamani <strong>na</strong> mi<strong>cha</strong>kato ya kinidhamu i<strong>na</strong>endelea <strong>na</strong> wale walioshinda kesilabda wale ndiyo ambao wa<strong>na</strong>weza kuhamishwa kupelekwa mahali pengine. Lakini kama ku<strong>na</strong>tuhuma yoyote ile adhabu kali i<strong>na</strong>chukuliwa. Lakini pia kwa watumishi wa kawaida ambao piawa<strong>na</strong>ingia kwenye ubadhirifu wa mali lakini pia <strong>na</strong> kutokuwa <strong>na</strong> nidhamu mahali pa kazi <strong>na</strong>o piahatua mbalimbali zi<strong>na</strong>chukuliwa.Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili, ya<strong>na</strong>yozungumzia fedha za Halmashauri yaManispaa, ni kweli kwamba Naibu Katibu Mkuu aliwahi kutoa taarifa, sasa <strong>na</strong>taka nikupe taarifakwamba katika kipindi kile kulikuwa <strong>na</strong> fedha jumla ya bilioni 1,206,000,338 ambazo zilikuwazimetengwa kuendesha miradi mbalimbali kwenye eneo lile. Nilipozungumza kwamba ku<strong>na</strong> tatizola maandishi ambalo lilijitokeza <strong>na</strong> kwamba haku<strong>na</strong> zaha<strong>na</strong>ti kwenye Mtaa wa Mogo, ni kwambaHalmashauri ilitumia zile fedha zote zilizokuwa zimetengwa kupitia Baraza la Madiwani <strong>na</strong> fedhazote zilitumika katika Kata ya Ukonga, Kata ya Segerea, Kinyerezi, Kivule <strong>na</strong> Chanika <strong>na</strong> miradiyote imebainishwa <strong>na</strong> jumla ya fedha imekwenda <strong>na</strong> ile ambayo iliridhiwa. Kwa hiyo, kuingia kwazaha<strong>na</strong>ti ya Mogo ilikuwa ni kwa makosa kama ambavyo nimeeleza. Ahsante.8

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!