CONSTITUTION OF KENYA REVIEW ... - ConstitutionNet
CONSTITUTION OF KENYA REVIEW ... - ConstitutionNet
CONSTITUTION OF KENYA REVIEW ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Mimi nimeshangaa, watu katika serikali hawajasoma hii draft hata kidogo. Ningewasihi pia muwapatia kila ofisi, kila moja wao<br />
at least apate kuona hiyo mambo. Alirudishiwe hilo jambo na mtu mwingine, ni nani alimwambia? Kusema kweli Sunkuli<br />
hajasoma hiyo.<br />
Jambo lingine ambalo nigetaka munisaidie, commissioner na wengine wenzetu ni kwamba iwapo tutaenda kwa uchaguzi na<br />
katiba iliyoko sasa. Of course Kibaki amekubali twende na hiyo. Moi amekubali twende na hiyo. Iwapo tutaenda na hiyo na<br />
baadaye six months later katiba mpya iweko. Sababu tunauwezo sisi kama watu kuifundisha hata baada ya elections.<br />
Tunauwezo kama watu wangu. Iwapo tutairudisha hapo na baada ya six months, bunge litakalokuja liseme sasa katiba iko<br />
tayari. Je, tutavunja Bunge na serikali ndiyo tufanye uchaguzi tena chini ya katiba mpya? Only six months later after a vigorous<br />
exercise, having spent all the money?Hiyo ni jambo moja.<br />
Jambo lingine ni la kisiasa. Wakati tulikuwa tunaenda katika process kuangalia mambo hii, tulikubaliana kwamba, hakuna siku<br />
moja process itakuwa influenced na politics. Na ninawashukuru kwa sababu this is a very technical issue, it is not political.<br />
Lakini mimi ninamshukuru Moi ingawa hapo mutaangalia mimi vibaya. Wacheni niwaambie, mimi namshukuru Moi. Moi alikuwa<br />
mtu wa kwanza kuona, unless Parliament as an organ of Constitution Review Process, iongezwe muda, hakuna wakati tutaenda<br />
uchaguzi chini ya katiba mpya.<br />
I have been following, I have been with professor in so many forums even before she became the commissioner and I know, sisi<br />
watu wa Kenya, tunachukuwa mambo. Wakati KANU inasema chochote, as long as it is KANU, ni mbaya. Hata mimi<br />
nimekuwa namna hiyo. Na wakati sisi tunasema kitu, in opposition, as long as ni sisi, ni nzuri. Sasa tumefikia wakati oppostion<br />
wanatuambia mambo mengine ya uwongo, na tunachukuwa sababu kama ni KANU ingekuwa imesema, tungepotea.<br />
If we would have followed what Moi suggested we extend the Parliament for the next five months, hatungekuwa na hii crisis.<br />
Tungengojea waongezewe, na Parliament as an organ, - do we have to go to the elections with a new constituton?<br />
Jambo la mwisho ni swala ambalo nigetaka kuuliza. Katika hiyo draft, nimeona remaining cabinet ministers must be appointed<br />
by the president. I do not know the remaining watachaguliwa na nani.<br />
Stephen Wanyoike: Okay. Thank you very much Mr. Mungai. Let us have number four.<br />
Jambo la mwisho ni swala ambalo nigetaka kuuliza. Katika hiyo draft, nimeona remaining cabinet ministers must be<br />
appointed by the president. I do not know the remaining watachaguliwa na nani.<br />
Stephen Wanyoike: Okay. Thank you very much Mr. Mungai. Let us have number four.<br />
50