01.05.2013 Views

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW ... - ConstitutionNet

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW ... - ConstitutionNet

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mimi nimeshangaa, watu katika serikali hawajasoma hii draft hata kidogo. Ningewasihi pia muwapatia kila ofisi, kila moja wao<br />

at least apate kuona hiyo mambo. Alirudishiwe hilo jambo na mtu mwingine, ni nani alimwambia? Kusema kweli Sunkuli<br />

hajasoma hiyo.<br />

Jambo lingine ambalo nigetaka munisaidie, commissioner na wengine wenzetu ni kwamba iwapo tutaenda kwa uchaguzi na<br />

katiba iliyoko sasa. Of course Kibaki amekubali twende na hiyo. Moi amekubali twende na hiyo. Iwapo tutaenda na hiyo na<br />

baadaye six months later katiba mpya iweko. Sababu tunauwezo sisi kama watu kuifundisha hata baada ya elections.<br />

Tunauwezo kama watu wangu. Iwapo tutairudisha hapo na baada ya six months, bunge litakalokuja liseme sasa katiba iko<br />

tayari. Je, tutavunja Bunge na serikali ndiyo tufanye uchaguzi tena chini ya katiba mpya? Only six months later after a vigorous<br />

exercise, having spent all the money?Hiyo ni jambo moja.<br />

Jambo lingine ni la kisiasa. Wakati tulikuwa tunaenda katika process kuangalia mambo hii, tulikubaliana kwamba, hakuna siku<br />

moja process itakuwa influenced na politics. Na ninawashukuru kwa sababu this is a very technical issue, it is not political.<br />

Lakini mimi ninamshukuru Moi ingawa hapo mutaangalia mimi vibaya. Wacheni niwaambie, mimi namshukuru Moi. Moi alikuwa<br />

mtu wa kwanza kuona, unless Parliament as an organ of Constitution Review Process, iongezwe muda, hakuna wakati tutaenda<br />

uchaguzi chini ya katiba mpya.<br />

I have been following, I have been with professor in so many forums even before she became the commissioner and I know, sisi<br />

watu wa Kenya, tunachukuwa mambo. Wakati KANU inasema chochote, as long as it is KANU, ni mbaya. Hata mimi<br />

nimekuwa namna hiyo. Na wakati sisi tunasema kitu, in opposition, as long as ni sisi, ni nzuri. Sasa tumefikia wakati oppostion<br />

wanatuambia mambo mengine ya uwongo, na tunachukuwa sababu kama ni KANU ingekuwa imesema, tungepotea.<br />

If we would have followed what Moi suggested we extend the Parliament for the next five months, hatungekuwa na hii crisis.<br />

Tungengojea waongezewe, na Parliament as an organ, - do we have to go to the elections with a new constituton?<br />

Jambo la mwisho ni swala ambalo nigetaka kuuliza. Katika hiyo draft, nimeona remaining cabinet ministers must be appointed<br />

by the president. I do not know the remaining watachaguliwa na nani.<br />

Stephen Wanyoike: Okay. Thank you very much Mr. Mungai. Let us have number four.<br />

Jambo la mwisho ni swala ambalo nigetaka kuuliza. Katika hiyo draft, nimeona remaining cabinet ministers must be<br />

appointed by the president. I do not know the remaining watachaguliwa na nani.<br />

Stephen Wanyoike: Okay. Thank you very much Mr. Mungai. Let us have number four.<br />

50

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!