04.01.2015 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

12<br />

medical care na community service.<br />

Na, upande mwingine ni wa disabled people: Watu walemavu, ukiangalia sana upande wa serikali watu walemavu<br />

wamewekwa kando kidogo, haoni watu kama sisi na wanaitaji mapenzi na kushugulikiwa, na pia wanahitaji medical attention na<br />

they should be given a chance to express themselves as in, unaweza pata walemavu wako na talents zao, hao wenyewe, zile sisi<br />

watu normal hatuwezi kufanya, kuna zile hao wanaweza fanya kama kuchora, kuchonga mbao na kazi ya carpentry.<br />

Pia ningependa kumalizia na government; the governement should improve the welfare <strong>of</strong> the street children through<br />

identification <strong>of</strong> the<br />

() and provision <strong>of</strong> necessary support. Sina mengi ya kusema Asante.<br />

Com. Nancy Baraza: Hao watoto, sa zingine huwa tunasikia kuwa hata wakiwapatia mahali pa kuishi hawataki, hiyo ni kweli<br />

au tunadanganywa tu<br />

Timothy Major: Hiyo ni kweli, kuna wale hawataki kabisa hata mambo ya masomo kwa ajili wameshazoea ile life ya inje,<br />

sasa kabla uwajukuwe uwaweke pamoja ama uchukue kijana wa inje, ule chokora umwambie unataka kumsomesha ama<br />

apelekwa shule fulani, ataona sasa ni kama akienda kule itakuwa ni mambo na kuteswa, lakini wengine wao, kazi yao tu<br />

wanataka pesa na wajinunulie zile vitu wanaitaji kama glue na vitu zingine. Lakini kusema kweli hao vijana wetu wanaitiji<br />

masomo sana, na kama serikali inataka kuwasomesha hawa watoto, hakuna aja ya kuwachukua pale inje wawaforce<br />

kuwasomesha, wawachikue nawawapeleke kwa hizi institution na wawapatie hizi courses za carpentry, mechanizal na vitu<br />

vingine. Asanti<br />

Dalmas Momanyi: Kwa majina mmesikia ni Dalmas Momanyi, kutoka the local Youth Council <strong>of</strong> Ziwani. Kwanza<br />

ningetaka kusema hivi, kama ingewezekana wakati uchaguzi inakua uko katika parliament, at least ministers wanatakikana<br />

kuchaguliwa na watu sio kuchaguliwa kama raisi wetu anamchagua, namweka seat, kama wewe umekuwa Minister wa Finance<br />

na tena watu hawajakuchagua, kwa hivyo inastahili, kama umechaguliwa, uchaguliwe na watu. Na kama pia ingewezekana,<br />

ukiwekwa kwa hiyo ministry, tukipata hiyo ministry yako ina corrupt, inatakikana wewe upelekwe kotini, kwa vile unatumia<br />

pesa za serikali zote, ikifika wakati wako inapatikana hakuna pesa huko. Kwa hivyo at least, kama ingewezekana, kama<br />

ukiwekwa kwa ministry yeyote, inastahili at least ufanye kitu ambacho kitawanufaidi wale ambao ni raia, si unaenda uko, kazi<br />

yako si kugrap pesa za serikali, hiyo haiwezekani, kama ingewezekana, unatakina uchaguliwe na watu, na tukiona hiyo ministry<br />

yako inacorrupt, inatakikana upelekwe kotini.ulipe zile pesa zote, ndio tuepuke tabia kama hiyo.<br />

Uchumi: Sisi kama raia hatuna pesa kabisa, saa hizi uchumi ni mbaya, tunataka at least kama ingewezekana hii uchaguzi ikuwe<br />

vile waliipangwa, five years maximum, sio kubadilisha maneno ingine. At least saa hii tunataka, kama ingewezekana election<br />

isikuwe extended towards April. Saa hizi, kama sisi, ukiona, raia hawana pesa hata kidogo zaidi. Tungetaka hao politicians<br />

watoe zile pesa ambazo walikuwa wameweka.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!