constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
12<br />
medical care na community service.<br />
Na, upande mwingine ni wa disabled people: Watu walemavu, ukiangalia sana upande wa serikali watu walemavu<br />
wamewekwa kando kidogo, haoni watu kama sisi na wanaitaji mapenzi na kushugulikiwa, na pia wanahitaji medical attention na<br />
they should be given a chance to express themselves as in, unaweza pata walemavu wako na talents zao, hao wenyewe, zile sisi<br />
watu normal hatuwezi kufanya, kuna zile hao wanaweza fanya kama kuchora, kuchonga mbao na kazi ya carpentry.<br />
Pia ningependa kumalizia na government; the governement should improve the welfare <strong>of</strong> the street children through<br />
identification <strong>of</strong> the<br />
() and provision <strong>of</strong> necessary support. Sina mengi ya kusema Asante.<br />
Com. Nancy Baraza: Hao watoto, sa zingine huwa tunasikia kuwa hata wakiwapatia mahali pa kuishi hawataki, hiyo ni kweli<br />
au tunadanganywa tu<br />
Timothy Major: Hiyo ni kweli, kuna wale hawataki kabisa hata mambo ya masomo kwa ajili wameshazoea ile life ya inje,<br />
sasa kabla uwajukuwe uwaweke pamoja ama uchukue kijana wa inje, ule chokora umwambie unataka kumsomesha ama<br />
apelekwa shule fulani, ataona sasa ni kama akienda kule itakuwa ni mambo na kuteswa, lakini wengine wao, kazi yao tu<br />
wanataka pesa na wajinunulie zile vitu wanaitaji kama glue na vitu zingine. Lakini kusema kweli hao vijana wetu wanaitiji<br />
masomo sana, na kama serikali inataka kuwasomesha hawa watoto, hakuna aja ya kuwachukua pale inje wawaforce<br />
kuwasomesha, wawachikue nawawapeleke kwa hizi institution na wawapatie hizi courses za carpentry, mechanizal na vitu<br />
vingine. Asanti<br />
Dalmas Momanyi: Kwa majina mmesikia ni Dalmas Momanyi, kutoka the local Youth Council <strong>of</strong> Ziwani. Kwanza<br />
ningetaka kusema hivi, kama ingewezekana wakati uchaguzi inakua uko katika parliament, at least ministers wanatakikana<br />
kuchaguliwa na watu sio kuchaguliwa kama raisi wetu anamchagua, namweka seat, kama wewe umekuwa Minister wa Finance<br />
na tena watu hawajakuchagua, kwa hivyo inastahili, kama umechaguliwa, uchaguliwe na watu. Na kama pia ingewezekana,<br />
ukiwekwa kwa hiyo ministry, tukipata hiyo ministry yako ina corrupt, inatakikana wewe upelekwe kotini, kwa vile unatumia<br />
pesa za serikali zote, ikifika wakati wako inapatikana hakuna pesa huko. Kwa hivyo at least, kama ingewezekana, kama<br />
ukiwekwa kwa ministry yeyote, inastahili at least ufanye kitu ambacho kitawanufaidi wale ambao ni raia, si unaenda uko, kazi<br />
yako si kugrap pesa za serikali, hiyo haiwezekani, kama ingewezekana, unatakina uchaguliwe na watu, na tukiona hiyo ministry<br />
yako inacorrupt, inatakikana upelekwe kotini.ulipe zile pesa zote, ndio tuepuke tabia kama hiyo.<br />
Uchumi: Sisi kama raia hatuna pesa kabisa, saa hizi uchumi ni mbaya, tunataka at least kama ingewezekana hii uchaguzi ikuwe<br />
vile waliipangwa, five years maximum, sio kubadilisha maneno ingine. At least saa hii tunataka, kama ingewezekana election<br />
isikuwe extended towards April. Saa hizi, kama sisi, ukiona, raia hawana pesa hata kidogo zaidi. Tungetaka hao politicians<br />
watoe zile pesa ambazo walikuwa wameweka.