04.01.2015 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

24<br />

Elisha Ochieng; (Ziwani resident) Anatuaribia maisha, mnikiwa na pesa yangu kidogo, anaenda kuita serikali, hati sijui nini na<br />

nini.<br />

Wengi wetu wazazi hawafanyi kazi, ningeomba kuwa shule, watoto wawachiliwe wasome bure, hata kama ni mpaka standard<br />

8.<br />

Matibabu pia iwe bure.<br />

Julius Mwangi: Kwanza nataka kushukuru, <strong>commission</strong>ers kwa kazi nzuri wamefanya na uvumilivu wao.<br />

Sheria zaa ardhi zilizopo sasa zinafinya wanainchi wa kawaida sana, kwa sababu wengi hawana ardhi na watu wale wakubwa<br />

walikuwa tangu wakati wa ukoloni wakinyakua ardhi iliyokuweko na mpaka wakati huu wamezidi kabisa. Tuna taka sheria<br />

ambayo itatumiwa ile kila mwanainchi au familia ipate mahali itaita nyumbani.<br />

Kwa vile kwa mfano, tajiri akija apate mahali mnafanyia kazi, nyinyi ni watu kumi mko pale, mnafanya kazi mnajisaidia na<br />

inasaidi watoto wenu, serikali ina haki ya kuja na kuwafukuza kutoka mahali pale na iwaonyeshi mahali mtaende, sasa iyo<br />

inalete ufukara zaidi. Watu wanazidi kudidimia.<br />

Polisi; wakati polisi wanawashika watu, hasa wanaume wakiwashika wanawake, na kuwapeleka cell, wanawake huwa<br />

wanaumia sana. Mara nyingine wakifika kule, hao wanaume wanawalizimish kufagia, na saa ingine wanaanywa kufagia usiku.<br />

Na saa ingine hao wanawake wanaazimishwa kujipeana mwili zao ili wanunuwe uhuru wao. Kwa hivyo wanawake wawe<br />

wakishikwa na askari wanawake, na wakati wako kwa cell wawe, wanajibika maswala yote kwa askari wanawake.<br />

Interruption: Kuhusu hii maneno ya polisi, je mngetaka warudishwe shule ama, kwa vile wa<strong>kenya</strong> wengi wanalalamika kuwa<br />

polisi wanaumiza watu.<br />

Julius Mwangi: Ninaonelea ya kwamba, kuwe na utaratibu au <strong>commission</strong> ingine. Kama committee, lakini iwe ni serikali,<br />

sijui iwekwe majeshi ndio watakua juu, wapewe uwezo wa kutawala polisi. Ili wewe ukigandamizwa na polisi, unaweza<br />

kuwastaki kwa hawa, sababu sasa ukudhulumiwa na polisi unaweza kuenda kustaki wapi Wamekuwa wabaya sana na<br />

wamezidi kabisa. Hata unyangaywi ile inafanywa siku hizi, ni hao wanafanya. Na hata ukijua hauna mahali ya kuenda<br />

kuwashtaki.<br />

Mimi ni mhuzaji wa makaa na nimetembea mahali nyingi sana katika Kenya, na hii biashara ilikuwa imefungwa lakini kule<br />

kufungwa nikusema inaendelea kwa njia mbaya, hata kama imefungwa. Ningeuliza serikali iwe ikiwaruhusu watu mahali<br />

wanaishi, kama ni zile miti zimeanguka, zile zimeoza na mahali wanakubaliwa kusafisha mashamba wawe legalized kuwa<br />

wakichoma izo miti, na iwe ni huru mahali wanapeleka wasiulizwe.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!