04.01.2015 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

22<br />

All courts, including the magistrate court should be <strong>constitution</strong>al.<br />

David Mburu; Ningependa kuanza na masomo, upande wa masomo ningesema ya kwamba, ingekuwa ni la muhim ama<br />

lazima, masomo iwe niya bure kutoka pre-unit, nursery school, mpaka 1 st degree, alafu mtu akitaka swendelea, hapo mtu<br />

anweza lipa. Tu kisema ni ya bure, tunamaanisha malipo iwe ni zero, akuna kitu chochote anacho daiwa. Hata ikiwezekana<br />

uniform iwe ni mavazi ya nyumbani.<br />

System ya 8.4.4, haisaidii watoto wetu, kimaisha, turudu syste ya mbele ambayo ni standard seven high school mpaka<br />

university,. Pia isiwe chancellor wa university ni president wa inchi, tuwe na vice chancellors ndio wanasimamia university, raisi<br />

hanyanganywe uwezo wakusimamia masomo, kwa vile haina maana, unaweza pata president mwenyewwe hana degree na<br />

ansimamia masomo amaye ye mwenyewe hajapitia.<br />

Matibabu; Kenya ni moja wapo ya nchi zinazolipa codi kubwa zaidi katika ulimwengu, kwa hivyo, msiulize pesa zitatoka wapi,<br />

pesa iwe ni kodi yetu ambayo tunakatwa hata saa hii, na ndio inatufinya vile tuko, tuendelee kukatwa kodi vile tumezoea bila<br />

kuongezwa. Lakini sasa kazi ifanyike vile tungependendelea ifanyike.<br />

Matibabu iwe ya bure, nikisema bure iwe ya kwamba matibabu, kuona daktari na madawa. Kama hakuna dawa upewa<br />

prescription, ambayo iko na mhuri wa serikali, ili ukienda nayo na chemist, upewe dawa na chemist ilipishane na serikali na<br />

ikikosa ivo mtu ashtakiwe mahali fulani katika iyo system.<br />

Umasikini; umasikini, inajulikana ni thahiri ya kuwa tunajifunia tulicho naojo, na sisi tunajua nunajivunia zaidi, ukulima, tungesema<br />

ukulima uhimizwe na kitu yo kwanza maji itolewe kutoka Indian ocean, lakes zote zile tuko nazo, mabahari yote, irrigation<br />

ifanywe kwa mashamba na hiyo yote ifanywe na serikali, tusilipishwe hata ndururu. Na isitoshe, mareli zipelekwe kwa kila<br />

sub-location, kila kijiji, iwe na railway line. Ili tuepuke mambo ya el-nino na mashimo wakati kumenyesha.<br />

Tuna mimea kama bangi, kuna inchi ambazo iko legalized na inapandwa hapa kwetu Kenya, bangi iwe for export, ikubalishwe.<br />

Kwa vile inatumika katika madawa na hata hosipitali, iuziwe inchi zile zile zinataka kununua na itasaidia upande wa economy ya<br />

inchi yetu Kenya.<br />

Vitu kama ivory, ya wanyama wamekufa isrudi kuchomwa, iuzwe kwa inchi zile zinaweza ku zimanufacture, kwa vile inakuwa<br />

pointless, tunauziwe ushanga wa ivory hapa na sisis weenyewe tunachoma ivory. Vitu kama hizo na ngozi za nyoka ziuzwa kwa<br />

inchi ili zi enhance economy.<br />

Tuwe na super scale. Hii ni mtu kufikisha bilioni moja peke yake, akipitisha bilioni moja, mali yako inatawiliwa na serikali na<br />

itumike kufacilitate masikini ambao wako kwa inchi.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!