04.01.2015 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

2<br />

29 TH May 2002<br />

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION<br />

CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, STAREHE CONSTITUENCY, HELD AT KARIOKOR SOCIAL<br />

HALL, ON 29 TH MAY 2002<br />

Present:<br />

1. Com. Nancy Baraza<br />

2. Com. Dr. Mohammed Swazuri<br />

3. Com. Bishop Bernard Njoroge<br />

Secretariat Staff in Attendance:<br />

1. Eunice Gichangi - Programme Officer<br />

2. Christine - Asst. Programme Officer<br />

3. Hellen Kanyora - Verbatim Reporter<br />

4. Lucy Otieno - Sign Interpreter<br />

The meeting started at 9.30. a.m. with Com. Nancy Baraza in the Chair.<br />

Speaker: Nafikiri tutaanza mkutano wetu na maombi.<br />

Speaker: Baba Mungu wetu utupendaye, tunakuomba kwamba, tumekusanyika hapa siku ya leo kutoa maoni kuhusu katiba<br />

yetu. Baba Mungu wetu tunakuomba uwe nasi tukianza, utuongoze na utulinde. Maoni yote ambayo Baba tutatoa yawe<br />

yanatusaidia katika maisha yetu na katika katiba yetu. Tunajua kwamba utakuwa nasi na utatusaidia na kutulinda na<br />

kutuongoza mpaka tutakapomaliza. Uwe mwenye kiti kwa yote ambayo tutafanya, mpaka tutakapomaliza kikao hiki.<br />

Tunaomba katika jina la Yesu Mwokozi wetu. Amen.<br />

Com. Nancy Baraza: Hamjambo wananchi, hamjambo tena. Mimi ningetaka kuwakaribisha kwa hiki kikao hapa Kariokor.<br />

Jina langu ni Nancy Baraza, Commissioner na mwenzangu hapa ni Com. Dr. Mohammed Swazuri. Tuna-expect Commissioner<br />

Bishop Benard Njoroge; jana alikuwa mgonjwa lakini sijui kama hata sasa yuko mgonjwa lakini tunamtarajia.<br />

Kulingana na sheria ambayo inahusika na kurekebisha katiba, ningetaka kutangaza kwamba huu mkutano ni mkutano halali wa

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!