constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
2<br />
29 TH May 2002<br />
CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION<br />
CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, STAREHE CONSTITUENCY, HELD AT KARIOKOR SOCIAL<br />
HALL, ON 29 TH MAY 2002<br />
Present:<br />
1. Com. Nancy Baraza<br />
2. Com. Dr. Mohammed Swazuri<br />
3. Com. Bishop Bernard Njoroge<br />
Secretariat Staff in Attendance:<br />
1. Eunice Gichangi - Programme Officer<br />
2. Christine - Asst. Programme Officer<br />
3. Hellen Kanyora - Verbatim Reporter<br />
4. Lucy Otieno - Sign Interpreter<br />
The meeting started at 9.30. a.m. with Com. Nancy Baraza in the Chair.<br />
Speaker: Nafikiri tutaanza mkutano wetu na maombi.<br />
Speaker: Baba Mungu wetu utupendaye, tunakuomba kwamba, tumekusanyika hapa siku ya leo kutoa maoni kuhusu katiba<br />
yetu. Baba Mungu wetu tunakuomba uwe nasi tukianza, utuongoze na utulinde. Maoni yote ambayo Baba tutatoa yawe<br />
yanatusaidia katika maisha yetu na katika katiba yetu. Tunajua kwamba utakuwa nasi na utatusaidia na kutulinda na<br />
kutuongoza mpaka tutakapomaliza. Uwe mwenye kiti kwa yote ambayo tutafanya, mpaka tutakapomaliza kikao hiki.<br />
Tunaomba katika jina la Yesu Mwokozi wetu. Amen.<br />
Com. Nancy Baraza: Hamjambo wananchi, hamjambo tena. Mimi ningetaka kuwakaribisha kwa hiki kikao hapa Kariokor.<br />
Jina langu ni Nancy Baraza, Commissioner na mwenzangu hapa ni Com. Dr. Mohammed Swazuri. Tuna-expect Commissioner<br />
Bishop Benard Njoroge; jana alikuwa mgonjwa lakini sijui kama hata sasa yuko mgonjwa lakini tunamtarajia.<br />
Kulingana na sheria ambayo inahusika na kurekebisha katiba, ningetaka kutangaza kwamba huu mkutano ni mkutano halali wa