vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
VITUO VYA WANAWAKE VYA JIPENDE!<br />
MTAALA KWA AJILI YA WAHUDUMU WA<br />
SALUNI ZA UREMBO<br />
KITABU CHA KIADA KWA AJILI YA<br />
MWEZESHAJI<br />
Muongozo wa Kujifunza Wanarika
Shukrani<br />
Muongozo huu wa elimu rika umeandaliwa <strong>kwa</strong> kuzingatia miongozo mingine<br />
iliyokwishaandaliwa na mashirika mengine, vilevile kutoka kwenye kituo cha<br />
kudhibiti magonjwa na kuzuia maambukizi <strong>ya</strong> VVU (CDC) miongoni mwa<br />
<strong>wanawake</strong> watu wazima.<br />
Muongozo huu umetoholewa na kufanyiwa marekebisho ili kukidhi mazingira <strong>ya</strong><br />
mradi wa T-MARC, kituo cha JIPENDE <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Wanawake, mkakati<br />
huu wa kufan<strong>ya</strong> kazi na wahudumu wa saluni za urembo, ambao watapatiwa<br />
mafunzo ili kukuza stadi zao za mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana katika kujadilia<br />
masuala <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi na wateja wao na pia kuboresha stadi za mauzo na namna<br />
<strong>ya</strong> kuhudumia wateja ikiwa ni sehemu <strong>ya</strong> jitihada za kuboresha af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> <strong>wanawake</strong><br />
na kupunguza VVU Tanzania.<br />
Tunapenda kutoa shukrani zetu <strong>kwa</strong> Raisi wa Marekani kupitia Mpango wa dharura wa<br />
kuleta nafuu kwenye UKIMWI ( PEPFAR) <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> msaada wake wa kifedha na michango<br />
<strong>ya</strong>ke kupitia Shirika la Misaada la Marekani (USAID).<br />
2
YALIYOMO<br />
Utangulizi …………………………………………………………………………….4<br />
MAFUNZO YA 1<br />
Mada <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza: Kuja Pamoja <strong>kwa</strong> Kusudi ………………………………………….7<br />
Mada <strong>ya</strong> Pili Stadi za msingi za kufan<strong>ya</strong> ………………………………………….…..20<br />
MAFUNZO YA 2<br />
Mada <strong>ya</strong> Tatu Wakati Maradhi <strong>ya</strong>naposhambulia: Changamoto kuhusiana na ujinsia<br />
na af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi ……………………………………………………………………………29<br />
Mada <strong>ya</strong> Nne Taarifa za VVU na UKIMWI ………………………………………..…..38<br />
Mada <strong>ya</strong> Tano Kondom…………………………………………………………….……..52<br />
MAFUNZO YA 3<br />
Mada <strong>ya</strong> Sita Saratani <strong>ya</strong> Matiti na Shingo <strong>ya</strong> kizazi …………………………….…..64<br />
Mada <strong>ya</strong> Saba Mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana …………………………………………72<br />
MAFUNZO YA 4<br />
Mada <strong>ya</strong> Nane Uzazi wa Mpango ………………………………………..……….…..93<br />
Mada Tisa Kufunga Mafunzo ………………………………………………………..120<br />
3
Utangulizi<br />
Kampuni <strong>ya</strong> mawasiliano na kujitegemea iliyos<strong>ajili</strong>wa Tanzania kama kampuni<br />
isiyofan<strong>ya</strong> biashara <strong>ya</strong> kupata faida na inamilikiwa na Watanzania wenyewe.<br />
Iliyojitoa <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> kuboresha hali <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> za familia za kitanzania/ T-MARC<br />
hutumia utaratibu wa kuwaleta pamoja wadau wa sekta binafsi na sekta rasmi ili<br />
kuenedelza na kupanua soko la walaji <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> biadhaa z aina mbalimbali za<br />
kiaf<strong>ya</strong> na kuhamasisha kuhusu mabadiliko <strong>ya</strong> tabia ambayo <strong>ya</strong>taboresha af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />
jamii’ bidhaa hizi na kampeni zinachangia kuleta mabadiliko <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> kwneye<br />
maeneo <strong>ya</strong> VVU/UKIMWI, af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi, uhai wa mtoto, magonjwa <strong>ya</strong><br />
kumbukiza na malaria na huwalenga umma wenye kipato cha chini ulio katika<br />
hali hatarishi<br />
Kampuni <strong>ya</strong> T-MARC itasambaza taarifa za kiaf<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> <strong>wanawake</strong> kupitia saluni<br />
za urembo za Jipende, Kituo cha mpango wa af<strong>ya</strong> za <strong>wanawake</strong>. Muongozo huu<br />
unalenga kutumika kama kiongozi cha waelimisha rika, stadi za kijamii mafunzo<br />
<strong>ya</strong> kijamii <strong>kwa</strong> madhumuni <strong>ya</strong> kuongeza uelewa kuhusu masula <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong><br />
uzazi miongoni mwa <strong>wanawake</strong> walioko katika umri wa kuzaa. Saluni za<br />
urembo zilizochaguliwa zitapewa jina la kibiashara na kujulikana kama<br />
“Jipende, Kituo cha Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> <strong>wanawake</strong>”. Madhumuni ni kuwapatia mafunzo<br />
wahudumu na wamiliki wa saluni za urembo kama viongozi wa rika ili<br />
kuanzisha majadiliano na wateja wanapokuja kwenye Saluni za urembo.<br />
Viongozi wa rika watapatiwa mafunzo <strong>ya</strong> masaa 3-4 <strong>kwa</strong> wiki <strong>kwa</strong> mfululizo<br />
wa wiki nne, kuhusu masuala kama vile kujivunia ujinsia, af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi, taarifa<br />
kuhusu namna <strong>ya</strong> kuzuia magonjwa <strong>ya</strong> ngono/VVU/UKIMWI,pamoja na<br />
masuala <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> kondom.<br />
Nyongeza <strong>ya</strong> hayo, wahudumu wa saluni watapatiwa mafunzo kuhusu stadi za<br />
mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana ili kuweza kuongeza ubora wa huduma na kukuza<br />
stadi za ubora wa huduma <strong>kwa</strong> wateja ikiwa ni miongoni mwa jitihada za<br />
kuongeza mauzo <strong>ya</strong> kondom za kike <strong>kwa</strong> wateja wa saluni za urembo.<br />
Muongozo huu unalenga kutumiwa <strong>kwa</strong> uta<strong>ya</strong>ri wa mabadiliko makubwa na<br />
viongozi rika ambao huwa wanaongea na <strong>wanawake</strong> watu wazima mmoja<br />
mmoja au kwenye makundi <strong>ya</strong> ukubwa tofauti.<br />
4
Kupanga Mikusanyiko <strong>ya</strong> Rika<br />
Kiongozi wa rika ataamua lini na <strong>kwa</strong> namna gani majadiliano ha<strong>ya</strong><br />
<strong>ya</strong>tafanyilka. Wanaweza kuuliza maswali na kuanzisha majadiliano <strong>kwa</strong><br />
kuwashirikisha wateja wao wachache ama kuwashirikisha kwenye majadiliano<br />
<strong>ya</strong> muda mrefu zaidi <strong>kwa</strong> kuzungumza na mtu mmoja mmoja.<br />
Ni matarajio yetu <strong>kwa</strong>mba waelimishaji watatumia muongozo huu katika siku<br />
mbalimbali za wiki <strong>kwa</strong> masaa tofauti tofauti. Sio kila kitakachowezekana<br />
kufanyika <strong>kwa</strong> ufanisi kwenye saluni moja kikawezekana kufanyika <strong>kwa</strong> ufanisi<br />
huo huo kwenye saluni nyingine. Lengo ni uta<strong>ya</strong>ri na kuwa na mwitikio<br />
kuhusiana na mahitaji <strong>ya</strong> wateja wao kwenye saluni za urembo.<br />
Mabadiliko tunayotarajia kuona baada <strong>ya</strong> masomo<br />
Masomo <strong>ya</strong> muongozo wa waelimisha rika <strong>ya</strong>nalenga kufanikisha mambo<br />
<strong>ya</strong>fuatayo miongoni mwa <strong>wanawake</strong> watakaoshirikishwa:<br />
Wanawake wataelezea changamoto na furaha za kuwa Mwanamke wa<br />
Kitanzania kwenye karne hii <strong>ya</strong> 21.<br />
Wanawake watapata stadi muhimu zitakazowasaidia kuboresha af<strong>ya</strong> zao<br />
na kufan<strong>ya</strong> maamuzi sahihi <strong>ya</strong> njia za uzazi wa mpango, kuhudhuria<br />
kwenye <strong>vituo</strong> <strong>v<strong>ya</strong></strong> af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> kupima af<strong>ya</strong> zao mara <strong>kwa</strong> mara na<br />
kuzingatia matumizi <strong>ya</strong> kondom mara <strong>kwa</strong> mara na <strong>kwa</strong> usahihi wao na<br />
wenzi wao.<br />
Wanawake watapata taarifa sahihi kuhusu njia za kisasa za uzazi wa<br />
mpango zilizopo hapa Tanzania na namna sahihi <strong>ya</strong> kutumia njia hizo.<br />
Wanawake wataanza kuwa na mitazamo chan<strong>ya</strong> kuhusiana na matumizi<br />
<strong>ya</strong> kondom za kike na za kiume kila mara.<br />
Wanawake wataepuka mazingira hatarishi na kutafuta njia za kuishi<br />
maisha salama <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> <strong>ya</strong>o wenyewe.<br />
Wanawake watatambua umuhimu wa kuhudhuria klinik <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong><br />
kuchunguza saratani <strong>ya</strong> matiti pamoja na maambukizi <strong>ya</strong> magonjwa <strong>ya</strong><br />
ngono.<br />
Wanawake ambao watakuwa wamefan<strong>ya</strong> mabadiliko kuhusiana na jinsi<br />
<strong>ya</strong> kujilinda wao wenyewe vema, watakuwa na uwezo wa kuwafikia<br />
wanarika wenzao <strong>kwa</strong> njia iliyo chan<strong>ya</strong> zaidi kuhusu suala la njia <strong>ya</strong><br />
kujilinda wao wenyewe vilevile.<br />
Muongozo huu unadhamiria kuwezesha viongozi wa rika kuanzisha<br />
majadiliano na shughuli zitakazosaidia kuwa na mtandao mkubwa wa<br />
<strong>wanawake</strong> wenye kujali af<strong>ya</strong> zao na kuweza kuafikiana kuhusu tabia salama<br />
zaidi.<br />
5
MAFUNZO 1<br />
ZOEZI LA AWALI LA WARSHA (DAKIKA 20 )<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Wagawie washirki zoezi la awali ili wajaze. Wajulishe <strong>kwa</strong>mba sio muhimu<br />
kama watakuwa hawafahamu majibu yote, wajaze <strong>kwa</strong> kadri <strong>ya</strong> ufahamu wao<br />
kama wanavyoweza.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Waelekeze washiriki kuwa wana dakika 20 za kukamilisha zoezi hili la awali.<br />
Baada <strong>ya</strong> dakika 20 kumalizika kusan<strong>ya</strong> karatasi za zoezi.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Tatu<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba zoezi la awali walilofan<strong>ya</strong> nia <strong>ya</strong>ke ni kukupatia<br />
mwezeshaji uelewa kuhusu kile wanachokifahamu na itakusaidia kuandaa mada<br />
amabzo watakuwa wakizihitaji kwenye kushiriki kwenye mpango wa JIPENDE.<br />
Waambie washiriki wafahamu <strong>kwa</strong>mba wakati huu wa mafunzo watapata<br />
taarifa sahihi kuhusiana na taarifa za masuala <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> <strong>wanawake</strong>. Baada <strong>ya</strong><br />
mafunzo ha<strong>ya</strong> wataweza kuwapatia taarifa na huduma nyingine za ziada <strong>kwa</strong><br />
wateja wanaowahudumia kwenye saluni za urembo ili kuleta mabadiliko chan<strong>ya</strong><br />
kwenye maisha <strong>ya</strong> wateja wao.<br />
6
JIPENDE! VITUO VYA AFYA YA WANAWAKE<br />
ZOEZI LA AWALI<br />
1. NINI SABABU YA VIFO VYA WANAWAKE KATI YA MIAKA 18-49 HAPA TANZANIA?<br />
VVU, Mimba /matatizo wakati wa kujifungua Magonjwa <strong>ya</strong> Ngono ,<br />
Malaria .<br />
2. Je VVU ni tatizo zaidi <strong>kwa</strong> wanaume au <strong>wanawake</strong>? Wanaume<br />
Wanawake<br />
3. Je upo uwezekano wa kupata magonjwa <strong>ya</strong> ngono na mtu usifahamu<br />
kama umeambukizwa? NDIO HAPANA<br />
4. Je kupata magonjwa <strong>ya</strong> ngono kunaweza kusababisha kuwa na ha<strong>ya</strong><br />
<strong>ya</strong>fuatayo:<br />
Kupata Saratani , Kupata VVU Kupata Mimba kupata Malaria<br />
5. Orodhesha njia tatu za kuzuia VVU :<br />
a. ____________________ c.______________________<br />
b. ____________________<br />
6. Ipi njia peke <strong>ya</strong> kufahamu kama umepata VVU?<br />
_______________________<br />
7. Orodhesha masuala mawili ambayo <strong>ya</strong>nasababishwa na un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa<br />
katika kuzuia VVU na jitihada za matibabu hapa Taznania:<br />
a. ____________________________________________________<br />
b. ____________________________________________________<br />
8. Je <strong>wanawake</strong> wafanye uchunguzi kuhusu saratani <strong>ya</strong> matiti kila baada <strong>ya</strong><br />
muda gani?<br />
Kila siku mara moja <strong>kwa</strong> wiki mara moja <strong>kwa</strong> mwezi mara moja <strong>kwa</strong><br />
mwaka<br />
9. Ipi ni njia <strong>ya</strong> mawasiliano yenye kufikia watu wengi <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> kusaidia<br />
kufan<strong>ya</strong> mabadiliko <strong>ya</strong> tabia?<br />
Redio Mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana Luninga Vipeperushi<br />
7
10. Orodhesha njia sita za uzazi wa mpango zinazopatikana Tanzania :<br />
a. ___________________ d.____________________<br />
b. ___________________ e._____________________<br />
c. ___________________ f.______________________<br />
MADA YA KWANZA: KUJA PAMOJA KWA KUSUDI<br />
Mada ndogo:<br />
1.1 Kufahamiana<br />
1.2 Wanawake wa karne <strong>ya</strong> 21<br />
1.3 Ukweli kuhusu masuala na changamoto za Ujinsia na Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Uzazi hapa<br />
Tanzania<br />
1.4 Maadili yetu<br />
1.5 Fursa yetu na Wengine<br />
Madhumuni: Mwisho wa somo tutakuwa:<br />
Zana:<br />
Tumejadili kile kinachomaanisha kuwa mwanamke wa karne <strong>ya</strong> 21 hapa<br />
Tanzania ;<br />
Kukamilisha zoezi la awali la mafunzo :<br />
Kupitia ukweli kuhusu ujinsia na af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi Tanzania;<br />
Kutambua mitazamo chan<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kuwa mwanamke wa sasa Tanzania ;<br />
Kutambua <strong>wanawake</strong> wa Tanzania ambao ni mfano wa kuigwa;<br />
Kujadili maadili na jinsi <strong>ya</strong> ambavyo kuwa na maadiili na kupanga<br />
kipaumbele cha maadili kutakavyoweza kuwa na athari chan<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong><br />
maisha <strong>ya</strong> mtu ;<br />
Bango na kalamu<br />
Kitini cha Ukweli kuhusu ujinsia na af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi hapa Tanzania<br />
Kitini cha Mifano <strong>ya</strong> Maadili<br />
Kitini cha kupanag vipaumbele <strong>v<strong>ya</strong></strong> maadili binafsi<br />
Kitini cha Kuja pamoja <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> madhumuni<br />
Muda<br />
Saa na dakika 40<br />
8
1.1 Kufahamiana<br />
Hatua <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba tutaanza na zoezi dogo kujitambulisha na<br />
kufahamiana vema zaidi.<br />
Wawiliwawili washirikishane taarifa binafsi zifuatazo:<br />
1. Jina lako<br />
2. Jambo moja linalokufan<strong>ya</strong> unakuwa na furaha<br />
3. Jambo moja ambalo watu wanweza kusema wanapokuelezea<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Waaambie washiriki wajipange wawiliwawili na waanze majadiliano. Ruhusu<br />
dakika kadhaa <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> washiriki wote kumaliza kazi.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Tatu<br />
Walete wanakikundi pamoja na wakae kwenye mduara ili kila mmoja aweze<br />
kumuona mwenzake. Waambie washiriki kutambulishana mbele <strong>ya</strong> kikundi<br />
<strong>kwa</strong> kutumia vipande vitatu <strong>v<strong>ya</strong></strong> karatasi kuhusu taarifa waliyojifunza.<br />
Maelekezo <strong>kwa</strong> Kiongozi wa Rika:<br />
Ingawaje baadhi <strong>ya</strong> washiriki wanafahamiana, itawasaidia kufan<strong>ya</strong> somo<br />
kuwa la kuvutia endapo watatambulishwa tena. Washiriki wanaweza<br />
kujifunza jambo kuhusu marafiki wao wa zamani.<br />
Hakikisha kila mmoja anapata fursa <strong>ya</strong> kutambulisha, zoezi hili<br />
litachukua dakika 20.<br />
1.2 Kuwa Mwanamke wa Karne <strong>ya</strong> 21 Tanzania<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Washiriki wote waketi kwenye mduara ili iwe rahisis kila mmoja kumuona<br />
mwenzake.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Waulize washiriki:<br />
Kuwa mwanamke mtanzania kwenye Karne <strong>ya</strong> 21 ina maana gani?<br />
Nini unacho JIVUNIA <strong>kwa</strong> kuwa mwanmke wa Tazania wa leo?<br />
9
Hatua <strong>ya</strong> Tatu<br />
Waambie washiriki wajitolee kuelezea mawazo <strong>ya</strong>o na andika baadhi <strong>ya</strong><br />
mawazo hayo kwenye bango.<br />
Maelekezo <strong>kwa</strong> kiongozi rika:<br />
Pokea kila wazo kutoka <strong>kwa</strong> washiriki na waambie wachangie zaidi.<br />
Hizi hapa ni baadhi <strong>ya</strong> maana ambazo ungehitaji kuzitumia:<br />
Kabila: inahusiana na kikundi cha watu wanaoshirikiana mambo <strong>ya</strong> kufanana<br />
kama rangi, utaifa, sa<strong>ya</strong>nsi <strong>ya</strong> lugha au urithi wa kitamaduni<br />
Ujinsia: Inahusiana na jinsi <strong>ya</strong> mtu na tabia, utamaduni au tabia za kisaikolojia<br />
zinazohusiana na ujinsia wa mhusika<br />
Kujivuna: Inahusiana na utu wa mtu, umuhimu wake, anavyojiheshimu na<br />
thamani <strong>ya</strong>ke.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Nne<br />
Sasa, Waambie washiriki wataje <strong>wanawake</strong> wanaowaona ni mfano wa kuigwa<br />
katika maisha <strong>ya</strong>o <strong>kwa</strong> vile ni <strong>wanawake</strong> majasiri.<br />
Waambie washiriki wajitolee kushirikishana mawazo <strong>ya</strong>o kuhusiana na<br />
<strong>wanawake</strong> ambao ni mfano mzuri na wa <strong>kwa</strong> kuigwa. Washukuru <strong>kwa</strong><br />
kuchangia.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Tano<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba ta<strong>ya</strong>ri wameshajifahamu wao ni kina nani, <strong>kwa</strong>mba<br />
kuwa mwanamke wa karne <strong>ya</strong> 21 maana <strong>ya</strong>ke ni nini na <strong>kwa</strong>mba<br />
wameshatambua <strong>wanawake</strong> ambao huwa tukiwatazama wanatupa moyo wa<br />
kusonga mbele. Utamaduni wetu ni wa aina mbalimbali na una utajiri mwingi<br />
kama walivyo <strong>wanawake</strong> wa Tanzania tunajivunia thamani yetu na utu wetu.<br />
Kwamba tuko sote hapa <strong>kwa</strong>jili <strong>ya</strong> kusaidiana na kujifunza kutoka <strong>kwa</strong> kila<br />
mmoja wetu.<br />
Elezea <strong>kwa</strong>mba wakati wa kutekeleza mpango wa Jipende tutamwezesha kila<br />
mwanamke aliyeko hapa leo <strong>kwa</strong> kumpatia taarifa za kufaa kuhusiana na af<strong>ya</strong><br />
biashara na stadi za kimawasiliano za kuweza kuleta mabadiliko chan<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong><br />
maisha <strong>ya</strong> <strong>wanawake</strong> wengine.<br />
10
1.3 Ukweli kuhusiana na Masuala <strong>ya</strong> Kiaf<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> <strong>wanawake</strong> hapa<br />
Tanzania<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Waambie washiriki:<br />
Wanawake kote dunia hawako sawa, <strong>wanawake</strong> kila mmoja ni wa<br />
kipekee- kama <strong>wanawake</strong>, wamama, mabinti na marafiki –.<br />
Jambo moja tu ambalo tunafanana ni <strong>kwa</strong>mba sote tunakutana na hatari<br />
na mazingira yenye changamoto ambayo huwa <strong>ya</strong>naathiri af<strong>ya</strong> zetu kama<br />
<strong>wanawake</strong>.<br />
Waulize washiriki, Je changamoto hizo au hali hatarishi hizo ni zipi? Wabungue<br />
bongo <strong>kwa</strong> pamoja na waandike majibu hao kwenye bango. Baadhi <strong>ya</strong> hali<br />
hatarishi au changamoto zitakazopaswa kutajwa endapo kikundi hakitakuwa<br />
kimezitaja ni:<br />
UKIMWI na magonjwa mengine <strong>ya</strong> kuambukiza <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong> ngono<br />
Mimba zisizotarajiwa<br />
Utoaji Mimba usio salama<br />
Wanawake wengi hufa wakati wa ujauzito, wakati wa kuumwa uchungu<br />
na wakati wa kujifungua.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Wapatie washiriki kipeperushi cha Ukweli kuhusu Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Uzazi na Ujinsia hapa<br />
Tanzania. Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba sasa tutasoma kuhusu ukweli wa hali <strong>ya</strong><br />
kiaf<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> <strong>wanawake</strong> wa Tanzania <strong>kwa</strong> pamoja kama kikundi.<br />
1. Ukweli kuhusu Af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Uzazi na Ujinsia hapa Tanzania Kufan<strong>ya</strong> ngono zisizo<br />
salama kunaweza kusababisha kupata mimba zisizotarajiwa, UKIMWI na<br />
Magonjwa <strong>ya</strong> ngono.<br />
2. Matatizo wakati wa ujauzito na wakati wa kujifungua ni mambo <strong>ya</strong><br />
<strong>kwa</strong>nza kabisa <strong>ya</strong>nayosababisha vifo <strong>v<strong>ya</strong></strong> <strong>wanawake</strong> hapa Tanzania .<br />
3. Kila mtu anaweza kupata VVU – Wanaume wanwake vijana wazee,<br />
matajiri, masikini, wliosoma au wasiosoma. Mara ukipat VVU huwezi<br />
kuviondoa.<br />
4. Maambukizi <strong>ya</strong> VVU ni makubwa zaidi <strong>kwa</strong> <strong>wanawake</strong> wa Tanzania<br />
waishio mijini na mashambani.<br />
5. Kupata magonjwa <strong>ya</strong>tokanayo na ngono kunaongeza uwezekano<br />
mkubwa wa kupata maambukizi <strong>ya</strong> VVU.<br />
11
6. Wanawake na wanaume wa Tanzania wailoko kwenye ndoa wanapswa<br />
kupimwa kama wana maambukizi <strong>ya</strong> VVU.<br />
7. Wanawake wanaweza kujikinga wasipate VVU magonjwa <strong>ya</strong> ngono ama<br />
mimba zisizotarajiwa <strong>kwa</strong> kutumia kondom kila wakati na <strong>kwa</strong> usahihi<br />
wao na wenzi wao wa kimapenzi.<br />
Maelekezo <strong>kwa</strong> Kiongozi wa Waelimsha Rika: :<br />
Uwe huru kutumia maneno <strong>ya</strong>ko mwenyewe kwenye kuelezea ukweli<br />
ulioainishwa hapo juu ila usiwajengee hofu, waeleze ukweli <strong>kwa</strong> faida <strong>ya</strong><br />
wanwake ambao wanaweza wasiwe wanafahamu kinachoendelea.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Tatu<br />
Ongoza majadiliano na kikundi kuhusiana na mambo <strong>ya</strong> ukweli saba mliyosoma<br />
pamoja. Unaweza kudodosa <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> kupata majibu zaidi <strong>kwa</strong> akuuliza<br />
maswali <strong>ya</strong>fuatayo au kuuliza mswali uliyotunga mwenyewe:<br />
Kwanini unafikiri <strong>wanawake</strong> wameathirika zaidi kuliko wanaume?<br />
Kuna yeyote miongoni mwenu angependa kutushirikisha <strong>wanawake</strong><br />
wenzake kuhusu matatizo aliyowahi kukumbana nayo wakati akiwa<br />
mjamzito au au wakati wa kujifungua?<br />
Kwa nini unafikiri watu walio kwenye mahusiano <strong>ya</strong> ndoa <strong>wanawake</strong><br />
<strong>kwa</strong> wanume wanahitaji kupima VVU?<br />
Hatua <strong>ya</strong> Nne<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba mpango wa Jipende unafan<strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> kubadilisha<br />
ukweli wa mambo saba <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> kuleta ubora zaidi. Mpango wa JIPENDE<br />
unao uwezo wa kufan<strong>ya</strong> mabadiliko kwenye maisha <strong>ya</strong> mwanamke <strong>kwa</strong><br />
kuwapatia taarifa, usaidizi na kuwatia moyo ili waweze kulinda af<strong>ya</strong> zao.<br />
Rejea dondoo hizi pamoja na washiriki:<br />
Mpango wa JIPENDE unatuwezesha kupata fursa <strong>ya</strong> kusaidia kufan<strong>ya</strong><br />
mabadiliko <strong>ya</strong> hali iliyopo!<br />
Wakati wa kufan<strong>ya</strong> mafunzo <strong>ya</strong> JIPENDE tutapokea taarifa, na kupata<br />
stadi mp<strong>ya</strong> na kujadiliana njia za kuboresha hali <strong>ya</strong> <strong>wanawake</strong> wa<br />
Tanzania<br />
Kwa pamoja tunao uwezo wa kupunguza hatari miongoni mwa mmoja<br />
wetu kupata maambukizi <strong>ya</strong> VVU au wengine kupata magonjwa <strong>ya</strong><br />
12
ngono, kusambaza VVU na magonjwa <strong>ya</strong> ngono <strong>kwa</strong> wengine au kupata<br />
mimba zisizotarajiwa.<br />
1.4 Maadili yetu<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba tumeshajadiliana uzoefu wetu binafsi na <strong>kwa</strong> vile<br />
ni <strong>wanawake</strong> wa Tanzania na kuweza kutambua <strong>wanawake</strong> majasiri maisahni<br />
mwetu. Sasa tuatajadiliana kuhusu maadili, umuhimu wake na jinsi<br />
<strong>ya</strong>navyotikisa maamuzi tunayo<strong>ya</strong>fan<strong>ya</strong>.<br />
Waulize washiriki, Je hapa dumiani ni nini cha umuhimu <strong>kwa</strong>ko? Andika majibu<br />
<strong>ya</strong> kikundi kwenye bango.<br />
Majibu <strong>ya</strong>nayotarajiwa: Elimu, Uaminifu, Mapenzi, Familia zetu, Kuwa na pesa<br />
Kumiliki gari,<br />
Baada <strong>ya</strong> kikundi kutoa majibu <strong>ya</strong>ke wasomee kilichoandi<strong>kwa</strong> kwenye bango na<br />
waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba “Ha<strong>ya</strong> ndio Maadili yetu”.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Waambie washiriki wajaribu kufafanua tunamaanisha nini tunaposema<br />
“Maadili”<br />
Jumuisha majibu <strong>ya</strong> kikundi <strong>kwa</strong> kutumia maana moja au zaidi <strong>ya</strong> <strong>ya</strong>liyotajwa<br />
hapa:<br />
Maadili ni misingi , viwango, au ubora unao kubalika au kutarajiwa<br />
Thamani ni imani <strong>ya</strong> mtu au kikundi cha kijamii ambapo kunakuwa na<br />
ushawishi wa kihisia (ama <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> kuunga mkono au kupinga jambo<br />
fulani)<br />
Maadili <strong>ya</strong>napewa thamani kubwa na maadili <strong>ya</strong> mtu binafsi huwa ni<br />
ngumu ku<strong>ya</strong>badilisha.<br />
13
Hatua <strong>ya</strong> Tatu<br />
Sasa waulize washiriki, Je ni wapi tunaweza kupata MAADILI yetu?<br />
Baada <strong>ya</strong> kupata majibu kutoka kwenye kikundi washiriki hawana budi<br />
kufahamu kuwa mara nyingi huwa tunajifunza maadili yetu kutoka kwenye<br />
familia zetu, historia yetu kuhusu imani za dini, au kutokana na uzoefu wa<br />
kimaisha.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Nne<br />
Wagawie washiriki Kitini kinachoitwa Mifano <strong>ya</strong> maadili binafsi <strong>kwa</strong> kila mshiriki.<br />
Elezea <strong>kwa</strong>mba kitini hiki kina mifano <strong>ya</strong> baadhi <strong>ya</strong> maadili <strong>ya</strong> mtu binafsi.<br />
Maadili <strong>ya</strong>o binafsi <strong>ya</strong>naweza <strong>ya</strong>siwe <strong>ya</strong>meorodheshwa na hivyo unaweza<br />
kuongezea maadili mengine kama <strong>ya</strong>takuwa <strong>ya</strong>mekosekana, sisi sote ni wa<br />
kipekee na kila mmoja anayo maadili <strong>ya</strong>ke ingawaje huwa tuna baadhi <strong>ya</strong><br />
maadili ambayo huwa <strong>ya</strong>nafanana.<br />
Waambie washiriki wajitolee kuchagua baadhi <strong>ya</strong> maadili kwenye orodha<br />
ambayo <strong>ya</strong>nataekelezeka kwenye jamii au <strong>kwa</strong>o wenyewe binafsi.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Tano<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba sasa tutafan<strong>ya</strong> zoezi <strong>kwa</strong> kutumia Maadili.<br />
Wagawie washiriki Kitini chenye jina Kupanaga <strong>kwa</strong> vipaumbele maadili <strong>ya</strong>ngu<br />
binafsi, zoezi hili ni <strong>kwa</strong> kila mshiriki.<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba kitini kimegawanyika katika makundi matatu<br />
tofauti. :<br />
1. Muhimu sana: kuwa ta<strong>ya</strong>ri kuachana na maadili mengine yote na kupokea<br />
hili<br />
2 Muhimu<br />
3. Sio muhimu<br />
Waambie washiriki wajigawe kwenye makundi matano. Kila kikundi kijadiliane<br />
na kukubaliana kuhusu maadili matatu <strong>kwa</strong> kila kundi lililopo hapo juu.<br />
14
Wapatie dakika chache kufan<strong>ya</strong> zoezi hili na baada <strong>ya</strong> hapo wawe ta<strong>ya</strong>ri<br />
kuwasilisha majibu <strong>ya</strong>o..<br />
Baada <strong>ya</strong> kila kikundi kimeshawasilisha waambie washiriki waangali namna<br />
ambavyo maadili <strong>ya</strong> kikundi kimoja <strong>ya</strong>navyotofautiana ama kufanana na<br />
kikundi kingine.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Sita<br />
Sasa waambie washiriki:<br />
Je ilikuwa ni vigumu kuchagua baina <strong>ya</strong> maaadili mbalimbali? Yapi<br />
<strong>ya</strong>likuwa ni vigumu ku<strong>ya</strong>chagua?<br />
Je <strong>kwa</strong> nini ni muhimu kufahamu maadili yetu kabla <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong><br />
maamuzi?<br />
Je ni kwenye aina gani <strong>ya</strong> maamuzi ambapo zoezi hili linaweza<br />
kutusaidia?<br />
Waambie washiriki kuwa kushikilia maadili <strong>ya</strong>o kunaathiri utaratibu mzima wa<br />
kufan<strong>ya</strong> maamuzi. Kuwa na utaratibu wa kutafakari kuhusu maadili yetu kabla<br />
<strong>ya</strong> kufikia maamuzi <strong>ya</strong> mwisho kunaweza kukuzuia kufan<strong>ya</strong> maamuzi maba<strong>ya</strong><br />
au kufan<strong>ya</strong> chaguo dhaifu ambalo linaweza kusababisha kuwa na matokeo hasi<br />
<strong>kwa</strong>ko au <strong>kwa</strong> wale wapendwa wako.<br />
Kwa mfano, kama wahudumu tunaweza kufan<strong>ya</strong> maamuzi <strong>ya</strong>tayosaidia kuweza<br />
kuwavutia wateja wasiondoke kwenye saluni zetu, kama tunathamini huduma<br />
nzuri kwenye saluni ili kuweza kuwafurahisha wateja wetu na ili warudi tena<br />
<strong>kwa</strong> mara nyingine kufan<strong>ya</strong> biashara zaidi.<br />
1.5 Fursa <strong>kwa</strong> Ajili yetu na <strong>kwa</strong> Wengine<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba mpango wa JIPENDE uliandaliwa ili kuwezesha<br />
<strong>wanawake</strong> wa Tanzania kusaidiana wao <strong>kwa</strong> wao na kuboresha af<strong>ya</strong> zao.<br />
Tutakuwa tunakutana kila wiki kujifunza stadi mp<strong>ya</strong> na kujadiliana taarifa<br />
muhimu kuhusu kuboresha af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> <strong>wanawake</strong> na kukuza biashara za salauni za<br />
urembo. Ila kabla <strong>ya</strong> kubadilsisha au kuwasaidia wengine inabidi sisi wenyewe<br />
15
tubadilike <strong>kwa</strong>nza. Tunaweza kuanza <strong>kwa</strong> kuwajibika kwenye maamuzi<br />
tunayofan<strong>ya</strong> na kujiheshimu wenyewe. Mikutano hii itatusaidia kubadilika sisi<br />
wenyewe na wengine pia.<br />
Wakati wa mikutano hii ni vema kama tutaweza kujadiliana <strong>kwa</strong> uaminifu mada<br />
na kuwatia moyo wengine: Pamoja, tunaweza::<br />
• Kusikiliza simulizi za wengine<br />
• Kusikiliza changamoto walizopitia wengine<br />
• Kusherehekea mafanikio <strong>ya</strong> wengine <strong>ya</strong> kimaisha na kikazi<br />
• Kuhamasishana moyo kuhusu kufan<strong>ya</strong> mabadiliko, hata kama ni vigumu<br />
kufany mabadiliko.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Waulize washiriki wanavyojisiskia baada <strong>ya</strong> zoezi lilotangulia na kuhusu<br />
mpango mazima wa JIPENDE.<br />
Rejea mada zitakazofanyiwa kazi hapa chini. Waambai washiriki kuwa<br />
tuanweza kutumia muda mfupi ama nrefu <strong>kwa</strong> kila mada <strong>kwa</strong> kuzingatia jinsi<br />
watakavyovutiwa na mada zenyewe.<br />
Mada zetu<br />
Mada <strong>ya</strong> Kwanza Kuja pamoaj <strong>kwa</strong> Madhumuni<br />
Mada <strong>ya</strong> Pili Stadi za msingi za kibiashara<br />
Mada <strong>ya</strong> Tatu Wakati maradhi <strong>ya</strong>napoingia: changamoto za af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi<br />
na ujinsia<br />
Mada <strong>ya</strong> Nne Taarifa kuhusu VVU na UKIMWI<br />
Mada <strong>ya</strong> Tano Kondomu<br />
Mada <strong>ya</strong> Sita Saratani <strong>ya</strong> matiti<br />
Mada <strong>ya</strong> Saba Mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana<br />
Mada <strong>ya</strong> Nane Uzazi wa mpango<br />
Mada <strong>ya</strong> Tisa Kufunga<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba inawezekana kwetu kuwa viongozi wa rika<br />
kwenye jitihada hizi zenye nguvu za kuboresha af<strong>ya</strong> na uhai wa <strong>wanawake</strong> wa<br />
Tanzania .<br />
16
Kuongea na wateja wetu kwenye saluni za urembo kuhusu kile tulichojifunza<br />
tunaweza kuwasaidia kufan<strong>ya</strong> maamuzi mazuri zaidi na uchaguzi wa kuhusu<br />
af<strong>ya</strong> zao. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu kipi kilicho cha muhimu<br />
amabcho kinatuweka sisi na wapendwa wetu kuendelea kuwa na af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong><br />
wateja wetu.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Nne<br />
Kupitia ujumbe umuhimu tena <strong>kwa</strong> kuomba washiriki wajitokeze kusoma kila<br />
ujumbe <strong>kwa</strong> sauti kutoka kwenye Ujumbe muhimu: Kitini cha Kuja pamoja <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong><br />
<strong>ya</strong> nia moja.<br />
Ujumbe Muhimu: Kuja pamoja <strong>kwa</strong> kusudi<br />
Tunaanzisha jambo jip<strong>ya</strong> hapa Tanzania <strong>kwa</strong> kuzingatia uzoefu wa <strong>wanawake</strong><br />
wengine duniani.<br />
Tumejionea ukweli kuhusu mimba zisizotarjiwa, Magonjwa <strong>ya</strong> ngono, VVU na<br />
UKIMWI kwenye nchi yetu ambayo inahitaji tuifanyie kazi.<br />
Tunafursa <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> kazi <strong>kwa</strong> pamoja ili kuleta mabadiliko kwetu wenyewe na<br />
<strong>kwa</strong> wengine.<br />
Tunaweza kuwa viongozi na kusaidia kulinda af<strong>ya</strong> zetu na af<strong>ya</strong> za <strong>wanawake</strong><br />
wa Tanzania.<br />
17
MADA 1: KITINI<br />
UKWELI KUHUSU UJINSIA NA AFYA YA UZAZI TANZANIA<br />
1. Kufan<strong>ya</strong> ngono zisizo salama inaweza kusababisha kupata mimba<br />
zisizotarajiwa, VVU na Magonjwa <strong>ya</strong> Ngono.<br />
2. Matatizo wakati wa mimba na wakati wa kujifungua ni sababu<br />
kubwa inayosababisha vifo <strong>v<strong>ya</strong></strong> <strong>wanawake</strong> Tanzania<br />
3. Kila mtu anaweza kupata VVU – wanaume, <strong>wanawake</strong>, vijana,<br />
wazee, matajiri, masikini, wasomi na wasiosoma. Mara<br />
utakapopata VVU huwezi kuviondoa.<br />
4. VVU vinaathiri <strong>wanawake</strong> zaidi iwe ni kwenye maeneo <strong>ya</strong> mijini<br />
au vijijini hapa Tanzania .<br />
5. Kupata magonjwa <strong>ya</strong> zinaa kunaongeza uwezekano wa kupata<br />
maambukizi <strong>ya</strong> VVU. .<br />
6. Wanawake na wanaume waliooana wanapaswa kupima VVU.<br />
7. Wanawake wanaweza kujilinda wasipate VVU, magonjwa mengi<br />
<strong>ya</strong> ngono ama mimba zisizotarajiwa <strong>kwa</strong> kutumia kondom mara<br />
<strong>kwa</strong> mara na <strong>kwa</strong> usahihi wao na wenzi wao wa kingono.<br />
18
MADA YA KWANZA KITINI<br />
MIFANO YA MAADILI BINAFSI<br />
Kuwa na af<strong>ya</strong> na kuwa na<br />
mchangamfu<br />
Kuwa na furaha<br />
Kuwa na pesa nyingi<br />
Kuwa maarufu<br />
Kuwa na marafiki wa karibu<br />
Kutekeleza imani <strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong> dini<br />
Kusaidia jamii <strong>ya</strong>ngu<br />
Kufan<strong>ya</strong> vyema kwenye masomo<br />
shuleni<br />
Kuweza kjitegemea mwenyewe<br />
Kunywa Pombe<br />
Kuwa mwaminifu <strong>kwa</strong>ngu<br />
mwenyewe<br />
Kuwa na kazi ninayoipenda<br />
Kualii<strong>kwa</strong> kwenye sherehe<br />
Kuwatunza na kuwahudumia watoto<br />
wangu<br />
Kuwa nadhifu<br />
Kuwa na rafiki wa kiume<br />
Kufan<strong>ya</strong> vyema <strong>kwa</strong> mambo<br />
ninayo<strong>ya</strong>fan<strong>ya</strong><br />
Kupata mtoto<br />
Kuapat kibali cha wazazi wangu<br />
Kuwa kama wateja wangu<br />
Kuweza kuwajibika na kuwa<br />
mwaminifu<br />
Kudhaniwa kuwa mwenye<br />
muonekano wenye mvuto<br />
Kuilinda familia <strong>ya</strong>ngu<br />
19
KITINI CHA MADA YA 1<br />
KUPANGA KWA KIPAUMBELE MAADILI BINAFSI<br />
Maana <strong>ya</strong> Maadili:<br />
Maadili ni taratibu, sheria, viwango, au ubora unaofikiriwa kama ni wa thamani<br />
ama wa kufurahisha.<br />
Maadili ni imani <strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mtu au kikundi cha kijamii ambapo kuna miguso<br />
iliyowekezwa (ama <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> kuendeleza jambo fulani ama kupinga jambo<br />
fulani)<br />
Maadili <strong>ya</strong>naheshimiwa sana, na <strong>kwa</strong> kawaida maadili binafsi <strong>ya</strong> mtu ni<br />
magumu sana ku<strong>ya</strong>badilisha.<br />
Kupanga <strong>kwa</strong> vipaumbile Maadili binafsi :<br />
Orodhesha maadili <strong>ya</strong> binafsi <strong>kwa</strong> kila kikundi <strong>kwa</strong> kuzingatia makundi ha<strong>ya</strong><br />
chini:<br />
KUNDI 1 MAADILI YA MUHIMU:<br />
KUNDI 2 MAADILI MUHIMU :<br />
KUNDI 3 MAADILI YASIYO YA MUHIMU:<br />
20
KITINI MADA YA 1<br />
UJUMBE MUHIMU: KUJA PAMOJA KWA KUSUDI<br />
Tunaazisha kitu kip<strong>ya</strong> Tanzania, kuendeleza kutoka kwenye uzoefu<br />
wa <strong>wanawake</strong> wengine duniani.<br />
Tunakubaliana na ukweli <strong>kwa</strong>mba mimba zisizo tarajiwa, Magonjwa<br />
<strong>ya</strong> Ngono, VVU na UKIMWI <strong>kwa</strong> nchi yetu ni masuala <strong>ya</strong>nayohitaji<br />
sana tu<strong>ya</strong>angalie <strong>kwa</strong> makini.<br />
Tunayo fursa <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> kazi pamoja kuleta fan<strong>ya</strong> mabadiliko kwetu<br />
sisi wenyewe na <strong>kwa</strong> wengine.<br />
Tunaweza kuwa viongozi na kusaidia kulinda af<strong>ya</strong> na uhai wa<br />
<strong>wanawake</strong> wa Tanzania.<br />
21
MADA YA PILI: STADI ZA MSINGI ZA BIASHARA NA<br />
MPANGO WA JIPENDE<br />
Mada Ndogo :<br />
2.1 Msingi wa Matangazo<br />
2.2 Dondoo za matangazo na mauzo<br />
Madhumuni: Mwisho wa somo tutakuwa:<br />
Zana:<br />
Muda:<br />
Tumejadili masuala muhimu <strong>ya</strong> masuala <strong>ya</strong> matangazo<br />
Kutambua mbinu za mauzo na matangazo<br />
Mabango na kalamu (maker)<br />
Kitini Mahusiano na Mteja<br />
Fomu <strong>ya</strong> Tathmini<br />
Dakika 50<br />
2.1 Misingi <strong>ya</strong> Matangazo Basic Marketing<br />
Hatua <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza<br />
Eleza <strong>kwa</strong>mba wakati wa somo tutajadiliana dhana za msingi za kutangaza<br />
biashara. Miongoni mwenu wengine ta<strong>ya</strong>ri mnafahamu kuhusu habari hizi ila<br />
tutarejea tena ikiwa ni sehemu <strong>ya</strong> jitihada <strong>ya</strong> kuboresha biashara zetu ili<br />
kutangaza bidhaa au kutoa huduma.<br />
Wewe ta<strong>ya</strong>ri ni kongozi miongoni mwa <strong>wanawake</strong> wa karne <strong>ya</strong> 21. Umekuwa na<br />
biashara yenye mafanikio na tulivutiwa sana siku ile <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza tulipofika<br />
kwenye saluni <strong>ya</strong>ko. Sasa tutaongea kuhusu mamabo amabyo ta<strong>ya</strong>ri una<strong>ya</strong>fan<strong>ya</strong><br />
kuendeleza biashara <strong>ya</strong>ko pia jinsi <strong>ya</strong> kuboresha biashara iwe nzuri na kutoa<br />
huduma nzuri zaidi <strong>kwa</strong> wateja. Tutaanza <strong>kwa</strong> kuangalia kuhusu umuhimu wa<br />
wewe kuwafahamu wateja wako na huduma unayotoa.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba tutajadili baadhi <strong>ya</strong> njia za namna <strong>ya</strong> kuwafikia<br />
wateja wao au wateja muhimu ili waweze kuwa wazi kuelezea mahitaji <strong>ya</strong>o na<br />
22
waweze kupata bidhaa au huduma ili kukidhi mahitaji <strong>ya</strong>o.<br />
Wagawe kwenye makundi <strong>ya</strong> watu watatu hadi wanne <strong>kwa</strong> kila kikundi.<br />
Wapatie Kitini Kutosheleza Mahitaji <strong>ya</strong> Wateja. Waambie kila kikundi wapitie<br />
maswali <strong>kwa</strong> pamoja na wajaze majibu. Baada <strong>ya</strong> kila kikundi kupitia maswali<br />
pitia maswali tena kweny kundi kubwa. Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba majibu <strong>ya</strong><br />
maswali <strong>ya</strong>naweza kupatikana <strong>kwa</strong> urahisi <strong>kwa</strong> kuongea na wateja, waulize<br />
watumia bidhaa na huduma na uwaulize maswali kama wanapenda nini na<br />
hapendi nini nk.<br />
Kutosheleza Mahitaji <strong>ya</strong> Wateja<br />
1. Kufahamu kile wateja wanachohitaji (kumbuka: itaweza kuwa ni muhimu<br />
kueleza unaposema “mahitaji”( k.m unaposema una njaa unahitaji<br />
chakula, kunapokuwa giza unahitaji mwanga n.k)<br />
a. Wateja wako ni kina nani? JeKina nani wanaweza kuwa wateja<br />
wako wap<strong>ya</strong>?<br />
b. Wako wapi?<br />
c. Huduma gani/bidhaa zipi wanazozipenda kutoka kwenye saluni<br />
<strong>ya</strong>ko?<br />
d. Nini wanachokifurahia zaidi kwenye huduma au bidhaa<br />
unazowapatia?<br />
e. Mara ngapi huwa wanakuja kwenye saluni <strong>ya</strong>ko kupata huduma?<br />
2. Kuwatia wateja wako bidhaa/huduma wanazozihitaji.<br />
a. Ni <strong>kwa</strong> njia gani bidhaa zinaweza kuwafikia wateja mara<br />
watakapozihitaji<br />
3. Unaweza kupata bidhaa na taariafa wateja wako wanazozihitaji <strong>kwa</strong><br />
mara <strong>kwa</strong> mara <strong>kwa</strong> kiasi gani?<br />
4. Unaweza <strong>kwa</strong> namna gani kuendelea kuwavutia wateja wako kununua<br />
bidhaa zako?<br />
Kwa namna gani utaweza kuendelea kuimarisha sifa za bidhaa zako <strong>kwa</strong><br />
wateja na kuelezea vi<strong>kwa</strong>zo ili kujihakikishia mauzo <strong>ya</strong> mara <strong>kwa</strong> mara<br />
<strong>ya</strong> bidhaa na matumizi <strong>ya</strong>ke?<br />
23
2.2 Dondoo za Mauzo na Matangazo<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Kuwasilisha kuhusu bidhaa zako<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba tutajadili bidhaa wanazouza kwenye saluni zao na<br />
bidhaa watakazokuwa wanaziuza, kama vile kondom za kike.<br />
Kwa ujumla huwa unawapatia wateja:<br />
Orodha <strong>ya</strong> huduma zinazotolewa kwenye Saluni<br />
Majina <strong>ya</strong> bidhaa zinazouzwa kwenye Saluni<br />
Waambie washiriki jinsi wanavyozielezea bidhaa na huduma zitolewazo ni<br />
jambo muhimu na kawaida picha <strong>ya</strong> awali ndiyo ambayo watu huwa<br />
wanakumbuka. Hakikisha unaongea na wateja wako kuhusiana na bidhaa na<br />
huduma unazotoa <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong> heshima na kiurafiki. Kama unajali na kuonyesha<br />
nia <strong>kwa</strong> wateja wako itaonyesha mauzo <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong>meongezeka.<br />
Waambie wanakikundi wabungue bongo kuhusu namna wanaweza kuitangaza<br />
bidhaa mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> nywele <strong>kwa</strong> wateja wao. Andika baadhi <strong>ya</strong> majibu kwenye<br />
bango. Hakikisha dondoo zifuatazo zimetajwa.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Uliza kuhusu mahitaji <strong>ya</strong> wateja <strong>kwa</strong>hiyo unaweza kuwaelekeza<br />
kwenye bidhaa sahihi.<br />
Taja faida za bidhaa iliyotangazwa<br />
Taja faida za bidhaa kabla <strong>ya</strong> kujadili bei.<br />
Elezea <strong>kwa</strong> kina kuhusu viwango <strong>v<strong>ya</strong></strong> ubora wa bidhaa<br />
Jadili kuhusu mambo mengine <strong>ya</strong>nayoonyesha hali <strong>ya</strong> kuridhika<br />
kuhusu bidhaa ( bila kusaliti usiri wake).<br />
Onyesha sampuli na fan<strong>ya</strong> maonyesho <strong>ya</strong> utumiaji wa bidhaa.<br />
USItangaze bidhaa ambayo haikubaliki kiaf<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> wateja.<br />
Waambie washiriki watafakari nini wanachofikiri ni jambo muhimu<br />
linalowezesha wateja wao kukubali kujaribu bidhaa mp<strong>ya</strong>? Baada <strong>ya</strong> washiriki<br />
24
kadhaa kutoa majibu <strong>ya</strong>o washiriki waelewe <strong>kwa</strong>mba imani amabyo huwa<br />
inasababishwa na kuwa na wateja uhusiano mzuri ni ufunguo wa mafanikio.<br />
Waambie kikundi <strong>kwa</strong>mba, je wanawezaje kuanzisha mahusiano mazuri na<br />
mteja? Andika majibu kwenye bango. Wapatie kitini cha Mahusiano na Mteja<br />
wapitie dondoo za jinsi <strong>ya</strong> kujenga mahusiano mazuri na wateja kama kikundi.<br />
Mahusiano na Wateja : Kushirikiana na wateja ni jambo muhimu <strong>kwa</strong> sababu<br />
wao ndio sababu <strong>ya</strong> kuwa na biashara, wateja ni muhimu kama zilivyo bidhaa<br />
na huduma unazotoa.<br />
Baadhi <strong>ya</strong> dondoo za kusaidia kujenga kuaminiana na pia kuwa na mahusiano<br />
mazuri na wateja:<br />
1. Kila mara hakikisha <strong>kwa</strong>mba wateja wako wanajiona wao ni muhimu<br />
<strong>kwa</strong>ko<br />
2. Usiwaweke wateja wakusubirie, kila mara unapaswa kuwa makini na<br />
uwe mwaminifu. Unapofan<strong>ya</strong> miadi na mteja hakikisha unazingatia<br />
muda.<br />
3. Kila wakati zifahamu bidhaa zako (taarifa za kiufundi za bidhaa,<br />
zinatumikaje) usiwe na hofu kusema huna jibu <strong>kwa</strong> swali utakalokuwa<br />
hufahamu jibu lake kuliko kusema uongo kuhusu bidhaa..<br />
4. Usionee aibu kuhusu mauzo. Wewe unawapatia bidhaa ambazo ni za<br />
viwango salama na <strong>kwa</strong> bei nafuu..<br />
5. Kila mara hakikisha una pesa za chenji za viwango mbalimbali ili<br />
<strong>kwa</strong>mba uwe na uwezo wa kumudu manunuzi <strong>ya</strong> bidhaa <strong>kwa</strong> mafanikio<br />
6. Weka ahadi <strong>ya</strong> kukutana na wateja katika muda ambao watakuwa na<br />
uwezekano wa kununua bidhaa za ziada na <strong>kwa</strong> njia hii utaimarisha tabia<br />
hii, elezea hofu zilizojitokeza na kumpatia mteja bidhaa ambazo<br />
zilizokwisha. Wapatie wateja wako taarifa za kuweza kuwasiliana nawe<br />
mara watapohitaji kuwasiliana nawe endapo watahitaji kununua bidhaa<br />
zaidi kabla <strong>ya</strong> tarehe mliyokubaliana.<br />
7. Wasikilize watu <strong>kwa</strong> makini.<br />
8. Kuwa muwazi na sikiliza maoni hasi pia.<br />
9. Waheshimu wengine kila mara kuhusu viwango <strong>v<strong>ya</strong></strong>o <strong>v<strong>ya</strong></strong> uelewa na<br />
imani zao.<br />
25
10. Wapatie taarifa sahihi <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> kuweza kuwashawishi na kuwezesha<br />
wateja kuondokana na hali <strong>ya</strong> kusitasita katika kutumia bidhaa.<br />
11. Ongea kuhusiana na faida za kutumia bidhaa <strong>kwa</strong> usahihi.<br />
12. Ongea na wateja wako kuhusiana na kujijikinga na VVU, masuala <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong><br />
za <strong>wanawake</strong> nchini, masuala <strong>ya</strong> njia za uzazi wa mpango na jinsi <strong>ya</strong><br />
kutumia na mada nyinginezo za kiaf<strong>ya</strong> ambazo unajifunza kutoka <strong>kwa</strong><br />
mafunzo <strong>ya</strong> viongozi rika.<br />
13. Uza bidhaa zenye ubora kama bidhaa za Mpango wa JIPENDE.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Tatu<br />
Washiriki wafahamishwa <strong>kwa</strong>mba tutapitia njia nne za kukuza mauzo na<br />
kuboresha biashara:<br />
1. Kuwavutia wateja<br />
2. Kuonyesha tofauti kati <strong>ya</strong> saloni zao na zile zilizoko <strong>kwa</strong>nye mapango wa<br />
JIPENDE<br />
3. Kutunza vyema mahesabu <strong>ya</strong> fedha<br />
4. Kuweka malengo <strong>ya</strong> kibiashara<br />
Kuvutia wateja wap<strong>ya</strong><br />
Waambie washiriki, je ni <strong>kwa</strong> njia gani wanaweza kuvutia wateja wap<strong>ya</strong>?<br />
Andika majibu <strong>ya</strong>o kwenye bango na hakikisha dondoo zilizoko hapa chini<br />
zimetajwa.<br />
• Kwa kusikia maneno kutoka <strong>kwa</strong> wateja waliopo wakiwaelekeza kuja.<br />
• Kuhakikisha unaendeleza viwango <strong>v<strong>ya</strong></strong> hali <strong>ya</strong> juu na ubora wa huduma<br />
na bidhaa kwenye saluni <strong>ya</strong>ko.<br />
Kupitia mbinu za kutangaza, kama kutoa punguzo la bei wakati wa siku ambazo<br />
za wiki ambazo hazijachangamka sana kama vile Jumanne, Jumatano au <strong>kwa</strong><br />
kutoa punguzo la bei endapo wateja watanunua huduma mbalimbali<br />
Kutofautisha kati <strong>ya</strong> Saluni nyingine kupitia Mpango wa JIPENDE. Waambie<br />
wanakikundi <strong>kwa</strong>mba chini <strong>ya</strong> mpango wa JIPENDE watakuwa na mengi <strong>ya</strong><br />
26
kuwapatia wateja wao. Hali hii itakutofautisha na saluni nyingine <strong>kwa</strong> sababu<br />
tofauti na saluni nyingine kwenye saluni <strong>ya</strong>ko <strong>wanawake</strong> wataweza kupata<br />
taarifa na bidhaa za kiaf<strong>ya</strong>. Huduma hizi za ziada zinaweza kuwavutia wateja<br />
wap<strong>ya</strong> kama njia <strong>ya</strong> kupata bidhaa na kuweza kuwavutia wateja wa zamani<br />
waendelee kuwa wateja wako.<br />
Utunzaji mzuri wa Mahesabu<br />
Ili biashara <strong>ya</strong>ko ifanye vyema na kuleta faida ni muhimu kufahamu kuhusu<br />
matumizi <strong>ya</strong>ko na uweze kutunza kumbukumbu zake kila siku.Hii itakusaidia<br />
kufahamu inakugharimu kiasi gani kuendesha na kiasi gani cha fedha<br />
kinatakiwa kuingizwa kwenye biashara kila siku ili uziba gharama hizi na<br />
pengine kusaidia kupata faida. Gharama ambazo unaweza kuingia ni pamoja na<br />
umeme, maji n.k Gharama <strong>ya</strong> vifaa <strong>v<strong>ya</strong></strong> nywele mishahara na kodi <strong>ya</strong> pango.<br />
Gharama zote hizi zinapaswa zionekane kwenye kitabu cha mahesabu <strong>ya</strong> fedha<br />
vilevile kufuatilia kutunza kumbukumbu kutakusaidia kupanga bei vyema,<br />
Tambua ni bidhaa ama huduma gani inayoingiza faida zaidi ili uweze<br />
kuzitangaza zaidi na kuweza kufahamu wapi pa kupunguza matumizi ili<br />
kuokoa gharama endapo biashara haiongezeki kama ulivyotarajia.<br />
Kuweka malengo <strong>ya</strong> biashara <strong>ya</strong>ko<br />
Kuweka malengo <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> biashara <strong>ya</strong>ko utaweza kufuatilia vema jinsi<br />
ambavyo biashara <strong>ya</strong> saluni <strong>ya</strong>ko inavyoendelea kinyume na matarajio <strong>ya</strong>ko na<br />
maeneo gani <strong>ya</strong>nayohitaji kuboreshwa. Dondoo chache za namna <strong>ya</strong> kuweka<br />
malengo ni pamoja na:<br />
1. Hakikisha kuwa kila mmoja kwenye saluni anafahamu vyema<br />
malengo hayo ili kufahamu wanafan<strong>ya</strong> kazi kukamilisha malengo<br />
na <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> nini.<br />
2. Mfano wa malengo <strong>ya</strong>nakuwa ni pamoja na:<br />
1. Idadi <strong>ya</strong> wateja waliohudumiwa <strong>kwa</strong> wiki (wap<strong>ya</strong> na wale<br />
waliorudi <strong>kwa</strong> mara nyingine tena )<br />
2. Malengo <strong>ya</strong> mauzo <strong>ya</strong> bidhaa/huduma <strong>kwa</strong> juma (mf idadi<br />
<strong>ya</strong> waliofika kuosha, na kutengeneza nywele , idadi <strong>ya</strong><br />
waliofan<strong>ya</strong> huduma <strong>kwa</strong> mvuke)<br />
3. Kiasi cah fedha kilichopatikana <strong>kwa</strong> wiki<br />
27
Hatua <strong>ya</strong> Nne<br />
3. Ili kufikia malengo ni muhimu kuwa na mpango kazi wako <strong>kwa</strong><br />
wiki pamoja na ratiba <strong>kwa</strong> kila shughuli zako.<br />
4. Mwisho wa kila wiki tathmini uone kama umefikia malengo <strong>ya</strong>ko.<br />
5. Tengeneza mkakati <strong>kwa</strong> kila lengo uliloweka. Mf kuongeza idadi<br />
<strong>ya</strong> wateja wiki hii nitatoa punguzo <strong>ya</strong> asilimia 10 <strong>kwa</strong> wateja<br />
kutoka jamii <strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong> kanisa la kibaptisti.<br />
Waeleze washiriki <strong>kwa</strong>mba sasa tumesha maliza mada zote zilizopangwa <strong>kwa</strong><br />
<strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza <strong>ya</strong> mafunzo.Tunawashukuru sana <strong>kwa</strong> kuwa pamoja<br />
nasi.<br />
Waambie washiriki kuwa tungependa kupata mrejesho kuhusiana na mada<br />
zilizomaliza leo.<br />
Wapatie fomu <strong>ya</strong> tathmini <strong>ya</strong> kupata mrejesho kutoka <strong>kwa</strong> kila mshiriki<br />
hakikisha zinajazwa kabla washiriki hawajaondoka.<br />
Wakumbushe washiriki kuhusu tarehe za mafunzo <strong>ya</strong>nayofuata na uwashukuru<br />
mara nyingine <strong>kwa</strong> kuja.<br />
28
KITINI MADA YA PILI<br />
MAHUSIANO NA WATEJA<br />
Mahusiano na wateja: Kufan<strong>ya</strong> kazi na wateja ni muhimu <strong>kwa</strong> sababu wao ni<br />
sababu <strong>ya</strong> kuwepo <strong>kwa</strong> biashara <strong>ya</strong>ko, wao ni muhimu kama zilivyo <strong>kwa</strong> bidhaa<br />
na huduma unazotoa.<br />
Baadhi <strong>ya</strong> dondoo za kusaidia kujenga kuaminiana na kuwa na mahusiano<br />
mazuri na wateja:<br />
1. Hakikisha wateja wako wanajisikia kupewa kipaumbele na wamepewa<br />
umuhimu.<br />
2. Wateja wako wasikae wanakusubiri, kila mara uwe makini na uwe<br />
mwaminifu. Kila unapopanga kukutana na mteja wako kila wakati<br />
hakikisha unazingatia muda.<br />
3. Kila mara unapswa kufahamu bidhaa zako (Taarifa za kitaalamu za<br />
bidhaa, na jinsi <strong>ya</strong> kutumia). Usiogope kukiri hufahamu jibu la swali<br />
kama ukiulizwa.<br />
4. Usionee aibu kuhusu kuuza. Kwa vile unawapatia bidhaa zenye ubora<br />
salama na za bei wanayoimudu.<br />
5. Kila mara hakikisha unakuwa na pesa za chenji <strong>kwa</strong> viwango mbalimbali<br />
ili <strong>kwa</strong>mba uwe na uwezo wa kumudu manunuzi <strong>ya</strong> bidhaa <strong>kwa</strong><br />
mafanikio<br />
6. Andaa mikutano na wateja katika wakati ambao upo uwezekano wa<br />
kununua bidhaa za ziada ili kuweza kujenga tabia <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> hivyo kila<br />
wakati , wakati wa kukutana jadili mambo yoyote <strong>ya</strong>liyowa<strong>kwa</strong>za na<br />
wapatie wateja wako bidhaa hasa <strong>kwa</strong> wale ambao walishawahi<br />
kununua tena. Wapatie taarifa <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> mawasiliano zaidi ili<br />
wafahamu jinsi <strong>ya</strong> kukupata kama watahitaji kununua bidhaa zaidi kabla<br />
<strong>ya</strong> kukutana <strong>kwa</strong> mikutano inayofuata.<br />
7. Wasilikize watu <strong>kwa</strong> makini.<br />
8. Uwe muwazi na usikilize maoni hasi.<br />
9. Kila mara heshimu viwango <strong>v<strong>ya</strong></strong> uelewa na imani za wengine.<br />
10. Toa taarifa sahihi <strong>kwa</strong> nja <strong>ya</strong> ushawishi na <strong>kwa</strong> njia ambayo wateja wako<br />
wataweza kushinda hali <strong>ya</strong> mashaka kuhusiana na matumizi <strong>ya</strong> bidhaa.<br />
29
11. Ongelea suala la kutumia bidhaa <strong>kwa</strong> usahihi.<br />
12. Ongea na wateja wako kuhusiana na suala la kujikinga na VVU, af<strong>ya</strong> za<br />
<strong>wanawake</strong> hapa nchini, njia za uzazi wa mpango na masuala <strong>ya</strong>ke na<br />
mada nyingine za kiaf<strong>ya</strong> ambazo umejifunza wakati wa mafunzo <strong>ya</strong><br />
viongozi wa rika .<br />
13. Uza bidhaa zenye ubora kama bidhaa za Mpango wa JIPENDE.<br />
30
MAFUNZO YA 1: FOMU YA TAHMINI<br />
Fomu hii ni <strong>ya</strong> siri. Usiandike jina lak. Asante .<br />
1. Je matarajio <strong>ya</strong>ko <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> mafunzo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>mefikiwa? (weka mduara<br />
kwenye jibu) NDIO HAPANA<br />
Kama hapana, <strong>kwa</strong>nini?<br />
2. Je ni mada gani umeipenda zaidi? Kwanini ?<br />
3. Mada gani huajipenda? Kwanini?<br />
4. Ni mada ipi tulihitaji kuipa muda zaidi?<br />
5. Unaweza kupima namna gani mtindo wa uwezeshaji? ( zungushia duara jibu<br />
moja)<br />
a. Nzuri sana b. Wastani<br />
c. Nzuri d. Dhaifu<br />
Maoni:<br />
6. Je tunweza kufan<strong>ya</strong> nini tofauti ili kuboresha <strong>ya</strong>liyomo kwenye mafunzo<br />
ha<strong>ya</strong>?<br />
7. Tunaweza kufan<strong>ya</strong> nini touti ili kuboresha utaratibu mzima wa mafunzo<br />
ha<strong>ya</strong>?<br />
(muda, mapumziko <strong>ya</strong> chai/ kahawa, n.k)<br />
31
8. Kwa ujimla, unaweza ku<strong>ya</strong>pa mafunzo ha<strong>ya</strong> kiwango gani cha ufanisi ?<br />
(Weka duara kwenye jibu moja)<br />
a. Nzuri sana b. Nzuri c. wastani d. Dhaifu<br />
9. Tumia nyuma <strong>ya</strong> ukurasa huu kama unayo maoni zaidi.<br />
32
MAFUNZO YA PILI<br />
Wakaribishe tena washiriki. Wakumbushe <strong>kwa</strong>mba tuliongea kuhusu<br />
changamoto za masuala <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> ambazo <strong>wanawake</strong> wote duniani wanakutana<br />
nazo kama vile VVU, vifo wakati wa ujauzito, utoaji mimba usio salama na<br />
saratani <strong>ya</strong> matiti na shingo <strong>ya</strong> kizazi. Pia tulijadiliana <strong>kwa</strong>mba tunaweza<br />
kubadilisha hali hii <strong>kwa</strong> kufan<strong>ya</strong> kazi na kujadiliana na <strong>wanawake</strong> wengine ili<br />
kupunguza maabukizi <strong>ya</strong> VVU, mimba zisizo tarajiwa, saratani <strong>ya</strong> matiti na vifo<br />
wakati wa kujifungua. Hii itawezekan <strong>kwa</strong> kushirikishana na kutoa taarifa <strong>kwa</strong><br />
wengine, tunaweza kuboresha af<strong>ya</strong> za wengine.<br />
Mada <strong>ya</strong> leo inahusisha taarifa za kina zaidi kuhusu changamoto za kiaf<strong>ya</strong><br />
zilizotajwa wakati wa mkutano wa mafunzo <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza. Tutaongelea Magonjwa<br />
<strong>ya</strong> ngono, VVU/UKIMWI na njia za kuzuia magonjwa <strong>ya</strong> ngono na VVU. Pia<br />
tutaongelea kuhusu kondom za Dume na Lady Pepeta.<br />
33
MADA YA TATU: WAKATI MARADHI<br />
YANAPOSHAMBULIA: MAGONJWA YA NGONO<br />
Mada ndogo<br />
3.1 Kuchukua hatua<br />
3.2 Dalili za magonjwa <strong>ya</strong> ngono<br />
3.3 Kupata majibu <strong>ya</strong> maswali yetu na kupata Matibabu <strong>ya</strong> Magonjwa <strong>ya</strong><br />
Ngono<br />
Madhumuni: Mwisho wa somo tutakuwa tumefan<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>fuatayo:<br />
Zana<br />
Kufan<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> vitendo igizo dhima kuhusu hatari za Magonjwa <strong>ya</strong> ngono<br />
Changanua dalili zinazoweza kuonekana za Magonjwa <strong>ya</strong> ngono<br />
Kutambua maeneo <strong>ya</strong> kwenda kupata tiba <strong>ya</strong> magonjwa <strong>ya</strong> ngono.<br />
Mabango na kalamu kubwa (markers)<br />
Kitini cha Igizo dhima la Visa mkasa kuhusu Magonjwa <strong>ya</strong> ngono<br />
Kitini cha Dalili za Magonjwa <strong>ya</strong> Ngono<br />
Kitini cha Kliniki za Magonjwa <strong>ya</strong> ngono<br />
Kitini cha Ujumbe mahususi: wakati maradhi <strong>ya</strong>naposhambulia<br />
Wageni Waali<strong>kwa</strong><br />
Mwakilishi wa kituo cha kutolea huduma kuongelea Magonjwa <strong>ya</strong> ngono<br />
Local clinic representative to talk about STIs (Dakika 30)<br />
Muda<br />
Dakika 90<br />
3.1 Kuchukua Hatua<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba sasa tutaongea kuhusu changamoto mbalimbali<br />
zinazoathiri af<strong>ya</strong> za <strong>wanawake</strong> kupitia igizo dogo.<br />
Waambie washiriki wajipange wawiliwawili.<br />
34
Kila washiriki wawili wachukue hadithi moja ambayo wanaweza kuigiza. Igizo<br />
linapaswa <strong>kwa</strong> kina kuonyesha jinsi ambavyo rafiki anaelezea <strong>kwa</strong> mwenzake<br />
tatizo alilonalo na namna ambavyo rafiki <strong>ya</strong>ke atakavyojibu na kile<br />
atakachomwambia afanye. Wapatie igizo dhima na uwapatie washiriki muda wa<br />
kufanyia majaribio <strong>ya</strong> kuigiza. Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba huenda<br />
wakachaguliwa kuonyesha igizo lao kwenye kundi kubwa.<br />
Hadithi tano amabzo wanweza kuchagua<br />
<strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> igizo<br />
1. Pili anamwambia rafiki <strong>ya</strong>ke "nimekuwa<br />
nikito<strong>kwa</strong> na uchafu sehemu za siri na mwezi<br />
huu nilito<strong>kwa</strong> na damu baada <strong>ya</strong> kumaliza<br />
hedhi. Dada <strong>ya</strong>ngu ameniambia niende<br />
hospitali lakini sijaona kama ni tatizo kubwa<br />
na sitaki kupoteza fedha au muda wangu”<br />
2. Tunu anafan<strong>ya</strong> kazi kwenye saluni moja<br />
mdogo <strong>ya</strong> urembo. Anamwambia rafki <strong>ya</strong><br />
Pendo, “Nafikiri nina maambukizo. Nasiki<br />
kama kuungu wakati wa kukojoa na inauma<br />
haswa.sina fedha za kutosha kununua dawa.Je<br />
unafikiri unaweza kuniazima kiasi cha dawa<br />
ulizonunua mara <strong>ya</strong> mwisho?”<br />
3. Upendo ananunua kadi <strong>ya</strong> simu <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong><br />
simu <strong>ya</strong>ke mp<strong>ya</strong> wakati unamkimbili<br />
alipokuwa kwenye duka.Anaonekana asiye na<br />
furaha. Unamuuliza ku nini kiba<strong>ya</strong> anaanza<br />
kulia.anasema amegundua kuwa ni mjamzito<br />
na ana maambukizi <strong>ya</strong> magojnjwa <strong>ya</strong> ngono.<br />
Anakuuliza, “nifanye nini sasa?”<br />
4, Mwajuma amekuwa akiishi na raki <strong>ya</strong>ke wa<br />
kiume <strong>kwa</strong> miezi mitatu sasa. Anamwambia<br />
rafki <strong>ya</strong>ke, “Tumekuwa tukilala pamoja sasa<br />
<strong>kwa</strong> majuma kadhaa bila kutumia kondom.<br />
Mara moja tulipokuwa tunataka mapenzi<br />
ghafla alikataa akisema na matatizo kwenye<br />
uume wake. Ila anasema <strong>kwa</strong>mba tatizo<br />
litakwisha. Kwahiyo hadi sasa tunasubiri hadi<br />
tatizo liishe na awe kwenye hali njema <strong>ya</strong><br />
Rafiki <strong>ya</strong>ke atafan<strong>ya</strong> nini au<br />
atamwambia nini …<br />
35
kufan<strong>ya</strong> mapenzi.”<br />
5. Imma anafan<strong>ya</strong> kazi kwenye kibanda cha<br />
kuuza chai, anae mtoto wake mdogo wa<br />
kiume. Anawaambia wenzake,” sijisikii vyema<br />
siku hizi. Naona aibu na kudhalilika kwenda<br />
kwenye kliniki jirani na ninapoishi <strong>kwa</strong> baadhi<br />
<strong>ya</strong> wahudumu pale ni majirani zangu.<br />
Sitaweza kwenda kwenye klinik <strong>ya</strong> jirani na<br />
ninapoishi <strong>kwa</strong> sababu nafahamu ni mbali na<br />
hakika siafamu mahali ilipo.”<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Alika kikundi kimojawapo kijitolee kuigiza moja <strong>ya</strong> kisa mkasa. Wakishamaliza<br />
waulize maswali <strong>ya</strong>fuatayo:<br />
Unawaza nini kuhusu kile rafiki <strong>ya</strong>ko alichofan<strong>ya</strong>/alichokisema?<br />
Sasa mwambie mmoja wapo ajitolee kusoma visa mkasa vyote <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> igizo.<br />
Je visa hivi vina uhalisia kiasi gani?<br />
Kiambie kikundi <strong>kwa</strong>mba <strong>wanawake</strong> wote kwenye hadithi wanapaswa kwenda<br />
kwenye kituo cha kutolea huduma <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> sababu huenda wakawa na<br />
maambukizi amabyo ni <strong>ya</strong> hatari sana. Sasa tutaongea kuhusu dalili zilizo<br />
zoeleka za Magonjwa <strong>ya</strong> ngono <strong>kwa</strong> <strong>wanawake</strong> na wanaume.<br />
3.2 Dalili za Maambukizi <strong>ya</strong> Magonjwa <strong>ya</strong> Ngono<br />
Hatua <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza<br />
Wapatie kitini cha Dalili za hatari za maambukizi <strong>ya</strong> Magonjwa <strong>ya</strong> ngono. Pamoja<br />
kama kikundi someni dalili za hatari za Magonjwa <strong>ya</strong> ngono <strong>kwa</strong> wanaume na<br />
<strong>kwa</strong> <strong>wanawake</strong>.<br />
Baadhi <strong>ya</strong> dalili za hatari za zilizozoeleka za Maabukizi <strong>ya</strong> Magonjwa <strong>ya</strong> ngono<br />
Wanawake Wanaume<br />
Kuto<strong>kwa</strong> majimaji <strong>ya</strong>siyokuwa <strong>ya</strong><br />
kawaida ukeni<br />
kiasi cha damu kuendelea kutoka<br />
Kuto<strong>kwa</strong> maji maji <strong>ya</strong> rangi <strong>ya</strong><br />
njano isvyo kawaida kwenye<br />
uume.<br />
36
aada <strong>ya</strong> siku za hedhi kupita<br />
Maumivu <strong>ya</strong>siyokuwa <strong>ya</strong><br />
kawaida mabli na maumivu<br />
wakati wa siku za hedhi<br />
maumivu wakati wa kufan<strong>ya</strong><br />
tendo la ngono<br />
Muwasho na maumivu makali<br />
kwenye sehemu za via <strong>v<strong>ya</strong></strong> uzazi<br />
Upele mdogo ambao hauwashi<br />
vidonda kando kando mwa via<br />
<strong>v<strong>ya</strong></strong> uzazi<br />
Maumivu wakati wa kukojoa<br />
Upele mdogo ambao hauwashi<br />
Vidonda kando kando mwa uume<br />
na njia <strong>ya</strong> haja kubwa vinaweza<br />
kuwa na maumivu au bila<br />
maumivu<br />
Malengelenge <strong>ya</strong>nayokuja na<br />
kuondoka ( pengine ni uambukizo<br />
hata kama hakuna malengelenge)<br />
Kuvimba mitoki<br />
Waambie wana kikundi <strong>kwa</strong>mba endapo utaona unazo dalili miongoni mwa<br />
zilizotajwa sio lazima iwe ni maambukizi, itabidi ufanye kipimo kwenye kliniki<br />
ili kuwa na uhakika kabisa.<br />
MUHIMU: Maambukizi huweza kutokea bila kuonyesha dalili iwe ni <strong>kwa</strong><br />
wanaume au <strong>kwa</strong> <strong>wanawake</strong>.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Waulize washiriki baadhi <strong>ya</strong> majina <strong>ya</strong> Magonjwa <strong>ya</strong> Ngono wanayo<strong>ya</strong>fahamu?<br />
Zipo aina nyingi za Magonjwa <strong>ya</strong> Ngono. Baadhi <strong>ya</strong> majina uanyowez kusikia ni<br />
pamoja na kaswnde kisonono, pangusa klamidia, viotea sehemu za siri na<br />
mengine mengi..<br />
Waeleze washiriki <strong>kwa</strong>mba hatuhitaji kufahamu aina maalumu <strong>ya</strong> uambikizi ili<br />
kuweza kujilinda sisi wenyewe na familia zetu. Ila ni muhimu kufahamu dalili<br />
zilizo za kawaida ili kuweza kutafuta tiba. Maambukizi ha<strong>ya</strong> huweza kuwa <strong>ya</strong><br />
hatari endapo ha<strong>ya</strong>titibiwa mapema na pia husababisha mwili kuwa katika<br />
hatari ziadi <strong>ya</strong> kuambukizwa VVU.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Tatu<br />
Watambulishe wageni uliowaalika kutoka kwenye klinik ili waweze kuongelea<br />
<strong>kwa</strong> ufupi kuhusu magonjwa <strong>ya</strong> ngono. La umuhimu zaidi waweze kuwa na<br />
wasaa wa kujibu maswali ambayo huenda kikundi kinaweza kuwa nayo<br />
kuhusiana na magonjwa <strong>ya</strong> ngono na jinsi <strong>ya</strong> kupata tiba.<br />
37
Angalizo <strong>kwa</strong> Kiongozi Rika :<br />
Kama inawezekan jaribu kumpata mwakilishi kutoka klinik au <strong>mtaala</strong>mu wa<br />
af<strong>ya</strong>” <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> sehemu hii <strong>ya</strong> somo. Itakuwa ni fursa njema <strong>kwa</strong> washiriki<br />
kuuliza maswali kuhusiana na magonjwa <strong>ya</strong> ngono na kuweza kupata majibu<br />
sahihi kutoka <strong>kwa</strong> wataalamu wa af<strong>ya</strong>.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Nne<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba ni muhimu kwenye saluni kuwa na orodha <strong>ya</strong><br />
mahali ziliko klinik na aina <strong>ya</strong> huduma zinazotolewa na gharama zao ili kuweza<br />
kuwapatia wateja wao ambao wangependelea kufahamu. Wahimize kuongea na<br />
kituo cha kutolea huduma kilichoko jirani wawasidie kutengeneza orodha hii<br />
<strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> jamii <strong>ya</strong>o.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Tano<br />
Waeleze washiriki <strong>kwa</strong>mba ni muhimu kuchunguza miili yetu endapo<br />
tutagundua dalili za Magonjwa <strong>ya</strong> Ngono tutapaswa kwenda klinik <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong><br />
matibabu.<br />
Wape kitini chenye Ujumbe Muhimu: wakati maradhi <strong>ya</strong>napotupata na pitia<br />
kitini hicho <strong>kwa</strong> kikundi.<br />
Ujumbe Muhimu: Wakati maradhi <strong>ya</strong>napovamia<br />
Ngono hatarishi ni kufan<strong>ya</strong> ngono bila kutumia kondom unapokuw<br />
ahuna uhakika kama mwenzi wako ameathirika na VVU au Ugonjwa<br />
mwingine wa ngono AU kutokuwa na hakika kama mwenzi wako<br />
anafan<strong>ya</strong> ngono na wewe peke <strong>ya</strong>ke.<br />
Unaweza kupata Magonjwa <strong>ya</strong> Ngono ambayo una<strong>ya</strong>dharau au <strong>ya</strong>le<br />
ambayo hu<strong>ya</strong>fahamu kabisa. Kama umewahi kufany ngono hatarishi ni<br />
muhimu kwenda klinik kupima na kupatiwa matibabu.<br />
Kuwa na Mgonjwa <strong>ya</strong> Ngono kunaongeza uwezekano wa kupata<br />
maambukizi <strong>ya</strong> VVU.<br />
Kutumia kondom kila mara wakati na <strong>kwa</strong> usahihi wakati kufan<strong>ya</strong><br />
Ngono kunaweza kutusaidia kujilinda na magonjwa karibu yote<br />
<strong>ya</strong>tokanayo na ngono.<br />
38
Tunaweza kuelimisha <strong>wanawake</strong> wengine kuhusu kile tulichojifunza<br />
kuhusiana na maambukizi <strong>ya</strong> mgonjwa <strong>ya</strong> ngono, kupima na kupatiwa<br />
tiba.<br />
39
KITINI CHA MADA YA 3 KITINI<br />
IGIZO DHIMA MAGONJWA YA NGONO VISA MKASA<br />
Hadithi tano za kuchagua Rafiki <strong>ya</strong>ke<br />
atapaswa<br />
kufan<strong>ya</strong> nini au<br />
atamwambia<br />
nini …<br />
1. Pili anamwambia rafiki <strong>ya</strong>ke, “nimekuwa nikito<strong>kwa</strong> na<br />
majimaji <strong>ya</strong>siyokuwa <strong>ya</strong> kawaida <strong>kwa</strong> muda sasa na mwezi huu<br />
nilipata damu kidogo kabla <strong>ya</strong> tarehe zangu za siku za hedhi.<br />
Dada <strong>ya</strong>ngu ameniambia eti niende klinik lakini <strong>kwa</strong> kweli bado<br />
sijaona kama ni tatizo sana. Sitaki nipoteze pesa na muda<br />
wangu.”<br />
2. Tunu anafan<strong>ya</strong> kazi kwenye saluni ndogo <strong>ya</strong> urembo. Huwa<br />
namwambia rafiki <strong>ya</strong>ke Upendo, “Nafikiri nina maambukizi.<br />
Nahisi kuungua wakati wa kupii na inauma sana. Sian fedha za<br />
kutosha za kununua dawa. Je waweza kuniazima kiasi cha dawa<br />
ulizonunua mara <strong>ya</strong> mwisho?”<br />
3. Upendo ananunua kadi <strong>ya</strong> simu <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> simu <strong>ya</strong>ke mp<strong>ya</strong><br />
wakati unapomkimbilia hapo dukani. Anaonekana mwenye<br />
majonzi. Unamuuliza amepatwa na nini ghafla anaanza kulia.<br />
Amegundua kuwa ni mjamzito na amepatwa na maambukizi <strong>ya</strong><br />
VVU. Anakuuliza je wewe utafan<strong>ya</strong> nini?<br />
4, Mwajuma amekuwa akiishi na rafiki <strong>ya</strong>ke wa kuime <strong>kwa</strong> miezi<br />
mitatu sasa. Anamwambia rafiki <strong>ya</strong>ke, “Tumekuwa tukilala<br />
pamoja <strong>kwa</strong> majuma kadhaa sasa na hatukuwa tunatumia<br />
kondom. Mara moja tu tulikuwa karibia tufan<strong>ya</strong> ngono ghafla<br />
akakataa <strong>kwa</strong> sababu alisema kuna wakati anakuwa na matatizo<br />
kwenye uume wake. Ila nakasema tatizo litakwisha. Kwa hiyo<br />
sasa tunasubiri tatizo liishe na atajisikia nafuu kufan<strong>ya</strong> ngono.”<br />
5. Imma anafan<strong>ya</strong> kazi kwenye kibanda cha chai na ana mtoto<br />
mdogo wa kiume. Anamwambia rafiki <strong>ya</strong>ke, siku hizi huwa<br />
sijisikii vizuri. Najisikia kama nimedahlilika na aibu kwenda<br />
kwenye klinik jirani na eneo ninaloishi <strong>kwa</strong> sababu baadhi <strong>ya</strong><br />
watumishi wanaishi jirani na mimi. Pia siwezi kwenda kweny<br />
klinik iliyo jirani na <strong>kwa</strong>ko <strong>kwa</strong> sababu ni mbali na zaidi <strong>ya</strong> hayo<br />
sifahamu ni sehemu gani.”<br />
40
KITINI CHA MADA YA 3<br />
MAGONJWA YA NGONO: DALILI ZA HATARI ZILIZOZOELEKA<br />
Baadhi <strong>ya</strong> dalili za hatari za magonjwa <strong>ya</strong> Ngono<br />
Wanawake Wanaume<br />
Kuto<strong>kwa</strong> majimaji ukeni <strong>kwa</strong><br />
kiasi kisicho cha kawaida<br />
Wengine huto<strong>kwa</strong> na damu baada<br />
<strong>ya</strong> kumaliza siku za hedhi<br />
Maumivu <strong>ya</strong>siyokuwa <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>ida<br />
mabli na <strong>ya</strong>liyozoeleka wakati<br />
mzunguko wa hedhi<br />
Maumivu wakati wa tendo la<br />
ngono<br />
Muwasho na hali <strong>ya</strong> kuungua<br />
kandokando <strong>ya</strong> via <strong>v<strong>ya</strong></strong> uzazi<br />
Upele amabo unaweza kuwa<br />
hauwashi<br />
Vidonda ndani na pemebeni mwa<br />
via <strong>v<strong>ya</strong></strong> uzazi<br />
Kuto<strong>kwa</strong> majimaji <strong>ya</strong> rangi njano<br />
isiyo <strong>ya</strong> kawaida kwenye uume<br />
Maumivu au hali <strong>ya</strong> kuungua<br />
wakati wa kukojoa<br />
Upele kweny ngozi ambao<br />
unaweza usiwe unawasha<br />
Vidonda ambavyo haviumi –<br />
kando <strong>ya</strong> uume na kwenye njia <strong>ya</strong><br />
haja kubwa<br />
Malenglenge <strong>ya</strong>nayokuja na<br />
kuondoka (inaweza kuwa ni<br />
uambukizi hata kama<br />
malengelenge ha<strong>ya</strong>onekani )<br />
Kuvimba mitoki<br />
41
KITINI CHA MADA YA 3<br />
UJUMBE MUHIMU: WAKATI MARADHI YANAPOINGIA<br />
Ngono hatarishi ni kufan<strong>ya</strong> ngono bila kutumia kondom kama<br />
huna hakika kama mwenzi wako ameambukizwa VVU au<br />
magonjwa mengine <strong>ya</strong> ngono AMA kama huna uhakika kama<br />
mwenzi wako huwa anafan<strong>ya</strong> ngono na wewe peke <strong>ya</strong>ko tu.<br />
Una Magonjwa <strong>ya</strong> Ngono ambayo ume<strong>ya</strong>dharau au ambayo<br />
hujui kama unayo. Kama umefan<strong>ya</strong> ngono hatarishi ni muhimu<br />
sana kwenda klinik kupimwa na kutibiwa.<br />
Kuwa na ugonjwa wowote wa ngono kunaongeza hatari <strong>ya</strong><br />
kupata maambukizi <strong>ya</strong> VVU.<br />
Matumizi <strong>ya</strong> kondomu kila wakati na <strong>kwa</strong> usahihi kunaweza<br />
kutusaidia kujilinda na maambukizi <strong>ya</strong> magonjwa mengi <strong>ya</strong><br />
ngono.<br />
Tunaweza kuelimisha <strong>wanawake</strong> wengine kuhusu kile<br />
tulichojifunza kuhusiana na maambukizi <strong>ya</strong> Magonjwa <strong>ya</strong><br />
Ngono kuhusu kupima na kutibiwa.<br />
42
MADA YA NNE: VVU NA UKIMWI<br />
Mada Ndogo<br />
4.1 VVU: Maambukizi <strong>ya</strong>liyofichika<br />
4.2 Tofauti baina <strong>ya</strong> VVU na UKIMWI<br />
4.3 Njia za kuzuia VVU<br />
4.4 Umuhimu wa kupima VVU<br />
4.5 VVU/UKIMWI na un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa<br />
Madhumuni: Mwisho wa somo hili tutakuwa tumeweza:<br />
Zana<br />
Muda<br />
Kutofautisha kati <strong>ya</strong> VVU na UKIMWI<br />
Kueleza jinsi <strong>ya</strong> kuzuia VVU<br />
Kuelezea umuhimu wa kupima VVU<br />
Kujadili kuhusu un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa na jinsi <strong>ya</strong> kuzuia<br />
Bango na kalamu (markers)<br />
Kitini cha Jinsi <strong>ya</strong> Kuzuia VVU<br />
Kitini cha Kupima VVU<br />
Ujumbe muhimu: Kitini cha Taarifa kuhusu VVU na UKIMWI Key Messages:<br />
HIV and AIDS Information Handout<br />
Saa 1 na dk 30<br />
4.1 VVU: Maambukizi <strong>ya</strong>liyofichika<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Waeleze washiriki <strong>kwa</strong>mba mada yetu sasa ni “VVU na UKIMWI”Kama<br />
tulivyojadili hapo awali, VVU ni maambukizi <strong>ya</strong>tokanayo na ngono, hadi hivi<br />
leo tiba haijapatikana. .<br />
Waulize washiriki <strong>kwa</strong>nini wanafikiri tunaita VVU maambukizi <strong>ya</strong>liyofichika?<br />
Baada <strong>ya</strong> kupata majibu, hitimisha majadiliano <strong>kwa</strong> kusema <strong>kwa</strong>mba:<br />
VVU sio kitu unachoweza kukiona au kuhisi. Huwezi kuelezea <strong>kwa</strong> kumtazama<br />
mtu au <strong>kwa</strong> kuwa unamfahamu, kama ameambukizwa au hajaambukizwa na<br />
43
VVU. VVU vinawapata watu wote vijana na wazee, masikini na matajiri, wasomi<br />
na wasiosoma.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Wapatie washiriki Kitini cha Mambo Saba <strong>ya</strong> ukweli kuhusu VVU. Soma kila<br />
ukweli <strong>kwa</strong> pamoja. Baada <strong>ya</strong> kusoma kila ukweli elezea <strong>kwa</strong> maneno <strong>ya</strong>ko<br />
mwenyewe kilichoko kwenye kila ukweli na washiriki wachangie taarifa yoyote<br />
<strong>ya</strong> nyongeza kuhusiana na ukweli waliousoma punde.<br />
Tumia taarifa za ukweli kuelezea au kuhakisha kile wanachofahamu washiriki.<br />
Mambo saba tuanyofahamu kuhus VVU<br />
1. Virusi vinasambazwa kutoka mtu mmoja kwenda mwingine wakati<br />
ambapo maji maji <strong>ya</strong> mwilini <strong>ya</strong>napogusana, hususani damu, mbegu za<br />
kiume, majimaji <strong>ya</strong> ukeni au maziwa <strong>ya</strong> mama. Njia <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza ambayo<br />
VVU vinasamabzwa ni <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong> vitendo <strong>v<strong>ya</strong></strong> ngono.<br />
2. VVU vinasambazwa kutoka <strong>kwa</strong> mama kwenda <strong>kwa</strong> mtoto wakati wa<br />
mimba, wakati wa kujifungua au wakati wa kunyonyesha..<br />
3. Hakuna chanjo <strong>ya</strong> VVU. Njia pekee <strong>ya</strong> mtu kujikinga ni kutumia kondom<br />
<strong>ya</strong> kiume au <strong>ya</strong> kike kila wakati na <strong>kwa</strong> usahihi wakati wote wa tendo la<br />
ngono.<br />
4. VVU haviwezi kusambazwa <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong> machozi, mate, kinyesi, mkojo,<br />
matapishi na jasho.<br />
5. Ni salama kabisa kuchangia chakula, vyombo, choo, ama nguo na mtu<br />
mwenye VVU. Pia ni salama kushikana mikono, kukumbatiana kuoga na<br />
kufan<strong>ya</strong> kazi na mtu mwenye VVU.<br />
6. VVU hudhoofisha mwili taratibu. Mtu anaweza kuishi na virusi na<br />
asionyeshe dalili <strong>kwa</strong> kipindi kirefu. Kipimo cha VVU ni njia pekee <strong>ya</strong><br />
kufahamu kama umeambukizwa virusi hivyo ama la.<br />
7. Kwa akutumia vidonge <strong>v<strong>ya</strong></strong> kupunguza makali <strong>ya</strong> VVU na kurefusha<br />
maisha (ARV) Waathirika wa VVU wanaweza kuishi maisha marefu zaidi,<br />
<strong>kwa</strong> utoshelevu na kuishi maisha chan<strong>ya</strong>. Watu wanaoishi na VVU<br />
(WAVIU) wanapaswa kutumia kondom kujilinda wasipate maambukizi<br />
map<strong>ya</strong> na kuzuia wasiambukize wengine virusi.<br />
44
4.2 Tofauti kati <strong>ya</strong> VVU na UKIMWI<br />
Hatua <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza<br />
Rejea <strong>kwa</strong> pamoja na wanakikundi <strong>kwa</strong>mba VVU ni maambukizi na huweza<br />
kuchukua muda mrefu kuonyesha dalili. UKIMWI ni hali inayotokea wakati<br />
ambapo maambukizi <strong>ya</strong> VVU <strong>ya</strong>nakuwa <strong>ya</strong>medhoofisha uwezo wa mwili<br />
kupambana na magonjwa au uwezo wa kupona kutokana magonjwa..<br />
Tutafan<strong>ya</strong> mchezo mfupi kukusaidia kuelewa hili vema zaidi.<br />
Kwa kutumia chaki na kamba tengeneza mduara wenye upana wa mita tatu<br />
wanakikundi waelewe <strong>kwa</strong>mba mduara huu unawakilisha mwili wa binadamu.<br />
Waalike watu wajitolee kutoka kwenye kikundi na kutenheneza timu <strong>ya</strong><br />
waigizaji 5 wakusaidie kutengeneza mchoro mfupi. Mpe kila mshiriki kazi <strong>ya</strong><br />
kufan<strong>ya</strong>: majukumu matano ni: Chembechembe hai Nyeupe za Damu” “VVU”,<br />
“Maambukizi” , Maambukizi mengine” na “Dawa za kupunguza makali <strong>ya</strong> VVU<br />
na kurefusha maisha- ARV” Andika vibandiko <strong>v<strong>ya</strong></strong> majina kabla <strong>ya</strong> kuanza zoezi<br />
kuhusu tabia <strong>ya</strong> kila kimojawapo ili ubandike kwenye shati la kila mmoja.<br />
Ikiwezekana mshiriki anayeonekana kuwa ndiye mrefu zaidi, mwenye nguvu<br />
zaidi ndio awe “Chembe Hai Nyeupe za Damu”.<br />
Soma andiko kutoka kwenye jedwali hapa chini au wasimulie simulizi<br />
uliyoibuni mwenyewe, Unapokuwa unafan<strong>ya</strong> hivyo hakikisha waigizaji<br />
wanafan<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> vitendoo <strong>ya</strong>le unayo<strong>ya</strong>sema na kufan<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>liyoandi<strong>kwa</strong> upande<br />
wa kulia wa jedwali. Kila baada <strong>ya</strong> hatua moja weka kituo <strong>kwa</strong> muda ili<br />
kuhakikisha kila hatua imeeleweka.<br />
Hatua <strong>ya</strong> 1: Bado kuathirika na VVU Stage 1: Not yet infected with HIV<br />
Mwezeshaji anasema Je waigizaji wanafan<strong>ya</strong> nini<br />
Ndani <strong>ya</strong> eneo hili inawakilisha mwili wa<br />
mtu ulio na af<strong>ya</strong> “kwenye mwili huu kuna<br />
mamilioni <strong>ya</strong> chembe hai nyeupe za damu<br />
<strong>kwa</strong> kawaida ni kati <strong>ya</strong> chembe 600 na<br />
1000 <strong>kwa</strong> kila ujazo wa mililita <strong>ya</strong> damu .<br />
Kazi za chembe hizi nyeupe ni kama<br />
askari, kulinda na kupambana na<br />
maabukizi yoyote <strong>ya</strong>nayouingilia mwili. Ni<br />
sehemu <strong>ya</strong> kinga <strong>ya</strong> mwili. Tumkaribishe<br />
na kumpa Chembe nyeupe za damu<br />
Chembe nyeupe <strong>ya</strong> damul<br />
anaingia kwenye eneo akiwakilisha mwili<br />
wa binadamu, anaonekana mwenye nguvu<br />
, anatunisha misuli,anachukua umbo la<br />
mtu mwenye maguvu/ watunisha misuli, na<br />
anakaa katika mkao wa kupigana.<br />
45
makofi mengimengi <strong>ya</strong> pongezi..”<br />
“<strong>kwa</strong> kawaida chembe nyeupe za damu<br />
zina nguvu na zinao uwezo wa kupigana<br />
na kila aina <strong>ya</strong> maambukizi. Hapa anakuja<br />
maambukizi kama vile <strong>ya</strong>nayosababisha<br />
kuharisha au magonjwa kama <strong>ya</strong> ngozi.”<br />
“Hapa <strong>ya</strong>nakuja maambukizi mengine –<br />
pengine ni nimomia ama kifua kikuu<br />
“Kinga <strong>ya</strong> mwili inaweza kupambana na<br />
maambukizi na magonjwa <strong>ya</strong> kawaida na<br />
kuweza ku<strong>ya</strong>ondoa <strong>kwa</strong> upesi.”<br />
Hatua <strong>ya</strong> 2: Kuishi na VVU, Hakuna dalili<br />
Maambukizi <strong>ya</strong>naingia „mwilini ‟ .<br />
Chembe hai nyeupe za damu l<br />
„anashambulia maambukizi, na ku<strong>ya</strong>tupa<br />
nje <strong>ya</strong> mwili.<br />
Maambukizi mengine <strong>ya</strong>nauingilia mwili.<br />
Chembe hai nyeupe “zinavamia”<br />
Maambukizi mengine, na baada<br />
mapambano mafupi, na baadae<br />
inaulazimisha kuutupa nje.<br />
Chembe nyeupe za damu anatunisha<br />
misuli,anaonyesha nguvu zake<br />
Mwezeshaji anasema Waigizaji wanafan<strong>ya</strong> nini<br />
“Siku moja VVU akaingia mwilini. Mara<br />
kadhaa hufan<strong>ya</strong> hivi <strong>kwa</strong> kupitia ngono<br />
isiyo salama na mwili mwingine amabo<br />
ta<strong>ya</strong>ri VVU ameshaingia na anaishi.<br />
Chembe hai nyeupe anapigana na VVU na<br />
kumsukuma VVU kwenye eneo fulani la<br />
mwili, lakini Chembe hai nyeupe<br />
inashindwa kumto VVU nje kabisa <strong>ya</strong> mwili<br />
“Ikiwa ni pamoja na kumweka VVU<br />
pembeni, chembe hai nyeupe anabakia<br />
kuwa mwenye nguvu na akiweza<br />
kuendelea kuafanikisha mapambano dhidi<br />
<strong>ya</strong> maambukizi mengine. Inawezekana<br />
VVU wanaingia mwilini, anaanza <strong>kwa</strong><br />
utaratibu tu kushambulia chembe hai<br />
nyeupe. Chembe hai nyeupe<br />
anamsukuma pembeni VVU au kwenye<br />
kona <strong>ya</strong> mwili, na kumlazimisha VVU<br />
kupungua nguvu.<br />
Maambukizi <strong>ya</strong>naingia tena na chembe<br />
hai nyeupe <strong>kwa</strong> mara nyingine<br />
anamsukuma maambukizi nje <strong>ya</strong> mwili.<br />
Maambukizi mengine <strong>ya</strong>naingia na hali<br />
46
<strong>kwa</strong> chembe hai nyeupe zikawa bado<br />
zenye nguvu na kuendelea kupambana na<br />
maabukizi mengine <strong>kwa</strong> miaka mingi. Kwa<br />
kawaida kati <strong>ya</strong> miaka 5 hadi 10 na wakati<br />
mwingine muda mwingi zaidi hadi miaka<br />
20 hata zaidi.kupata lishe nzuri mtazamo<br />
chan<strong>ya</strong> kuhusu maisha <strong>ya</strong>ke, kuwa na<br />
muono wa mbele kupata dawa za<br />
kupunguza makali <strong>ya</strong> VVU ambapo muda<br />
wa kuishi unaongezeka. Watu wachache<br />
wenye VVU huwa wanakuwa na VVU<br />
lakini hawafikii hatu <strong>ya</strong> UKIMWI.”<br />
kama hiyohiyo inatokea.<br />
Hatua <strong>ya</strong> 3: Kuishi na UKIMWI / Tiba-Kutumia dawa za kupunguza makali <strong>ya</strong><br />
UKIMWI<br />
Mwezeshaji anasema Mwigizaji anafan<strong>ya</strong> nini<br />
“Mara nyingi VVU vinaanza kupata nguvu<br />
na unaweza kushambulia na kumshinda<br />
Chembe hai nyeupe za Damu <strong>kwa</strong> hiyo<br />
mfumo wa kinga <strong>ya</strong> mwili unauwa dahifu<br />
kabisa.”.<br />
“wakati maambukizi mengine <strong>ya</strong>naingia<br />
mwilini sasa, chembe hai nyeupe zinakuwa<br />
haziwezi kupamabana tena.kinga <strong>ya</strong> mwili<br />
sasa ni dhaifu sana unaweza<br />
kushambuliwa na magonjwa nyemelezi<br />
yoyote. Maambukizi <strong>ya</strong>nakuwa huru<br />
kukimbia na kucheza kila kwenye kona <strong>ya</strong><br />
mwili, chembe hai nyeupe zinakuwa<br />
hazina nguvu <strong>ya</strong> kuzuia. Mwili sasa<br />
unakuwa umepata UKIMWI – “Ukosefu wa<br />
Kinga Mwilini “<br />
VVU inasimama na kuvamia chembe hai<br />
nyeupe na kushika mikono yote miwili <strong>ya</strong><br />
chembe hai nyeupe na kuifunga nyuma<br />
<strong>ya</strong>ke ili <strong>kwa</strong>mba chembe nyeupe za<br />
damu hawezi tena kupambana na<br />
maambukizi.<br />
Maambukizi na maambukizi mengine<br />
yote <strong>ya</strong>nauingilia mwili kucheza kila<br />
mahali. VVU inaendelea kushikilia<br />
Chembe hai nyeupe.<br />
Chembe Hai Nyeupe za Damu<br />
47
Wakati mtu anahesabu chembe za CD 4<br />
za chembe hai nyeupe zinashuka na<br />
kufikia kati <strong>ya</strong> chembe 200 <strong>kwa</strong> maikro lita<br />
moja <strong>ya</strong> damu au wanakuwa na UKIMWI<br />
Kuelezea maradhi, wnaweza kuanza<br />
kutumia mchanyiko wa dawa za kurefusha<br />
maisha ARVs <strong>kwa</strong> kipindi Fulani. ARV<br />
zinauwezo wa kuzuia VVU kuongezeka<br />
kama vinavyoka kuwa, ingawaje ARV<br />
haiwezi kuondoa VVU moja <strong>kwa</strong> moja.<br />
Zinaruhusu chembe hai nyeupe kujijenga<br />
tena, ili ziweze <strong>kwa</strong> mara nyingine<br />
kupambana na maambukizi mengine.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Dawa za kupunguza makali <strong>ya</strong> VVU<br />
(ARV) inaingia mwilini na kushambulia<br />
VVU. Kunasua chembe hai nyeupe<br />
zilizokamatwa na VVU na kumsukuma<br />
VVU kwenye kona. Chembe hai nyeupe<br />
zinakusan<strong>ya</strong> nguvu tena kupambana na<br />
maambukizi na kutatupa mabali kwenye<br />
nje <strong>ya</strong> mwili.<br />
Mara baada <strong>ya</strong> kumaliza mchoro wape pongezi waigizaji na kuuliza maswali<br />
<strong>ya</strong>liyoko hapa chini kuhakikisha <strong>kwa</strong>mba kikundi kina elewa dondoo za<br />
muhimu kutokana na mchezo.<br />
1. Kuna toafauti gani kati <strong>ya</strong> VVU na UKIMWI?<br />
Jibu:: VVU ni virusi vinavyosababisha UKIMWI. Mtu anaweza akawa na virusi ila<br />
asiwe na UKIMW.<br />
2. Ni <strong>kwa</strong> muda gani VVU inaweza kupambana na maambukizi bila kuhitaji<br />
msaada wa dawa za kupunguza makali <strong>ya</strong> VVU?<br />
Jibu: inategemea na mtu binafsi ila inaweza kuwa kama miaka 20 au zaidi.<br />
Kudumisha mtindo wa maisha wenye af<strong>ya</strong> njema ikiwa ni pamoja na kufan<strong>ya</strong><br />
mazoezi na kupata lishe vinasaidia mwili kupambana na VVU <strong>kwa</strong> kipindi kirefu<br />
zaidi.<br />
3. Ni wakati gani tunaweza kusema mtu ana UKIMWI”?<br />
Ji.bu: wakati mtu anapokuwa na magonjwa nyemelezi na kinga <strong>ya</strong> mwili haina uwezo<br />
wa kupambana na maambukizi.<br />
4. Je dawa za kurefusha maisha huwa zinafan<strong>ya</strong> nini mwilini?<br />
Jibu: dawa hizi huvamia VVU vilivyoko kwenye mwaili na <strong>kwa</strong>mba VVU havitaweza<br />
kuongezeka nah ii inawezesha chembe hai nyeupe kujijenga tena ili kuweza<br />
kupambana na maambukizi. .<br />
48
4.3 Kuenea Na Kuzuia VVU<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Wakumbushe washiriki <strong>kwa</strong>mba VVU ili viweze kusambaa lazima kuwepo na<br />
kiasi cha kikubwa cha virusi vilivyoingia mwilini kupitia njia zinazokuwa<br />
hatarishi zaidi kupata maambukizi.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Juu <strong>ya</strong> bango andika “Maji <strong>ya</strong> mwilini ambayo <strong>ya</strong>naweza kusambaza VVU”.<br />
Waulize washiriki ni aina gani <strong>ya</strong> majimaji <strong>ya</strong> mwilini wanafikiri <strong>ya</strong>naweza<br />
kusambaza VVU? Andika majibu yote. Baada kikundi kutaja aina zote za<br />
majimaji <strong>ya</strong>nayoweza kuwa njia <strong>ya</strong> kusambaza VVU, angalia orodha hiyo<br />
pamoja na washiriki. Pitia kila aina <strong>ya</strong> majimaji kama ambavyo washiriki<br />
watakubaliana kama ni njia <strong>ya</strong> kusambaza VVU, kama hawataelewana kuhusu<br />
njia mojawapo ikate. Endapo kirusi hakitaweza kupita, Kama kuna maji maji<br />
mengine ambayo kwenye orodha ha<strong>ya</strong>kutajwa andika kwenye bango.<br />
Maji maji <strong>ya</strong> mwilini ambayo <strong>ya</strong>naweza kusambaza VVU: Majimaji <strong>ya</strong> ukeni,<br />
mbegu za kiume, damu, maziwa <strong>ya</strong> mama<br />
Hatua <strong>ya</strong> Tatu<br />
Sasa juu <strong>ya</strong> bango jingine andika “VVU vinaweza kuingia mwini <strong>kwa</strong> njia gani.”<br />
Waambie wanakikundi je ni njia kuu zipi ambazo VVU vinaweza kuingia<br />
mwilini? Andika majibu yote. Baada <strong>ya</strong> kikundi kumaliza kutaja njia zote<br />
amabzo VVU vinaweza kuingia mwilini, angalia orodha hiyo pamoja na<br />
wanakikundi. Pitia kila njia na <strong>kwa</strong> jinsi ambavyo wanakikundi watakavyoa<br />
amua kama VVU vinaweza kuingia kwenye mwili. Endapo watashindwa<br />
kukubaliana basi iondoe njia hiyo.Kama zipo njia ambazo hawakuzitaja basi<br />
ziandike kwenye bango. Hakikisha wanakikundi wanaelewa <strong>kwa</strong>mba Uke,<br />
Uume, na Njia <strong>ya</strong> haja kubwa ni njia kuu za kueneza maambukizi<br />
Ni <strong>kwa</strong> njia gani VVU vinaweza kuingia kwenye mwili: Uke, Uume, Njia <strong>ya</strong><br />
haja kubwa, kudunga mwili, ameneo <strong>ya</strong> mwili <strong>ya</strong>liyo na vVdonda na Uwazi,<br />
kupitia Mdomoni<br />
Hatua <strong>ya</strong> Nne<br />
Waambie washiriki watafakari kuhusu majimaji <strong>ya</strong> mwini <strong>ya</strong>liyotajwa moja<br />
baada <strong>ya</strong> nyingine, <strong>kwa</strong> kujiuliza “ni <strong>kwa</strong> njia gani majimaji ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>naweza<br />
49
kuingia mwilini kupitia njia zilizotajwa” waache wanakikundi wajadiliane na<br />
kufan<strong>ya</strong> masahihisho kadri watakavyoona ni muhimu. Kwa mfano maji <strong>ya</strong><br />
uume, maji <strong>ya</strong> ukeni na damu vinaweza kusambaza VVU wakati wa vitendo <strong>v<strong>ya</strong></strong><br />
ngono kupitia ukeni au kupitia uume au kupitia njia <strong>ya</strong> haja kubwa. (Ngono <strong>kwa</strong><br />
njia <strong>ya</strong> haja kubwa)<br />
Angalizo <strong>kwa</strong> kiongozi Rika:<br />
Kikundi kinaweza kujikuta kwenye malumbano kuhusu baadhi <strong>ya</strong> mambo<br />
madogo madogo <strong>ya</strong> hatari za kinadharia na mengineyo <strong>ya</strong>takayochokonolewa “<br />
“Itakuwaje endapo ……kisa mkasa” . Mwezeshaji anapaswa kuhakiksha<br />
<strong>kwa</strong>mba wanakikundi wanaweza kutofautisha baina <strong>ya</strong> <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>natowezekana<br />
kinadharia na <strong>ya</strong>le tunayofahamu kuwa ni njia za maambukizi <strong>ya</strong> VVU.<br />
Njia kuu za maambukizi <strong>ya</strong> VVU hapa Tanzania ni ngono. Hatari kubwa ni<br />
uume kuingiliana na uke na uume kuingiliana na njia <strong>ya</strong> haja kubwa. Wakati wa<br />
kufan<strong>ya</strong> ngono <strong>ya</strong> kuingiliana VVU huweza usafirishwa kutoka <strong>kwa</strong> mwanamke<br />
kwenda <strong>kwa</strong> mwanaume au kutoka <strong>kwa</strong> mwanaume kwenda <strong>kwa</strong> mwanamke.<br />
Huwa kuna hatari kidogo <strong>ya</strong> kusambaza VVU kutoka kwenye uume kupitia<br />
kinywani. Hakuna kumbukumbu <strong>ya</strong> matukio <strong>ya</strong> maambukizi kutoka kwenye<br />
kinywa kwenda kwenye uke au kutoka kwenye kinywa kwenda kwenye uume.<br />
Mfano wa njia Nadharia za Maambukizi<br />
Kuchangia miswaki: hakuna kumbukumbu za matukio duniani pote ila<br />
upo uwezekano <strong>kwa</strong> sababu <strong>ya</strong> damu kukutana na damu hatuwezi<br />
kudharau kabisa<br />
Ngono baina <strong>ya</strong> <strong>wanawake</strong> ambapo maji maji <strong>ya</strong> ukeni <strong>ya</strong>nasafirishwa<br />
kutoka uke kwenda uke mwingine <strong>kwa</strong> matumizi <strong>ya</strong> vifaa <strong>v<strong>ya</strong></strong> mfano<br />
(toys) <strong>v<strong>ya</strong></strong> kufanyia ngono ama vidole (kuna mikasa michache sana<br />
ulimwengu mzima kuhusiana na hali kama hii na mijadala bado<br />
inaendelea).<br />
Ajali kazini: Endapo watu wameumia na wakati huo damu na damu<br />
kugusana. Hali hizi si za kawaida na huweza kutokea mara chache sana.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Tano<br />
Tunaweza kuzuia VVU. Wapatie kitini cha Kuzuia VVU wapitie mikakati mitatu<br />
<strong>ya</strong> kuzuia VVU:<br />
50
Kuacha kabisa mahusiano <strong>ya</strong> kingono . Chagua kutokujishirikisha na vitendo<br />
<strong>v<strong>ya</strong></strong> ngono na yeyote.<br />
Kuwa mwaminifu <strong>kwa</strong> mwenzi mmoja mwaminifu . Mfahamu mwenzi wako<br />
vizuri na muongee <strong>kwa</strong> kina kuhusu historia zenu za mahusiano <strong>ya</strong><br />
kingono. Nendeni mkapime pengine mnaweza kuwa hatarini mmoja<br />
wenu ameathirika. Ili makati huu ufanikiwe, mwenzi wako anapaswa<br />
kuwa mwaminifu <strong>kwa</strong>ko. Kama huna hakika asilimia 100 <strong>kwa</strong>mba<br />
mwenzi wako hashiriki vitendo <strong>v<strong>ya</strong></strong> ngono na watu wengine, tumia<br />
kondom pamoja na kuendelea kuwa waaminifu.<br />
Tumia kondom kila wakati unapofan<strong>ya</strong> ngono kupitia ukeni au <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong><br />
mdomo endapo…….<br />
• Unampenzi zaidi <strong>ya</strong> mmoja<br />
• Wewe au / mwenzi wako hajapima kama ana maambukizi <strong>ya</strong> VVU;<br />
• Huna hakika 100% <strong>kwa</strong>mba mwenzi wako hajishirkishi na ngono na watu<br />
wengine e<br />
Kwenye saluni <strong>ya</strong>ko msichangie sindano nyembe au vitu vingine <strong>v<strong>ya</strong></strong> kutogea.<br />
Kama umelazimishwa kuchangia vitu kama hivyo kila mara visafishe <strong>kwa</strong> maji<br />
na vitakasio kama blichi. Uwe na hakika <strong>kwa</strong>mba maji masafi peke <strong>ya</strong>ke<br />
havitoshi kutakasa. Tumia maji na blichi ingawaje huwa inaharibu makali <strong>ya</strong><br />
nyembe .<br />
4.4 Kupima VVU<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Waulize washiriki maswali <strong>ya</strong>fuatayo:<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Ni <strong>kwa</strong> namna gani mtu anaweza kufahamu kuwa ana VVU au la?<br />
Kipimo cha VVU huwa kinapima nini?<br />
Wapatie washiriki kipimo cha VVU na alika mtu ajitolee kusoma taarifa ifuatayo:<br />
Kipimo cha VVU Kinaelezea endapo mwili wa mtu umezalisha antibodi za<br />
VVU za kupambana na virusi Majimaji <strong>ya</strong> mwilini ambayo huwa <strong>ya</strong>na VVU<br />
wengi ambao wanaweza kusababisha uambukizi ni pamoja na damu, maji <strong>ya</strong><br />
uume, maji <strong>ya</strong> ukeni, na maziwa <strong>ya</strong> mama.<br />
Kipimo cha VVU hakina uwezo wa kutoa maelezo kama:<br />
51
Endapo mtu ana UKIMWI (Ni daktari peke <strong>ya</strong>ke ndie mwenye uwezo wa<br />
kufan<strong>ya</strong> vipimo hivi)<br />
Ni <strong>kwa</strong> njia gani huyu mtu alipata maambukizi <strong>ya</strong> VVU<br />
Kwa muda gani huyu mtu ameishi na VVU.<br />
Nani alimwambukiza<br />
Mtu anaweza kupima VVU hospitalini au klinik. Yapo mashirika <strong>ya</strong>nayofan<strong>ya</strong> kazi<br />
kuhusu UKIMWI ambao huwa wanatoa huduma za kupima VVU.<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba ni muhimu kuwa na orodha <strong>ya</strong> maeneo ambayo<br />
huduma <strong>ya</strong> ushauri nasaha na kupima hutolewa na kuwa nayo kwenye saluni<br />
<strong>ya</strong>ko ili kuwapatia wateja wa saluni <strong>ya</strong>ko ambao wataonyesha nia <strong>ya</strong> kuhitaji<br />
huduma hizo. Wahamasid=she waweze kuongea na <strong>vituo</strong> <strong>v<strong>ya</strong></strong> kutolea huduma<br />
vilivyoko jirani katika kuweza kutengeneza orodha hii <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> jamii.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Tatu<br />
Waulize washiriki: <strong>kwa</strong>nini ni muhimu kupima VVU? Pata majibu mengi na<br />
u<strong>ya</strong>andike kweny bango. Hakikisha majibu <strong>ya</strong>liyoorodheswa hapa chini<br />
<strong>ya</strong>metajwa.<br />
Tarajia majibu <strong>ya</strong>fuatayo:<br />
Njia pekee <strong>ya</strong> kufahamu kama wewe au mwenzi wako ana VVU ni<br />
kupima. .<br />
Watu wenye VVU walio wengi huwa hawana dalili na wanaweza<br />
wasiiwe na dalili zozote na hawana maradhi yoyote <strong>ya</strong> muda mrefu hata<br />
baada <strong>ya</strong> kuambikizwa.<br />
Hata wakati ambapo watu wenye VVU hawana dalili zozote lakini bado<br />
wanaweza kuambukiza wengine.<br />
Watu wengi waliopimwa wamekutwa hana maambukizi. Kama umepima<br />
na ukawa hauna maambukizi unaweza kukaa na mshauri nasaha na<br />
kuchanganua tabia hatarishi maishani mwako na kujifunza namna <strong>ya</strong><br />
kuendelea kuishi bila maambukizi.<br />
Kama utapima na kukutwa una maambukizi unaweza kukaa na mshauri<br />
nasaha kujifunza jinsi <strong>ya</strong> kuishi maisha chan<strong>ya</strong> yenye af<strong>ya</strong> na <strong>ya</strong><br />
52
utoshelevu ukiwa na VVU. Unaweza kutambua tabia hatarishi maishani<br />
mwako na kujifunza jinsi <strong>ya</strong> kuzizuia na kuzuia kuambukiza wengine.<br />
4.3 Un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa na VVU/ UKIMWI<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Waulize washiriki nini maana <strong>ya</strong> Un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa? Andika majibu kwenye bango na<br />
u<strong>ya</strong>tumie majibu <strong>ya</strong>liyoorodheshwa hapa chini kuhitimisha. Pia waulize<br />
wakupatie mifano <strong>ya</strong>kuonyesha un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa.<br />
Majibu <strong>ya</strong>nayotarajiwa:<br />
Un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa unaweza kuelezewa kama “alama <strong>ya</strong> aibu au kudharauliwa mtu au<br />
kikundi cha watu”.<br />
Un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa msingi wake ni hofu na ukosefu wa ufahamu. Mifano <strong>ya</strong><br />
un<strong>ya</strong>naypaa unaowaathri watu wanaoishi na VVU/UKIMWI na familia zao:<br />
Wakati ambapo wanafamilia wanapomfukuza mwanafamilia wao<br />
nyumbani <strong>kwa</strong> sababu anapima na kugundulika ana VVU;<br />
Wakati ambapo mtu anapofukuzwa kazini <strong>kwa</strong> sababu amepatwa na<br />
VVU;<br />
Wakati ambapo mume anampiga mkewe <strong>kwa</strong> vile amegundua <strong>kwa</strong>mba<br />
amepima na akakutwa ana maambukizi <strong>ya</strong> VVU.<br />
Waambie washirki <strong>kwa</strong>mba <strong>kwa</strong> bahati mba<strong>ya</strong> mara nyingi watu wanaoishi na<br />
VVU wananyn<strong>ya</strong>paliwa na watu wa jamii wanamoishi.<br />
Hii ina maana <strong>kwa</strong>mba wanatendewa kinyume au kubaguliwa, <strong>kwa</strong> vile<br />
wanaishi na VVU/AIDS, au <strong>kwa</strong> sababu wanafahamu fulani anaishi na<br />
VVU/UKIMWI.<br />
Wanawake na wasichana mara nyingi wanaaandamwa na una<strong>ya</strong>naypa kwenye<br />
jamii wanapolaumiwa kuwa wanasambaza VVU.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Waulize washiriki, ni <strong>kwa</strong> namna gani un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa unaathiri kuzuia VVU?<br />
Baada <strong>ya</strong> kupat majibu weleze washiriki <strong>kwa</strong>mba un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa ni hatari <strong>kwa</strong><br />
sababu inawawia watu vigumu kutafuat huduma za taarifa na msaada, kama<br />
vile wapi kipimo cha VVIU kianapatikana, jinsi <strong>ya</strong> kuizuia na VVU au wapi pa<br />
kupata tiba. Un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa unawasababisha watu kuvunjiak moyo kutumia<br />
53
kondom <strong>kwa</strong> hofu <strong>ya</strong> “kujulika” au kutuhumiwa kuwa na VVU kama<br />
watakuwakuwa wanasisitiza kutumia kondom.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Tatu<br />
Waulize washiriki: Tunaweza <strong>kwa</strong> namna gani kupunguza un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa?<br />
Waeleze washiriki <strong>kwa</strong>mba un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa msingi wake ni hofu na kutokuwa na<br />
ufahamu <strong>kwa</strong> hiyo njia nzuri <strong>ya</strong> kupambana na un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa ni kupitia kupatiwa<br />
taarifa na kuzipokea.<br />
Waambie washiriki wabunge bongo kuhus ni njia zipi ambazo wanaweza<br />
kuzitumia kupambana na un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa kwenye jamii <strong>ya</strong>o na hasa kweny saluni<br />
zao. Pitia majibu <strong>ya</strong>liyoko hapa chini endapo washiriki hawaku<strong>ya</strong>taja.<br />
Majibu tarajiwa:<br />
Kushirikisha taarifa sahihi kuhusu VVU na UKIMWI na kuongelea<br />
kuhusu hayo wazi wazi.<br />
Bila kificho wakubali wanajamii wateja na ndugu au marafiki wanaoishi<br />
na VVU. Kama kiongozi kwenye jamii njia hii ianweza ikaleta mabadiliko<br />
makubwa kuhusu namna watu wengine wanavyowatendea watu<br />
wanaoishi na VVU (WAVIU).<br />
Hatua <strong>ya</strong> Nne<br />
Hitimisha ujumbe muhimu.<br />
Ujumbe muhimu: Taarifa kuhusu VVU na UKIMWI<br />
VVU ni maambukizi kama <strong>ya</strong>livyo maambukizi mengine <strong>ya</strong> magonjwa<br />
mengine <strong>ya</strong> Ngono ha<strong>ya</strong>wezai kuonekana. Watu wengi huwa<br />
hawafahamu kama wana VVU.Njia pekee <strong>ya</strong> kufahamu ni kupima tu.<br />
VVU ni maambukizi amabyo <strong>ya</strong>naweza kusababisha UKIMWI wakati<br />
ambapo mtu anapoumwa mara <strong>kwa</strong> mara.<br />
Hakuna tiba <strong>ya</strong> VVU au UKIMWI.<br />
Kuna mikakati mitatu <strong>ya</strong> kuzuia VVU: Kuacha mahusiano <strong>ya</strong> kingono,<br />
kuwa mwaminifu <strong>kwa</strong> mwenzi mmoja na kutumia kondom kila wakati na<br />
<strong>kwa</strong> usahihi ni baadhi <strong>ya</strong> mikakati hiyo.<br />
54
Njia pekee <strong>ya</strong> kufahamu kama una VVU ni kuafan<strong>ya</strong> kipimo cha VVU.<br />
Un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa kichocheo chake kikubwa ni hofu. Un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa huumiza<br />
kisaikolojia, kiakili na hata wakati mwingine kimwili. Un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa<br />
unafan<strong>ya</strong> iwe vigumu kutafuta taarifa au msaada kama vile wapi<br />
wakapime VVU au wapi wakapate tiba.<br />
Kama viongozi kwenye jamii yetu tunaweza kuwasaidia wanajamii<br />
kupambana na un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa <strong>kwa</strong> kufan<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>fuatayo. 1) Kushirikishana taarifa<br />
sahihi kuhusu VVU na UKIMWI na ku<strong>ya</strong>ongelea wazi wazi. 2) Bila kificho<br />
kuwakubali wanajamii wateja na ndugu au marafiki wanaoishi na VVU. Kama<br />
kiongozi kwenye jamii njia hii inaweza ikaleta mabadiliko makubwa kuhusu<br />
namna watu wengine wanavyowatendea watu wanaoishi na VVU (WAVIU).<br />
55
KITINI CHA MADA YA 4<br />
KUZUIA VVU<br />
1. Kuacha kabisa mahusiano <strong>ya</strong> kingono: Chagua<br />
kutokujishirikisha na vitendo <strong>v<strong>ya</strong></strong> ngono na yeyote.<br />
2. Kuwa Mwaminifu <strong>kwa</strong> mwenzi mmoja mwaminifu:<br />
Mfahamu mwenzi wako vizuri na muongee <strong>kwa</strong> kina kuhusu<br />
historia zenu za mhusiano <strong>ya</strong> kingono. Nendeni mkapime<br />
pengine mnaweza kuwa hatarini mmoja wenu ameathirika. Ili<br />
mkakati huu ufanikiwe, mwenzi wako anapaswa kuwa<br />
mwaminifu <strong>kwa</strong>ko. Kama huna uhakika asilimia 100 <strong>kwa</strong>mba<br />
mwenzi wako hashiriki vitendo <strong>v<strong>ya</strong></strong> ngono na watu wengine,<br />
tumia kondom pamoja na kuendelea kuwa mwaminifu.<br />
3. Kutumia Kondom kila wakati unapofan<strong>ya</strong> ngono <strong>kwa</strong> njia<br />
<strong>ya</strong> uke, njia <strong>ya</strong> haja kubwa au <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong> kinywa<br />
endapo………<br />
o Unakuwa na zaidi <strong>ya</strong> mwezi mmoja wa kingono ;<br />
o Wewe/au mwenzi wako hamjapima VVU;<br />
o Huna uhakika asilimia 100 kama mwenzi wako<br />
anajihusisha kingono na watu wengine.<br />
56
KITINI CHA MADA YA 4<br />
KUPIMA VVU<br />
Kipimo cha VVU ndicho huonyesha endapo mtu amezalisha antibodi za<br />
kupambana na virusi.<br />
Kipimo cha VVU hakiwezi kuonyesha endapo:<br />
Mtu ana UKIMWI (ni daktari peke <strong>ya</strong>ke anaweza kupima na kuelezea)<br />
Ni <strong>kwa</strong> njia gani mtu alipata maambukizi <strong>ya</strong> VVU<br />
Kwa muda gani mtu amekuwa akiishi na VVU<br />
Nani aliyemwambukiza<br />
Mtu anaweza kupata kipimo cha VVU hospitalini au kliniki. Yapo pia mashirika<br />
<strong>ya</strong> misaada ambayo hutoa huduma <strong>ya</strong> upimaji VVU.<br />
57
KITINI CHA MADA YA 4<br />
UJUMBE MUHIMU KEY MESSAGES: TAARIFA KUHUSU VVU NA<br />
UKIMWI<br />
VVU ni maambukizi kama <strong>ya</strong>livyo maambukizi mengine <strong>ya</strong> magonjwa<br />
mengine <strong>ya</strong> Ngono ha<strong>ya</strong>wezi kuonekana. Watu wengi huwa hawafahamu<br />
kama wana VVU.Njia pekee <strong>ya</strong> kufahamu ni kupima tu.<br />
VVU ni maambukizi ambayo <strong>ya</strong>naweza kusababisha UKIMWI wakati<br />
ambapo mtu anapoumwa mara <strong>kwa</strong> mara.<br />
Hakuna tiba <strong>ya</strong> VVU au UKIMWI.<br />
Kuna mikakati mitatu <strong>ya</strong> kuzuia VVU: Kuacha mahusiano <strong>ya</strong> kingono,<br />
Kuwa mwaminifu <strong>kwa</strong> mwenzi mmoja na kutumia kondom kila wakati<br />
na <strong>kwa</strong> usahihi ni baadhi <strong>ya</strong> mikakati hiyo.<br />
Njia pekee <strong>ya</strong> kufahamu kama una VVU ni kufan<strong>ya</strong> kipimo cha VVU.<br />
Un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa kichocheo chake kikubwa ni hofu. Un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa huumiza<br />
kisaikolojia, kiakili na hata wakati mwingine kimwili. Un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa<br />
unafan<strong>ya</strong> iwe vigumu kutafuta taarifa au msaada kama vile wapi<br />
wakapime VVU au wapi wakapate tiba.<br />
Kama viongozi kwenye jamii yetu tunaweza kuwasidia wanajamii<br />
kupambana na un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa <strong>kwa</strong> kufan<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>fuatayo. 1) Kushirikisha<br />
taarifa sahihi kuhusu VVU na UKIMWI na kuongelea kuhusu hayo wazi<br />
wazi. 2) Bila kificho kuwakubali wanajamii wateja na ndugu au marafiki<br />
wanaoishi na VVU. Kama kiongozi kwenye jamii njia hii inaweza ikaleta<br />
mabadiliko makubwa kuhusu namna watu wengine wanavyowatendea<br />
watu wanaoishi na VVU (WAVIU).<br />
58
MADA YA TANO: KONDOM<br />
Mada Ndogo<br />
5.1 Mambo <strong>ya</strong> msingi kuhusu kondom<br />
5.2 Maonyesho <strong>ya</strong> naman <strong>ya</strong> kutumia bidhaa: Dume na Lady Pepeta<br />
Madhumuni: Mwisho wa somo tutakuwa tumefan<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>fuatayo:<br />
Zana<br />
Muda<br />
Tambu taarifa muhimu kuhusu kondom<br />
Shiriki kwenye mazoezi <strong>ya</strong> matumizi <strong>ya</strong> kondom za Lady Pepeta na<br />
Dume<br />
Karatsi za bango na kalamu (markers)<br />
Kondomu za Lady Pepeta na Dume<br />
Mfano wa umbo la uume na uke<br />
Kitini cha Hatua za kutumia kondom <strong>ya</strong> kiume<br />
Kitini cha Hatua za kutumia kondom <strong>ya</strong> kike<br />
Kitini cha Ujumbe muhimu: Kondom<br />
Dk 30<br />
5.1 Msingi wa kondom<br />
Angalizo <strong>kwa</strong> Kiongozi wa Rika:<br />
Kabla <strong>ya</strong> kuanza zoezi hili na ili liwe la kuvutia ficha kondomu <strong>ya</strong> kike na <strong>ya</strong><br />
kiume mahali fulani kwenye chumba kabla <strong>ya</strong> kuanza somo.<br />
Hatua <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza<br />
Waambie washiriki kuangalia kila mahali kenye chumba na wapate kondomu <strong>ya</strong><br />
DUME na Lady Pepeta zilizofichwa kwenye kona mbalimbali za chumba.<br />
Baada <strong>ya</strong> dakika chache waulize kama wameziona bidhaa hizo. Baada <strong>ya</strong> hapo<br />
washiriki wote warudi kwenye somo <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> majadiliano.<br />
Hakikisha washiriki wamepata kondom <strong>ya</strong> kike nay a kiume: Dume na Lady<br />
Pepeta. Waulize washiriki:<br />
59
Je wanafahamu kondom gani?<br />
Watu huwa wanasema nini kuhusu kondom?<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Pitia aina mbalimbali za bidhaa <strong>ya</strong> kondom ambazo zinapatikan <strong>kwa</strong> urahisi na<br />
mahali ambapo wanaweza kununua. Hakikisha <strong>kwa</strong>mba Dume na Lady Pepeta<br />
ni miongoni mwa hizo. Taja kondom nyingine zaidi kama unazifahamu.<br />
Jina la Kondom Gharama <strong>ya</strong>ke na mahali pa kuipata<br />
Kondomu <strong>ya</strong> Dume - Tshs 100<br />
-Maduka <strong>ya</strong> dawa, dukaa kuu la kujihudumia<br />
bidhaa, maduka madogo bar na nyumab<br />
za kulala wageni<br />
Kondom <strong>ya</strong> Lady Pepeta -Tshs100<br />
- Maduka <strong>ya</strong> dawa, dukaa kuu la kujihudumia<br />
bidhaa, maduka madogo, bar na nyumba<br />
za kulala wageni<br />
Kabla <strong>ya</strong> kwenda kwenye jambo lingine kuna mambo mawili muhimu <strong>ya</strong><br />
kuzingatia.<br />
Kondom zote hizi zimehakikiwa <strong>kwa</strong> ubora na viwango <strong>v<strong>ya</strong></strong> usalama zote<br />
zinauwezo wa kuhimili kutulinda na maambukizi. Ila lazima zitumike <strong>kwa</strong><br />
usahihi.<br />
Kondom zote hizi zimewekewa maufta maalum <strong>ya</strong> kuwezesah kutumika<br />
<strong>kwa</strong> urahisi.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Tatu<br />
Angalizo <strong>kwa</strong> kiongozi wa Rika:<br />
Hii ni fursa <strong>ya</strong> kujadiliana <strong>kwa</strong> uwazi na ukweli sababu za <strong>kwa</strong>nini watu huwa<br />
hawatumii kondom. Wawili wawili washiriki wajadiliane maswali <strong>ya</strong>fuatayo:.<br />
Zipi ni sababu ambazo umewahi kuzikia watu wakitoa kuhusu kutotumia<br />
kondom?<br />
Wapatie dakika chache ndipo ualike watakaojitolea kutoa sababu walizowahi<br />
60
kuzisikia Give them a few minutes and then ask for volunteers share the reasons<br />
they have heard.<br />
Eleza <strong>kwa</strong>mba hivi ni vi<strong>kwa</strong>zo au vizuizi <strong>kwa</strong> watu amabo wanataka kuafn<strong>ya</strong><br />
ngono salama. Vizuizi au vi<strong>kwa</strong>zo hivi lazima tuvishinde enedpao tunataka<br />
watu watumie kondom.<br />
Sas baada <strong>ya</strong> kutambua vi<strong>kwa</strong>zo <strong>v<strong>ya</strong></strong> <strong>kwa</strong>nini watu hatumii Kondom , hebu<br />
tuajadiliane faida: waulize washiriki zipi ni faida za kutumia kondom ?<br />
Majibu Tarajiwa:<br />
Kondom zinatulinda na mimba zisizotarajiwa<br />
Kondom zinatulinda na magonjwa <strong>ya</strong> ngoNo ukiwemo UKIMWI<br />
Wakati ukifan<strong>ya</strong> Ngono Salama huna haja <strong>ya</strong> kuwa na hofu <strong>ya</strong> kupata<br />
mimba magonjwa <strong>ya</strong> ngono au VVU unakuwa huru kufurahia.<br />
Ni safi haileti karaha <strong>ya</strong> kufanyia usafi<br />
5.2 Maonyesho <strong>ya</strong> Bidhaa Za Dume na Lady Pepeta<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Mwambie mashiriki mmoaj ajitolee kuwaonyesha wengine jinsi <strong>ya</strong> kutumia<br />
kondom <strong>ya</strong> kiume. Kama hakuna aliye ta<strong>ya</strong>ri kuonyesha unaweza wewe kuwa<br />
wa <strong>kwa</strong>nza kuonyesha. Wahimize wote washiriki kufan<strong>ya</strong> zoezi hili hata kama<br />
wanafahamu jinsi <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong>. Usiwaeleze hatua 5 za kuvaa na kuvua kondom<br />
<strong>ya</strong> DUME. Baada <strong>ya</strong> kuwasikiliza wakiongea unaweza kutaka kuongezea wazo<br />
lako – onyesha kile walichofan<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>mba kilikuwa salama na kile ambacho<br />
huenda walisahau kilikuwa ni cha umuhimu.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Sasa kila mmoja amepata fursa <strong>ya</strong> kujaribu, rejea njia sahihi za matumizi <strong>ya</strong><br />
kondom pamoja na kundi lote. Wapatie kitini cha JInsi <strong>ya</strong> Kutumia Kondom <strong>ya</strong><br />
Kiume wasome <strong>kwa</strong> utaratibu maelekezo yote <strong>ya</strong> jinsi <strong>ya</strong> kuvaa na kuvua<br />
kondom. Mtu mmoja ajitolee aonyeshe kila hatua kama unavyosoma.<br />
61
Hatua TANO za kutumia kondom:<br />
MOJA : Angali tarehe <strong>ya</strong> kumalizika muda<br />
wake wa matumizi au hakisha pakiti<br />
haijapasuka kabla <strong>ya</strong> kufungua. Kwa<br />
utaratibu fungua pakiti. Hakikisha kondom<br />
haichaniki wakati wa kufua pakiti.<br />
MBILI: Valisha kondomu kwenye uume<br />
uliosimama. Shikilia kwenye chuchu <strong>ya</strong><br />
kondom.<br />
TATU : Endelea kumin<strong>ya</strong> chuchu <strong>ya</strong><br />
kondom na anza kuviringisha taratibu<br />
kulekea sehemu <strong>ya</strong> chini <strong>ya</strong> uume<br />
uliosimama. Endapo kondom itateleza na<br />
kutoka wakati wa zoezi hili tumia kondom<br />
nyingine. ..<br />
62
Waulize washiriki:<br />
Hatua Tatu<br />
NNE: Baada kitendo cha ngono, shikilia chini<br />
kwenye shina la uume wakati uume ukiwa<br />
umesimama viringisha kondom kuivua. Hakiksha<br />
uume na kondomu iliyotumika havijakaribiana na<br />
uke au sehemu yoyote <strong>ya</strong> mwili.<br />
TANO: Ifunge fundo kondom iliyotumika na<br />
uitupe kwenye chombo cha takataka. Usiitupe<br />
kondom chooni.<br />
Kwenye jaribio la awali, ni hatua ipi tuliyoifan<strong>ya</strong> tuliifan<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> ufanisi<br />
zaidi ?<br />
Je tumesahau nini?<br />
Kwanini uanhiatji kumin<strong>ya</strong> chuchu <strong>ya</strong> juu <strong>ya</strong> kondom wakati wa kuivaa?<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba sasa tunaangalia kuhusu kondom <strong>ya</strong> kike. Waeleze<br />
<strong>kwa</strong>mba kondom <strong>ya</strong> kike ni utando mwembamba ambao huvaliwa na<br />
<strong>wanawake</strong> wakati wa tendo la ngono. Hufunika eneo lote la uke na huzuia<br />
mimba na maambukizi <strong>ya</strong> magonjwa <strong>ya</strong> ngono, ikiwa ni pamoja na VVU. Hapa<br />
Tanzania aina hii <strong>ya</strong> kondom hujulikana kama Kondom <strong>ya</strong> Lady<br />
Pepeta.Hakikisha unazo sampuli za kutosha za Lady Peptea <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong><br />
<strong>wanawake</strong> wote kuzifahamu Lady Pepeta. Waambie <strong>kwa</strong>mba watapatiwa<br />
kondom za bure wakati wa mwisho wa somo.<br />
63
Waulizea wshiriki wote:<br />
Umewahi kuiona kondom <strong>ya</strong> Lady Pepeta?<br />
Je unafamu nini kuhusiana na kondom hii?<br />
Angalizo <strong>kwa</strong> Kiongozi wa rika:<br />
Hii ni bidhaa mp<strong>ya</strong> na watu wengi wanaweza wasiwe wanaifahamu Lady<br />
Pepeta. Hii ni fursa nzuri <strong>ya</strong> kuelezea na kuwapatia baadhi <strong>ya</strong> kondom za kike<br />
kila mmoja aweze kuiona na kuigusa. Unapaswa uonyeshe <strong>kwa</strong> ufasaha jinsi <strong>ya</strong><br />
kuitumia kondom <strong>ya</strong> kike <strong>ya</strong> lady Pepeta <strong>kwa</strong> kutumia mfano wa umbo la uke<br />
kama itapatikana. Hakikisha kila mmoja ana shiriki kufan<strong>ya</strong> mazoezi ha<strong>ya</strong>.Ili<br />
ujihakikishie kuwa wanajiamini kutumia kondom <strong>ya</strong> kike. Kama huwezi kupata<br />
mfano wa umbo la uke unaweza kutumia viganja <strong>v<strong>ya</strong></strong>ko au unaweza kukata<br />
kitako cha chupa <strong>ya</strong> plastiki ili uweze kuona pete <strong>ya</strong> kondom <strong>kwa</strong> nje na<br />
sehemu nyingine iliyosalia ikiwa inaningiania <strong>kwa</strong> ndani. <strong>ya</strong> chupa.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Nne<br />
Waambie washiriki wakuangalie wakati unaonyesha <strong>kwa</strong> vitendo jinsi <strong>ya</strong><br />
kutumia kondom <strong>ya</strong> kike. Wapatie kitini Jinsi <strong>ya</strong> kutumia kondom <strong>ya</strong> kike na<br />
washiriki wafuate hatu<strong>ya</strong> zilizoainishwa (kama utaamua kuwapatia)<br />
64
Jinsi <strong>ya</strong> kutumia kondom <strong>ya</strong> kike<br />
Jinsi <strong>ya</strong> Kuanza<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza: Fungua pakiti <strong>ya</strong> kondom <strong>kwa</strong> makini <strong>kwa</strong> kukata sehemu<br />
iliyowekewa alamasehemu <strong>ya</strong> juu <strong>ya</strong> pakiti. Usitumie mkasi au kisu<br />
unaweza kuitoboa kondom.<br />
Hatua <strong>ya</strong> 2: Kondom <strong>ya</strong> kike inaonekana kama kondom <strong>ya</strong> kiume iliyo kubwa sana<br />
inakuwa na pete mbili: pete iliyoko <strong>kwa</strong> nje inafumika njia <strong>ya</strong> uke na pite<br />
<strong>ya</strong> ndani inatumika kuiingiza kondom nani <strong>ya</strong> uke. Pia inasaidia kuizuia<br />
kondom isitoke wakati wa tendo la ngono.<br />
Hatua <strong>ya</strong> 3: Ukiwa umeishikilia kondom <strong>kwa</strong> karibu, ishike kwenye pete <strong>ya</strong> ndani na<br />
uiminye <strong>kwa</strong> kutumia kidole gumba na kidole cha pili cha shahada <strong>kwa</strong><br />
hiyo inakuwa kama umbo la nane ndefu na nyembamba.<br />
Hatua <strong>ya</strong> 4: Chagua mkao ambao unaona ni wa kufaa ili uweze kuingiza kondom<br />
kwenye uke - chuchumaa,inua mguu mmoja, keti au lala chali.<br />
Hatua <strong>ya</strong> 5: Taratibu sana ingiza pete <strong>ya</strong> ndani kwenye uke. Isikilizie pete <strong>ya</strong> ndani<br />
imeingia nadani na kukaa mahala pake.<br />
Hatua <strong>ya</strong> 6: Ingiza kidole cha kati ndani <strong>ya</strong> kondom na usukume pete <strong>ya</strong> ndani <strong>ya</strong><br />
kondom ndani kadri inavyoweza kuingiza. Hakikisha mfuniko wake<br />
haujakaa viba<strong>ya</strong>. Pete <strong>ya</strong> nje inatakiwa iendlee kuwa <strong>kwa</strong> nje <strong>ya</strong> uke<br />
Hatua <strong>ya</strong> 7: Kondom <strong>ya</strong> kike sasa iko mahali pake na sasa uko ta<strong>ya</strong>ri <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong><br />
tendo la ngono.<br />
Hatua <strong>ya</strong> 8: Baada <strong>ya</strong> kumaliza kuweka kondom <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong> kike, <strong>kwa</strong> uratibu elekeza<br />
uume wa mwenzi wako kwenye eneo la wazi <strong>kwa</strong> kutumia mkono wako<br />
kuhakikisha <strong>kwa</strong>mba inaingia sawasawa – hakikisha <strong>kwa</strong>mba uume<br />
hauingii pembeni <strong>ya</strong>ani kati <strong>ya</strong> kondom na kuta za uke.<br />
Jinsi <strong>ya</strong> Kumaliza<br />
Hatua <strong>ya</strong> 9: Kutoa kondom <strong>ya</strong> kike, zungusha pete <strong>ya</strong> nje na taratibu ivute kondom<br />
nje..<br />
Hatua <strong>ya</strong> 10: Ifunge kondom kwenye kimfuko au karatasi na uitupe kwenye chombo<br />
65
cha takataka. Usiitumbukize chooni.<br />
Waulize washiriki:<br />
Je mna maswali au hofu yoyote?<br />
Nini kilichokushangaza kutoka na<br />
kondom hii?<br />
Hatua <strong>ya</strong> tano<br />
Waeleze washiriki <strong>kwa</strong>mba tutajadiliana kuhusu maswali mawili ambayo<br />
huulizwa mara <strong>kwa</strong> mara kuhusiana na kondom <strong>ya</strong> kike. Uliza maswali na pata<br />
majibu kutoka <strong>kwa</strong> kikundi .Hakiksha wamekupatia majibu sahihi.<br />
Maswali Majibu<br />
Naweza kuiweka kondom <strong>ya</strong><br />
kike masaa mangapi kabla<br />
<strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> kitendo cha<br />
ngono?<br />
Je naweza kuitumia kondom<br />
<strong>ya</strong> kike zaidi <strong>ya</strong> mara moja?<br />
Hatua <strong>ya</strong> Sita<br />
Kondom <strong>ya</strong> kike inaweza kuwe<strong>kwa</strong> hadi <strong>kwa</strong><br />
masaa nane kabla <strong>ya</strong> tendo la ngono ili isije<br />
ikaingiliana na wakati.<br />
Inashauriwa kondom <strong>ya</strong> kike itumike mara moja tu.<br />
Wapatie Ujumbe Muhimu: Pitia Kitini cha kondom pamoja na kikundi.<br />
Ujumbe Muhumu: Kondom<br />
Wanawake wanaweza kujilinda wao wenyewe kutokana na magonjwa <strong>ya</strong><br />
ngono ikiwa ni pamoja na UKIMWI na mimba zisizotarajiwa <strong>kwa</strong><br />
kutumia kondom na wenzi wao kila wakati na <strong>kwa</strong> usahihi.<br />
Kondom <strong>ya</strong> Dume na Lady Pepeta ni rahisi na zinapatikana kwenye<br />
maeneo mengi <strong>ya</strong> kuuzia kondom..<br />
66
Ili kondom iweze kufanikisha ni lazima itumike <strong>kwa</strong> usahihi, kufan<strong>ya</strong><br />
mazoezi <strong>ya</strong> jinsi <strong>ya</strong> kutumia <strong>ya</strong>nasaidia kutumia vizuri.<br />
Ni muhimu kushirikishana taarifa kuhusiana na umuhimu wa kutumia<br />
kondom kila wakati na <strong>kwa</strong> usahihi ili kuzuia mimmab zisizotarajiwa<br />
magonjwa <strong>ya</strong> ngono, na kuzuia maambukizi <strong>ya</strong> VVU <strong>kwa</strong> wateja wa<br />
saluni <strong>ya</strong>ko.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Saba<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba <strong>kwa</strong> sasa tumemaliza sehemu <strong>ya</strong> pili <strong>ya</strong> mafunzo<br />
yetu <strong>ya</strong> Mpango wa Jipende <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> Saluni. Tunapenda kuwashukuru <strong>kwa</strong><br />
kuja leo na tutakutana wiki ijayo kumalizia mada za kusisimua zilizobakia.<br />
Kabla hamjaondoka tafadhali jaza dodoso la maswali <strong>ya</strong> kutathmini masomo<br />
ha<strong>ya</strong>.<br />
Wapatie fomu <strong>ya</strong> tathmini washiriki wote na uzikusanye watakapokuwa<br />
wanaondoka.<br />
67
KITINI CHA MADA YA 5<br />
HATUA ZA KUFUATA WAKATI WA KUTUMIA KONDOM YA<br />
KIUME<br />
MOJA: Angali tarehe <strong>ya</strong> kumalizika muda wake wa<br />
matumizi au hakisha pakiti haijapasuka kabla <strong>ya</strong><br />
kufungua. Kwa utartibeu fungua pakiti. Hakikisha<br />
kondom haichaniki wakati wa kufua pakiti.<br />
MBILI: Weka kondomu kwenye uume uliosimama.<br />
Shikilia kwenye chuchu <strong>ya</strong> kondom.<br />
TATU: Endelea kumin<strong>ya</strong> chuchu <strong>ya</strong> kondom na anza<br />
kuviringisha taratibu kuelekea sehemu <strong>ya</strong> chini <strong>ya</strong> uume<br />
uliosimama. Endapo kondom itateleza na kutoka wakati<br />
wa zoezi hili tumia kondom nyingine.<br />
NNE: Baada kitendo cha ngono, shikilia chini kwenye<br />
shina la uume wakati uume ukiwa umesimama.<br />
Hakiksha uume na kondomu iliyotumika<br />
havijakaribiana na uke au sehemu yoyote <strong>ya</strong> mwili .<br />
TANO: ifunge fundo kondom iliyotumika na uitupe<br />
kwenye chombo cha takataka. Usiitupe kondom<br />
chooni.<br />
68
KITINI CHA MADA YA 5<br />
HATUA ZA KUFUATA WAKATI WA KUTUMIA KONDOM YA KIKE<br />
Hatua <strong>ya</strong> 1: Fungua pakiti <strong>ya</strong> kondom <strong>kwa</strong> makini <strong>kwa</strong> kukata sehemu iliyowekewa<br />
alama kwenye sehemu <strong>ya</strong> juu <strong>ya</strong> pakiti. Usitumie mkasi au kisu unaweza<br />
kuitoboa kondom..<br />
Hatua <strong>ya</strong> 2: kondom inaonekana kama kondom <strong>ya</strong> kiume kubwa sana iliwa na pete<br />
mbili: pete iliyoko <strong>kwa</strong> nje inafumika njia <strong>ya</strong> uke na pite <strong>ya</strong> ndani<br />
inatumika kuiingiza kondom nani <strong>ya</strong> uke. Pia inasaidia kuizuia kondom<br />
isitoke wakati wa tendo la ngono.<br />
Hatua <strong>ya</strong> 3: Ukiwa umeishikilia kondom <strong>kwa</strong> karibu, ishike kwenye pete <strong>ya</strong> ndani na<br />
uiminye <strong>kwa</strong> kutumia kidole gumba na kidole cha shahada <strong>kwa</strong> hiyo<br />
inaonekana kama umbo la namba nane ndefu na nyembamba.<br />
Hatua <strong>ya</strong> 4: Chagua mkao ambao unaona ni wa kufaa ili uweze kuingiza kondom-<br />
chuchumaa,inua mguu mmoja, keti au lala chali .<br />
Hatua <strong>ya</strong> 5: Taratibu sana ingiza pete <strong>ya</strong> ndani kwenye uke. Isikilizie pete <strong>ya</strong> ndani<br />
imeingia ndani na kukaa mahala pake.<br />
Hatua <strong>ya</strong> 6: Ingiza kidole cha kati ndani <strong>ya</strong> kondom na usukume pete <strong>ya</strong> ndani <strong>ya</strong><br />
kondom ndani kadri inavyoweza kuingia. Hakikisha mfuniko wake<br />
haujakaa viba<strong>ya</strong>. Pete <strong>ya</strong> nje inatakiwa iendlee kuwa <strong>kwa</strong> nje <strong>ya</strong> uke.<br />
Hatua <strong>ya</strong> 7: Kondom <strong>ya</strong> kike sasa iko mahali pake na sasa uko ta<strong>ya</strong>ri <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong><br />
tendo la ngono.<br />
Hatua <strong>ya</strong> 8: baada <strong>ya</strong> kumaliza kuweka kondom <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong> kike , <strong>kwa</strong> uratibu elekeza<br />
uume wa mwenzi wako kwenye eneo la wazi <strong>kwa</strong> kutumia mkono wako<br />
kuhakikisha <strong>kwa</strong>mba inaingia sawasawa – hakiksha <strong>kwa</strong>mba uume<br />
hauingii pembeni kati <strong>ya</strong> kondom na kuta za uke.<br />
Jinsi <strong>ya</strong> Kumaliza<br />
Hatua <strong>ya</strong> 9: Jinsi <strong>ya</strong> kuvua kondom <strong>ya</strong> kike, zungusha pete <strong>ya</strong> nje na taray=tibu ivute<br />
kondom nje.<br />
Hatua <strong>ya</strong> 10: Ifunge kondom kwenye kimfuko au karatsi na uitupe kwe chombo cha<br />
takataka. Usiitumbukize chooni.<br />
69
KITINI CHA MADA 5<br />
UJUMBE MUHIMI: KONDOM<br />
Wanawake wanaweza kujilinda wao wenyewe kutokana na magonjwa <strong>ya</strong><br />
ngono ikiwa ni pamoja na UKIMWI na mimba zisizotarajiwa <strong>kwa</strong><br />
kutumia kondom na wenzi wao kila wakati na <strong>kwa</strong> usahihi.<br />
Kondom <strong>ya</strong> Dume na Lady Pepeta ni rahisi na zinapatikana kwenye<br />
maeneo mengi <strong>ya</strong> kuuzia kondom..<br />
Ili kondom iweze kufanikisha ni lazima itumike <strong>kwa</strong> usahihi, kufan<strong>ya</strong><br />
mazoezi <strong>ya</strong> jinsi <strong>ya</strong> kutumia <strong>ya</strong>nasaidia kutumia vizuri.<br />
Ni muhimu kushirikishana taarifa kuhusiana na umuhimu wa kutumia<br />
kondom kila wakati na <strong>kwa</strong> usahihi ili kuzuia mimmab zisizotarajiwa<br />
magonjwa <strong>ya</strong> ngono, na kuzuia maambukizi <strong>ya</strong> VVU <strong>kwa</strong> wateja wa<br />
saluni <strong>ya</strong>ko.<br />
70
MAFUNZO YA PILI : FOMU YA TATHMINI<br />
Fomu hii ni <strong>ya</strong> siri.Usiandike jina lako. Asante.<br />
1. Je matarajio <strong>ya</strong>ko <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> mafunzo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>mefikiwa? (Weka mduara<br />
kwenye jibu) NDIO HAPANA<br />
Kama hapana, <strong>kwa</strong>nini ni hapana?<br />
2 Je ni mada gani umeipenda zaidi? Kwanini ?<br />
3 Mada gani hujaipenda? Kwanini?<br />
4. Ni mada ipi tulihitaji kuipa muda zaidi?<br />
Unaweza kupima namna gani mtindo wa uwezeshaji? ( zungushia duara jibu<br />
moja) ?<br />
e. Nzuri sana f. Wastani<br />
g. Nzuri h. Dhaifu<br />
Maoni:<br />
5. Je tunweza kufan<strong>ya</strong> nini tofauti ili kuboresha <strong>ya</strong>liyomo kwenye mafunzo<br />
ha<strong>ya</strong>?<br />
Tunaweza kufan<strong>ya</strong> nini touti ili kuboresha utaratibu mzima wa mafunzo ha<strong>ya</strong>?<br />
(muda, mapumziko <strong>ya</strong> chai/ kahawa, n.k)<br />
Kwa ujimla, unaweza ku<strong>ya</strong>pa mafunzo ha<strong>ya</strong> kiwango gani cha ufanisi? (Weka<br />
duara kwenye jibu moja)<br />
b. Nzuri sana b. Nzuri c. wastani d. Dhaifu<br />
Tumia nyuma <strong>ya</strong> ukurasa huu kama unayo maoni zaidi.<br />
71
MAFUNZO YA 3<br />
MADA YA SITA: SARATANI YA MATITI NA SHINGO YA<br />
KIZAZI<br />
Mada ndogo<br />
6.1 Saratani <strong>ya</strong> matiti na <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> uzazi uelewa kuhusu dalili (dk 45)<br />
6.2 Umuhimu wa kujichunguza mwenyewe saratani <strong>ya</strong> matiti (dk 15)<br />
Madhumuni: Mwisho wa somo tutaweza kufan<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>fuatayo:<br />
Zana:<br />
Kuelezea faida za uelewa kuhusu dalili za saratani <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> kizazi na<br />
matiti.<br />
Kutambua hatua za kufuata wakati wa kujichunguza-mwenyewe matiti<br />
Bango na kalamu (markers)<br />
Kitini cha Jinsi <strong>ya</strong> kujichunguza saratani <strong>ya</strong> matiti<br />
Kitini cha Saratani <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> kizazi<br />
Wageni waali<strong>kwa</strong>:<br />
Muda Time:<br />
Wataalamu wa masuala <strong>ya</strong> saratani kutoka MEWATA ( dakika 60 )<br />
Dakika 40<br />
6.1 Uelewa kuhusu Saratani <strong>ya</strong> Matiti<br />
Hatua <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba tutaongelea kuhusu maradhi <strong>ya</strong>nayowathiri af<strong>ya</strong> za<br />
<strong>wanawake</strong>, na jinsi <strong>ya</strong> ku<strong>ya</strong>zuia. Waambie washiriki ajitolee yeyote na aeleze<br />
anaelewa nini kuhusu Saratani <strong>ya</strong> Matiti na <strong>ya</strong> Shingo <strong>ya</strong> Kizazi, mathalani,<br />
kama inaweza kutibika na kupona, zipi ni taratibu za matibabu <strong>ya</strong>ke, na uzoefu<br />
wake binafsi kuhusu saratani hizi nk.<br />
Swali lolote litakaloulizwa wakati wa majadiliano ha<strong>ya</strong> linaweza kuelezewa<br />
baadae na mwakilishi kutoka MEWATA. .<br />
72
HATUA YA PILI<br />
Kama uliweza kualika mwakilishi kutoka MEWATA (Chama cha <strong>wanawake</strong><br />
Madaktari Tanzania) mtambulishe mgeni wako maalumu na muombe aanze<br />
kuelezea kuhusiana na dalili za saratani <strong>ya</strong> matiti na shingo <strong>ya</strong> kizazi na<br />
umuhimu wa kujichunguza mwenyewe (SBE) na pia aonyeshe <strong>kwa</strong> vitendo<br />
hatua za kuchujinguza mwenyewe saratani <strong>ya</strong> matiti.<br />
Kama hukuweza kumpata mwakilishi kutoka MEWATA kuongelea mada hii,<br />
hizi hapa ni badhi <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> ukweli kuhusu saratani <strong>ya</strong> matiti ambayo<br />
unaweza kuwashirikisha washiriki wako.<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba:<br />
1. Kuna mambo mengi tunayoweza kufan<strong>ya</strong> ili kujilinda af<strong>ya</strong> zetu, sasa<br />
tutaongea kuhusu saratani <strong>ya</strong> matiti. MEWATA (Chama cha <strong>wanawake</strong><br />
Madaktari Tanzania) wamefan<strong>ya</strong> kampeni za kitaifa kuhusiana na ksaratni <strong>ya</strong><br />
matiti ili kujenga uelewa na pia kupima.<br />
2. Mpango huu wa elimu kuhusiana na saratani <strong>ya</strong> matiti inafanyika <strong>kwa</strong><br />
ushirikiano kati <strong>ya</strong> kituo cha kurusha matangazo <strong>ya</strong> luninga cha binafsi<br />
ITV/Radio One, Wizara <strong>ya</strong> Af<strong>ya</strong> na Ustawi wa Jamii na wadau wengine ambao<br />
wamekuwa wakijitolea michango <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> fedha na vifaa <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> kufanikisha<br />
kampeni hii. Kampeni hii imesababisha kuwa na ongezeko la ujumla la uelewa<br />
kuhusiana na saratani <strong>ya</strong> matiti hapa nchini na kuwa na ongezeko la <strong>wanawake</strong><br />
kuhudhuria hospitali wakiulizia huduma za kuchunguzwa matiti.<br />
3. Kwa ku<strong>ya</strong>chunguza matiti mwenyewe <strong>kwa</strong> utaratibu wa kila mwezi,<br />
<strong>wanawake</strong> wanaweza kutambua kama wana saratani <strong>ya</strong> matiti mapema. Kadri<br />
saratani itakavyogundulika mapema ndivyo inaongeza uwezekano wa matibabu<br />
kuwa <strong>ya</strong> mafanikio pia <strong>wanawake</strong> wanashauriwa kuwa na tabia <strong>ya</strong><br />
kujichunguza kila mwezi (BSE) na ikiwezekana siku 3-5 baada <strong>ya</strong> kuona hedhi<br />
<strong>ya</strong> mwezi husika na <strong>wanawake</strong> ambao wameshakoma kuona hedhi wanapaswa<br />
kuwa na siku maalumu kila mwezi <strong>ya</strong> kujichunguza (BSE).<br />
4. Wakati wa kujichunguza matiti <strong>wanawake</strong> wanashauriwa kuwa wanapaswa<br />
kuwa makini kugundua hali yoyote isiyokuwa <strong>ya</strong> kawaida kama vile kubadilika<br />
<strong>kwa</strong> <strong>kwa</strong> ngozi <strong>ya</strong> matiti, kuwa na uvimbe, kama chuchu zinatoa majimaji, na<br />
endapo dalili moja wapo kama hizo itaonekana unashaurriwa kureport kwenye<br />
kituo cha af<strong>ya</strong> kilicho karibu.<br />
73
5. Wanawake walio na umri zaidi <strong>ya</strong> miaka 40 wanashauriwa kuwa mabli na<br />
kujichunguza matiti na kuchunguzwa kliniki kila mwezi (BCE) wanapaswa<br />
kufanyiwa kipimo cha mammography kila mwaka au kila mwaka mara mbili<br />
<strong>kwa</strong> maeneo ambayo kipimo hicho kinapatikana hapa Tanzania ).<br />
6.2 Kujichunguza mwenyewe Matiti<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba ni muhimu <strong>kwa</strong> <strong>wanawake</strong> kufahamu namna <strong>ya</strong><br />
kujichunguza kila mwezi (BSE) kugundua dalili za saratni <strong>ya</strong> matiti. Wapatie<br />
kitini cha jinsi <strong>ya</strong> kujichunguza saratani <strong>ya</strong> matitii. Soma na kujadiliana hatua za<br />
kujichunguza mwenyewe (BSE) pamoja na washiriki. .<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Wapatie washiriki kitini cha saratani <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> uzazi na kupitia taarifa<br />
zilizomo kuhusiana na saratani hiyo pamoja na kikundi.<br />
Maana<br />
• Ni aina <strong>ya</strong> vivimbe vinanvyotokea katika titi ambavyo vinaweza kuwa saratani<br />
• Si vivimbe vyote vinavyotokea ni saratani<br />
• Wanaume pia wanaweza kupata saratani <strong>ya</strong> matiti(1% <strong>ya</strong> wagonjwa <strong>ya</strong> saratani<br />
<strong>ya</strong> matiti ni wanaume)<br />
• Mfano: jipu, vivimbe visivyo saratani<br />
Vitu gani husababisha<br />
• Hakuna kitu cha moja <strong>kwa</strong> moja kinachosababisha ugonjwa huu<br />
• Mara nyingi huwakuta watu wazima<br />
Nani yuko kwenye hatari <strong>ya</strong> kupata saratani <strong>ya</strong> matiti?<br />
• Mwanamke<br />
• Mtu mwenye historia <strong>ya</strong> magonjwa <strong>ya</strong> saratani kwenye familia <strong>ya</strong>o hasa <strong>ya</strong><br />
matiti<br />
• Mtu aliyewahi kupata saratani<br />
• Wanawake wasiozaa au waliochelewa kuzaa<br />
• Utumiaji wa vidonge <strong>v<strong>ya</strong></strong> majira vyenye vichocheo <strong>v<strong>ya</strong></strong> istrogeni <strong>kwa</strong> kiwango<br />
cha juu sana(zamani)<br />
74
• Uvutaji wa sigara<br />
• Unywaji wa pombe wa kupitiliza(ulevi)<br />
• Mtu aliyewahi kupigwa “mionzi”<br />
Dalili<br />
• Uvimbe usiouma, ambao<br />
• Si wa kawaida katika titi<br />
• Mara nyingi una tabia <strong>ya</strong> kuhama kuhama unapoguswa<br />
• Unakua <strong>kwa</strong> taratibu sana<br />
• Unafanana na kibuja<br />
• Kubadilika ngozi <strong>ya</strong> titi –ganda la chungwa<br />
• Chuchu kuzama ndani<br />
• Kuto<strong>kwa</strong> na majimaji ,damu kwenye chuchu<br />
• Kidonda kisichopona<br />
• Titi kukua zaidi <strong>ya</strong> lingine kusiko kawaida<br />
Matibabu<br />
• Upasuaji<br />
• Mionzi<br />
• Madawa<br />
Kujichunguza matiti<br />
• Kwa kila mwanamke<br />
• Ndani <strong>ya</strong> siku tano baada <strong>ya</strong> kumaliza hedhi au tarehe maalumu <strong>kwa</strong><br />
<strong>wanawake</strong> waliokoma hedhi<br />
• Ni muhimu kujichunguza kila mwezi<br />
Vifaa vinavyohitajika<br />
• Kiganja cha mkono<br />
• Kioo<br />
75
Namna <strong>ya</strong> kujichunguza<br />
• Kwa kutumia kiganja papasa titi <strong>kwa</strong> mwendo wa saa mpaka umalize titi lote<br />
• Nenda <strong>kwa</strong> kupapasa mpaka kwenye <strong>kwa</strong>pa<br />
• Malizia <strong>kwa</strong> kukamua chuchu<br />
• Jiangalie kwenye kioo kama matiti <strong>ya</strong>nalingana(ukubwa na urefu)<br />
Ukweli kuhusu saratani <strong>ya</strong> matiti<br />
• Si ugonjwa wa kuambukiza (mtu mmoja kwenda <strong>kwa</strong> mtu mwingine,<br />
kunyonyesha n.k)<br />
• Ukiwahi mapema kwenda hospitali unapona kabisa<br />
• Hakuna dawa za kienyeji zilizothibitishwa kuwa zinatibu saratani<br />
• Tiba <strong>ya</strong> mionzi haiui<br />
Kwanini wagonjwa hawaponi<br />
• Wengi huja katika hatua za mwisho za ugonjwa<br />
• Baadhi hukataa matibabu wanaposhauriwa na kwenda kujaribu tiba mbadala<br />
76
KITINI CHA MADA YA 6<br />
KUJICHUNGUZA MATITI MWENYEWE<br />
Lala chini na uweke mkono wako wa kuume nyuma <strong>ya</strong> kichwa chako.<br />
Uchunguzi huu hufanyika mtu ukiwa umealala chali na sio ukiwa<br />
umesimama. Hii ni <strong>kwa</strong> vile ukiwa umelala chini ……za matiti zinakuwa<br />
zimeatawanyika <strong>kwa</strong> uwiano mzuri kweny kuta za kifua.na zinakuwa<br />
ndogo kadri inavyowezekana na inakuwa ni rahisi kuzisikiliza …..zote za<br />
matiti.<br />
Tumia sehemu <strong>ya</strong> vidole <strong>v<strong>ya</strong></strong>ko 3 <strong>v<strong>ya</strong></strong> mkono wa kushoto <strong>kwa</strong> pamoja<br />
(finger pad) kugusa na kusikiliza kama kuna uvimbe wowote kwenye titi<br />
la kulia. Tumia vidole kufan<strong>ya</strong> nzunguko kwenye eneo lote la titi <strong>kwa</strong> ili<br />
kuona kama kuna uvimbe wowote.<br />
Tumia aina kama 3 za mkandamizo ili uweze kuzihis tishu zote za matiti..<br />
Mkandamizo mdogo unafaa <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> kusikizia tishu zilizoko karibu na<br />
ngozi, mkandamizo wa kati unafaa <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> tishu zilizoko ndani zaidi<br />
kiasi, na mkandamizo mkubwa ni <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> tishu zilizoko karibu kabisa<br />
na kifua na mbavu. Ni kawaida kusikia ugumu kwenye mkunjo wa chini<br />
wa kila titi, ila itakupasa umweleze daktari wako kama utasikia kitu<br />
kisicho cha kawaida. Kama huna uhakika ukandamize <strong>kwa</strong> nguvu kiasi<br />
gani ongea na daktari au muguzi wako. Tumia kila kiwango cha<br />
mkandamizo kusikilizia tishu za titi kabla <strong>ya</strong> kuhamia kwenye eneo<br />
jingine la titi.<br />
Tembeza kiganja chako <strong>kwa</strong> mtindo wa kwenda juu na chini <strong>ya</strong> titi <strong>kwa</strong><br />
kuanzia kwenye mstari wa kufikirika ulioko kwenye <strong>kwa</strong>pa na<br />
kuutembeza mkono wako kati <strong>ya</strong> titi hadi kati <strong>ya</strong>mfupa wa kifua ( mfupa<br />
wa matiti) . Hakikisha unakagua titi lote <strong>kwa</strong> kueleke sehemu <strong>ya</strong> chini <strong>ya</strong><br />
titi hadi uwe unasikilizia mifupa <strong>ya</strong> mbavu kuelekea juu hadi kufikia<br />
mfupa wa shingo (clavicle).<br />
77
Upo ushahidi wa kushauri <strong>kwa</strong>mba mtindo wa juu na chini (mara<br />
nyingine huitwa mtindo wa kutoka juu kwenda chini) ni mtindo<br />
unaofanikisha zaidi ambao unawezesha kufikia titi lote bila kuruka tishu<br />
yoyote <strong>ya</strong> titi.<br />
Rudia kukagua titi lako kushoto, <strong>kwa</strong> kuweka mkono wako wa kushoto<br />
nyuma <strong>ya</strong> kichwa na <strong>kwa</strong> kutumia kiganja cha vidole <strong>v<strong>ya</strong></strong>ko <strong>v<strong>ya</strong></strong> mkono<br />
wa kulia kujikagua.<br />
Ukiwa umesimama kwenye kioo na mikono <strong>ya</strong>ko ikiwa umeikandamiza<br />
<strong>kwa</strong> nguvu kando <strong>ya</strong> hips zako, angalia matiti <strong>ya</strong>ko kama kuna<br />
mabadiliko yoyote <strong>kwa</strong> maana <strong>ya</strong> ukubwa umbo lake, kama kuna<br />
miinuko au hali <strong>ya</strong> kubonyea ndani ua wekundu au ngozi <strong>ya</strong> matiti.<br />
(Kukandamiza mikono chini kwenye hips kunabana kuta za kifua na<br />
kuonyesha mabadiliko yoyote kwenye matiti.<br />
Chunguza kila <strong>kwa</strong>pa ukiwa umeketi ama umesimama na mkono wako ukiwa<br />
umeunyoosha juu ili iwe rahisi kuhisi hali ilivyo kwenye eneo hili. Kuinua<br />
mkono juu kunakaza tishu za eneo hili na kuzifan<strong>ya</strong> ziwe ngumu kuchunguzika.<br />
78
KITINI CHA MADA YA 6<br />
SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI<br />
Saratani <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> kizazi ni nini?<br />
Saratani ni ugonjwa ambao unasababisha baadhi <strong>ya</strong> seli za mwili zisifan<strong>ya</strong> kazi<br />
sawasawa, zinagawanyika <strong>kwa</strong> upesi sana na kuzalisha tishu nyingi ambazo<br />
hutengeza uvimbe. Saratani <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> kizazi ni saratani, hii ni saratni <strong>ya</strong><br />
amayo huathiri sehemu <strong>ya</strong> chini <strong>ya</strong> mji wa mimba. Saratani <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> kizazi<br />
ni ugonjwa ambao unaweza kuwa hatari sana, ingawaje, ni miongoni mwa<br />
magonjwa unayoweza ku<strong>ya</strong>zuia. Kwa kawaida huchukua miaka mingi <strong>kwa</strong> seli<br />
za kawaida za kizazi kubadilika na seli za saratani, ila wakati mwingine huweza<br />
kutokea <strong>kwa</strong> kipindi kifupi tu.<br />
Zipi ni dalili za Saratani <strong>ya</strong> Shingo <strong>ya</strong> Kizazi?<br />
Kabla <strong>ya</strong> sratani au katika hatua za wali za saratani <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> kizazi <strong>kwa</strong><br />
kawaida huwa haionyeshi dalili zozote. Mwanamke huwa anaonyesha dalili<br />
wakati ambapo saratani inakuwa imebadilika na kuvamia seli zilizoko jirani na<br />
shingo <strong>ya</strong> kizazi. Wakati hali hii ikitokea dalili ambayo hujitokeza mara nyingi<br />
ni kuto<strong>kwa</strong> maji sehemu sehemu za siri <strong>ya</strong>siyokuwa <strong>ya</strong> kawaida kutokana na<br />
uvimbe mkubwa ambao umeathirika na kusababisha kuto<strong>kwa</strong> na maji yenye<br />
harufu (harufu mba<strong>ya</strong>) ambayo hutokea kabla <strong>ya</strong> kuanza kuto<strong>kwa</strong> damu.<br />
Mambo <strong>ya</strong> hatarishi <strong>ya</strong>tokanayo na kuwa na kuwepo <strong>kwa</strong> Saratani <strong>ya</strong> shingo<br />
<strong>ya</strong> kizazi?<br />
Mambo hatarishi ni pamoja na:<br />
Kuathiriwa na kirusi cha kijulikanacho kama “human papillomavirus”<br />
(HPV). Madaktari wanaamini <strong>kwa</strong>mba <strong>wanawake</strong> wanakuwa ta<strong>ya</strong>ri<br />
wamethiriwa na kirusi hiki kabla <strong>ya</strong> kuonyesha dalili za saratani <strong>ya</strong><br />
shingo <strong>ya</strong> kizazi.<br />
Tabia za kingono- kufan<strong>ya</strong> ngono katika umri mdogo na historia <strong>ya</strong> kuwa<br />
na wapenzi wengi.<br />
Matumizi <strong>ya</strong> tumbaku – wanwake wanovuta sigara wanakuwa kwenye<br />
hartari mara mbili <strong>ya</strong> wale ambao hawavuti kupata saratni <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong><br />
kizazi.<br />
Tunaweza kugundua saratani mapema <strong>kwa</strong> njia gani?<br />
Saratani inaweza kugundulika mapaema <strong>kwa</strong> kufan<strong>ya</strong> kipimo kijulikanacho<br />
kama “Pap” mara <strong>kwa</strong> mara. Wanawake wapime af<strong>ya</strong> zao mara <strong>kwa</strong> mara ikiwa<br />
ni pamoja na mifupa <strong>ya</strong> nyonga na kufan<strong>ya</strong> kipimo cha Pap. Mwanamke<br />
anatakiwa aanze kufanyiwa kipimo cha hiki kati <strong>ya</strong> miaka mitatu baada <strong>ya</strong><br />
kuvunja ungo au kwenye umri wa miaka 21, kimojawapo kati chochote kati <strong>ya</strong><br />
hayo mawili kitatangulia ni sawa.<br />
79
MADA YA SABA: MAWASILIANO YA ANA KWA ANA<br />
Mada hii inahusisha taarifa kuhusiana na umuhimu wa mawasilianao <strong>ya</strong> ana<br />
<strong>kwa</strong> ana <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> wamiliki wa saluni za urembo. Mada inaendeleza satdi za<br />
wahudumu ili waweze kutoa ujumbe wa af<strong>ya</strong> wenye kufanikisha <strong>kwa</strong> wateja<br />
wao wakati wa mikutano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana kwenye saluni.<br />
Kukuza stadi za mawasiliano za ana <strong>kwa</strong> ana <strong>kwa</strong> wahudumu wa saluni<br />
kutaweza kuleta badiliko katika kutoa ujumbe wa af<strong>ya</strong> na kuleta mabadiliko <strong>ya</strong><br />
tabia kuhusiana na kuzuia magonjwa <strong>ya</strong> ngono, VVU na tabia nyingine za af<strong>ya</strong><br />
<strong>ya</strong> uzazi amabzo zinaweza kuleta tofauti na kuboresha af<strong>ya</strong> za wateja.<br />
Mada ndogo<br />
7.1Maana <strong>ya</strong> Mawasiliano (dakika 15)<br />
7.2 Salamu (dakika 15 )<br />
7.3 Kusikiliza <strong>kwa</strong> makini (DK 30)<br />
7.4 Kuuliza maswali<br />
7.5 Taarifa rahisi na sahihi<br />
7.6 Zana saidizi<br />
7.7 kufanyia majaribio stadi za mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana<br />
Madhumuni: Mwisho wa somo tutakuwa tumeweza<br />
Kuelewa kuwa mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana ni njia <strong>ya</strong> mawasiliano yenye<br />
nguvu katika kuchochea mabdiliko <strong>ya</strong> tabia<br />
Kuelezea stadi za msingi zinazohitajika wakati wa kufan<strong>ya</strong> mawasiliano<br />
<strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana<br />
Kutambua salamu inayofaa na <strong>ya</strong> heshima ikiwa ni msingi wa kuwezesha<br />
kuanza majadiliano<br />
Kuajdiliana kuhusu kusikiliza <strong>kwa</strong> makini ambapo ni msingi wa stadi za<br />
mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana.<br />
Kutambua na kufan<strong>ya</strong> mazoezi <strong>ya</strong> kuuliza maswali ikiwa ni njia <strong>ya</strong><br />
kuhimiza majadiliano.<br />
Kutambua umuhimu wa kutumia lugha rahisi wakati wa kutoa taariafa<br />
sahihi.<br />
Kujadiliana <strong>kwa</strong> kutumia zana za kusaidia kutoa taarifa sahihi.<br />
Kufanyia mazoezi stadi za msingi <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong><br />
ana wakati wa kufan<strong>ya</strong> igizo.<br />
80
Zana:<br />
Vipeperushi <strong>v<strong>ya</strong></strong> ina mbalimbali na zana nyingine zilizoandaliwa kusaidia<br />
kufikisha ujumbe kuhusiana na Dume, Lady Pepeta njia za uzazi wa<br />
mpango za Flexi P n.k.<br />
Kitini cha Mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana<br />
Kitini cha Stadi za mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana<br />
Kitini cha Matukio <strong>ya</strong> kufanyia maigizodhima <strong>ya</strong> mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana<br />
Kitini cha Ujumbe Muhimu : Mawasilinao <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana<br />
Muda:<br />
Saa 1 na dakika 30<br />
7.1 Maana <strong>ya</strong> Mawasiliano<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Washiriki wawili wawili, waambie wajibu swali hili , Je mawasiliano ni nini ?<br />
Baada <strong>ya</strong> dakika chache waambie washiriki wasome maana walizoziandika<br />
kwenye kundi kubwa. Wapatie kitini cha Mawasilino <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana. Rejea kitini<br />
na washiriki na umwambie mmoja wao ajitolee kusoma <strong>kwa</strong> sauti:<br />
Mawasiliano <strong>ya</strong>na maana nyingi na <strong>ya</strong>naweza kumaanisha kitu tofauti <strong>kwa</strong> watu<br />
tofauti. .<br />
Mawasiliano ni kubadilishana mawazo taarifa, hisia maoni au taswira<br />
baina <strong>ya</strong> watu wawili ama zaidi au kikundi cha watu.<br />
Mawasiliano ni utaratibu wa kupashana habari na kupokea habari ( <strong>kwa</strong><br />
njia <strong>ya</strong> maneno au bila maneno) Kuhusiana na jambo au mada maalumu<br />
baina <strong>ya</strong> watu wawili au zaidi <strong>kwa</strong> lengo la kufikia muafaka wa jambo.<br />
Jambo muhimu kwenye mawasiliano ni uwezo wa kupeleka ujumbe<br />
wenye maana ilei le baina <strong>ya</strong> watu wawili au zaidi walioshirikishwa<br />
kwenye kubadilishana habari.<br />
Kwa ufupi waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba:<br />
Madhumuni <strong>ya</strong> warsha hii ni ili kuwasaidia wamiliki wa saluni na wahudumu<br />
81
wao kuenedeleza stadi za jinsi <strong>ya</strong> kutoa taarifa za kiaf<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> wateja, wakati wa<br />
mikutano <strong>ya</strong> ana<strong>kwa</strong> ana.<br />
Kuboresha stadi za mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana <strong>ya</strong> wahudumu wa saluni ili<br />
waweze kutoa ujumbe wa kuleta mabadiliko <strong>ya</strong> tabia kuhusiana na kuzuia VVU<br />
na tabia nyingine za af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi.<br />
7.2 Salamu<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba sasa tutanagalia jinsi <strong>ya</strong> kuendeleza satdi<br />
zinazohitajika katika kuanzisha majadiliano na wateja na kutoa taarifa<br />
zitakazoweza kuleat mabadiliko na kuboresha af<strong>ya</strong> za wateja wao.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Waulize washiriki, nini hutokea unapokutana na mtu unaemfahamu wakati<br />
ukiwa unatembe mitaani? Elezea hali hiyo nini kinachotokea.<br />
Waambie waelezee njia zilizo zoeleka za watu kusalimiana kwenye jamii<br />
mbalimbali za Tanzania. Andika majibu <strong>ya</strong>o kwenye bango.<br />
Zipi ni tabia za kupeana salamu?<br />
Tarajia majibu <strong>ya</strong>fuatayo:<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Wenye umri mdogo wanasimama kuwasalimia watu wazima<br />
Wanaume wanavua kofia wakiwasalimia <strong>wanawake</strong><br />
Watu wanashikana mikono<br />
Kila moja kuonyesha heshima <strong>kwa</strong> mwingine<br />
Kuinamisha vichwa <strong>v<strong>ya</strong></strong>o chini kuonyesha dalili <strong>ya</strong> heshima.<br />
Ku mkubali mwingine<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba salamu ni jambo la <strong>kwa</strong>nza kwenye mawasiliano <strong>ya</strong><br />
ana <strong>kwa</strong> ana na hutengeneza mazingira <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> mazungumzo mengine yote<br />
<strong>ya</strong>takayoendelea. Kwahiyo stadi muhimu wakati wa mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong><br />
ana ni kutoa salamu inayokubalika.<br />
82
Waambie washiriki waeleze ni <strong>kwa</strong> namna gani waaweza kuwasalimia vyema<br />
wateja wao <strong>kwa</strong> kwenye saluni. Hitimisha maelezo <strong>ya</strong> kikundi <strong>kwa</strong> kusema<br />
<strong>kwa</strong>mba.<br />
Kuazisha mazingira <strong>ya</strong>nayofaa na <strong>ya</strong> kuvutia tangu mwanzoni ni muhimu ili<br />
kuanzisha mahusiano mazuri. Msalimie mtu <strong>kwa</strong> heshima tumia matendo<br />
<strong>ya</strong>nayokubalika na utamaduni wenu <strong>kwa</strong> maneno au bila maneno kuonyesha<br />
heshima na kujali nah ii itakusaidia kuwa na mkutano wenye matokeo chan<strong>ya</strong>.<br />
Waalike watu wengi wajitolee na kusimama mbele kuonyesha baadhi <strong>ya</strong><br />
matendo <strong>ya</strong> salamu amabyo <strong>ya</strong>naonyesha mazingira mazuri na <strong>ya</strong>nayoweza<br />
kukauribisha watu kwenye saluni <strong>ya</strong>ko.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Tatu<br />
Stadi nyingine muhimu ni kusikiliza <strong>kwa</strong> makini <strong>kwa</strong> kuangalia ujumbe<br />
unaotolewa mwa maneno na bila maneno wakati wa mikutano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana.<br />
Waambie washiriki waeleze maana <strong>ya</strong> mawasiliano <strong>ya</strong> maneno na <strong>ya</strong>siyo na<br />
maneno. Mawasiliano <strong>ya</strong>siyo na maneno <strong>ya</strong>nahusisha matumizi <strong>ya</strong> mwili (bila<br />
maneno)<br />
Kusikiliza kunahusiana ni zaidi <strong>ya</strong> kusikia maneno au kile wanchosema<br />
wengine. Ukweli ni <strong>kwa</strong>mba tafiti zinaonyesha asilimia 93 <strong>ya</strong> mawasilino yote ni<br />
mawasiliano bila maneno, hii ni pamoja na lugha <strong>ya</strong> mwili, ladha <strong>ya</strong> sauti na<br />
muonekano wa usoni n.k. mawasilino <strong>ya</strong>siyo na maneno <strong>ya</strong>natusaidia kuelewa<br />
“<strong>ya</strong>nayopita bila kuta<strong>kwa</strong>” kama vile hisia za mwili na mguso. Ni muhimu<br />
kuanagalia mawasiliano <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> maneno ili kuweza kufungua majadiliano au<br />
kuhamasisha majadiliano.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Nne<br />
Waambie washiriki watoe mfano wa n<strong>ya</strong>kati ambazo mawasiliano <strong>ya</strong> maneno na<br />
<strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong>nahitilafiana.<br />
Mfano:<br />
Maneno: Sema: ndio ……nina muda ……..<br />
Yasiyo <strong>ya</strong> maneno: Wakati huo huo ukianaglia kwenye saa <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong> mkono,<br />
unahema na kutikisa kichwa ……<br />
83
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba ili kuweza kusema mtu amesikiwa na kueleweka<br />
lazima kuwepo na makubaliano kati <strong>ya</strong> ujumbe wa mawasiliano <strong>ya</strong> maneno na<br />
<strong>ya</strong>siyo na maneno. Rejea kitini cha Mawasiliano na kupitia dondoo za jinsi <strong>ya</strong><br />
kutumia mawasiliano <strong>ya</strong> maneno na <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> maneno <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> kuwa na<br />
mawasiliano yenye mafanikio.<br />
Y a Maneno: Rudia maneno <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>le uliza maswali, tumia lugha hiyohiyo,<br />
tumia sauti zinazochochea majadiliano na utumie sauti <strong>ya</strong> kirafiki.<br />
Yasiyo <strong>ya</strong> maneno: Angalia lugha <strong>ya</strong> mwili mwangalie na mtu mwingine,<br />
mtazame machoni, tikisa kichwa kama ishara <strong>ya</strong> kukubali na usikilize ladha <strong>ya</strong><br />
sauti iko <strong>ya</strong> aina gani.<br />
7.3 Kusikilza <strong>kwa</strong> Makini<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba sasa tutafan<strong>ya</strong> zoezi. Wagawe washiriki wawili<br />
wawili wape majina mmoja awe A na wa pili awe B.<br />
Mwambie A amuulize B (msikilizaji) kuhusiana na kilichotokea mwisho wa<br />
Juma .<br />
Mwache “A” aelezee hadithi <strong>ya</strong>ke <strong>kwa</strong> dakika tatu.<br />
“B” asikilize bila kuongea lolote, katika muda wa hizo dakika tatu. Baada <strong>ya</strong><br />
dakika tatu watu hao wawili wabadilishane na wafanye kama walivyo fan<strong>ya</strong><br />
hapo awali <strong>kwa</strong> maana <strong>kwa</strong>mba (B) anakuwa ndio msimulizi na (A) anakuwa<br />
msikilizaji.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Baada <strong>ya</strong> zoezi, kila pea ijadili kuhusu uzoefu walioupata kwenye zoezi na<br />
kuelezea kuhusu wakati ambao walijisikia kama mwenzake anasikiliza ama<br />
hasikilizi wakati zoezi likiwa linaendelea.<br />
Waambie watakaotaka kujitolea kuwashirikisha wengine uzoefu wao wafanye<br />
hivyo. Orodhesha mifano <strong>ya</strong> jinsi walivyojisikia wakati mtu alipokuwa<br />
anamsikiliza mwenzake bila kuongea, andika kwenye bango.<br />
84
Changamoto ni <strong>kwa</strong>mab msikilizaji hakuweza kutumia maneno yoyote bali<br />
kulikuwa kuna njia nyingi za kuwa alikuwa anamsikiliza mwenzake <strong>kwa</strong><br />
kutumia mawasilino <strong>ya</strong>siyokuwa <strong>ya</strong> maneno. Kusiikiliza <strong>kwa</strong> makini ni<br />
kusikiliza mwitikio wa mawasiliano <strong>ya</strong>liyo <strong>ya</strong> maneno na<strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>siyokuwa <strong>ya</strong><br />
maneno na kutoa mrejesho.<br />
Mfano wa mrejesho usiokuwa wa maneno:<br />
Kufuatilia kile anachosema mwingine<br />
Alitoa sauti za kuniashiria <strong>kwa</strong>mba yeye alielewa<br />
Alitumia lugha <strong>ya</strong> mwili sahihi (alinitazama machoni, alitikisa kichwa<br />
kama ishara <strong>ya</strong> kukubaliana nami, alitabasam, hakunikatiza wakati<br />
naongea, aliniapa heshima na kuonyesha urafiki, alikaa huku ameegemea<br />
<strong>kwa</strong> mbele)<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba wakati wa zoezi la mawasiliano tulibuni taarifa na<br />
kuwashirikisha wengine <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> kufikia makubaliano <strong>ya</strong> pamoja. Kwa hali<br />
hii lugha isiyokuwa <strong>ya</strong> maneno ilitumika ili kuwezesha kila mmoja kufan<strong>ya</strong><br />
mazoezi <strong>ya</strong> kusikiliza <strong>kwa</strong> makini..<br />
Waulize awashiriki kama kuna aliye na swali .<br />
7.4 Kuuliza Maswali<br />
Waulize washiriki nini ni madhumuni <strong>ya</strong> kuuliza maswali na kusikiliza? Andika<br />
majibu kwenye bango. Baada <strong>ya</strong> kubunga bongo hitimisha majibu na uhakikishe<br />
<strong>kwa</strong>mba madhumuni <strong>ya</strong> maswali <strong>ya</strong>futayo <strong>ya</strong>nameongelewa:<br />
Kuanzisha majadiliano<br />
Kuhimiza mteja kuongea<br />
Kuwasilisha matarajio <strong>ya</strong>ko <strong>kwa</strong> mtu mwingine i<br />
Kuongeza uelewa wako kuhusiana na hisia za wengine<br />
Kuweza kuibua taarifa mp<strong>ya</strong><br />
Kumpa mteja kiwango fulani cha kuweza kuongoza<br />
Sasa waulize wanakikundi, tumejifunza nini kwenye zoezi la maswali? Andika<br />
majibu kwenye bango. Baada <strong>ya</strong> kubunga bongo, hitimisha majibu <strong>ya</strong>o <strong>kwa</strong><br />
85
kuhakikisha <strong>kwa</strong>mba dondoo zifuatazo tulizojifunza kwenye zoezi la maswali<br />
zimeguswa:<br />
Hali halisi <strong>kwa</strong> ujumla “Ungependa kuongea kuhusu nini ”?<br />
Ukweli “Nini kilichotokea ”?<br />
Hisia “Ulijisiakiaje ”?<br />
Sababu “Kwanini ulifan<strong>ya</strong> hivyo ”?<br />
Mahususi “Unaweza kunipatia mfano ?<br />
Sasa waulize washiriki, Je ha<strong>ya</strong> ni maswali <strong>ya</strong> aina gani? Andika majibu kwenye<br />
bango. Baada <strong>ya</strong> kubunga bongo hitimisha majibu <strong>ya</strong>o na wafahamishe <strong>kwa</strong>mba<br />
<strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> madhumuni <strong>ya</strong> somo hili maswali ha<strong>ya</strong> tuta<strong>ya</strong>panga <strong>kwa</strong> aina tatu,<br />
maswali <strong>ya</strong>liyofungwa, maswali <strong>ya</strong>liyo wazi, na maswali <strong>ya</strong> kudodosa. Pitia aina<br />
hizi tatu na mifano <strong>ya</strong>ke kama <strong>ya</strong>livyoorodheshwa hapa chini na uwaambie<br />
washiriki wakupatie mifano.<br />
AINA YA SWALI MFANO<br />
Mswali <strong>ya</strong>liyofungwa: Kupata taarifa<br />
maalum :<br />
“Je unao watoto wangapi ”<br />
Maswali <strong>ya</strong>liyo wazi: Kufahamu “huwa uanjisikiaje kuhusu<br />
kumhusu mteja hisia zake, imani, na kondom<br />
uelewa.<br />
“Je unafahamu nini kuhusu<br />
saratani <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> kizazi ?”<br />
Kudodosa : kufuatilia <strong>kwa</strong> kutumia “Unaweza kunieleza zaidi kuhusu<br />
sentensi aliyotumia mteja<br />
<strong>kwa</strong> nini unafikiri sio muhimu<br />
kutumia kondom na rafiki <strong>ya</strong>ko?”<br />
Baada <strong>ya</strong> kupitia aina za maswali: Uliza; je ni aina gani <strong>ya</strong> taarifa unayojaribu<br />
kupata kutoka kwenye kila aina <strong>ya</strong> maswali?<br />
Tumia taarifa hii hapa chini kuhakikisha maswali <strong>ya</strong>najibiwa <strong>kwa</strong> usahihi <strong>kwa</strong><br />
aina <strong>ya</strong> maswali <strong>ya</strong> aina tatu.<br />
Maswali <strong>ya</strong>liyo wazi: Yanamruhusu mteja kuelezea na kutoa taarifa. Mteja<br />
anaweza akawa na uhuru wa kucha gua wapi na namna gani anweza kuelekeza<br />
swali lake. Ina msaidia mhudumu kupata taarifa zaidi kuhusiana na mteja..<br />
Maswali <strong>ya</strong>liyofungwa: Maswali <strong>ya</strong>liyofungwa ha<strong>ya</strong>ruhusu ufafanuzi bali<br />
majibu mahususi. Yanakuwa na majibu ndio au hapana au majibu 1-2. Yanafaa<br />
sana katika kukusan<strong>ya</strong> taariafa za ukweli bali sio <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> kuweka mazingira<br />
mazuri ambapo maamuzi <strong>ya</strong>naweza kufanyika. Kwa kutumia mlolongo wa<br />
maswali <strong>ya</strong>liyofungwa mhudumua anakuwa AMETAWALA mazungumzo. .<br />
Mteja ataweza kuweka wazi taarifa kuhusiana na mawali maalum <strong>ya</strong>liyoulizwa,<br />
bali itakuwa ni mwanzo tu na <strong>ya</strong>tapaswa kufuatiliwa na maswali <strong>ya</strong>liyo wazi na<br />
86
maswali <strong>ya</strong> kudodosa.<br />
Kudodosa: Maswali <strong>ya</strong> kudodosa huchukua jambo maalumu, hisia au jambo<br />
maalum na kuchambua <strong>kwa</strong> kina. Hii ni muhimu pale ambapo wateja<br />
wanapodhihirisha dondoo iliyokuwa imeru<strong>kwa</strong>. Kudodosa ni muhimu wakati<br />
wa kuongea kuhusu mada nyeti ambazo zinaweza kuwa ni vigumu <strong>kwa</strong> wateja<br />
kuelezea <strong>kwa</strong> uwazi wao wenyewe<br />
Eleza <strong>kwa</strong>mba ladha <strong>ya</strong> sauti ni muhimu wakati wa kuuliza maswali. Sauti<br />
inapaswa isiwe yenye kuhukumu, wahudumu wanapaswa ladha <strong>ya</strong> sauti<br />
ambayo inaonyesha kutamani kufahamu zaidi na kujali.<br />
Uliza swali hilohilo <strong>kwa</strong> sauti <strong>ya</strong> ladha tofauti: Unao marafiki wa kingono zaidi<br />
<strong>ya</strong> mmoja sasa? Ili uweze kuona tofauti?” .<br />
7.5 Taarifa Rahisi na Sahihi<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Alika watu wawili wajitolee kusoma majibizano ha<strong>ya</strong> :<br />
Mteja: Habari <strong>ya</strong> asubuhi<br />
Mhudumu wa saluni : Nzuri habari za <strong>kwa</strong>ko nikusaidie nini ?<br />
Mteja: Nahitaji kusuka nywele zangu sasa …. Pia nitafan<strong>ya</strong> usafi wa kucha ………..I<br />
Mhudumu wa saluni: Ndio, unataka kusuka nywele na kusafisha miguu leo, je<br />
ulisha fan<strong>ya</strong> makubaliano <strong>ya</strong> kukutana ?<br />
Mteja: Hapana ……….sikupiga simu …..ila nilikuja hapa mwezi uliopita Jenny<br />
alihudumia nywele zangu r……<br />
Mhudumu wa saluni : Leo Jenny yupo ila ana mteja mwingine <strong>kwa</strong> sasa, unaweza<br />
kusubiri hadi amalize? Tunaweza kuhudumia kucha zako <strong>kwa</strong>nza wakati ukiwa<br />
unaendelea kumsubiria….. ….<br />
Mteja : Ndio nataka kumsubiria Jenny , ndio sawa nihudumie kucha zangu <strong>kwa</strong>nza. ,<br />
Mhudumu wa saluni: Ndio naweza kuhudumia kucha zako na Jenny<br />
atahudumia nywele zako mara tu akimaliza na mteja wake…njoo upande huu<br />
tafadhali…<br />
87
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Waulize washiriki ni nini walichojifunza kwenye majibizano ha<strong>ya</strong>?<br />
Majibu:<br />
Salamu ilikuwa sawa aliuliza maswali <strong>ya</strong>liyo wazi na <strong>ya</strong>liyofungwa.<br />
Waambie washiriki: Kwamba wanatakiwa waone pia <strong>kwa</strong>mba mhudumu wa<br />
saluni alikuwa anarudia baadhi <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>le alyosema mteja, <strong>kwa</strong><br />
kurudia maneno aliyosema mteja, anajisikia vyema <strong>kwa</strong>mba mhudumu wa<br />
saluni hakika anamsikiliza na kujibu kulingana na mahitaji <strong>ya</strong>ke. Hii ni aina<br />
nyingine <strong>ya</strong> stadi ambayo inaongeza uelewa wakati wa majadiliano.<br />
Alika mtu mwingine ajitolee kusoma Kitini cha Mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana,.<br />
Kuongea <strong>kwa</strong> lugha nyepesi ni stadi nyingine ambayo itasaidia kuongeza<br />
uelewa wakati wa mazungumzo <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana. Kutumia lugha inayoeleweka<br />
<strong>kwa</strong> uarahisi <strong>kwa</strong> kila mtu na kurudia taarifa sahihi kuhakikisha <strong>kwa</strong>mba wewe<br />
na mteja wako wewe na mteja wako nyote mmeeleweka. Wakati mwingine ni<br />
muhimu kurekebisha lugha ili iweze kukidhi kiwango cha elimu <strong>ya</strong> wateja<br />
wako.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Tatu<br />
Waambie washiriki wako: Kuna habari za uongo na zilizopotoshwa kuhussiana<br />
na baadhi <strong>ya</strong> mada amabzo tumesha jadiliana kwenye warsha zilizotangulia<br />
huussani suala la kondom. Soma <strong>kwa</strong> sauti mfano unaofuata:<br />
Kondom zina matundu na hivyo sio salama katika kuzuia VVU; vijidudu<br />
vinapita kwenye matundu , <strong>kwa</strong> hiyo sio njai nzuri <strong>ya</strong> kuzuia VVU.<br />
Washiriki wawili wawili wajadiliane na kutambua njia za kuweza kutoa taarifa<br />
sahihi ili kuondokana maneno potofu kuhusiana na kondom. Tumia maneo <strong>ya</strong>le<br />
<strong>ya</strong>liyosemwa na mteja.<br />
Waalike washiriki watoe majibu.<br />
Majibu unayoweza ku<strong>ya</strong>tarajia: Kondom ni njia nzuri sana <strong>ya</strong> kujilinda na VVU.<br />
Hazina matundu na virusi haviwezi kupita kwenye kondom.<br />
88
7.6 Zana Saidizi<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba stadi nyingine ambayo inatumika wakati wa<br />
mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana ni kutumia vijarida, vijitabu, mabango, na<br />
machapisho mengine au vielelzo vingine <strong>v<strong>ya</strong></strong> picha ambavyo vilishaandaliwa ili<br />
kusaidia kuongeza uelewa kuhusiana na mada fulani.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Wagawe washiriki kwenye makundi mawili makubwa na waambie wana<br />
kikundi kimoja kitaje faida za kutumia zana saidizi na kundi la pili lijadili<br />
kuhusu mapungufu <strong>ya</strong> kutumia zana saidizi.<br />
Kila kikundi kiwasilishe majibu <strong>ya</strong>ke. Hakikisha <strong>kwa</strong>mba faida na mapungufu<br />
<strong>ya</strong>liyoainishwa hapa chini <strong>ya</strong>mejadiliwa.<br />
FAIDA MAPUNGUFU<br />
Inavutia usikivu<br />
Ina taarifa sahihi<br />
Inaekezea kila hatua <strong>kwa</strong> utaratibu<br />
Inawezesha kufan<strong>ya</strong> mawazo<br />
magumu kuweza kuwa rahisi<br />
Inaibua Majadiliano<br />
Inasaidia kufan<strong>ya</strong> majadiliano <strong>ya</strong><br />
masuala nyeti<br />
Kuwa nataarifa za kwenda nazo<br />
nyumbani kujikumbusha<br />
Kushirikisha taarifa <strong>kwa</strong><br />
wanafamilia wengine<br />
Kila moja ankuwa na taarifa<br />
hiyohiyo.<br />
Haifanikishi endapo mtu hajui<br />
kusoma labla <strong>ya</strong>we <strong>ya</strong>mendaliwa<br />
maalum <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> watu wa<br />
amabo hawajasoma.<br />
Haifanikishi ikitumiwa kwenye<br />
kundi kubwa la watu<br />
Hutoa taarifa <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> jambo<br />
muhimu tu liloko kwenye zana<br />
Inaweza ikahitaji tarifa za nyongeza<br />
Inakuwa na mapungufu <strong>ya</strong> fedha<br />
za kwenye kuchapisha zaidia na<br />
kusambaza.<br />
Ni rahisi kupotea au kutupwa<br />
89
Hatua <strong>ya</strong> Tatu<br />
Waambie washiriki waorodheshe zana saidizi walizo nazo <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> Lady<br />
Pepeta Dume na Flexi P. Wapatie washiriki baadhi <strong>ya</strong> zana hizi.<br />
Mwambie kila mshiriki aelezee ni wakati gani wa kutumia zana saidizi.<br />
Mtu mmojawapo ajitolee kuonyesha jinsi <strong>ya</strong> kutumia zana saidizi wakati wa<br />
somo la mazoezi <strong>ya</strong> Lady Pepeta.<br />
Vijarida vijitabu, mabango, vitini au michoro vinaweza kutumika wakati wa<br />
maonyesho <strong>ya</strong> saluni za urembo, kuwa na kukkundi kidogo cha majadilianao<br />
ama mazungumzo <strong>ya</strong> mtu mmoja mmoja.<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba zana zilizotengenezwa kuboresha ufahamu<br />
kuhusiana na mada zinaweza kuboresha uelewa kuhusiana na mada maalumu<br />
na kumsaidia kufan<strong>ya</strong> mabadiliko <strong>ya</strong> tabia. Onyesha na upitie zana mbalimbali<br />
za kuwezeshea zilizopo.<br />
7.7 Kufanyia mazoezi <strong>ya</strong> stadi za mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Wapatie Kitini cha stadi za mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana na upitie <strong>kwa</strong> pamoja na<br />
washiriki:<br />
Salamu inayofaa<br />
- Humwezesha mteja kujisikia amekaribishwa.<br />
- Hakikisha kuwa kuna utamaduni wa kusalimiana na inakubalika.<br />
Kusikiliza <strong>kwa</strong> makini:<br />
- Uwe makini na ujumbe wa wateja wa maneno na usio wa maneno.<br />
- Tumia mawasiliano <strong>ya</strong> maneno na <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> maneno ili kuonyesha<br />
unafautila na kufurahia wanachosema.<br />
Uliza maswali<br />
Tumia maswali <strong>ya</strong>liyo wazi <strong>ya</strong>liyofungwa na kudodosa ili kuhamasisha<br />
majadiliano na kupata taarifa zaidi.<br />
Ongea <strong>kwa</strong> lugha nyepesi:<br />
- Tumia maneno ambayo <strong>ya</strong>naeleweka <strong>kwa</strong> urahisi<br />
90
- Rudia taarifa ili kuhakiksha kuwa umemwelewa mtja wako ka usahihi<br />
- Sahihisha kila upotoshwaji <strong>kwa</strong> kutumia lugha rahisi inayoeleweka.<br />
Tumia zana saidizi<br />
- Saidia kuhakikisha <strong>kwa</strong>mba taarifa ianyopatikana ni sahihi na<strong>ya</strong><br />
uhakika<br />
- Uwe mkumbushaji wa <strong>ya</strong>le waliyojifunza<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Kama inawezekana fan<strong>ya</strong> igizo la moja <strong>ya</strong> visa mkasa kutokana na kitini cha<br />
stadi za mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana mbele <strong>ya</strong> wshiriki kama njia <strong>ya</strong> kuonyesha<br />
jinsi <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> vitendo Stadi za mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana.<br />
Chagua kisa mkasa kimoja na kuigiza kile lichojiri <strong>kwa</strong> kumsirikisha mwezeshaji<br />
msaidizi. Waambie washiriki wao wawe watazamaji na waandike ni stadi gani<br />
za mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana zilizotumika wakati wa uigizaji.<br />
Waambie washiriki wapendekeze nini kifanyike ili kuboresha igizo.<br />
Waambie washiriki wawe ta<strong>ya</strong>ri kufan<strong>ya</strong> MAZOEZI.<br />
Hakikisha unakila zan<strong>ya</strong> kusaidia majadilanno ili waweze kutumia wakati wa<br />
kuigiza.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Tatu<br />
Wagawe washiriki kwenye makundi <strong>ya</strong> watu watatu watatu na uwapatie kitini<br />
cha Maigizo <strong>ya</strong> visa mkasa <strong>v<strong>ya</strong></strong> kuigiza.<br />
Washiriki wachague kisa mkasa wanachotaka kukitumia, mmoja ataigiza kama<br />
mhudumu wa saluni na mwingine ataigiza kama mteja na mwingine kama<br />
mtazamaji.<br />
Mtazamaji ataangalia kwenye orodha <strong>ya</strong> stadi zilizotumiwa na mhudumu wa<br />
saluni: Salamu iliyo sahihi, kusikiliza <strong>kwa</strong> makini, kuuliza maswali, matumizi <strong>ya</strong><br />
lugha nyepesi kurudia maneno, kutoa taarifa sahihi na matumizi <strong>ya</strong> zana wakati<br />
wa mazungumzo <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana. ,<br />
Mara baada <strong>ya</strong> igizo la <strong>kwa</strong>nza kuisha kikundi kibadilishane majukumu na<br />
kuanza kisa mkasa kingine. Mwishowe kila mshiriki atapaswa awe ameshiriki<br />
majukumu yote matatu kwenye visa mkasa tofauti..<br />
91
Baada <strong>ya</strong> kila igizo, kila kikundi kipitie na kujadliana maoni <strong>ya</strong> mwamnaglizi<br />
kuhusian nan satdi mabalimbali zilizotumiwa n mhudumu wa saluni wakati wa<br />
mkutano wake na mteja.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Nne<br />
Baada <strong>ya</strong> zoezi hili kukamilika waulize washiriki kama wana swali lolote na<br />
hitimisha ujumbe muhimu kutoka kwenye mada. Wapatie washiriki ujumbe<br />
muhimu: Kitini cha Mawasiliano <strong>ya</strong>enye tija <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana.<br />
Ujumbe maalumu stadi za mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> na yenye tija<br />
Mawasilino ni utaratibu wa kutoa ujumbe na kupokea taarifa (<strong>kwa</strong><br />
maneno na pasipo maneno) kuhusiana na mada maahususi baina <strong>ya</strong> watu<br />
wawili ama zaidi <strong>kwa</strong> lengo la kufikia mauafaka.<br />
Mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana ndio njia yenye nguvu zaidi <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong><br />
kueleta mabadiliko <strong>ya</strong> tabia.<br />
Salamu ni hatua <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza <strong>ya</strong> kukutana kwenye mawasiliano <strong>ya</strong> ana<strong>kwa</strong><br />
ana na <strong>ya</strong>nawezesha kufan<strong>ya</strong> mazingira <strong>ya</strong>we mazuri <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong><br />
mazungumzo yote <strong>ya</strong>takayo fanyika. Ni muhimu kuonyesha heshima<br />
wakati wa kusalimiana..<br />
Kusikiliza kuna husisha zaidi <strong>ya</strong> kusikia maneno, ni pamoja na kuangalia<br />
<strong>kwa</strong> makini ujumbe wa maneno na usio wa maneno ili kufikia muafaka<br />
Kuuliza maswali ni njia mojawapo <strong>ya</strong> kuhamasisha kila mmoja<br />
kushiriksha wengine taarifa kuhusiana na hali ama kuelezea hisia. Tumia<br />
mchanyiko wa maswali <strong>ya</strong>liyo wazi <strong>ya</strong>liyofungwa na <strong>kwa</strong> kudodosa., .<br />
Tumia maneno kama anayotumia mteja wako ili waone <strong>kwa</strong>mba<br />
unawasikiliza na uwapatie taarifa sahihi na uweze kusahihi upotosahji<br />
wowote.<br />
Aina nyingine <strong>ya</strong> stadi inayofanikisha wakati wa mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong><br />
ana ni matumizi <strong>ya</strong> zana kama vile vijitabu vijarida mabango, na<br />
zanazingine zilizochapishwa mahususi <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> mada husika:<br />
- Toa salamu <strong>kwa</strong> heshima<br />
- Sikiliza ujumbe wa maneno na usio wa maneno<br />
- Uliza maswali kuanzisha majadiliano<br />
- Tumia maneno rahisi katika kutoa taariafa sahihi<br />
- Tumia zana saidizi kutoa taarifa zilizo sahihi na za uhakika<br />
92
Hatua <strong>ya</strong> Tano<br />
Waambie washiki <strong>kwa</strong>mba sasa tumemaliza mafunzo yetu sehemu <strong>ya</strong> tatu <strong>kwa</strong><br />
<strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> Mpango wa Jipende <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> saluni za urembo. Asante sana <strong>kwa</strong> kuja<br />
na kushiriki leo na tutakutana tena wiki ijayo kumalizia mada nyingine nzuri<br />
sana. Kabla hamjaondoka tafadhali jazeni fomu <strong>ya</strong> tathmini <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> masomo<br />
ha<strong>ya</strong>.<br />
Wapatie washiriki fomu yenye maswali na uzikusanye kabla hawajaondoka.<br />
93
KITINI CHA MADA YA 7<br />
MAWASILIANO YA ANA KWA ANA<br />
Mawasiliano <strong>ya</strong>na maana nyingi na <strong>ya</strong>naweza kumaanisha kitu tofauti <strong>kwa</strong> watu<br />
tofauti. .<br />
`<br />
Mawasiliano ni kubadilishana mawazo taarifa, hisia maoni au taswira<br />
baina <strong>ya</strong> watu wawili ama zaidi au kikundi cha watu.<br />
Mawasiliano ni utaratibu wa kupashana habari na kupokea habari ( <strong>kwa</strong><br />
njia <strong>ya</strong> maneno au bila maneno) Kuhusiana na jambo au mada maalumu<br />
baina <strong>ya</strong> watu wawili au zaidi <strong>kwa</strong> lengo la kufikia muafaka wa jambo.<br />
Jambo muhimu kwenye mawasiliano ni uwezo wa kupeleka ujumbe<br />
wenye maana ilei le baina <strong>ya</strong> watu wawili au zaidi walioshirikishwa<br />
kwenye kubadilishana habari.<br />
KUSALIMIA<br />
Kutengeneza mazingira mazingira mazuri kuanzia mwanzo ni muhimu sana ili<br />
kuanzisha mahusiano mazuri.. Msalimie mhusika <strong>kwa</strong> heshima tumia salamu<br />
inayokubalika kulingana na utamaduni wa mahali husika, mawasiliano <strong>ya</strong> lugha<br />
<strong>ya</strong> mwili na maneno <strong>ya</strong>nawza kutumika kuonyesha heshima na kuwa<br />
unajali,kuwepo <strong>kwa</strong> hali hii itasaidia kuwa na mkutano wenye muonekano<br />
chan<strong>ya</strong>.<br />
KUSIKILIZA KWA MAKINI<br />
Kusikiliza <strong>kwa</strong> makini miitikio yote iwe <strong>ya</strong> maneno ama bila maneno na kutoa<br />
mrejesho wa maneno na usio wa maneno.<br />
Yaliyo <strong>ya</strong> Maneno: Rudia maneno <strong>ya</strong>leyele, uliza maswali, tumia lugha ileile na<br />
tumia sauti ambayo inahimiza majadiliano zaidi …….tumia sauti iliyo <strong>ya</strong><br />
kirafiki.<br />
Yasiyo <strong>ya</strong> maneno: angalia lugha <strong>ya</strong> mwili, mtazame mtu unayewasiliana naye,<br />
mwangalie machoni onyesha kuwa unafuatilia mazungumzo <strong>kwa</strong> kutingisha<br />
kichwa, na usikilize ladha <strong>ya</strong> sauti.<br />
94
KUULIZA MASWALI<br />
AINA YA SWALI MFANO<br />
Maswali <strong>ya</strong>liyofungwa: Taarifa “Je unao watoto wangapi ”<br />
maalumu : taarifa maalum<br />
Maswali <strong>ya</strong>liyo wazi: kujifunza kuhusu “Huwa unajisikiaje kuhusu<br />
hisia, imani na ufahamu wa mteja kondomu<br />
“Unafahamu nini kuhusu saratani<br />
<strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> uzazi?”<br />
Kudodosa : Kufuatilia <strong>ya</strong> kauli <strong>ya</strong> mteja “Unaweza kunieleza zaidi<br />
<strong>kwa</strong>nini unafikiri <strong>kwa</strong>mba<br />
kutumia kondomu na rafiki wa<br />
kiume haina maana yoyote?<br />
TAARIFA RAHISI NA YA UHAKIKA<br />
Kuongea <strong>kwa</strong> lugha nyepesi ni stadi nyingine ambayo itasaidia kuongeza<br />
uelewa wakati wa mazungumzo <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana. Kutumia lugha rahisi <strong>kwa</strong> kila<br />
mtu aweze kuelewa na kurudia taarifa hiyo <strong>kwa</strong> usahihi kuhakiksha <strong>kwa</strong>mba<br />
nyote <strong>ya</strong>ani wewe na mteja wako mmeelewana <strong>kwa</strong> usahihi.<br />
ZANA ZA KUWEZESHEA<br />
FAIDA MAPUNGUFU<br />
Inavutia usikivu<br />
Inatoa taarifa sahihi<br />
Inaelezea hatua <strong>kwa</strong> utaratibu<br />
Inawezesha mawazo magumu<br />
kuwa marahisi <strong>kwa</strong> kutumia<br />
michoro.<br />
Inachochea majadiliano<br />
Kusaidia kujadili mambo nyeti<br />
Unachukua taarifa nyumbani kama<br />
kumbukumbu<br />
Kushirikisha wanafamilia wengine<br />
taarifa<br />
Kila mmoja nakuwa na taarifa hiyo<br />
hiyo.<br />
Haifanikishi endapo watu<br />
hawawezi kusoma la sivyo zana<br />
hizo ziwe zimeanadaliwa mahususi<br />
<strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> watu wasiojua kusoma .<br />
Hazifanikishi <strong>kwa</strong> makundi<br />
makubwa <strong>ya</strong> watu<br />
Inatoa maelezo maalumu <strong>ya</strong> taarifa<br />
zilizopo kwenye zana.<br />
Pengine inaweza kuhitaji maelezo<br />
<strong>ya</strong> ziada<br />
Usambazaji na uzalisha wa nakala<br />
una<strong>kwa</strong>zwa na ukosefu wa fedha<br />
za kutosha.<br />
Kupotea <strong>kwa</strong> uarhisis au kutupwa<br />
95
KITINI CHA MADA YA 7<br />
ORODHA YA STADI ZA MAWASILIANO YA ANA KWA ANA<br />
Salamu Muafaka<br />
o Hakikisha mteja wako anajisikia amekaribishwa<br />
vema<br />
o Hakikisha kuwa kuna utamaduni wa kusalimiana<br />
Kusikiliza <strong>kwa</strong> makini:<br />
o Weka maanani kuhusu mawasiliano <strong>ya</strong> maneno na<br />
<strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> maneno<br />
o Tumia mawasiliano <strong>ya</strong> maneno na <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> maneno<br />
ili kuonyesha unapendezwa na mazungumzo na<br />
unamsikiliza mteja wako<br />
Uliza Maswali<br />
o Tumia maswali <strong>ya</strong>liyo wazi na <strong>ya</strong>liyofungwa na<br />
kudodosa ili kuanzisha mazungumzo na kupata<br />
taarifa zaidi.<br />
Ongea <strong>kwa</strong> lugha nyepesi:<br />
o Tumia maneno <strong>ya</strong>nayoweza kueleweka <strong>kwa</strong> wepesi<br />
o Rudia taarifa uliyoambiwa kuhakikisha kama<br />
umemwelewa vema mteja wako<br />
o Sahihisha upotoshwaji wa tarifa <strong>kwa</strong> kutumia lugha<br />
nyepesi.<br />
Tumia zana za kusaidia kuwezeshea<br />
o Saidia kuhakikisha taarifa ni sahihi na za uhakika<br />
o Uwe unawakumbusha kile walichojifunza<br />
97
KITINI CHA MADA YA 7<br />
MAWASILIANO YA ANA KWA ANA: VISA MKASA VYA IGIZO<br />
DHIMA<br />
Kisa cha 1: Lisa Anaulizia kuhusu kondom, <strong>kwa</strong> vile amekuwa akisikia<br />
<strong>kwa</strong>mba kondom zina matundu hasa kamautaiweka mfukoni <strong>kwa</strong> muda mrefu<br />
Kisa cha 2: Catherine anatamani kufahamu kuhusu kondomu za kike za Lady<br />
Pepeta na anakuuliza zinafan<strong>ya</strong> kazi namna gani na je zinaweza kutumika zaidi<br />
<strong>ya</strong> mara moja?<br />
Kisa cha 3: Miriam amesikia <strong>kwa</strong>mba wakati mwingine kondom huwa<br />
zikivaliwa hazienei <strong>v<strong>ya</strong></strong> kutosha na hivyo hazifanikishi sana kwenye kuzuia<br />
mimba.<br />
Kisa cha 4: Upendo anataka kununua kondom <strong>ya</strong> Lady Pepeta, ila hataki<br />
umwelekeze namna <strong>ya</strong> kuitumia, je utamwambia nini?<br />
Kisa cha 5 Kim amesikia <strong>kwa</strong>mba kondom moja haitoshelezi na hivyo mtu<br />
atahitaji kuvaa mbili <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> kinga zaidi<br />
Kisa cha 6 Rita anataka kufahamu JIPENDE ni nini na <strong>kwa</strong>nini fulana <strong>ya</strong>ko<br />
imeandi<strong>kwa</strong> JIPENDE<br />
Kisa cha 7: Mary ni mwanafunzi na angependa kufahamu ni <strong>kwa</strong> jinsi gani<br />
kondom inaweza kuzuia maambukizi <strong>ya</strong> magonjwa <strong>ya</strong> ngono<br />
Kisa cha 8 Rose anataka kufahamu namna atakvyoongea na rafiki <strong>ya</strong>ke wa<br />
kiume kuhusu kondom kaw sababu hataki kupata mimba<br />
Kisa cha 9 Sara anafan<strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> bar na rafiki <strong>ya</strong>ke mp<strong>ya</strong> wa kiume ambaye ni<br />
mtu mzima zaidi <strong>ya</strong>ke ameshampatia vitu vingi vizuri ambavyo amekuwa<br />
akimuomba na sasa huyu rafiki <strong>ya</strong>ke anamuomba afanye naye mapenzi.<br />
Anaogopa kuongea nae kuhusu VVU. Je unawez kumsaidia <strong>kwa</strong> namna gani?<br />
Kisa cha 10 Imma amekuwa kwenye ndoa <strong>kwa</strong> miaka kadhaa sasa na mtoto<br />
mmoja, mume wake hufan<strong>ya</strong> kazi nje <strong>ya</strong> mji <strong>kwa</strong> miezi kadhaa <strong>kwa</strong> mwaka,<br />
atakuwa anarudi nyumbani na amekuwa akiwaza naman <strong>ya</strong> kuongea nae<br />
kuhusu VVU na jinsi <strong>ya</strong> watakavyoweza kulindana. Unaweza kumsaidia <strong>kwa</strong><br />
namna gani na je utamwambia nini?<br />
98
Kisa cha 11 Tunu amekuwa mteja wako kwenye saluni <strong>kwa</strong> miezi kadhaa sasa<br />
na anakuja saluni <strong>kwa</strong>ko asubuhi akionyesha ana hofu. Ana<strong>kwa</strong>mbia<br />
anawasiwasi amepata maambukizi <strong>ya</strong> VVU …..Amekuwa akito<strong>kwa</strong> majimaji<br />
sehemu zake za siri ……<br />
Kisa cha 12. Pili anakuuliza utajuaje kama mtu amepata maambukizi <strong>ya</strong> VVU<br />
Kisa cha 13: Florida anafikiri ni mjamzito na amesikia <strong>kwa</strong>mba mtu ukiwa na<br />
ujazito ni lazima utapima VVU, na pia angependa kufahamu iwapo mwenzi<br />
wake atapimwa, ana hofu, je utamwambia nini?<br />
Kisa cha 14: Unataka kuweleza kuhusu jinsi ambavyo <strong>wanawake</strong> wanaweza<br />
kujilinda kutokana na magonjwa <strong>ya</strong> ngono, je utawaambia nini wateja wako, mf.<br />
mwanamke kijana ambaye amekuwa akija kwenye saluni <strong>kwa</strong> miezi kadhaa<br />
sasa?<br />
99
KITINI - MADA YA 7<br />
UJUMBE MUHIMU: STADI ZA MAWASILIANO YA ANA KWA<br />
ANA<br />
Mawasiliano ni utaratibu wa kupeleka na kupokea taarifa (<strong>kwa</strong> maneno na bila<br />
maneno) kuhusiana na jambo mada fulani baina <strong>ya</strong> watu wawili ama zaidi <strong>kwa</strong><br />
lengo la kufikia maelewano <strong>ya</strong> pamoja.<br />
Mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana ni njia yenye nguvu sana katika kuleta<br />
mabadiliko <strong>ya</strong> tabia.<br />
Salamu ni jambo la <strong>kwa</strong>nza kabisa ambapo kunakuwa na mawasiliano <strong>ya</strong><br />
ana <strong>kwa</strong> ana na salamu zinatengeneza mazingira <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong><br />
mazungumzo mengine yote <strong>ya</strong>takayofanyika. Ni muhimu kuonyesha<br />
heshima wakati wa kusalimiana.<br />
Kusikiliza ni zaidi <strong>ya</strong> kusikia maneno, ni pamoja na kuwa mwangalifu<br />
<strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> ujumbe wa maneno na usio wa maneno ili kufikia maelewno<br />
<strong>ya</strong> pamoja.<br />
Kuuliza maswali ni njia <strong>ya</strong> kumhamasisha mtu kushiriki katika kutoa<br />
taarifa zaidi kuhusiana na hali zao. AU kueleza hisia zao. Wakati wa<br />
kudodosa tumia mchanganyiko wa maswali <strong>ya</strong>liyo wazi na <strong>ya</strong>liyofungwa.<br />
Tumia maneno aliyosema mteja wako ili wafahamu <strong>kwa</strong>mba umekuwa<br />
unawasikiza na utoe taarifa sahihi na kusahihisha kila aina <strong>ya</strong> mitazamo<br />
potofu.<br />
Jambo jingine linalofanikisha kwenye mawasilano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana ni<br />
matumizi <strong>ya</strong> zana kama vile majarida vijitabu mabango, na machapisho<br />
mengine ambayo <strong>ya</strong>liandaliwa ili kukuza uelewa kuhusiana na mada<br />
husika.<br />
Stadi zinazofanikisha za mawasilaino <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana zinazotumika ili<br />
kuendeleza mahusiano mazuri na mabadiilko <strong>ya</strong> tabia:<br />
o Salimia <strong>kwa</strong> heshima<br />
o Sikiliza ujumbe wa maneno na usio wa maneno<br />
o Uliza maswali ili kuanzisha majadiliano<br />
o Tumia maneno rahisi ili kutoa taarifa sahihi<br />
o Tumia zana za kusaidia kutoa taariafa za kuaminika na sahihi<br />
100
MAFUNZO YA 3: FOMU YA TATHMINI<br />
Fomu hii ni <strong>ya</strong> siri. Usiandike jina lako kwenye fomu hii. Asante.<br />
1. Je matarajio <strong>ya</strong>ko <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> mafunzo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>mefikiwa? (weka mduara<br />
kwenye jibu) NDIO HAPANA<br />
Kama hapana, <strong>kwa</strong>nini?<br />
2. Je ni mada gani umeipenda zaidi? Kwanini?<br />
3. Mada gani hujaipenda? Kwanini?<br />
4. Ni mada ipi tulihitaji kuipa muda zaidi?<br />
5. unaweza kupima namna gani mtindo wa uwezeshaji? (zungushia<br />
duara jibu moja)<br />
i. nzuri sana j. Wastani<br />
k. Nzuri l. Dhaifu<br />
Maoni:<br />
6. 6.Je tunaweza kufan<strong>ya</strong> nini tofauti ili kuboresha <strong>ya</strong>liyomo kwenye<br />
mafunzo ha<strong>ya</strong>?<br />
7. Tunaweza kufan<strong>ya</strong> nini tofauti ili kuboresha utaratibu mzima wa<br />
mafunzo ha<strong>ya</strong> (muda, mapumziko <strong>ya</strong> chai/ kahawa, n.k)<br />
101
8. Kwa ujumla, unaweza ku<strong>ya</strong>pa mafunzo ha<strong>ya</strong> kiwango gani cha<br />
ufanisi (Weka duara kwenye jibu moj<br />
a) Nzuri sana b. Nzuri c. Wastani d. Dhaifu<br />
9. Tumia nyuma <strong>ya</strong> ukurasa huu kama unayo maoni zaidi.<br />
102
MAFUNZO YA 4<br />
Karibuni wote tena kwenye sehemu <strong>ya</strong> mwisho <strong>ya</strong> mafunzo <strong>ya</strong> Kituo cha af<strong>ya</strong> za<br />
<strong>wanawake</strong> cha JIPENDE. Wakati wa warsha iliyopita, tuliongelea kuhusu<br />
umuhimu wa mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana na jinsi <strong>ya</strong> kutoa taarifa ujumbe wa<br />
af<strong>ya</strong> wenye ufanisi <strong>kwa</strong> wateja wa saluni za urembo. Kuboresha stadi za<br />
mawasiliano katika kupeleka ujumbe unaohusiana na Magonjwa <strong>ya</strong> ngono na<br />
kuzuia VVU, uelewa kuhusu saratani na tabia nyingine za af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi<br />
kunaweza kuleta mabadiliko <strong>kwa</strong> af<strong>ya</strong> za wateja wako.<br />
Mada <strong>ya</strong> leo ni kuhusu umuhimu wa uzazi wa mpango <strong>kwa</strong> <strong>wanawake</strong>.<br />
Takwimu zinaonyesha <strong>kwa</strong>mba hapa Tanzania vifo <strong>v<strong>ya</strong></strong> <strong>wanawake</strong> wakati wa<br />
kujifungua viko juu sana. Matatizo wakati wa ujauzito na wakati wa kujifungua<br />
ni sababu <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza kabisa inayosababisha vifo <strong>v<strong>ya</strong></strong> <strong>wanawake</strong> wenye umri kati<br />
<strong>ya</strong> miaka 14-49 hapa Tanzania. Tutajadiliana kuhusu faida za uzazi wa mpango<br />
na namna ambavyo zinaweza kusaidia kuokoa maisha <strong>ya</strong> <strong>wanawake</strong>. Mada hii<br />
ni <strong>ya</strong> mwisho <strong>ya</strong> mafunzo ha<strong>ya</strong>.<br />
103
MADA YA NANE:<br />
UZAZI WA MPANGO NA AFYA YA MAMA<br />
Mada ndogo<br />
8.1 Dhana <strong>ya</strong> uzazi wa mpango<br />
8.2 Sababu za kutumia njia za uzazi wa mpango<br />
8.3 Faida za uzazi wa mpango<br />
8.4 Njia za Uzazi mbadala zilizopo Tanzania<br />
8.5 Njia za uzazi wa mpango zinazotolewa kwenye <strong>vituo</strong> <strong>v<strong>ya</strong></strong> af<strong>ya</strong><br />
Madhumuni: Mwisho wa somo tutakuwa tumeweza …<br />
Zana:<br />
Muda :<br />
Kujadiliana kuhusu dhana <strong>ya</strong> uzazi wa mpango<br />
Kutambua sababu za kutumia njia za uzazi wa mpango<br />
Kuzifahamu faida za uzazi wa mpango<br />
Kujadiliana kuhusu njia mbadala za uzazi wa mpango zilizoko Tanzania.<br />
Kutambua njia za uzazi wa mpango zilizoko kwenye <strong>vituo</strong> <strong>v<strong>ya</strong></strong> af<strong>ya</strong><br />
Mabango na kalamu (markers)<br />
Mifano wa njia za uzazi wa mpango<br />
Kijarida cha njia za uzazi wa mpango<br />
Kitini cha Vidonge (njia <strong>ya</strong> uzazi <strong>ya</strong> kumeza)<br />
Kitini cha kondomu<br />
Kitini cha njia za Uzazi wa Mpango kwenye <strong>vituo</strong> <strong>v<strong>ya</strong></strong> af<strong>ya</strong><br />
Kitini cha Njia Asilia za Uzazi wa Mpango<br />
Kitini cha Ujumbe Muhimu: Njia za Uzazi wa Mpango<br />
Saa 1 na dk 30<br />
Wageni:<br />
Mtaalamu wa masuala <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi au Muuguzi<br />
104
7.1 Dhana <strong>ya</strong> Uzazi wa Mpango<br />
Hatua <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza<br />
Kama inawezekana alika <strong>mtaala</strong>mu wa uzazi wa mpango au muuguzi ili aweze<br />
kuongoza kwenye sehemu hii <strong>ya</strong> somo.<br />
Kikundi <strong>kwa</strong> pamoja, bunga bongo kuhusu maana <strong>ya</strong> uzazi wa mpango. Pata<br />
majibu kutoka kwenye kikundi na uandike kwenye bango.<br />
Elezea <strong>kwa</strong> ufupi maelezo <strong>ya</strong>o <strong>kwa</strong> kutumia maana iliyoko hapa chini:<br />
Njia za uzazi wa mpango ni pale ambapo mtu binafsi au wenzi wanapofan<strong>ya</strong><br />
maamuzi sahihi kuhusu lini wanataka kupata watoto idadi <strong>ya</strong> watoto<br />
wanaowataka na mtoto mmoja apishane umri na wengine <strong>kwa</strong> miaka mingi.<br />
Washiriki wafahamu <strong>kwa</strong>mba watu wote bila kujali hali <strong>ya</strong> <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> usawa au<br />
ndoa wanayo haki <strong>ya</strong> kupata taarifa kuhusiana na uzazi wa mpango, elimu na<br />
kupatiwa huduma.<br />
7.2 Sababu za kutumia Njia za Uzazi wa Mpango<br />
Hatua <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba sasa tutafan<strong>ya</strong> kazi kwenye makundi madogo.<br />
Wagawe kwenye makundi sita madogo. Waambie wanakikundi <strong>kwa</strong>mba<br />
tutajadiliana kuhusu sababu za <strong>kwa</strong>nini ni muhimu njia za uzazi wa mpango<br />
ziwepo hapa Tanzania. Tutapanga sababu hizi kama ifuatavyo: sababu za<br />
kiaf<strong>ya</strong>, sababu za kiuchumi na sababu za haki za binadamu.<br />
Wagawie wanakikundi kila kimoja mojawapo <strong>ya</strong> makundi ha<strong>ya</strong>.kila aina <strong>ya</strong><br />
kundi linaweza kufanyiwa kazi na kikundi zaidi <strong>ya</strong> kimoja.<br />
Wapatie wana kikundi dakika 10 kutengeneza orodha zao. Waambie<br />
wanakikundi wenye aina za sababu zinazofanana kuwasilisha waliyo<strong>ya</strong>gundua<br />
<strong>kwa</strong> pamoja, waambie washiriki walio amabao sio wana kikundi hiki kama<br />
watakuwa na nyongeza kwenye orodha hizo. Toa ufafanuzi wa swali lolote ama<br />
hali yoyote <strong>ya</strong> kutokuelewana.<br />
Baada <strong>ya</strong> kila aina <strong>ya</strong> sababu kuwasilishwa hakikisha <strong>kwa</strong>mba sababu<br />
zilizoorodheshwa hapa chini zimejadiliwa pia.<br />
i) Sababu za Kiaf<strong>ya</strong>;<br />
105
Kuwa na watoto wengi mno kunaathiri af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mama na mtoto.<br />
Hatari zinazoambatana na kuzaa watoto hapa Tanzania:<br />
o Mapema mno (<strong>wanawake</strong> wanakuwa wajawazito kabla <strong>ya</strong> umri<br />
wa mika 18)<br />
o Karibukaribu mno (chini <strong>ya</strong> miaka 2 <strong>ya</strong> umri kati <strong>ya</strong> ujauzito<br />
mmoja na mwingine )<br />
o Nyingi mno (zaidi <strong>ya</strong> mimba nne )<br />
o Kuchelewa sana (zaidi <strong>ya</strong> mika 35 )<br />
Kuzuia idadi <strong>ya</strong> mimba zisizotakiwa<br />
Kupunguza vifo <strong>v<strong>ya</strong></strong> watoto/magonjwa <strong>ya</strong> utotoni<br />
Kupunguza utoaji wa mimba<br />
Kupunguza uwezekano wa kupata maambukizi <strong>ya</strong> VVU kutoka <strong>kwa</strong> mtu<br />
mmoja kwenda <strong>kwa</strong> mwingine <strong>kwa</strong> kutumia kondom.<br />
ii) Sababu za kiuchumi na demografia.<br />
Endapo ongezeko la idadi <strong>ya</strong> watu halitadhibitiwa miundo mbinu iliyopo<br />
haiitaweza kukidhi mahitaji <strong>ya</strong> watu kama vile:<br />
Makazi<br />
Huduma za af<strong>ya</strong><br />
Shule<br />
Ardhi<br />
Utunzaji wa Mazingira<br />
Chakula<br />
Ajira<br />
iii) Haki za binadamu<br />
Uzazi wa mpango ni haki <strong>ya</strong> msingi <strong>ya</strong> binadamu.<br />
Kila mmoja anayohaki <strong>ya</strong> kupata taarifa sahihi na huduma kuhusu af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi<br />
kila mwanamke anahitaji kufan<strong>ya</strong> maamuzi sahihi kuhusiana na masuala <strong>ya</strong> af<strong>ya</strong><br />
106
<strong>ya</strong> uzazi.<br />
7.3 Faida za Uzazi wa Mpango<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba sasa tutajadiliana kuhusiana na faida binafsi<br />
atakazopata mtu endapo atatumia njia za uzazi wa mpango <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> mama<br />
baba, mtoto mchanga, watoto na jamii <strong>kwa</strong> ujumla?<br />
Wagawe washiriki katika makundi madogo <strong>ya</strong> majadiliano, uwe na walao<br />
makundi manne (<strong>ya</strong>siwe na washiriki zaidi <strong>ya</strong> watano <strong>kwa</strong> kila kikundi) kipatie<br />
kila kikundi kazi:<br />
Kundi la Kwanza – orodhesha faida atakazopata mama<br />
Kundi la Pili – orodhesha faida atakazopata baba<br />
Kundi la Tatu – orodhesha faida atakazopata mtoto mchanga<br />
Kundi la Nne – orodhesha faida jamii itakazozipata<br />
Wapatie kila kikundi dakika 10 za kujadili na kuandika majibu. Wazungukie<br />
kwenye makundi ili kama kuna hoja uweze kuielezea Waambie wana kikundi<br />
wachague mwakilishi wao mmoja atakayewasilisha majibu <strong>ya</strong>o. Wajadiliane<br />
majibu <strong>ya</strong> kazi zilizowasilishwa pamoja na darasa zima. Hakikisha kuwa faida<br />
zilizoorodheshwa hapa chini zinakuwemo kwenye majadiliano.<br />
Faida atakazopata mama<br />
Mwanamke anayetumia njia za uzazi wa mpango:<br />
Ataweza kupata af<strong>ya</strong> na kuondokana na msongo wa uzazi uliotangulia<br />
Anakuwa na muda zaidi wa kuangalia familia na watoto wake<br />
Anakuwa na nguvu <strong>ya</strong> kushiriki kwenye shughuli za kujiingizia kipato na<br />
kuweza kuwa na uwezo wa kuzalisha chakula cha kutosha<br />
Anaweza kuwa na muda wa kutosha na mume wake/ mwenzi wake na<br />
kufurahia tendo la ngono akiwa na utulivu wa akili.<br />
Anakuwa na muda wa kushiriki kwenye shughuli za maendeleo.<br />
Faida atakazopata baba<br />
Mwanaume anaetumia njia za uzazi wa mpango anaweza:<br />
Kuwa na utulivu zaidi katika kupanga pato la familia.<br />
107
Kuwa na muda wa kuangalia watoto wake <strong>kwa</strong> kuweza kukidhi mahitaji<br />
<strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> msingi kama vile elimu/ shule , malazi, nguo na huduma <strong>ya</strong> tiba<br />
Anakuwa na muda wa kutosha kushiriki kwenye shughuli za maendeleo<br />
Faida <strong>kwa</strong> mtoto<br />
Endapo wazazi wanatumia njia za uzai wa mpango mtoto atakuwa:<br />
Amenyonyeshwa <strong>kwa</strong> kipindi kirefu zaidi (hadi kufikia miaka 2 ama<br />
zaidi) na hivyo kupunguza utapiamlo, maambukizi <strong>ya</strong> kujirudia rudia na<br />
kusaidia kuongeza kasi <strong>ya</strong> kukua na kuendelea zaidi.<br />
Kupata uangalizi mkubwa zaidi na mapenzi zaidi kutoka <strong>kwa</strong> wazazi<br />
wake na wanafamilia <strong>kwa</strong> ujumla.<br />
Faida wanazozipata jamii /uchumi wa taifa<br />
Jamii yenye <strong>wanawake</strong> wanaopanga uzazi watakuwa na :<br />
Watu wachache na kuweza kuwapatia shule bora zaidi na hudu nyingine<br />
za kijamii kama vile huduma za tiba, huduma za maji, na hali nzuri <strong>ya</strong><br />
usafi wa mazingira.<br />
Kuwa na uwiano ulio bora zaidi kati <strong>ya</strong> rasilimali zilizopo na watu<br />
wanaozitumia.<br />
Wanakuwa na <strong>ya</strong>tima wachache wa kuwahudumia<br />
7.4 Njia za Uzazi wa Mpango zinazopatikana hapa Tanzania<br />
Hatua <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza<br />
Waambie washiriki wataje njia mbalimbali za uzazi wa mpango zilizopo/ au<br />
zinazotumika hapa Tanzania . Orodhesha majibu <strong>ya</strong>o kwenye bango.<br />
Jadili majibu <strong>ya</strong>liyopendekezwa na uulize kama kuna yeyote aliye na uzoefu<br />
wowote binafsi amabo angpenda kuwashirikisha kuhusiana na njia mojawapo.<br />
hakikisha unasashihisha upotoshaji wa dhana wowote au imani mba<strong>ya</strong><br />
zitakazoweza kujitokeza .<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Onyesha mfano wa njia mbalimbali za Uzazi wa Mpango <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> washiriki.<br />
Wazungushie ili kila mmoja aweze kuziona.<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba njia uzazi wa mpango zinazopatika hapa Tanzania<br />
zinaweza kuwe<strong>kwa</strong> kwenye makundi matano: Njia za maumbile, Njia za vizuizi<br />
108
zinazodhoofisha mbegu, Njia za kutumia vichocheo, Njia za asili, na Kufunga<br />
kizazi <strong>kwa</strong> hiari.<br />
Wapitishe washiriki kwenye kila kikundi. Uwaulize kama wanafahamu ni njia<br />
ipi iko kwenye kundi lipi. Baada <strong>ya</strong> hapo wapatie kitini cha njia za mpango hapa<br />
Tanzania. Mpitie <strong>kwa</strong> pamoja na kikundi na kuonyesha njia za uzazi wa mpango<br />
kila unapoiongelea njia hiyo.<br />
1. Vichocheo (Hormonal)<br />
Kinywa (ORAL)<br />
- Vidonge vyenye vichocheo zaidi <strong>ya</strong> kimoja ( Combined oral<br />
Contraceptive (COC) Pills (Flexi-P)<br />
- Vidonge vye kichocheo kimoja (Progestin Only Pills)<br />
SINDANO<br />
- Depro ProveraMegestron<br />
Vipandikizi (IMPLANTS)<br />
- Kipandikizi aina <strong>ya</strong> Norplant (yenye vipandikizi 6 )<br />
- Kipandikizi aina <strong>ya</strong> Implanon (yenye kipandikzi kimoja )<br />
2. Njia <strong>ya</strong> Vizuizi (Barrier Methods)<br />
- Kondom (kiume - Dume, kike -Lady Pepeta)<br />
3. Kitanzi (Intra Uterine Contraceptive Device- IUCD)<br />
- Shaba (Copper T 380A)<br />
4. Njia asilia (Natural Methods)<br />
- Kupima ute (Billings Ovulation Method/Cervical Mucus Method<br />
BOM/CMM)<br />
- Njia maziwa <strong>ya</strong> mama wakati wa kunyonyesha (Lactation<br />
Amenorrhea Method- LAM)<br />
- Kalenda<br />
- Joto la mwili (Basal Body Temperature)<br />
5. Upasuaji wa hiari wa kufunga kizazi (Voluntary Surgical Contraception-<br />
VSC)<br />
- kufunga kizazi <strong>kwa</strong> hiari <strong>kwa</strong> <strong>wanawake</strong> (Tubal ligation)<br />
- kufunga kizazi <strong>kwa</strong> hiari <strong>kwa</strong> wanaume (Vasectomy male)<br />
Hatua <strong>ya</strong> Tatu<br />
Wanakikundi wanatakiwa akufahamu kuwa vidonge, njia <strong>ya</strong> homini njia <strong>ya</strong><br />
vizuizi zinapatika mahali pengi hata maeneo <strong>ya</strong> biashara na kwenye <strong>vituo</strong> <strong>v<strong>ya</strong></strong><br />
109
af<strong>ya</strong>. Njia nyingine zilizobakia zinapatikana kwenye <strong>vituo</strong> <strong>v<strong>ya</strong></strong> af<strong>ya</strong> tu na<br />
zinatakiwa zitolewe na <strong>mtaala</strong>mu wa af<strong>ya</strong>. Sasa tutajadiliana kuhusu kuhusu<br />
vidonge na kondom <strong>kwa</strong> kina zaidi.<br />
Kama kuna muuguzi au <strong>mtaala</strong>mu wa masuala <strong>ya</strong> uzazi wa mpango waalike ili<br />
waje kujadili kuhusu taarifa zifuatazo. Endapo hakuna <strong>mtaala</strong>mu rejea taarifa<br />
ifuatayo na wanakikundi. Wapatie vidonge (njia <strong>ya</strong> kupanga uzazi <strong>kwa</strong> kumeza).<br />
Vidonge (Oral Contraceptives)<br />
Kuna aina mbili za vidonge zinazotumika hapa Tanzania<br />
Muunganiko wa estrojeni na projestini mf Makroginon, Lo femenal na Duofem<br />
- Zenye projestini peke <strong>ya</strong>ke -microluti na Microval.<br />
Vidonge vyenye muunganiko wa vichocheo kama vile Flexi P.<br />
VIdonge vilivyo na homoni zaidi <strong>ya</strong> moja ni nini?<br />
- Hivi ni vidonge <strong>v<strong>ya</strong></strong> kuzuia mimba ambavyo vina homoni mbili esterojen<br />
na projesteron (two hormones estrogen and progestin).<br />
Vidonge hivi vyenye homoini zaidi <strong>ya</strong> moja vinafan<strong>ya</strong> kazi <strong>kwa</strong> namna gani?<br />
- Vinazuia kupevuka <strong>kwa</strong> <strong>ya</strong>i (ovulation)<br />
- Zinasababisha eneo la ndani <strong>ya</strong> mji wa mimba lisifae <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong><br />
kurutubisha <strong>ya</strong>i<br />
- Zinafan<strong>ya</strong> ute wa kizazi kuwa mzito na kusababisha iwe ni vigumu <strong>kwa</strong><br />
mbegu za kiume kupen<strong>ya</strong> na kuingia kwenye mji wa mimba<br />
- Kufanikisha : vidonge hivi vinafanikisha sana kama vikitumiwa vema .<br />
Faida zake<br />
- Kuzuia mimba zisizotakiwa<br />
- Kurekebisha hedhi<br />
- Hupunguza kiasi cha damu <strong>ya</strong> hedhi na maumivu wakati wa hedhi<br />
- Huongeza ashki <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>kwa</strong> baadhi <strong>ya</strong> <strong>wanawake</strong> <strong>kwa</strong> vile<br />
hofu <strong>ya</strong> kupataujauzito inakuwa imeondoka<br />
- Zinapatikana kwenye maeneo <strong>ya</strong> kibishara na hat kupitia wasambazji wa<br />
ngazi <strong>ya</strong> jamii.<br />
- Haziingiliani na tendo la ngono<br />
- Ukiacha kutumia inakuwa rahisi mwili kurudi katiak hali <strong>ya</strong>ke na kubeba<br />
mimba tena (easily reversible)<br />
Nani hawezi kutumia aina hii <strong>ya</strong> njia <strong>ya</strong> uzazi wa mpango<br />
110
Mwanamke mjamzito au ambae huenda ana mimba<br />
Mwanamke mwenye tatizo la ugonjwa wa ini<br />
- Mwanamke mwenye kuto<strong>kwa</strong> na damu ukeni bila sababu zilizo wazi<br />
- Mwanamke mwenye kuumwa kichwa cha kipanda uso<br />
- Mwanamke mwenye kuto<strong>kwa</strong> na mishipa <strong>ya</strong> verikosi (varicose veins)<br />
Madhara <strong>ya</strong>nayoweza kuwepo<br />
- Kichefuchefu, dalili <strong>ya</strong> kuto<strong>kwa</strong> na damu katikati <strong>ya</strong> siku za hedhi<br />
kuongezeka uzito kidogo, kizunguzungu, kichwa kuuma kidogo<br />
Dalili za tahadhari ambazo zitahitaji uangalizi wa haraka wa kidaktari;<br />
- Maumivu <strong>ya</strong> kichwa na kutoona vizuri<br />
- Maumivu makali chini <strong>ya</strong> tumbo<br />
- Maumivu <strong>ya</strong> kifua<br />
- Maumivu kwenye misuli <strong>ya</strong> calf<br />
- Moyo kwenda kasi<br />
Kuzuia magonjwa <strong>ya</strong> ngono pamoja na VVU<br />
- Vidonge <strong>v<strong>ya</strong></strong> mchanganyiko wa homoni haviwezi kukulinda na<br />
magonjwa y ngono ukiwemo UKIMWI<br />
Vidonge <strong>v<strong>ya</strong></strong> kichocheo kimoja cha projestini peke <strong>ya</strong>ke (Progestin Only Pill)<br />
Vidonge <strong>v<strong>ya</strong></strong> projestini peke <strong>ya</strong>ke ni nini?<br />
- Ni kidonge kilicho na homoni moja aina <strong>ya</strong> projestini tu.<br />
Zinafan<strong>ya</strong> kazi <strong>kwa</strong> namna gani<br />
- Zinafan<strong>ya</strong> ute wa shingo <strong>ya</strong> kizazi kuwa mzito na kusababisha iwe<br />
vigumu mbegu za kiume kupen<strong>ya</strong> na kuingia kwenye mji wa mimba .<br />
- Huzuia <strong>ya</strong>i kupevuka<br />
- Zinasababisha sehemu <strong>ya</strong> ndani <strong>ya</strong> mji wa mimba kutokuwa mahali<br />
panapofaa kutunga mimba<br />
Inavyofanikisha<br />
Inafanikisha sana kama zikitumika kila siku <strong>kwa</strong> wakati ule ule<br />
Faida zake<br />
- Zinazuia mimba<br />
- Hazipunguzi wingi ama ubora wa maziwa <strong>ya</strong> mama <strong>kwa</strong> hiyo <strong>wanawake</strong><br />
wanaonyonyesha wanaweza kutumia njia hii.<br />
- Ukiacha kutumia inakuwa rahisi mwili kurudi katiak hali <strong>ya</strong>ke na kubeba<br />
mimba tena (easily reversible)<br />
Nani wanaweza kutumia njia hiii?<br />
- Wanawake wote walio kwenye umri wa kuzaa wanaweza kutumia(<br />
miaka 18- 49)<br />
111
- Wanawake wanaonyonyesha (walio na watoto chini <strong>ya</strong> miezi 6)<br />
Nani hawawezi kutumia njia hii?<br />
- Mwanamke mjamzito au ambae huenda ana mimba<br />
- Mwanamke anayeto<strong>kwa</strong> damu ukeni bila kuwepo na sababu<br />
inayoeleweka<br />
Madhara <strong>ya</strong>nayoweza kuwepo<br />
Kuwa na dalili <strong>ya</strong> damu au hedhi kusimama<br />
- Kuwa na hedhi isiyokuwa na mpangilio kati <strong>ya</strong> mzunguko mmoja wa<br />
hedhi na mwingine<br />
Dalili za hatari ambazo zitahitaji uangalizi wa haraka wa daktari:<br />
- Kuwa na maumivu makali chini <strong>ya</strong> tumbo pamoja na kukosa kuona hedhi<br />
- Endapo mtumiaji ataendelea kusahau kutumia vidonge au kunywa akiwa<br />
amechelewa muda aliojiwekea. ( taking them late)<br />
- Kuto<strong>kwa</strong> damu nyingi (Excessive bleeding)<br />
Kuzuia magonjwa <strong>ya</strong> ngono ukiwemo UKIMWI<br />
- Vidonge <strong>v<strong>ya</strong></strong> uazi wa mpango vyenye homoni zaidi <strong>ya</strong> moja haviwezi<br />
kukulinda na magonjwa <strong>ya</strong> ngono ukiwemo UKIMWI<br />
Tahadhari : Wanawake hawapaswi kuanza kutumia vidonge <strong>v<strong>ya</strong></strong> uzazi bila<br />
kupata ushauri wa <strong>mtaala</strong>mu wa af<strong>ya</strong> ili kuepuka mataizo <strong>ya</strong> kiaf<strong>ya</strong> na kuweza<br />
kupata taarifa sahihi na maelekezo sahihi <strong>ya</strong> jinsi <strong>ya</strong> matumizi.<br />
Maelekezo <strong>kwa</strong> kiongozi wa Rika<br />
Tumeshaongea kuhusu kondom <strong>ya</strong> kiume na <strong>ya</strong> kike kwenye kipindi kilichopita,<br />
ila tunaweza kuwakumbusha washiriki kuhusu majina <strong>ya</strong> kondom za kike na<br />
kiume tulizozijadili. Kama muda unatosha pitia taarifa na kama la wapatie<br />
washiriki kitini cha Kondom na muendelee kwenye hatua <strong>ya</strong> 4: Kazi <strong>ya</strong> igizo<br />
dhima.<br />
Wapatie kitini cha Kondom na upitie na wanakikundi. Wakumbushe<br />
wanakikundi <strong>kwa</strong>mba ta<strong>ya</strong>ri tumesha ongelea kuhusu kwenye somo lilopita na<br />
<strong>kwa</strong>mba tutapitia taarifa kuhusu kondom <strong>kwa</strong> kutumia kitini. Kondomu kama<br />
vile Dume na Lady Pepeta.<br />
Kondom ni nini?<br />
- Kondom za kiume – Ni kifaa cha plastiki kinachovaliwa kwenye<br />
uume uliosimama kabla <strong>ya</strong> tendo la ngono<br />
- Kondom <strong>ya</strong> kike - ni kifaa cha plastik kinachovaliwa ndani <strong>ya</strong> uke<br />
112
kabla <strong>ya</strong> kuanza tendo la ngono<br />
Huwa inafan<strong>ya</strong> kazi <strong>kwa</strong> namna gani?<br />
- Kondom huzuia mbegu za kiume zikitoka zisiingie kwenye njia <strong>ya</strong> uke<br />
<strong>ya</strong> mwanamke<br />
Inavyofanikisha<br />
- Kondom zinafanikisha sana kama zikitumika kila wakati na <strong>kwa</strong><br />
usahihi<br />
Faida zake s<br />
- Haihitaji kupimwa na mganga kabla <strong>ya</strong> kutumia unanunua na<br />
kuamua kutumia<br />
- Ni rahisi kutumia, kupatikana (zipo kwenye maduka na vibanda<br />
vingi)<br />
- Ni salama inafanisha na inabebeka <strong>kwa</strong> urahisi<br />
- Inatosheleza hasa wakati ambapo kuna haja <strong>ya</strong> kuwa na njia <strong>ya</strong> uzazi<br />
<strong>ya</strong> muda mfupi<br />
Nani anaweza kutumia kondom?<br />
- Wanawake na wanaume wote<br />
- Wenzi ambabo <strong>kwa</strong> sababu zozote hawawezi kutumia njia nyingine <strong>ya</strong><br />
uzazi wa mpango<br />
- Wenzi ambao wako katika matibabu <strong>ya</strong> magonjwa <strong>ya</strong> ngono<br />
- Wenzi wanaohitaji njia <strong>ya</strong> akiba (backup method)<br />
- Wenzi wanaohitaji njia ambayo inafanikisha mara tu baada <strong>ya</strong> kufanyiwa<br />
upasuaji wa kufunga njia <strong>ya</strong> mbegu za baba – <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> kumwaga manii<br />
baada <strong>ya</strong> kufanyiwa operesheni au miezi mitatu baada <strong>ya</strong> kufanyiwa<br />
operesheni.<br />
- Wateja wanaosubiri kufanyiwa upasuaji wa wa kufunga njia <strong>ya</strong> mbegu za<br />
kiume<br />
Nani ambao hawaruhusiwi kutumia kondom?<br />
- Wale ambao uwezo wa uume kusimama hautabiriki<br />
- Wale wanaopata mzio kutokana wa mpira<br />
Hasara zinazoweza kuwepo<br />
- Muwasho ama mzio I<br />
- Uhitaji wa kutakiwa kuvaa kondom nyingine kila baada <strong>ya</strong> manii kutoka<br />
Dalili za hatari zinazohitaji kumuona daktari <strong>kwa</strong> haraka<br />
- Hakuna labda <strong>kwa</strong> wale ambao wanapata mzio<br />
Inazuia magonjwa <strong>ya</strong> ngono na UKIMWI:<br />
- Pia huzuia kuenea <strong>kwa</strong> magonjwa <strong>ya</strong> ngono na UKIMWI<br />
113
Hatua <strong>ya</strong> Nne<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba watakaa kwenye makundi <strong>ya</strong> watu watatu na<br />
kufan<strong>ya</strong> igizo. Mtu mmoja kutoka kwenye kila kikundi atakuwa ni mhudumu<br />
wa saluni na mmoja atakuwa mteja na mwingine atakuwa mtazamaji. Baada kila<br />
igizo mtazamaji ataongea na timu <strong>ya</strong>ke kuhusu kile alichokiona, ikiwa ni pamoja<br />
na kama taarifa sahihi kuhusiana na njia za uzazi wa mpango ilitolewa na je ni<br />
stadi gani za mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana zilizotumika (kusalimia, kusikilza <strong>kwa</strong><br />
makini, kuuliza maswali, kutumia lugha nyepesi na kutumia zana za<br />
kuwezeshea) kila mmoja kwenye makundi madogo atapaswa kuwa na fursa <strong>ya</strong><br />
kuwa mhudumu wa saluni, mteja, na mtazamaji.<br />
Baaada <strong>ya</strong> vikundi vikiwa vimeshapat fursa <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> mazoezi <strong>ya</strong> maigizo,<br />
waambie wanvikundi <strong>kwa</strong>mba waigize moja <strong>ya</strong> maigizo na kujadiliana jinsi<br />
ambvyo kila kundi lilivyofan<strong>ya</strong> kwenye kundi kubwa.<br />
Visa mkasa <strong>v<strong>ya</strong></strong> kuigiza Njia za Uzazi wa Mpango<br />
Kisa mkasa cha <strong>kwa</strong>nza<br />
Andiko (script) <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> mhudumu wa saluni<br />
Nuru alianza siku zake za hedhi siku tatu zilizopita. Mwane ana miezi 8 na<br />
anataka kutumia njia za kisasa za uzazi wa mpango. Amwahi kusikia kuhusu<br />
vidonge na anataka kuwa mtumiaji wa vidonge. Je ni maswali gani ushauri upi<br />
na mapendekezo gani utampatia?<br />
Andiko (script) <strong>ya</strong> mteja<br />
Wewe ni Nuru mama wa watoto wawili, unataka watoto wako waachane <strong>kwa</strong><br />
kipindi cha miaka miwili. Umewahi kusikia kuhusu vidonge <strong>v<strong>ya</strong></strong> kumeza na<br />
<strong>kwa</strong>mba ni rahizsi kupatikana kwenye maduka <strong>ya</strong> dawa na <strong>vituo</strong> <strong>v<strong>ya</strong></strong> af<strong>ya</strong>.<br />
Uantaka kuvitumia lakini haufahamu sana kuhusu vidonge hivyo.<br />
Kisa mkasa cha Pili<br />
Andiko (script) <strong>ya</strong> Mhudumu wa Saluni<br />
Mama Mwajabu alijifungua siku 40 zilizopita. Ananyonyesha na aataka kutumia<br />
vidonge, amekuwa akisikia kuhusu vidonge maalum vilivyopo amabvyo<br />
vianweza kumsaidia kuzaa watoto <strong>kwa</strong> muachano mzuri. Je utamshauri na<br />
kupendekeza afanye nini?<br />
114
Andiko (script) <strong>ya</strong> mteja<br />
Wewe ni Mama Mwajabu na umeju=ifungua siku za karibuni. Huyu ni mtoto<br />
wako wa <strong>kwa</strong>nza na unataka kuwe na mwachano kati <strong>ya</strong> mtoto wa <strong>kwa</strong>nza na<br />
wa pili miaka miwili. Umesikia kuhusu <strong>kwa</strong>mba kuna vidonge unavyoweza<br />
kutumia kama mamaanyenyonyesha, ila hufahamu nini <strong>v<strong>ya</strong></strong> aina gani, vinafan<strong>ya</strong><br />
kazi namna gani na wapi unapoweza kuvipata.<br />
Kisa mkasa cha Tatu<br />
Andiko (script) <strong>ya</strong> mhudumu wa saluni<br />
Yusufu anataka kutumia njia za uzazi wa mpango na mwenzi wake ambayo<br />
itakuwa ni sahihi <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> malengo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kupanga uzazi. Je utampa<br />
ushauri gani na mapendekezo gani?<br />
Andiko (script) la mteja<br />
Wewe na Yusufu, baba wa mtoto mmoja, mnataka kutumia njia za uzazi wa<br />
mpango amabo utawalinda wewe na mwenzi wako ili msipate mimba ama<br />
maambukizi. Muulize mhudumu wa saluni akushauri na kukupendekezea ni<br />
njia ipi unaweza kuifikiria kuitumia.<br />
7.5 Njia za Uzazi wa Mpango zinazotolewa kwenye Vituo <strong>v<strong>ya</strong></strong> Af<strong>ya</strong><br />
Angalizo <strong>kwa</strong> kiongozi wa Rika:<br />
Taarifa ifuatayo inaweza kutolewa na Muuguzi ama <strong>mtaala</strong>mu wa uzazi wa<br />
mpango endapo kuna muda wa kutosha, vinginevyo elezea dhana muhimu<br />
kabisa kuhusiana na njia za uzazi wa mpango zinazopatikan kwenye <strong>vituo</strong> <strong>v<strong>ya</strong></strong><br />
af<strong>ya</strong>. Kila njia <strong>ya</strong> uzazi wa mpango inazo faida na madhara <strong>ya</strong>ke.<br />
Wahudumu wa Saluni za urembo wanaweza kuwaelekeza wateja wao kwenye<br />
<strong>vituo</strong> <strong>v<strong>ya</strong></strong> af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> familia ili waweze kupata maelekezo <strong>ya</strong> kina zaidi kuhusu njia<br />
za uzazi wa mpango zinazopatikana hapa Tanzania. Taarifa zaidi kuhusiana na<br />
njia hizi ipo kwenye kitini <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> kurejea zaidi.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Kwanza<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba mbali na njia zilizotajwa (vidonge na kondom)<br />
amavzo hupatikana kwenye maeneo <strong>ya</strong> kibishara, zipo njia nyingine<br />
zinazopatikana kwenye <strong>vituo</strong> <strong>v<strong>ya</strong></strong> huduma za af<strong>ya</strong> na zinahitaji kutolewa na<br />
115
<strong>mtaala</strong>mu wa af<strong>ya</strong>. .<br />
Washriki wanapaswa kufahamu <strong>kwa</strong>mba utaeleza <strong>kwa</strong> ufupi sana njia hizi na<br />
utawapatia kitini chenye maelekezo <strong>ya</strong> kina zaidi ambapo kinaweza kutumika<br />
baadae kama mwongozo rejea.<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba ni muhimu kuwaelekeza wateja wao kwenye <strong>vituo</strong><br />
<strong>v<strong>ya</strong></strong> kutolea huduma endapo wateja watakuwa na maswali ambayo hawawezi<br />
ku<strong>ya</strong>jibu.<br />
Hapa chini kuna taarifa ambayo unaweza kuitumia kwenye hitimisho lako<br />
kuhusu Njia za uzazi wa mpango ambazo watazipata kwenye kituo cha af<strong>ya</strong>:<br />
KITANZI ni kipande kidogo cha plastiki laini na shaba kandokando chenye<br />
umbo la T. kina nyuzi nyembamba mbili zimewe<strong>kwa</strong> kwenye sehemu <strong>ya</strong><br />
mwisho. Inaingizwa kwenye mji wa mimba kupitia ukeni na shingo <strong>ya</strong> mji wa<br />
mimba na <strong>mtaala</strong>mu aliyesomea. Baada <strong>ya</strong> kifaa hicho kuwekea kweny mji wa<br />
mimba vikamba viiwili tulivosema hapo awali huachwa vikiningia kupitia<br />
kwenye shingo <strong>ya</strong> uzazi hadi kwenye uke ili <strong>kwa</strong>mba mteja wa kifaa hicho<br />
aweze kujichunguza ili kuhakikisha kama kiko mahali pake. Kitanzi (IUD) ni<br />
njia inayofanikisha sana. Haikulindi na mgonjwa <strong>ya</strong> ngono ukiwemo UKIMWI.<br />
Sindano (Depo- Provera & Megestron) hizi ni njia za uzazi wa mpango<br />
zinazofanikisha zenye kichocheo kimoja ambacho hutolewa <strong>kwa</strong> njia <strong>ya</strong> sindano.<br />
Njia hii ina kichocheo kinachoitwa projestini. Sindano moja tu inakukinga dhidi<br />
<strong>ya</strong> mimba <strong>kwa</strong> miezi mingi. Sindanio haikulindi dhidi <strong>ya</strong> magojwa <strong>ya</strong> ngono<br />
ukiwemo UKIMWI.<br />
Vipandikizi (vijiti): (Implants: Norplant and Implanon) hivi ni viplastiki<br />
mithili <strong>ya</strong> vijiti vidogo vyenye dawa vinawe<strong>kwa</strong> chini <strong>ya</strong> ngozi kwenye mkono.<br />
Ina vichocheo sawa na sindano <strong>ya</strong> depo provera na vidonge <strong>v<strong>ya</strong></strong> Minni.<br />
Kipandikizi kinaweza kukupatia kinga dhidi <strong>ya</strong> mimba <strong>kwa</strong> miezi kadhaa. Ila<br />
haikulindi na magonjwa <strong>ya</strong> ngono ukiwemo UKIMWI<br />
Upasauji wa hiari wa kufunga kizazi : Ni njia <strong>ya</strong> kufunga kizazi <strong>ya</strong> upasuaji<br />
ambapo huweza kufanyiwa mwanaume au mwanamke. Zote ni njia za<br />
kudumu. Kwa mwanamke inajulika kama kufunga mirija <strong>ya</strong> kupitisha <strong>ya</strong>i la<br />
kike (Tubal-ligation). Kwa wanaume hujulikana kama kufunga mirija miwili<br />
inayopitisha mbegu za kiume (vasectomy)<br />
a) Kufunga mirija inayopitisha ma<strong>ya</strong>i <strong>kwa</strong> mwanamke (Tubal-ligation)<br />
116
ni njia <strong>ya</strong> uzazi wa mpango <strong>ya</strong> kudumu <strong>kwa</strong> <strong>wanawake</strong> . ni salama mkato<br />
wake ni rahisi. Sehemu ndogo <strong>ya</strong> mirija <strong>ya</strong> fallopian hufungwa pamoja na<br />
kukatwa.<br />
b) Kufunga mirija miwili inayopitisha mbegu za kiume (vasectomy) ni<br />
njia <strong>ya</strong> kupanga uzazi <strong>ya</strong> kudumu <strong>kwa</strong> wanaume ambao hawataki kuzaa<br />
watoto zaidi. Ni salama na ni upasuaji rahisi ambao huwa hauchukui<br />
zaidi <strong>ya</strong> dakika 30. Wakati wa operesheni mirija miwili amabyo<br />
husafirisha mbegu za kiume kutoka kwenye kifuko cha mmbegu testis<br />
kwenda kwenye uume vinafungwa na kukatwa. Mwnaume ataendelea<br />
kutoa manii lakini manii ha<strong>ya</strong>tkuwa tena na mbegu za kiume.<br />
Njia Asilia za Uzazi wa Mpango , Hizi ni njia nyingizo ambazo wenzi<br />
wanaweza kuzitumia kujikinga na mimba bila kutumia njia za kisasa. Hizi<br />
zinahitaji uelewa kuhusiana na mwili wa mwanamke na mawasiliano mazuri<br />
baina <strong>ya</strong> wenzi ili iweze kufanikisha. Baadhi <strong>ya</strong> njia hizi ni :<br />
a. Njia <strong>ya</strong> kutumia kipindi cha kunyonyesha (Lactational Amenorrhoea<br />
Method LAM) ni njia <strong>ya</strong> asili <strong>ya</strong> kuzuia mimba <strong>kwa</strong>mba mama<br />
anayenyonyesha anaweza kuitumia miezi sita <strong>ya</strong> mwanzo baada <strong>ya</strong> kuzaa<br />
kujilinda asipate mimba. Njia hii itafan<strong>ya</strong> kazi kama mama atakuwa hajapata<br />
hedhi tangu alipojifungua. Endapo anatumia maziwa <strong>ya</strong>ke peke <strong>ya</strong>ke<br />
kumlisha mtoto walao mara 6-10 <strong>kwa</strong> siku moja ikiwa ni pamoja na masaa <strong>ya</strong><br />
kumnyonyesha usiku) na endapo mtoto ana yuko chini <strong>ya</strong> miezi 6.<br />
b. Ute (CMM) ni njia ambayo mwanamke anaweza kuelewa siku zake za<br />
kupevuka <strong>kwa</strong> <strong>ya</strong>i <strong>kwa</strong> kuchunguza mabadilko <strong>ya</strong> ute . kuacha kufany<br />
ngono katika siku ambazo ute unakuwa mzito, mweupe usiokatika kirahisi)<br />
unakuwa ni ute ulo ta<strong>ya</strong>ri kupokea mimba..<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Wambie washiriki waeleze <strong>kwa</strong> ufupi kile walichojifunza wakti wa warsha hii.<br />
Wapatie kitini cha Ujumbe Muhimu wa Uzazi wa mpango. Wasome ukurasa<br />
huo.<br />
Ujumbe Muhimu : Uzazi wa Mpango<br />
Mimba na matatizo wakati wa kujifungua ni sababu kuu za vifo <strong>v<strong>ya</strong></strong><br />
<strong>wanawake</strong> kati <strong>ya</strong> miaka 14- 49.<br />
117
Uzazi wa Mpango unaokoa maisha na haki <strong>ya</strong> msingi <strong>ya</strong> binadamu.<br />
Kutumia Uzazi wa Mpango kunamnufaisha mama, baba, mtoto na jamii<br />
Njia za Uzazi wa Mpango zilizopo hapa Tanzania zinaweza kuwe<strong>kwa</strong><br />
kwenye makundi matano:n Homoni, vizuizi , kitanzi operesheni <strong>ya</strong> hiari<br />
na njia asilia. Njia zote sin faida na madahara <strong>ya</strong>ke..<br />
Mwanamke au wenzi watatakiwa kwenda kupata huduma <strong>ya</strong> uhsauri<br />
nasaha, kupima af<strong>ya</strong> zao na kushauriwa ili waweze kufan<strong>ya</strong> maamuzi<br />
sahihi kuhusu njia za uzazi wa mpango.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Tatu<br />
Wanakikundi wafahamu <strong>kwa</strong>mba wameshamaliza mada <strong>ya</strong> Uzazi wa Mpango.<br />
Wapatie kitini cha Njia za Uzazi wa Mpango kwenye ngazi <strong>ya</strong> kituo cha kutolea<br />
huduma zaAaf<strong>ya</strong> na kitini cha Njia Asilia<br />
118
KITINI CHA MADA YA NANE<br />
VIDONGE (ORAL CONTRACEPTIVES)<br />
Kuna aina mbili za njia za uzazi za vidonge hapa Tanzania<br />
Muunganiko wa estrojeni na projestini mf Makroginon, Lo femenal na Duofem<br />
- Zenye projestini peke <strong>ya</strong>ke -microluti na Microval.<br />
Vidonge vyenye muunganiko wa vichocheo kama vile Flexi P.<br />
VIdonge vilivyo na homoni zaidi <strong>ya</strong> moja ni nini?<br />
- Hivi ni vidonge <strong>v<strong>ya</strong></strong> kuzuia mimba ambavyo vina homoni mbili esterojen<br />
na projesteron (two hormones estrogen and progestin).<br />
Vidonge hivi vyenye homoini zaidi <strong>ya</strong> moja vinafan<strong>ya</strong> kazi <strong>kwa</strong> namna gani?<br />
- Vinazuia kupevuka <strong>kwa</strong> <strong>ya</strong>i (ovulation)<br />
- Zinasababisha eneo la ndani <strong>ya</strong> mji wa mimba lisifae <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong><br />
kurutubisha <strong>ya</strong>i<br />
- Zinafan<strong>ya</strong> ute wa kizazi kuwa mzito na kusababisha iwe ni vigumu <strong>kwa</strong><br />
mbegu za kiume kupen<strong>ya</strong> na kuingia kwenye mji wa mimba<br />
- Kufanikisha : vidonge hivi vinafanikisha sana kama vikitumiwa vema .<br />
Faida zake<br />
- Kuzuia mimba zisizotakiwa<br />
- Kurekebisha hedhi<br />
- Hupunguza kiasi cha damu <strong>ya</strong> hedhi na maumivu wakati wa hedhi<br />
- Huongeza ashki <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>kwa</strong> baadhi <strong>ya</strong> <strong>wanawake</strong> <strong>kwa</strong> vile<br />
hofu <strong>ya</strong> kupataujauzito inakuwa imeondoka<br />
- Zinapatikana kwenye maeneo <strong>ya</strong> kibishara na hat kupitia wasambazji wa<br />
ngazi <strong>ya</strong> jamii.<br />
- Haziingiliani na tendo la ngono<br />
- Ukiacha kutumia inakuwa rahisi mwili kurudi katiak hali <strong>ya</strong>ke na kubeba<br />
mimba tena (easily reversible)<br />
Nani hawezi kutumia aina hii <strong>ya</strong> njia <strong>ya</strong> uzazi wa mpango<br />
Mwanammke mjamzito au ambae huenda ana mimba<br />
Mwanamke mwenye tatizo la ugonjwa wa ini<br />
- Mwanamke mwenye kuto<strong>kwa</strong> na damu ukeni bila sababu zilizo wazi<br />
- Mwanamke mwenye kuumwa kichwa cha kipanda uso<br />
- Mwanamke mwenye kuto<strong>kwa</strong> na mishipa <strong>ya</strong> verikose (varicose veins)<br />
Madhara <strong>ya</strong>nayoweza kuwepo<br />
- Kichefuchefu, dalili <strong>ya</strong> kuto<strong>kwa</strong> na damu katikati <strong>ya</strong> siku za hedhi<br />
119
kuongezeka uzito kidogo, kizunguzungu, kichwa kuuma kidogo<br />
Dalili za tahadhari ambazo zitahitaji uangalizi wa haraka wa kidaktari;<br />
- Maumivu <strong>ya</strong> kichwa na kutoona vizuri<br />
- Maumivu makali chini <strong>ya</strong> tumbo<br />
- Maumivu <strong>ya</strong> kifua<br />
- Maumivu kwenye misuli <strong>ya</strong> calf<br />
- Moyo kwenda kasi<br />
Kuzuia magonjwa <strong>ya</strong> ngono pamoja na VVU<br />
- Vidonge <strong>v<strong>ya</strong></strong> mchanganyiko wa homoni haviwezi kukulinda na<br />
magonjwa y ngono ukiwemo UKIMWI<br />
Vidonge <strong>v<strong>ya</strong></strong> kichocheo kimoja cha projestini peke <strong>ya</strong>ke (Progestin Only Pill)<br />
Vidonge <strong>v<strong>ya</strong></strong> projestini peke <strong>ya</strong>ke ni nini?<br />
- Ni kidonge kilicho na homoni moja aina <strong>ya</strong> projestini tu.<br />
Zinafan<strong>ya</strong> kazi <strong>kwa</strong> namna gani<br />
- Zinafan<strong>ya</strong> ute wa shingo <strong>ya</strong> kizazi kuwa mzito na kusabaisha iwe vigumu<br />
mbegu za kiume kupen<strong>ya</strong> na kuingia kwenye mji wa mimba.<br />
- Huzuia <strong>ya</strong>i kupevuka<br />
- Zinasababisha sehemu <strong>ya</strong> ndani <strong>ya</strong> mji wa mimba kutokuwa mahali<br />
panapofaa kutunga mimba<br />
Inavyofanikisha<br />
Inafanikisha sana kama zikitumika kila siku <strong>kwa</strong> wakati ule ule<br />
Faida zake<br />
- Zinazuia mimba<br />
- Hazipunguzi wingi ama ubora wa maziwa <strong>ya</strong> mama <strong>kwa</strong> hiyo <strong>wanawake</strong><br />
wanaonyonyesha wanaweza kutumia njia hii.<br />
- Ukiacha kutumia inakuwa rahisi mwili kurudi katiak hali <strong>ya</strong>ke na kubeba<br />
mimba tena (easily reversible)<br />
Nani wanaweza kutumia njia hiii?<br />
- Wanawake wote walio kwenye umri wa kuzaa wanaweza kutumia(<br />
miaka 18- 49)<br />
- Wanawake wanaonyonyesha (walio na watoto chini <strong>ya</strong> miezi 6)<br />
Nani hawawezi kutumia njia hii?<br />
- Mwanamke mjamzito au ambae huenda ana mimba<br />
- Mwanamke anayeto<strong>kwa</strong> damu ukeni bila kuwepo na sababu<br />
inayoeleweka<br />
Madhara <strong>ya</strong>nayoweza kuwepo<br />
Kuwa na dalili <strong>ya</strong> damu au hedhi kusimama<br />
120
- Kuwa na hedhi isiyokuwa na mpangilio kati <strong>ya</strong> mzunguko mmoja wa<br />
hedhi na mwingine<br />
Dalili za hatari ambazo zitahitaji uangalizi wa haraka wa daktari:<br />
- Kuwa na maumivu makali chini <strong>ya</strong> tumbo pamoja na kukosa kuona hedhi<br />
- Endapo mtumiaji ataendelea kusahau kutumia vidonge au kunywa akiwa<br />
amechelewa muda aliojiwekea. ( taking them late)<br />
- Kuto<strong>kwa</strong> damu nyingi (Excessive bleeding)<br />
Kuzuia magonjwa <strong>ya</strong> ngono ukiwemo UKIMWI<br />
- Vidonge <strong>v<strong>ya</strong></strong> uazi wa mpango vyenye homoni zaidi <strong>ya</strong> moja haviwezi<br />
kukulinda na magonjwa <strong>ya</strong> ngono ukiwemo UKIMWI<br />
Tahadhari : Wanawake hawapaswi kuanza kutumia vidonge <strong>v<strong>ya</strong></strong> uzazi bila<br />
kupata ushauri wa <strong>mtaala</strong>mu wa af<strong>ya</strong> ili kuepuka mataizo <strong>ya</strong> kiaf<strong>ya</strong> na kuweza<br />
kupata taarifa sahihi na maelekezo sahihi <strong>ya</strong> jinsi <strong>ya</strong> matumizi<br />
121
KITINI CHA MADA YA 8<br />
KONDOM<br />
Kondom ni nini?<br />
- Kondom za kiume – Ni kifaa cha plastiki kinachovaliwa kwenye<br />
uume uliosimama kabla <strong>ya</strong> tendo la ngono<br />
- Kondom <strong>ya</strong> kike - ni kifaa cha plastik kinachovaliwa ndani <strong>ya</strong> uke<br />
kabla <strong>ya</strong> kuanza tendo la ngono<br />
Huwa inafan<strong>ya</strong> kazi <strong>kwa</strong> namna gani?<br />
- Kondom huzuia mbegu za kiume zikitoka zisiingie kwenye njia <strong>ya</strong> uke<br />
<strong>ya</strong> mwanamke<br />
Inavyofanikisha<br />
- Kondom zinafanikisha sana kama zikitumika kila wakati na <strong>kwa</strong><br />
usahihi<br />
Faida zake s<br />
- Haihitaji kupimwa na mganga kabla <strong>ya</strong> kutumia unanunua na<br />
kuamua kutumia<br />
- Ni rahisi kutumia, kupatikana (zipo kwenye maduka na vibanda<br />
vingi)<br />
- Ni salama inafanisha na inabebeka <strong>kwa</strong> urahisi<br />
- Inatosheleza hasa wakati ambapo kuna haja <strong>ya</strong> kuwa na njia <strong>ya</strong> uzazi<br />
<strong>ya</strong> muda mfupi<br />
Nani anaweza kutumia kondom?<br />
- Wanawake na wanaume wote<br />
- Wenzi ambabo <strong>kwa</strong> sababu zozote hawawezi kutumia njia nyingine <strong>ya</strong><br />
uzazi wa mpango<br />
- Wenzi ambao wako katika matibabu <strong>ya</strong> magonjwa <strong>ya</strong> ngono<br />
- Wenzi wanaohitaji njia <strong>ya</strong> akiba (backup method)<br />
- Wenzi wanaohitaji njia ambayo inafanikisha mara tu baada <strong>ya</strong> kufanyiwa<br />
upasuaji wa kufunga njia <strong>ya</strong> mbegu za baba – <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> kumwaga manii<br />
baada <strong>ya</strong> kufanyiwa operesheni au miezi mitatu baada <strong>ya</strong> kufanyiwa<br />
operesheni.<br />
- Wateja wanaosubiri kufanyiwa upasuaji wa wa kufunga njia <strong>ya</strong> mbegu za<br />
kiume<br />
Nani ambao hawaruhusiwi kutumia kondom?<br />
- Wale ambao uwezo wa uume kusimama hautabiriki<br />
- Wale wanaopata mzio kutokana wa mpira<br />
122
Hasara zinazoweza kuwepo<br />
- Muwasho ama mzio I<br />
- Uhitaji wa kutakiwa kuvaa kondom nyingine kila baada <strong>ya</strong> manii kutoka<br />
Dalili za hatari zinazohitaji kumuona daktari <strong>kwa</strong> haraka<br />
- Hakuna labda <strong>kwa</strong> wale ambao wanapata mzio<br />
Inazuia magonjwa <strong>ya</strong> ngono na UKIMWI:<br />
- Pia huzuia kuenea <strong>kwa</strong> magonjwa <strong>ya</strong> ngono na UKIMWI<br />
123
KITINI CHA MADA YA 8<br />
NJIA ZA UZAZI WA MPANGO ZINAPATIKANA KWENYE VITUO<br />
VYA AFYA<br />
Kitanzi (IUD)<br />
Kitanzi ni nini?<br />
- KITANZI ni kipande kidogo cha plastiki laini na shaba kandokando<br />
chenye umbo la T. kina nyuzi nyembamba mbili zimewe<strong>kwa</strong> kwenye<br />
sehemu <strong>ya</strong> mwisho. Inaingizwa kwenye mji wa mimba kupitia ukeni na<br />
shingo <strong>ya</strong> mji wa mimba na <strong>mtaala</strong>mu aliyesomea. Baada <strong>ya</strong> kifaa hicho<br />
kuwekea kweny mji wa mimba vikamba viiwili tulivosema hapo awali<br />
huachwa vikiningia kupitia kwenye shingo <strong>ya</strong> uzazi hadi kwenye uke ili<br />
<strong>kwa</strong>mba mteja wa kifaa hicho aweze kujichunguza ili kuhakikisha kama<br />
kiko mahali pake. Kitanzi (IUD) ni njia inayofanikisha sana. Haikulindi<br />
na mgonjwa <strong>ya</strong> ngono ukiwemo UKIMWI.<br />
Inafan<strong>ya</strong> kazi namna gani<br />
- Inazuia mimba <strong>kwa</strong> kuzuia kupandiza <strong>ya</strong>i kwenye mji wa mimba.<br />
- Shaba inayotoka kwenye kitanzi (IUD) inaua nguvu <strong>ya</strong> mbegu za kiume<br />
(spermicidal) na hivyo kupunguza kasi <strong>ya</strong> mbegu za kiume<br />
Inavyofanikisha:<br />
- Inafanikisha ni <strong>ya</strong> kuaminika<br />
Faida s<br />
- Haina madhara <strong>ya</strong> kihomoni <strong>ya</strong>nayohusianishwa nayo<br />
- Ina ulinzi wa muda mrefu (hadi miaka 10)<br />
- Haiingiliani na tendo la ngono<br />
- Inaweza kuondolewa wakati wowote<br />
- Haiingiliani na tiba<br />
- Inaweza kuwe<strong>kwa</strong> mapema tu mara baada <strong>ya</strong> kujifungua<br />
- Huzuia mimba punde tu inapowe<strong>kwa</strong><br />
- Uzazi hurudi mara tu baada <strong>ya</strong> kuindoa.<br />
Nani wanaweza kutumia kitanzi (IUD)<br />
- Wanawake /wenzi ambao wanataka kuzuia mimba <strong>kwa</strong> kindi kirefu<br />
- Wanawake walio kwenye mahusiano dhabiti <strong>ya</strong> mume mmoja<br />
- Wanawake wanaonyonyesha baada <strong>ya</strong> kujifungua<br />
- Wale ambao hawezi kutumia uzazi wa mpango wenye vichocheo <strong>v<strong>ya</strong></strong><br />
homoni<br />
124
- Wanawake ambao wamekamilisha kuza watoto lakini bado hawako ta<strong>ya</strong>ri<br />
<strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> njia za kudumu za kufunga kizazi<br />
Nani amabo hawezai kutumia kitanzi (IUD)<br />
- Wajawazito<br />
- Wanawake amabo wamepata maambukizi (PID) katika kipindi cha miezi<br />
kadhaa iliyopita<br />
- Wanawake walio na historia <strong>ya</strong> kuto<strong>kwa</strong> na damu nyingi <strong>ya</strong> hedhi<br />
- Wanawake wenye matatizo <strong>ya</strong> moyo<br />
- Wanwake walio katika hatari kubwa <strong>ya</strong> kuambukizwa magonjwa <strong>ya</strong><br />
ngono<br />
Kukulinda na magonjwa <strong>ya</strong> ngono na VVU<br />
- Haikupi ulinzi dhidi <strong>ya</strong> magonjwa <strong>ya</strong> ngono na VVU.<br />
Uwezekano wa madhara<br />
- Kupata maumivu sehemu <strong>ya</strong> chini <strong>ya</strong> tumbo na maumivu wakati wa<br />
hedhi<br />
- Kupata matone <strong>ya</strong> dmau katikati siku kabal <strong>ya</strong> hedhi.<br />
- Inaweza ikachomoka<br />
- Kutoka majimji ukeni ingawaje ha<strong>ya</strong>na harufu mba<strong>ya</strong><br />
Dalili za hatari amabzo zitahitaji uanggalizi wa daktari;<br />
- Kuchelewa au kukosa hedhi kabisa<br />
- Maumivu makali chini <strong>ya</strong> tumbo au kuto<strong>kwa</strong> na damu wakati wa<br />
kujamiiana<br />
- Kuto<strong>kwa</strong> na uchafu kwenye uke wenye harufu mba<strong>ya</strong><br />
- Kuto<strong>kwa</strong> na damu ukeni <strong>kwa</strong> muda mrefu<br />
- Kikamba kutoonekanaau kuwa fupi sana au kurefuka sana<br />
-<br />
Sindano (Depo- Provera & Megestron)<br />
Hii ni nini:<br />
Hii ni njia <strong>ya</strong> uzazi wa mpango yenye kichocheo kimoja ambacho hutolewa <strong>kwa</strong><br />
njia <strong>ya</strong> sindano. Njia hii ina kichocheo kinachoitwa projestini. Sindano moja tu<br />
inakukinga dhidi <strong>ya</strong> mimba <strong>kwa</strong> miezi mingi. Sindano haikulindi dhidi <strong>ya</strong><br />
magojwa <strong>ya</strong> ngono ukiwemo UKIMWI<br />
Inafan<strong>ya</strong> kazi namna gani;<br />
- Huzuia mwili wa mwanamke kutokuachia <strong>ya</strong>i la kila mwezi<br />
- Hufan<strong>ya</strong> ute kuwa mzito na hivyo kuwa vigumu <strong>kwa</strong> mbegu za kiume<br />
kupen<strong>ya</strong> na kuingia kweny kizazi<br />
125
- Inafan<strong>ya</strong> iwe vigumu <strong>kwa</strong> <strong>ya</strong>i lililo rutubishwa kuweza kukaa kwenye mji<br />
wa mimba (embed)<br />
Inavyofanikishas<br />
- Inafanikisha sana<br />
Faida zake<br />
- Haipunguzi kiasi cha maziwa <strong>ya</strong> mama<br />
- Inaweza kutumiwa na <strong>wanawake</strong> ambao hawawezi kutumia vidonge vye<br />
vichocheo <strong>v<strong>ya</strong></strong> aina mbili<br />
- Ukiacha unapata mimba (Reversible)<br />
- Inaweza kutolewa majuma sita baada <strong>ya</strong> kujifungua<br />
- Ni njia <strong>ya</strong> muda mrefu; sindano moja inaweza kukulinda <strong>kwa</strong> miezi<br />
mitatu<br />
- Ni makini<br />
Nani anaweza kutumia<br />
- Wanawake wengi wakiwemo wale ambao hawawezi kutumia vidonge<br />
Nani hawawezi kutumia<br />
- Wanwake ambao wanahisiwa au wamepima na kugundulika wana<br />
mimba<br />
- Wanawake wanaotaka kupata mimba mara moja baada <strong>ya</strong> kuacha<br />
kutumia njia za uzazi wa mpango.<br />
- Wanawake wanoto<strong>kwa</strong> damu bila kuwa na sababu maalumu<br />
Uwezekano wa Madhara<br />
- Kukosa hedhi au kupata matone damu.<br />
- Kuchelewa kupata ujauzito kati <strong>ya</strong> miezi 4-9 baada <strong>ya</strong> kuacha kutumia<br />
sindano.<br />
Kuzuia magonjwa <strong>ya</strong> Ngono na VVU<br />
- Hakuna ulinzi wa magonjwa <strong>ya</strong> ngono na UKIMWI<br />
Dalili za hatari amabzo zitahitaji uangali wa daktri;<br />
- Kuto<strong>kwa</strong> <strong>kwa</strong> damu <strong>kwa</strong> muda mrefu<br />
- Msongo<br />
- Maumivu <strong>ya</strong> kichwa<br />
- Kuongezeka uzito sana<br />
Vipandikizi (Norplant and Implanon)<br />
Vipandiki ni nini?<br />
- Hivi ni vijiti vidogo sita au kimoja vyenye dawa vinawe<strong>kwa</strong> chini <strong>ya</strong><br />
ngozi kwenye mkono. Ina vichocheo sawa na sindano <strong>ya</strong> depo provera na<br />
vidonge na <strong>v<strong>ya</strong></strong> Minni.<br />
126
Vinafan<strong>ya</strong> kazi namna gani ;<br />
- Huzuia mwili wa mwanamke kuachilai <strong>ya</strong>i kila mwezi<br />
- Hufan<strong>ya</strong> ute wa kizazi kuwa mzito na kuwa vigumu <strong>kwa</strong> mbegu <strong>ya</strong><br />
kiume kupen<strong>ya</strong> kwenda kwenye kizazi<br />
- Inakuwa vigumu <strong>kwa</strong> <strong>ya</strong>i kukaa kwenye mji wa mimba (embed)<br />
Inavyofanikisha:<br />
Zinafanikisha sana mara baada <strong>ya</strong> kuwekewa uhakika wa matumizi mazuri ni<br />
hakika.<br />
Faida<br />
- Inafaniksha masaa 24 baada <strong>ya</strong> kuiweka<br />
- Haiathiri unyonyeshaji<br />
- Inatoa ulinzi kw akipndi kirefu hadi miaka 3-5<br />
- Haiingiliani na tendo la ngono<br />
Nani wanweza kutumia<br />
- Wanawake wanaotaka kuzuia mimba <strong>kwa</strong> muda mrefu<br />
- Wanawake ambao wameshapata watoto wa kutosha na hawako ta<strong>ya</strong>ri<br />
<strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> kutumia njia <strong>ya</strong> kudumu <strong>ya</strong> kufunga kizazi<br />
- Wanwake wenye ugonjwa wa upungufu wa damu kutokana na seli<br />
mundu ( sickle cell)<br />
- Wanawake ambao hawawezi kutumia vidonge<br />
Nani hawawezi kutumia njia hii<br />
- Wajawazito<br />
- Wanawake wenye kupata mabadiliko <strong>ya</strong> hedhi kila mwezi<br />
- Wanawake wenye ugonjwa wa ini<br />
- Wanawake wenye kuto<strong>kwa</strong> damu ukeni bila kuwa na maelezo<br />
<strong>ya</strong>nayoeleweka<br />
Athari za vipandikizi (Norplant/Implanon)<br />
- Kubadilika <strong>kwa</strong> mzunguko wa hedhi – kupata matone, au kuja bila kuwa<br />
na mpangilio maalumu au kukosa hedhi kabisa<br />
- Kuongeza au kupungua uzito sana<br />
Kuzuia magonjwa <strong>ya</strong> ngono na UKIMWI<br />
Haiwezi kukulinda na Magonjwa <strong>ya</strong> ngono na UKIMWI<br />
Dalili za tahadhari ambazo zitahitaji uangalizi wa haraka wa kidaktari ;<br />
- Maumivu makali chini <strong>ya</strong> tumbo<br />
- Kuto<strong>kwa</strong> <strong>kwa</strong> damu nyingi ukeni<br />
- Kuto<strong>kwa</strong> na usaha au kuto<strong>kwa</strong> na damu au kufa ganzi<br />
- Kuumwa kichwa sanakuwa na tatizo la kutokuona vizuri<br />
127
- Kuongezeka sana uzito<br />
- Kipandikizi kuchomoka<br />
- Mteja kukosa hedhi <strong>kwa</strong> miezi miwili tangu awekewe kipandikizi<br />
Njia <strong>ya</strong> Uzazi wa mpango <strong>ya</strong> Upasuaji wa hiari <strong>kwa</strong> <strong>wanawake</strong> na wanume<br />
a) Kufunga mirija <strong>ya</strong> ma<strong>ya</strong>i Tubal-ligation<br />
kufunga mirija <strong>ya</strong> ma<strong>ya</strong>i ni kitu gani?<br />
Kufunga mirija <strong>ya</strong> ma<strong>ya</strong> I ni njia <strong>ya</strong> kdumu <strong>ya</strong> uzazi wa mpango <strong>kwa</strong><br />
<strong>wanawake</strong>. Ni njia <strong>ya</strong> usuaji ulio rahisi na salama.sehemu ndogo <strong>ya</strong> mirija<br />
<strong>ya</strong> uzazi (fallopian tubes) hufungwa <strong>kwa</strong> pamoja na kukatwa. Baada <strong>ya</strong><br />
upasuaji huo <strong>ya</strong>i haliwezi kukutana na mbegu <strong>ya</strong> kiume na mwanamke<br />
hawezi kubeba mimba na kuzaa watoto tena.<br />
Inavyofanikisha<br />
Kufunga mirija <strong>ya</strong> uzazi inafanikisha sana. Endapo itweza kushindwa<br />
kuzuia mimba huenda ikawa ni <strong>kwa</strong> sababu:<br />
o `pengine mteja alikuwa mjamzito wakati upasuaji huo ndogo<br />
ulipofanyika<br />
o Upasuaji haukufanyika <strong>kwa</strong> usahihi<br />
Faida zake<br />
- Ni njia <strong>ya</strong> kudumu, upasuaji mmoja tu unakupatia kinga <strong>ya</strong> uzazi <strong>kwa</strong><br />
maisha <strong>ya</strong>ko yote na huwa haiwezi kurudia hali <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> awali <strong>ya</strong> kuweza<br />
kuzaa.<br />
- Haiingiliani na kiasi cha maziwa <strong>ya</strong>m am <strong>ya</strong>takayotoka<br />
- Hakuna haja <strong>ya</strong> kwenda kuachunguzwa na daktari mara <strong>kwa</strong> mara<br />
- Haiingiliani na mabadiliko <strong>ya</strong> kawaida <strong>ya</strong> kimwili <strong>ya</strong>nayompata<br />
mwanmke<br />
- Maumivu kidogo tu baada <strong>ya</strong> upasuaji<br />
Nani anaweza kuitumia njia hii<br />
- Wanawake/ wenzi amabo hawataki kuwa na watoto zaidi<br />
Nani hawezi kutumia njia hii<br />
- Mwanamke yeyote au wenzi amabo bado wanahitaji kupat watoto zaidi<br />
- Wanawake ambao huenda ni wajawazito<br />
- Wanawake wenye maambukizi kama vile magionjwa <strong>ya</strong> ngono ambayo<br />
hayjatibiwa.<br />
Uwezekano wa madhara<br />
- Kunaweza kuwa na matatizo kutokana na upasuaji kama vile kuto<strong>kwa</strong> na<br />
damu au kupata maambukizi<br />
- Kunaweza kuwa na maumivu kiasi <strong>kwa</strong> siku kadhaa baada <strong>ya</strong> upasuaji<br />
128
Kuzuia Magonjwa <strong>ya</strong> Ngono ukiwemo UKIMWI<br />
- Haiwezi kukulinda usipate magonjwa <strong>ya</strong> ngono ukiwemo UKIMWI<br />
Dalili za hatari zitakazohitaji uangalizi wa daktari:<br />
- Kuto<strong>kwa</strong> na damu au usaha kweny mshono<br />
- Maumivu makali <strong>ya</strong> tumbo ambayo ha<strong>ya</strong>komi<br />
- Homa katika kipindi cha siku saba baada <strong>ya</strong> upasuaji<br />
- Dalili za ujauzito<br />
- Kidonda kuchelewa kupona<br />
b) Kufunga mirika <strong>ya</strong> mbegu za kiume<br />
kufunga mirika <strong>ya</strong> mbegu za kiume ni nini?<br />
Ni njia <strong>ya</strong> kudumu <strong>ya</strong> kupanga uzazi <strong>kwa</strong> wanume amabo hawatki<br />
kuendelea kupata watoto zaidi. Ni njia <strong>ya</strong> upasuaji iliyo rahisi na salama<br />
ambayo haichukui zaidi <strong>ya</strong> dakika 30.<br />
Inafan<strong>ya</strong> kazi namna gani<br />
Wakati wa upasuaji mirija miwili amabyo husafirisha mbegu za kiume<br />
kutoka kwenye korodani kwenda kwenye uume zinafungwa pamoja<br />
pamoja na kukatwa. Kwa kufan<strong>ya</strong> hivyo mbegu za kiume haziwezi<br />
kuingiakwenye majmaji <strong>ya</strong> kiume ambayo hutolewa wakati wa tendo la<br />
ngono. Mwanaume ataendelea kufikia kilele bila kutoa mbegu za kiume<br />
wakati wa tendo la ngono. Mbegu za kiume zinaingia kwenye mfumo w<br />
amwili kama kawaida.<br />
Inavyofanikisha<br />
- Ni njia inayofanikisha sana baada <strong>ya</strong> uasuaji. Wenzi watatkiwa kuendelea<br />
kutumia kondom <strong>kwa</strong> kipindi cha miezi mitatua au baada <strong>ya</strong> kufikia<br />
kilele baada <strong>ya</strong> tendo la ngono mara 20 baada <strong>ya</strong> upasuaji.<br />
Faida zake<br />
- Ni njia <strong>ya</strong> kudumu ianyokupanga uzazi <strong>kwa</strong> maisha <strong>ya</strong>ko yote.<br />
Haiingiliani na uwezo wa uume kusimama, au kutoa majmaji <strong>ya</strong> uume<br />
ama kufurahia tendo la ngono.<br />
Nani anaeweza kutumia<br />
- Mwanaume yeyote/ wenzi amabo hawataki kupata watoto zaidi.<br />
Nani hawezi kutumia<br />
- Mwanaume yeyote/ wenzi amabo bado wanhitaji kupat watoto zaidi<br />
Uwezekano wa madhara<br />
- Kunaweza kukawa na matatizo kidogo wakati wa upasuaji kama vile<br />
kuto<strong>kwa</strong> na damu au kupat maambukizi<br />
- Maumivu kidogo baada <strong>ya</strong> upasuaji<br />
129
Kuzuia magonjwa <strong>ya</strong> ngono ukiwemo UKIMWI<br />
- Haiwezi kuklinda na magonjwa <strong>ya</strong> ngono ukiwemo UKIMWI<br />
Dalili za hatari zitakazohitaji kumuoan daktari<br />
- Maumivu makali kwenye kinena au homa<br />
- Kuto<strong>kwa</strong> na damu au usaha kutoka kwenye mshono<br />
- Eneo lililopasuliwa kuvimba<br />
- Kidonda kuchelewa kupona<br />
130
KITINI CHA MADA YA 8 TOPIC 8 HANDOUT<br />
NJIA ZA UZAZI WA MPANGO ZA ASILI<br />
Njia za uzazi wa mpango za asili ni njia ambazo wenzi wanaweza kuzuia mimba<br />
bila kutumia njia za kisasa. Baadhi <strong>ya</strong> njia hizi ni:<br />
- Njia <strong>ya</strong> unyonyeshaji ( Lactational Amenorrhea Method LAM)<br />
- Njia <strong>ya</strong> kuangalia ute (Cervical Mucus Method)<br />
Njia <strong>ya</strong> unyonyeshaji ni nini?<br />
Ni njia <strong>ya</strong> asili <strong>ya</strong> kuzuia mimba ambapo mama anayenyonyesha anaweza<br />
kuitumia <strong>kwa</strong> kuzuia mimba <strong>kwa</strong> kipindi cha miezi sita <strong>ya</strong> mwanzo<br />
baada <strong>ya</strong> kujifungua<br />
Inafan<strong>ya</strong> kazi namna gani<br />
Njia <strong>ya</strong> unyonyeshaji (Lactational Amenorrhea Method (LAM) hii ni njia<br />
ambayo unyonyeshaji huathiri mwili wa mwanamke. Mtoto anaponyon<strong>ya</strong><br />
huzuia vichocheo <strong>v<strong>ya</strong></strong> mwili ambvyo hutumika kwenye kuachiliwa <strong>kwa</strong><br />
<strong>ya</strong>i.<br />
Inavyofanikisha<br />
Inafanikisha sana endapo mama nampa mtoto maziwa <strong>ya</strong>ke peke <strong>ya</strong>ke<br />
bila kumlisha <strong>v<strong>ya</strong></strong>kula vingine na <strong>kwa</strong>mba unyonyeshaji huu uendelee sio<br />
chini <strong>ya</strong> miezi 6 baada <strong>ya</strong> kujifungua na kabla <strong>ya</strong> kurejea mzunguko wake<br />
wa hedhi.<br />
Faida zake<br />
- Inahimiza tabia <strong>ya</strong> unyonyeshaji bora<br />
- Hakuna cha kununua<br />
- Haiingiliani na tendo la ngono<br />
- Kinga <strong>ya</strong> kim<strong>ya</strong> <strong>kwa</strong> mtoto<br />
- Hakuna vifaa vinavyohitajika<br />
- Hakuna maandalizi <strong>ya</strong>nayohitajika<br />
Nani anaweza kutumia njia hii:<br />
- Wanawake wote wenye kunyonyesha na wale wanoweza kumpa mtot<br />
maziwa <strong>ya</strong>m am tu <strong>kwa</strong> miezi 6 mfululizo baada <strong>ya</strong> kujifungua.<br />
- Wanawake au wenzi ambao imani zao za kidini haziwaruhusu kutumia<br />
njia za kisasa za uzazi wa mpango.<br />
Nani hawawezi kutumia njia hii:<br />
- Wanawake ambao hurudi kwenye mzunguko wa hedhi mwezi mmoja tu<br />
baada <strong>ya</strong> kujifungua<br />
- Wanawake ambo hawawezi kunyonyesha mtoto maziwa <strong>ya</strong>m am tu bila<br />
kumpa chakula kingine chochote<br />
131
Uwezekano wa madhara<br />
Hakuna<br />
Dalili za hatari zitakazohitaji kumuona daktari:<br />
- Kuwa na mashaka penfine ana mimba<br />
- Anapata shida wakati wa kunyonyesha<br />
- Uvimbe, vidonda au chuchu kuwa nyekundu<br />
B) Njia <strong>ya</strong> Ute wa shingo <strong>ya</strong> kizazi (CMM)<br />
Ute wa shingo <strong>ya</strong> kizazi?<br />
Ni njia ambayo mwanamke anaweza kufahamu siku zake amabzo <strong>ya</strong>i<br />
limepevuka <strong>kwa</strong> kuangalia mabadiliko <strong>ya</strong> ute wa shingo <strong>ya</strong> uzazi<br />
Inafan<strong>ya</strong> kazi namna gani<br />
Kutofan<strong>ya</strong> tendo la ngono wakati wa siku amabzo ute wa uzazi unakuwa<br />
kama ute wa <strong>ya</strong>i la kuku bichi (mweupe kama maji na unavutika ).<br />
Inavyofanikisha<br />
- Inafanikisha (sana endapo itatumika mara <strong>kwa</strong> mara na <strong>kwa</strong> usahihi<br />
Faida zake<br />
- Haihitaji maelekezo <strong>ya</strong> daktri<br />
- Haina athari za kiaf<strong>ya</strong> au madhara <strong>ya</strong>tokanayo na matumizi<br />
- Inaongeza uelewa wa kuzuia mimba<br />
- Inawajengea wanwake uwezo wa kuwez akudhibiti matamanio <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong><br />
kingono na kufan<strong>ya</strong> maamuzi kuhusiana na uzazi wa mpango<br />
Nani wanweza kutumia njia hii <strong>ya</strong> ute (CMM)<br />
- Wanwake wenye matatizo wakitumia njia za kisasa za kupanga uzazi<br />
- Wenzi amabo huwa wanpanga ni lini wafanye ngono<br />
Nani amabo hawawezi kuitumia njia hii <strong>ya</strong> ute<br />
- Wenzi amabo hawawezi kuacha kufan<strong>ya</strong> tendo la ngono wakati wa siku<br />
za hatari kwenye mzunguko wa siku za hedhi<br />
- Wanawake ambao siku zao za hedhi huwa zinabadilikabadilika<br />
- Wanawake amabo hawawezi kudhibiti matamanio <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> ngono<br />
Uwezekano wa madhara<br />
- Hakuna<br />
Kuzuia magonjwa <strong>ya</strong> ngono ukiwemo ukimwi<br />
Hakuna<br />
Dalili za hatari zitakazoweza kuhitaji uangali wa daktari:<br />
- Dalili za ujauzito<br />
KITINI CHA MADA YA 8<br />
132
UJUMBE MUHIMU: UZAZI WA MPANGO: UZAZI WA MPANGO<br />
Mimba na matatizo wakati wa kujifungua ni chanzo kikuu<br />
kinachosababisha vifo <strong>v<strong>ya</strong></strong> <strong>wanawake</strong> kati <strong>ya</strong> miaka 14-49 .<br />
Uzazi wa mpango unaokoa maisha na ni haki <strong>ya</strong> msingi <strong>ya</strong><br />
binadamu<br />
Kutumia uzazi wa mpango kunamnufaisha mama, baba na<br />
mtoto na jamii <strong>kwa</strong> ujumla.<br />
Njia za Uzazi wa mpango zilizoko Tanzania zinaweza<br />
kuwe<strong>kwa</strong> kwenye makundi matano: vichocheo, njia za vizuizi,<br />
kitanzi (IUD), njia <strong>ya</strong> uzazi <strong>ya</strong> upasuaji wa hiari, na njia asilia.<br />
Kila njia ina faida zake na madhara <strong>ya</strong>ke.<br />
Mwanamke au wenzi wanapaswa kupatiwa ushauri nasaha,<br />
kupimwa af<strong>ya</strong> na kushauriwa kufan<strong>ya</strong> maamuzi <strong>ya</strong>liyo sahihi<br />
kuhusu njia za uzazi wa mpango.<br />
133
MADA YA TISA: KUMALIZIKA KWA MASOMO YA MUHIMU<br />
Mada ndogo<br />
9.1 Madhumuni <strong>ya</strong> warsha na mada zilizofanyika<br />
9.2 Zoezi la mwisho la mafunzo<br />
9.3 Tathmini <strong>ya</strong> mafunzo<br />
9.4 Kugawa vyeti<br />
Madhumuni: Mwisho wa somo tutakuwa a tume fan<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>futayo…<br />
kutathmini kile tulichojifunza kuhusu af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> <strong>wanawake</strong><br />
Zana:<br />
Muda:<br />
Kutathmini ni jinsi gani stadi nzuri za mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana<br />
zinaweza kutumika kuleta mabdiliko <strong>ya</strong> tabia<br />
Kujiandaa kutenda kama watu wa mgfano mzuri katika kuongea na<br />
kuchangiana mawazo na wanwake watu wazima hapa Tanzania kuhusu<br />
kile tulichojifunza kuhusu af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi na jinsi <strong>ya</strong> kujilinda na magonjwa<br />
<strong>ya</strong> ngono, VVU na jinsi <strong>ya</strong> kuboresha af<strong>ya</strong> zetu.<br />
Kupata vyeti vinavyoonyesha <strong>kwa</strong>mba tumeshiriki na kumaliza mafunzo<br />
<strong>ya</strong> masomo ha<strong>ya</strong> muhimu.<br />
Leta jaribio la awali wakati mafunzo <strong>ya</strong>lipoanza<br />
Bango na kalamu (markers)<br />
Dodoso la jaribio la mwisho<br />
Tathmini <strong>ya</strong> mafunzo<br />
Saa 1 na dk 30<br />
8.1 Mada za Warsha<br />
Hatua <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza<br />
Waambie washiriki waelezee baadhi <strong>ya</strong> mada zilizomo kwenye mafunzo ha<strong>ya</strong> na<br />
ni <strong>kwa</strong> njia gani zinazohusiana na kuboresha af<strong>ya</strong> za <strong>wanawake</strong>.<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba somo hili ni fursa <strong>ya</strong> mwisho <strong>kwa</strong>o kuuliza<br />
maswali kuhusuiana na <strong>ya</strong>liyomo kwenye mafunzo kuhusiana na taarifa za<br />
kiaf<strong>ya</strong> na jinsi <strong>ya</strong> kuzuia, af<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> uzazi, stadi za mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana, na<br />
athari zake kwenye mabadiliko <strong>ya</strong> tabia. Pitai mada zote zinazotokana na<br />
134
warsha.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Waambie washiriki kuaigiza mada ambazo wataongelea na wateja wao .<br />
Wapatie dakika kadhaa na baada <strong>ya</strong> hapo waalike watakaopenda kujitolea<br />
kushirikisha wenzao mawazo <strong>ya</strong>o.<br />
Andika majibu <strong>ya</strong>o kwenye bango.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Tatu<br />
Soma madhumuni <strong>ya</strong> warsha <strong>ya</strong>liyoko hapa chini <strong>kwa</strong> sauti na uwaambie<br />
wanakikundi wajadiliane ni <strong>kwa</strong> namna gani madhumuni <strong>ya</strong>mefikiwa ama<br />
ha<strong>ya</strong>kufikiwa.<br />
Madhumuni <strong>ya</strong> Jumla <strong>ya</strong> warsha:<br />
Mwisho wa warsha wahudumu wa saluni za urembo na wamiliki wao watapata<br />
taarifa za uhakika kuhusiana na afay <strong>ya</strong> uzazi, uelewa kuhusiana na saratani <strong>ya</strong><br />
matiti na shungo <strong>ya</strong> kizazi, magonjwa <strong>ya</strong> ngono na VVU na jiansi <strong>ya</strong> kuzuia<br />
katika jitihada za kuboresha af<strong>ya</strong> za <strong>wanawake</strong> wa Tanzania.<br />
Watakuwa pia wameongeza kiwango cha stadi za kufan<strong>ya</strong> majadiliano na<br />
mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana wao na wateja wa saluni ili kuongeza mauzo.<br />
8.2 Taarifa za warsha -Jaribio la mwisho la Warsha<br />
Hatua <strong>ya</strong> <strong>kwa</strong>nza<br />
Waambie washiriki <strong>kwa</strong>mba utawapatia dodoso. Waelekeze washiriki <strong>kwa</strong>mba<br />
wanazo dakika 20 tu za kujibu maswali. Waambie hapaswi kupata taarifa zozote<br />
kutoka nje <strong>ya</strong> mada. Na wanapaswa kujibu maswali <strong>kwa</strong> kuzingatia<br />
wanachokifahamu tu. Baada <strong>ya</strong> dakika 20 kusan<strong>ya</strong> makaratasi <strong>ya</strong> jaribio.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Linganisha matokeo <strong>ya</strong> jaribio la awali na jaribio la mwisho la mafunzo. Weka<br />
angalizo <strong>kwa</strong> maswali ambayo <strong>ya</strong>mepata kiwango kidogo cha majibu sahihi .<br />
135
9.3 Tathmini <strong>ya</strong> Mafunzo<br />
Wapatie washiriki fomu maalum zilizoandaliwa za kutathmini mafunzo na<br />
zijazwe kila mtu <strong>kwa</strong> usiri wake. Kusan<strong>ya</strong> fomu hizo na uzipitie baadae.<br />
9.4 Kufunga Warsha<br />
Fan<strong>ya</strong> sherehe fupi <strong>ya</strong> kufunga na kuwapatia vyeti.<br />
Washukuru wote <strong>kwa</strong> kuhudhuria warsha na <strong>kwa</strong> kushirikishana taarifa <strong>kwa</strong><br />
siku nzima na baada <strong>ya</strong> hapo funga mafunzo rasmi.<br />
Wapatie namba za simu za wafan<strong>ya</strong>kazi wa T-MARC na uwahakikishie<br />
<strong>kwa</strong>mba wanakaribishwa wakati wowote kuwasiliana nasi <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> taaria<br />
zaidi. Tutafawatembelea kwenye maeneo <strong>ya</strong>o baada <strong>ya</strong> wiki 2 ili kufuatilia<br />
utekelezaji na kujibu maswali.<br />
136
KITUO CHA WANAWAKE CHA AFYA JIPENDE!<br />
JARIBIO LA MWISHO LA MAFUNZO<br />
1. Nini ni sababu kuu <strong>ya</strong> vifo miongoni mwa <strong>wanawake</strong> kati <strong>ya</strong> miaka 18<br />
hadi 49 hapa Tanzania?<br />
UKIMWI, Mimba/ Matatizo wakati wa kujifungua, Magonjwa <strong>ya</strong> ngono,<br />
Malaria ,<br />
2. Je VVU ni tatizo kubwa <strong>kwa</strong> wanaume au <strong>wanawake</strong> ? Wanaume<br />
<strong>wanawake</strong><br />
3. je inawezekana kuwa na ugonjwa utokanao na ngono na usijifahamu<br />
kama unao? NDIO HAPANA<br />
4. Kuwa na magonjwa <strong>ya</strong> ngono kunaongeza uwezekano wa:<br />
kupata saratani kupata VVU Kupata mimba kupata Malaria<br />
5. Taja njia tatu za kuzuia VVU :<br />
a. ____________________ c.______________________<br />
b. ____________________<br />
6. Ipi ni njia pekekee <strong>ya</strong> kuweza kutambua kama una VVU?<br />
_____________________<br />
7. Taja njia mbili ambazo un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa unaathiri jitihada za kuzuia VVU na<br />
kutibu hapa Tanzania :<br />
a. ____________________________________________________<br />
b. ____________________________________________________<br />
8. Ni <strong>kwa</strong> kiasi gani wanwake wanapaswa kuchunguza sartani <strong>ya</strong> matiti ?<br />
Kila siku mara moja <strong>kwa</strong> wiki mara moja kila mwezi<br />
mara moja <strong>kwa</strong> mwaka<br />
9. ipi ni njia <strong>ya</strong> mawasiliano yenye ngivu zaidi katika kubadili tabia za<br />
watu?<br />
Redio mawasiliano <strong>ya</strong> ana <strong>kwa</strong> ana luninga vipeperushi<br />
137
10. taja njia sita za uzai wa mpango zinazopatikana hapa Tanzania :<br />
a. ___________________ d.____________________<br />
b. ___________________ e._____________________<br />
c. ___________________ f.______________________<br />
138
FOMU YA KUTATHMINI MAFUNZO<br />
Fomu hii ni <strong>ya</strong> siri. Usiandike jina lako kwenye fomu. Asante<br />
1. Je matarajio <strong>ya</strong>ko <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong> mafunzo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>mefikiwa? (weka mduara<br />
kwenye jibu) ? (Weka mduara) NDIO HAPANA<br />
Kama hapana, <strong>kwa</strong>nini?<br />
6. Je ni mada gani umeipenda zaidi? Kwanini?<br />
7. Mada gani huajipenda? Kwanini?<br />
8. Ni mada ipi tulihitaji kutumia muda mwingi zaidi?<br />
9. Kwa ujumla mtindo wa uwezeshaji ulikuwaje? ( zungushia duara jibu moja)<br />
m. Nzuri sana n. Wastani<br />
o. Nzuri p. Dhaifu<br />
Maoni:<br />
10. je tunaweza kufan<strong>ya</strong> nini tofauti ili kuboresha <strong>ya</strong>liyomo kwenye mafunzo<br />
ha<strong>ya</strong>?<br />
11. Tunaweza kufan<strong>ya</strong> nini touti ili kuboresha utaratibu mzima wa mafunzo<br />
ha<strong>ya</strong> ?<br />
(Muda, mapumziko <strong>ya</strong> chai/ kahawa, n.k)<br />
12. Kwa ujumla, unaweza ku<strong>ya</strong>pa mafunzo ha<strong>ya</strong> kiwango gani cha ufanisi?<br />
(Weka duara kwenye jibu moja) .<br />
Nzuri sana b. Nzuri c. Wastani d. Dhaifu<br />
13. Tumia nyuma <strong>ya</strong> ukurasa huu kama unayo maoni zaidi.<br />
139