08.06.2013 Views

vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub

vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub

vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

MADA 1: KITINI<br />

UKWELI KUHUSU UJINSIA NA AFYA YA UZAZI TANZANIA<br />

1. Kufan<strong>ya</strong> ngono zisizo salama inaweza kusababisha kupata mimba<br />

zisizotarajiwa, VVU na Magonjwa <strong>ya</strong> Ngono.<br />

2. Matatizo wakati wa mimba na wakati wa kujifungua ni sababu<br />

kubwa inayosababisha vifo <strong>v<strong>ya</strong></strong> <strong>wanawake</strong> Tanzania<br />

3. Kila mtu anaweza kupata VVU – wanaume, <strong>wanawake</strong>, vijana,<br />

wazee, matajiri, masikini, wasomi na wasiosoma. Mara<br />

utakapopata VVU huwezi kuviondoa.<br />

4. VVU vinaathiri <strong>wanawake</strong> zaidi iwe ni kwenye maeneo <strong>ya</strong> mijini<br />

au vijijini hapa Tanzania .<br />

5. Kupata magonjwa <strong>ya</strong> zinaa kunaongeza uwezekano wa kupata<br />

maambukizi <strong>ya</strong> VVU. .<br />

6. Wanawake na wanaume waliooana wanapaswa kupima VVU.<br />

7. Wanawake wanaweza kujilinda wasipate VVU, magonjwa mengi<br />

<strong>ya</strong> ngono ama mimba zisizotarajiwa <strong>kwa</strong> kutumia kondom mara<br />

<strong>kwa</strong> mara na <strong>kwa</strong> usahihi wao na wenzi wao wa kingono.<br />

18

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!