vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
MADA 1: KITINI<br />
UKWELI KUHUSU UJINSIA NA AFYA YA UZAZI TANZANIA<br />
1. Kufan<strong>ya</strong> ngono zisizo salama inaweza kusababisha kupata mimba<br />
zisizotarajiwa, VVU na Magonjwa <strong>ya</strong> Ngono.<br />
2. Matatizo wakati wa mimba na wakati wa kujifungua ni sababu<br />
kubwa inayosababisha vifo <strong>v<strong>ya</strong></strong> <strong>wanawake</strong> Tanzania<br />
3. Kila mtu anaweza kupata VVU – wanaume, <strong>wanawake</strong>, vijana,<br />
wazee, matajiri, masikini, wasomi na wasiosoma. Mara<br />
utakapopata VVU huwezi kuviondoa.<br />
4. VVU vinaathiri <strong>wanawake</strong> zaidi iwe ni kwenye maeneo <strong>ya</strong> mijini<br />
au vijijini hapa Tanzania .<br />
5. Kupata magonjwa <strong>ya</strong> zinaa kunaongeza uwezekano wa kupata<br />
maambukizi <strong>ya</strong> VVU. .<br />
6. Wanawake na wanaume waliooana wanapaswa kupima VVU.<br />
7. Wanawake wanaweza kujilinda wasipate VVU, magonjwa mengi<br />
<strong>ya</strong> ngono ama mimba zisizotarajiwa <strong>kwa</strong> kutumia kondom mara<br />
<strong>kwa</strong> mara na <strong>kwa</strong> usahihi wao na wenzi wao wa kingono.<br />
18