08.06.2013 Views

vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub

vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub

vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

KITINI CHA MADA YA 6<br />

SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI<br />

Saratani <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> kizazi ni nini?<br />

Saratani ni ugonjwa ambao unasababisha baadhi <strong>ya</strong> seli za mwili zisifan<strong>ya</strong> kazi<br />

sawasawa, zinagawanyika <strong>kwa</strong> upesi sana na kuzalisha tishu nyingi ambazo<br />

hutengeza uvimbe. Saratani <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> kizazi ni saratani, hii ni saratni <strong>ya</strong><br />

amayo huathiri sehemu <strong>ya</strong> chini <strong>ya</strong> mji wa mimba. Saratani <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> kizazi<br />

ni ugonjwa ambao unaweza kuwa hatari sana, ingawaje, ni miongoni mwa<br />

magonjwa unayoweza ku<strong>ya</strong>zuia. Kwa kawaida huchukua miaka mingi <strong>kwa</strong> seli<br />

za kawaida za kizazi kubadilika na seli za saratani, ila wakati mwingine huweza<br />

kutokea <strong>kwa</strong> kipindi kifupi tu.<br />

Zipi ni dalili za Saratani <strong>ya</strong> Shingo <strong>ya</strong> Kizazi?<br />

Kabla <strong>ya</strong> sratani au katika hatua za wali za saratani <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> kizazi <strong>kwa</strong><br />

kawaida huwa haionyeshi dalili zozote. Mwanamke huwa anaonyesha dalili<br />

wakati ambapo saratani inakuwa imebadilika na kuvamia seli zilizoko jirani na<br />

shingo <strong>ya</strong> kizazi. Wakati hali hii ikitokea dalili ambayo hujitokeza mara nyingi<br />

ni kuto<strong>kwa</strong> maji sehemu sehemu za siri <strong>ya</strong>siyokuwa <strong>ya</strong> kawaida kutokana na<br />

uvimbe mkubwa ambao umeathirika na kusababisha kuto<strong>kwa</strong> na maji yenye<br />

harufu (harufu mba<strong>ya</strong>) ambayo hutokea kabla <strong>ya</strong> kuanza kuto<strong>kwa</strong> damu.<br />

Mambo <strong>ya</strong> hatarishi <strong>ya</strong>tokanayo na kuwa na kuwepo <strong>kwa</strong> Saratani <strong>ya</strong> shingo<br />

<strong>ya</strong> kizazi?<br />

Mambo hatarishi ni pamoja na:<br />

Kuathiriwa na kirusi cha kijulikanacho kama “human papillomavirus”<br />

(HPV). Madaktari wanaamini <strong>kwa</strong>mba <strong>wanawake</strong> wanakuwa ta<strong>ya</strong>ri<br />

wamethiriwa na kirusi hiki kabla <strong>ya</strong> kuonyesha dalili za saratani <strong>ya</strong><br />

shingo <strong>ya</strong> kizazi.<br />

Tabia za kingono- kufan<strong>ya</strong> ngono katika umri mdogo na historia <strong>ya</strong> kuwa<br />

na wapenzi wengi.<br />

Matumizi <strong>ya</strong> tumbaku – wanwake wanovuta sigara wanakuwa kwenye<br />

hartari mara mbili <strong>ya</strong> wale ambao hawavuti kupata saratni <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong><br />

kizazi.<br />

Tunaweza kugundua saratani mapema <strong>kwa</strong> njia gani?<br />

Saratani inaweza kugundulika mapaema <strong>kwa</strong> kufan<strong>ya</strong> kipimo kijulikanacho<br />

kama “Pap” mara <strong>kwa</strong> mara. Wanawake wapime af<strong>ya</strong> zao mara <strong>kwa</strong> mara ikiwa<br />

ni pamoja na mifupa <strong>ya</strong> nyonga na kufan<strong>ya</strong> kipimo cha Pap. Mwanamke<br />

anatakiwa aanze kufanyiwa kipimo cha hiki kati <strong>ya</strong> miaka mitatu baada <strong>ya</strong><br />

kuvunja ungo au kwenye umri wa miaka 21, kimojawapo kati chochote kati <strong>ya</strong><br />

hayo mawili kitatangulia ni sawa.<br />

79

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!