vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
KITINI CHA MADA YA 6<br />
SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI<br />
Saratani <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> kizazi ni nini?<br />
Saratani ni ugonjwa ambao unasababisha baadhi <strong>ya</strong> seli za mwili zisifan<strong>ya</strong> kazi<br />
sawasawa, zinagawanyika <strong>kwa</strong> upesi sana na kuzalisha tishu nyingi ambazo<br />
hutengeza uvimbe. Saratani <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> kizazi ni saratani, hii ni saratni <strong>ya</strong><br />
amayo huathiri sehemu <strong>ya</strong> chini <strong>ya</strong> mji wa mimba. Saratani <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> kizazi<br />
ni ugonjwa ambao unaweza kuwa hatari sana, ingawaje, ni miongoni mwa<br />
magonjwa unayoweza ku<strong>ya</strong>zuia. Kwa kawaida huchukua miaka mingi <strong>kwa</strong> seli<br />
za kawaida za kizazi kubadilika na seli za saratani, ila wakati mwingine huweza<br />
kutokea <strong>kwa</strong> kipindi kifupi tu.<br />
Zipi ni dalili za Saratani <strong>ya</strong> Shingo <strong>ya</strong> Kizazi?<br />
Kabla <strong>ya</strong> sratani au katika hatua za wali za saratani <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong> kizazi <strong>kwa</strong><br />
kawaida huwa haionyeshi dalili zozote. Mwanamke huwa anaonyesha dalili<br />
wakati ambapo saratani inakuwa imebadilika na kuvamia seli zilizoko jirani na<br />
shingo <strong>ya</strong> kizazi. Wakati hali hii ikitokea dalili ambayo hujitokeza mara nyingi<br />
ni kuto<strong>kwa</strong> maji sehemu sehemu za siri <strong>ya</strong>siyokuwa <strong>ya</strong> kawaida kutokana na<br />
uvimbe mkubwa ambao umeathirika na kusababisha kuto<strong>kwa</strong> na maji yenye<br />
harufu (harufu mba<strong>ya</strong>) ambayo hutokea kabla <strong>ya</strong> kuanza kuto<strong>kwa</strong> damu.<br />
Mambo <strong>ya</strong> hatarishi <strong>ya</strong>tokanayo na kuwa na kuwepo <strong>kwa</strong> Saratani <strong>ya</strong> shingo<br />
<strong>ya</strong> kizazi?<br />
Mambo hatarishi ni pamoja na:<br />
Kuathiriwa na kirusi cha kijulikanacho kama “human papillomavirus”<br />
(HPV). Madaktari wanaamini <strong>kwa</strong>mba <strong>wanawake</strong> wanakuwa ta<strong>ya</strong>ri<br />
wamethiriwa na kirusi hiki kabla <strong>ya</strong> kuonyesha dalili za saratani <strong>ya</strong><br />
shingo <strong>ya</strong> kizazi.<br />
Tabia za kingono- kufan<strong>ya</strong> ngono katika umri mdogo na historia <strong>ya</strong> kuwa<br />
na wapenzi wengi.<br />
Matumizi <strong>ya</strong> tumbaku – wanwake wanovuta sigara wanakuwa kwenye<br />
hartari mara mbili <strong>ya</strong> wale ambao hawavuti kupata saratni <strong>ya</strong> shingo <strong>ya</strong><br />
kizazi.<br />
Tunaweza kugundua saratani mapema <strong>kwa</strong> njia gani?<br />
Saratani inaweza kugundulika mapaema <strong>kwa</strong> kufan<strong>ya</strong> kipimo kijulikanacho<br />
kama “Pap” mara <strong>kwa</strong> mara. Wanawake wapime af<strong>ya</strong> zao mara <strong>kwa</strong> mara ikiwa<br />
ni pamoja na mifupa <strong>ya</strong> nyonga na kufan<strong>ya</strong> kipimo cha Pap. Mwanamke<br />
anatakiwa aanze kufanyiwa kipimo cha hiki kati <strong>ya</strong> miaka mitatu baada <strong>ya</strong><br />
kuvunja ungo au kwenye umri wa miaka 21, kimojawapo kati chochote kati <strong>ya</strong><br />
hayo mawili kitatangulia ni sawa.<br />
79