vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
af<strong>ya</strong>. Njia nyingine zilizobakia zinapatikana kwenye <strong>vituo</strong> <strong>v<strong>ya</strong></strong> af<strong>ya</strong> tu na<br />
zinatakiwa zitolewe na <strong>mtaala</strong>mu wa af<strong>ya</strong>. Sasa tutajadiliana kuhusu kuhusu<br />
vidonge na kondom <strong>kwa</strong> kina zaidi.<br />
Kama kuna muuguzi au <strong>mtaala</strong>mu wa masuala <strong>ya</strong> uzazi wa mpango waalike ili<br />
waje kujadili kuhusu taarifa zifuatazo. Endapo hakuna <strong>mtaala</strong>mu rejea taarifa<br />
ifuatayo na wanakikundi. Wapatie vidonge (njia <strong>ya</strong> kupanga uzazi <strong>kwa</strong> kumeza).<br />
Vidonge (Oral Contraceptives)<br />
Kuna aina mbili za vidonge zinazotumika hapa Tanzania<br />
Muunganiko wa estrojeni na projestini mf Makroginon, Lo femenal na Duofem<br />
- Zenye projestini peke <strong>ya</strong>ke -microluti na Microval.<br />
Vidonge vyenye muunganiko wa vichocheo kama vile Flexi P.<br />
VIdonge vilivyo na homoni zaidi <strong>ya</strong> moja ni nini?<br />
- Hivi ni vidonge <strong>v<strong>ya</strong></strong> kuzuia mimba ambavyo vina homoni mbili esterojen<br />
na projesteron (two hormones estrogen and progestin).<br />
Vidonge hivi vyenye homoini zaidi <strong>ya</strong> moja vinafan<strong>ya</strong> kazi <strong>kwa</strong> namna gani?<br />
- Vinazuia kupevuka <strong>kwa</strong> <strong>ya</strong>i (ovulation)<br />
- Zinasababisha eneo la ndani <strong>ya</strong> mji wa mimba lisifae <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong><br />
kurutubisha <strong>ya</strong>i<br />
- Zinafan<strong>ya</strong> ute wa kizazi kuwa mzito na kusababisha iwe ni vigumu <strong>kwa</strong><br />
mbegu za kiume kupen<strong>ya</strong> na kuingia kwenye mji wa mimba<br />
- Kufanikisha : vidonge hivi vinafanikisha sana kama vikitumiwa vema .<br />
Faida zake<br />
- Kuzuia mimba zisizotakiwa<br />
- Kurekebisha hedhi<br />
- Hupunguza kiasi cha damu <strong>ya</strong> hedhi na maumivu wakati wa hedhi<br />
- Huongeza ashki <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>kwa</strong> baadhi <strong>ya</strong> <strong>wanawake</strong> <strong>kwa</strong> vile<br />
hofu <strong>ya</strong> kupataujauzito inakuwa imeondoka<br />
- Zinapatikana kwenye maeneo <strong>ya</strong> kibishara na hat kupitia wasambazji wa<br />
ngazi <strong>ya</strong> jamii.<br />
- Haziingiliani na tendo la ngono<br />
- Ukiacha kutumia inakuwa rahisi mwili kurudi katiak hali <strong>ya</strong>ke na kubeba<br />
mimba tena (easily reversible)<br />
Nani hawezi kutumia aina hii <strong>ya</strong> njia <strong>ya</strong> uzazi wa mpango<br />
110