08.06.2013 Views

vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub

vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub

vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

af<strong>ya</strong>. Njia nyingine zilizobakia zinapatikana kwenye <strong>vituo</strong> <strong>v<strong>ya</strong></strong> af<strong>ya</strong> tu na<br />

zinatakiwa zitolewe na <strong>mtaala</strong>mu wa af<strong>ya</strong>. Sasa tutajadiliana kuhusu kuhusu<br />

vidonge na kondom <strong>kwa</strong> kina zaidi.<br />

Kama kuna muuguzi au <strong>mtaala</strong>mu wa masuala <strong>ya</strong> uzazi wa mpango waalike ili<br />

waje kujadili kuhusu taarifa zifuatazo. Endapo hakuna <strong>mtaala</strong>mu rejea taarifa<br />

ifuatayo na wanakikundi. Wapatie vidonge (njia <strong>ya</strong> kupanga uzazi <strong>kwa</strong> kumeza).<br />

Vidonge (Oral Contraceptives)<br />

Kuna aina mbili za vidonge zinazotumika hapa Tanzania<br />

Muunganiko wa estrojeni na projestini mf Makroginon, Lo femenal na Duofem<br />

- Zenye projestini peke <strong>ya</strong>ke -microluti na Microval.<br />

Vidonge vyenye muunganiko wa vichocheo kama vile Flexi P.<br />

VIdonge vilivyo na homoni zaidi <strong>ya</strong> moja ni nini?<br />

- Hivi ni vidonge <strong>v<strong>ya</strong></strong> kuzuia mimba ambavyo vina homoni mbili esterojen<br />

na projesteron (two hormones estrogen and progestin).<br />

Vidonge hivi vyenye homoini zaidi <strong>ya</strong> moja vinafan<strong>ya</strong> kazi <strong>kwa</strong> namna gani?<br />

- Vinazuia kupevuka <strong>kwa</strong> <strong>ya</strong>i (ovulation)<br />

- Zinasababisha eneo la ndani <strong>ya</strong> mji wa mimba lisifae <strong>kwa</strong> <strong>ajili</strong> <strong>ya</strong><br />

kurutubisha <strong>ya</strong>i<br />

- Zinafan<strong>ya</strong> ute wa kizazi kuwa mzito na kusababisha iwe ni vigumu <strong>kwa</strong><br />

mbegu za kiume kupen<strong>ya</strong> na kuingia kwenye mji wa mimba<br />

- Kufanikisha : vidonge hivi vinafanikisha sana kama vikitumiwa vema .<br />

Faida zake<br />

- Kuzuia mimba zisizotakiwa<br />

- Kurekebisha hedhi<br />

- Hupunguza kiasi cha damu <strong>ya</strong> hedhi na maumivu wakati wa hedhi<br />

- Huongeza ashki <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>kwa</strong> baadhi <strong>ya</strong> <strong>wanawake</strong> <strong>kwa</strong> vile<br />

hofu <strong>ya</strong> kupataujauzito inakuwa imeondoka<br />

- Zinapatikana kwenye maeneo <strong>ya</strong> kibishara na hat kupitia wasambazji wa<br />

ngazi <strong>ya</strong> jamii.<br />

- Haziingiliani na tendo la ngono<br />

- Ukiacha kutumia inakuwa rahisi mwili kurudi katiak hali <strong>ya</strong>ke na kubeba<br />

mimba tena (easily reversible)<br />

Nani hawezi kutumia aina hii <strong>ya</strong> njia <strong>ya</strong> uzazi wa mpango<br />

110

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!