vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
vituo vya wanawake vya jipende! mtaala kwa ajili ya ... - C-Hub
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Wakati mtu anahesabu chembe za CD 4<br />
za chembe hai nyeupe zinashuka na<br />
kufikia kati <strong>ya</strong> chembe 200 <strong>kwa</strong> maikro lita<br />
moja <strong>ya</strong> damu au wanakuwa na UKIMWI<br />
Kuelezea maradhi, wnaweza kuanza<br />
kutumia mchanyiko wa dawa za kurefusha<br />
maisha ARVs <strong>kwa</strong> kipindi Fulani. ARV<br />
zinauwezo wa kuzuia VVU kuongezeka<br />
kama vinavyoka kuwa, ingawaje ARV<br />
haiwezi kuondoa VVU moja <strong>kwa</strong> moja.<br />
Zinaruhusu chembe hai nyeupe kujijenga<br />
tena, ili ziweze <strong>kwa</strong> mara nyingine<br />
kupambana na maambukizi mengine.<br />
Hatua <strong>ya</strong> Pili<br />
Dawa za kupunguza makali <strong>ya</strong> VVU<br />
(ARV) inaingia mwilini na kushambulia<br />
VVU. Kunasua chembe hai nyeupe<br />
zilizokamatwa na VVU na kumsukuma<br />
VVU kwenye kona. Chembe hai nyeupe<br />
zinakusan<strong>ya</strong> nguvu tena kupambana na<br />
maambukizi na kutatupa mabali kwenye<br />
nje <strong>ya</strong> mwili.<br />
Mara baada <strong>ya</strong> kumaliza mchoro wape pongezi waigizaji na kuuliza maswali<br />
<strong>ya</strong>liyoko hapa chini kuhakikisha <strong>kwa</strong>mba kikundi kina elewa dondoo za<br />
muhimu kutokana na mchezo.<br />
1. Kuna toafauti gani kati <strong>ya</strong> VVU na UKIMWI?<br />
Jibu:: VVU ni virusi vinavyosababisha UKIMWI. Mtu anaweza akawa na virusi ila<br />
asiwe na UKIMW.<br />
2. Ni <strong>kwa</strong> muda gani VVU inaweza kupambana na maambukizi bila kuhitaji<br />
msaada wa dawa za kupunguza makali <strong>ya</strong> VVU?<br />
Jibu: inategemea na mtu binafsi ila inaweza kuwa kama miaka 20 au zaidi.<br />
Kudumisha mtindo wa maisha wenye af<strong>ya</strong> njema ikiwa ni pamoja na kufan<strong>ya</strong><br />
mazoezi na kupata lishe vinasaidia mwili kupambana na VVU <strong>kwa</strong> kipindi kirefu<br />
zaidi.<br />
3. Ni wakati gani tunaweza kusema mtu ana UKIMWI”?<br />
Ji.bu: wakati mtu anapokuwa na magonjwa nyemelezi na kinga <strong>ya</strong> mwili haina uwezo<br />
wa kupambana na maambukizi.<br />
4. Je dawa za kurefusha maisha huwa zinafan<strong>ya</strong> nini mwilini?<br />
Jibu: dawa hizi huvamia VVU vilivyoko kwenye mwaili na <strong>kwa</strong>mba VVU havitaweza<br />
kuongezeka nah ii inawezesha chembe hai nyeupe kujijenga tena ili kuweza<br />
kupambana na maambukizi. .<br />
48